wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,574
Wa Burundi
Hakuwa amejiandaa kabisa na hiyo press hadi kupelekea kuwa na press mbovu kuwahi kutokea na haya ndiyo madhara ya kuandikiwa kila kitu angekuwa mwendazake kikeke jasho lingemtoka
Upo sahihi 100%Mbunge Ni mwakilishi wa wananchi wapiga kura wake hatakiwi tu kuibuka bungeni na kuropoka Je hicho kikao Cha miamala Zungu aliongea na wapiga kura wake Kwanza?
Wananchi wa Ilala walimtuma Hilo? Alifanya nao mkutano kupata mawazo yao kwenye Hilo au aliibuka tu bungeni na bichwa lake tu na kuongea yeye Kama yeye?
Mbunge Ni mwakilishi wa wananchi wapiga kura wake hatakiwi tu kuibuka bungeni na kuropoka Je hicho kikao Cha miamala Zungu aliongea na wapiga kura wake Kwanza?
Wananchi wa Ilala walimtuma Hilo? Alifanya nao mkutano kupata mawazo yao kwenye Hilo au aliibuka tu bungeni na bichwa lake tu na kuongea yeye Kama yeye?
Tena anasema na yeye Huwa anakatwa pesa akiwatimia ndugu zake .Yani yeye hajui kwamba anaishi bule Mana Kila kitu kwake ni bule ,kufikia hapo nimeamini hata nafasi aliyonayo haijui.Sasa kwa aina hii ya kiongozi nashindwa kujua hata hayo maendeleo kama kweli atayaleta.Nanukuu: "Nashukuru sana Watanzania wamekubali tozo vizuri"
My take:
Tukisema hamna Rais humo muwe mnaelewa sasa.
Bia ishuke bei,full stopYeye, Mwigulu na wengineo ni Watanzania pia. Kama wamekubali haiwaondolei Utanzania wao.
Tz hakuna kiongozi mwenye vision ndo Mana mambo yako vibaya ,wapo kwa ajili ya kupiga tuUkiendelea kutafakari tozo kumbuka KILA v8 moja linapewa lita 2100 bure kwa mwezi kodi yako milioni 5 imeenda hapa,Kazi ya v8 ni kumpeleka boss ofisini kumrudisha nyumbani kupeleka watoto shule, kupeleka familia kanisani,kodi yetu nyingi inaishia kufadhili anasa za wanasiasa na kwenye matumizi kuliko uzalishaji,haya mambo ndo utufanya tuone hizi tozo si msaada,mikanda tufunge wote watawaliwa na watawala.
Tobaaa dhambi jamaniii.Mbunge wako akikubali kitu, basi ujue kakubali kwa niaba yako. Yeye ndio mwakilishi wako katika ngazi za maamuzi.
Hoja ya msingi sana hii.Una hakika hizo pesa zitatumika kama wanavyosema? au kununulia ma vieete na posho zao?
Mwambie huyo mjinga aeleweBaada ya kuharisha ujinga kama huu ungetuambia kwanza serikali imefanya nini kubana matumizi yake kabla hawajawakamua wananchi ambao wengi ni mafukara wa kutupwa? Kwa nini wabunge wanachukuwa malipo makubwa kulinganisha na kazi zao? Kwa nini mikoani na wilayani kuna utitiri wa viongozi wanalipwa na kutembelea magari ya bei kubwa wakati nchi yetu ni maskini?
Kwa nini viongozi wengi wanasafari first na business class kwenye ndege wakati sisi ni maskini wa kutupwa? Wewe huoni hatua ya kwanza ni serikali kupunguza kabisa matumizi yake mengi ambayo hayana ulazima? Tafakari kabla ya kuandika ujinga kama huu!
Mwansyemela unatafuta uteuzi kwa nguvu zote,hivi U DAS utakufaa?? Mbona hakuna wanyakyusa wajinga kama wewe mlamba makalio??Kwani wewe unaishi jimbo la Ilala? Labda alifanya kikao na watu wake?
Madaraka ya Kulevya ni hatari sana. Hapo kashalewa madaraka mtoto wa kizanzibari utamwambia nini.jumong ni muongo sana yaani anaongea kama wanaomskiza ni wakazi wa maKUNDUchi.
Shida mifumo mibovu ya uongozi toka Nyerere haikulenga kushirikisha watawaliwa.Tz hakuna kiongozi mwenye vision ndo Mana mambo yako vibaya ,wapo kwa ajili ya kupiga tu
Nimeanza kumkumbuka jiweYeye, Mwigulu na wengineo ni Watanzania pia. Kama wamekubali haiwaondolei Utanzania wao.
Kabisa aseeShida mifumo mibovu ya uongozi toka Nyerere haikulenga kushirikisha watawaliwa.
Tumerudi kule kule kwenye mtawala vs mtawaliwa.
Kipindi kizuri,ila kitafungiwaNataka kuanzisha kipindi cha televisheni mahsusi kuonyesha matumizi ya "tozo" ambazo mama amesema wanachi na wapiga kura kwa ujumla tunazikubali....
Kipindi kitaonyesha posho za vikao vya madiwani, madaraja ya miti yaliyojengwa kwa milioni 30, ziara za mafunzo ya watendaji kwenda kujivunza nishati mbadala nk..
Wa Zanzibar hawa jui maendeleo nini wao Wanachojua Dini Yao inakataza kufanya maendeleoTena anasema na yeye Huwa anakatwa pesa akiwatimia ndugu zake .Yani yeye hajui kwamba anaishi bule Mana Kila kitu kwake ni bule ,kufikia hapo nimeamini hata nafasi aliyonayo haijui.Sasa kwa aina hii ya kiongozi nashindwa kujua hata hayo maendeleo kama kweli atayaleta.
TOZO za simu ni mbinu ya kufidia hela walizotumia kuwanunua wapinzani ili waunge juhudi.Tena anasema na yeye Huwa anakatwa pesa akiwatimia ndugu zake .Yani yeye hajui kwamba anaishi bule Mana Kila kitu kwake ni bule ,kufikia hapo nimeamini hata nafasi aliyonayo haijui.Sasa kwa aina hii ya kiongozi nashindwa kujua hata hayo maendeleo kama kweli atayaleta.