Rais Samia ateka hisia za mamilioni ya watanzania katika usiku wa leo

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
15,262
9,714
Ndugu zangu Watanzania,

Hapo usiku wa jana katika kuadhimisha siku ya wanawake Duniani Rais wetu na jemedari wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge alishiriki katika the citizen Rising woman.ambapo aliweza kuzungumza mambo mbalimbali na mengi sana.

Lakini pamoja na mambo mengi kugusiwa kuna eneo moja lililoteka hisia za wengi sana, ambalo lilikuwa ni juu ya R nne alizokuja nazo baada ya kushika madaraka ya Urais.anasema mara baada ya kushika madaraka ya Urais alisikia watu wakimwambia Mama mama unganisha Taifa.anasema kauli hizo zilimfanya ajiulize na kujipa jibu kuwa Taifa halipo pamoja na kuna mgawanyiko ndani ya Taifa.

Hivyo baada ya hapo akaamua kuja na R hizo nne za kuvumiliana,kustahimiliana, kufanya mabadiliko pamoja na kujenga upya Taifa letu.anasema kuwa akaanza kuzungumza na watu mbalimbali,taasisi ,makundi pamoja na vyama vya siasa.akaendelea kueleza kuwa adhima ikiwa ni kulileta pamoja Taifa na kujenga umoja wa kitaifa .

kwa kuhakikisha kuwa tunasameheana tulipokoseana,tunavumiliana,tunafanya mabadiliko ya mambo yanayotoa uhuru kwa watu kuzungumza na kueleza hisia zao pamoja na kujenga upya Taifa katika namna ambayo kila mtu atajiona anayo nafasi katika ujenzi wa Taifa letu pamoja na kutoa mawazo yake .yaani kila mtu anashiriikishwa na kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa Taifa na siyo yeye kama yeye Rais kujifungia ndani na kufanya maamuzi peke yake juu ya Taifa letu..

Ndugu zangu Watanzania katika hili Rais Samia ameweka alama ya kudumu iliyoandikwa na kuchorwa kwa wino wa dhahabu katika mioyo ya watanzania.ambapo atakumbukwa vizazi na vizazi kwa namna alivyo liunganisha Taifa na kujenga umoja wa kitaifa.vifua vya watanzania vimejaa furaha,amani,uhuru na vimefunguka kama geti lililofunguliwa.hali hii imechochea ushirikiano na mshikamano miongoni mwa Watanzania pamoja na kupalilia mbegu ya upendo na kutamalaki kwa amani na utulivu hapa Nchini.

Hakuna manung'uniko ya watu kuonewa , kudhulumiwa,kunyanyaswa na kukandamizwa.na inapotokea mtu kafanyiwa hivyo na ikajulikana kwa mamlaka hatua kali na za haraka zimekuwa zikichukuliwa kwa watu waliofanya uonevu au uovu huo.hii imejenga imani kubwa sana kwa watanzania kwa serikali yao na kuiamini sana na kuendelea kuiunga mkono muda wote.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hapo usiku wa jana katika kuadhimisha siku ya wanawake Duniani Rais wetu na jemedari wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge alishiriki katika the citizen Rising woman.ambapo aliweza kuzungumza mambo mbalimbali na mengi sana.

Lakini pamoja na mambo mengi kugusiwa kuna eneo moja lililoteka hisia za wengi sana, ambalo lilikuwa ni juu ya R nne alizokuja nazo baada ya kushika madaraka ya Urais.anasema mara baada ya kushika madaraka ya Urais alisikia watu wakimwambia Mama unganisha Taifa.anasema kauli hizo zilimfanya ajiulize na kujipa jibu kuwa Taifa halipo pamoja na kuna mgawanyiko ndani ya Taifa.

Hivyo baada ya hapo akaamua kuja na R hizo nne za kuvumiliana,kustahimiliana, kufanya mabadiliko pamoja na kujenga upya Taifa letu.anaseka akaanza kuzungumza na watu mbalimbali,taasisi ,makundi pamoja na vyama vya siasa.akaebdelea kueleza kuwa adhima ikiwa ni kulileta pamoja Taifa na kujenga umoja wa kitaifa .

kwa kuhakikisha kuwa tunasameheana tulipokoseana,tunavumiliana,tunafanya mabadiliko ya mambo yanayotoa uhuru kwa watu kuzungumza na kueleza hisia zao pamoja na kujenga upya Taifa katika namna ambayo kila mtu atakiona anayo nafasi katika ujenzi wa Taifa letu pamoja na kutoa mawazo yake .yaani kila mtu anashiriikishwa na siyo yeye kama yeye Rais kujifungia ndani na kufanya maamuzi peke yake.

Ndugu zangu Watanzania katika hili Rais Samia ameweka alama ya kudumu iliyoandikwa na kuchorwa kwa wino wa dhahabu katika mioyo ya watanzania.ambapo atakumbukwa vizazi na vizazi kwa namna alivyo liunganisha Taifa na kujenga umoja wa kitaifa.vifua vya watanzania vimejaa furaha,amani,uhuru na vimefunguka kama geti lililofunguliwa.hali hii imechochea ushirikiano na mshikamano miongoni mwa Watanzania pamoja na kupalilia mbegu ya kutamalaki kwa amani na utulivu hapa Nchini.

Hakuna manung'uniko ya watu kuonewa , kudhulumiwa,kunyanyaswa na kukandamizwa.na inapotokea mtu kafanyiwa hivyo na ikajulikana kwa mamlaka hatua kali na za haraka zimekuwa zikichukuliwa kwa watu waliofanya uonevu au uovu huo.hii imejenga imani kubwa sana kwa watanzania kwa serikali yao na kuiamini sana na kuendelea kuiunga mkono muda wote.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.View attachment 2928959View attachment 2928960
Wewe na Mama yako mtakuwa na mwisho wa mbaya. Endeleni kuwachukulia wananchi, machizi.
 
tuache theory, tujaribu kuwa more practical.

Tunahitaji kuona matokeo ya hizo theory zake na sio maneno maneno.
Raia wa kawaida anahitaji kuona matokeo na kuambiwa lini tutafanikisha A na kwanini na ionekane kivitendo.
 
Kama kweli unatumia akili yako vyema katika kufikiri na kuwaza kwa kutumia akili ,unaweza kuniambia ni jambo gani baya hapo nililoandika katika kuelezea kile alichozungumza Mheshimiwa Rais wetu? Shida yako ni kuwa kifua chako kimejaa chuki binafsi zisizo na msingi zaidi ya matatizo yako binafsi

Hiyo nafasi ya mama kama ni mkristo, wangekuja kukushambulia! Mti wenye matunda hupigwa mawe

Jaribu kufuatilia wanao comment humu kama sio chadema/wenye chuki za kidini, hebu chunguza vizuri.

Na matamshi ya ndugu yao LEMA dhidi ya waislamu ndio wasahau kabisa kupata kura kwa waislamu.
 
Hiyo nafasi ya mama kama ni mkristo, wangekuja kukushambulia! Mti wenye matunda hupigwa mawe

Jaribu kufuatilia wanao comment humu kama sio chadema/wenye chuki za kidini, hebu chunguza vizuri.

Na matamshi ya ndugu yao LEMA dhidi ya waislamu ndio wasahau kabisa kupata kura kwa waislamu.
Wewe naye unaendeshwa na hisia za kujihofia utadhani umenusishwa pua ya nguruwe.Uzi unahusu kingine wewe unaleta udini na uchama wako.
 
Hiyo nafasi ya mama kama ni mkristo, wangekuja kukushambulia! Mti wenye matunda hupigwa mawe

Jaribu kufuatilia wanao comment humu kama sio chadema/wenye chuki za kidini, hebu chunguza vizuri.

Na matamshi ya ndugu yao LEMA dhidi ya waislamu ndio wasahau kabisa kupata kura kwa waislamu.
Hata mimi nafahamu kuwa wana chuki binafsi tu na siyo kingine.
 
Mimi nazungumza ukweli na kilichozungumzwa na Mheshimiwa Rais wetu.kwa hiyo unataka nipotoshe ujumbe wa Mh Rais kwa ajili ya kukufurahisha wewe mwenye moyo wa chuki ,wivu na roho mbaya? Acheni roho za kwanini? Naona unaumia sana unapoona Mh Rais anapongezwa na kuungwa mkono kutokana na uchapa kazi wake uliotukuka na kugusa maisha ya watanzania wanyonge.
Timeshaona mzazi akisifiwa na kushukuriwa na ndugu jamaa na marafiki kwa kusomesha watoto wake na kuhakikisha wana afya nzuri, hadi inaboa. Baadhi ya watoto walio karibu na maza au faza wanasifia kupitiliza, hata kwa mambo ambayo wasifiwa wenyewe hawajui, sababu baadhi ya hawa watoto wana maslahi binafsi.

Wasomaji wako wanadhani wewe ni mmoja wa watoto hao. Uweza kuwa umereport exactly kilichosemwa na SSH, lakini ulipaswa kuwa objective na kuonesha, kwa mfano, namna ambavyo 4 Rs zimetekelezwa na kuzungumzia pale zilipofeli pia.

Wewe umeonekana kuwa mnafiki kama walivyo chawa wote wa mazaa. Jitafakari tu na ufanye maboresho mabandiko yajayo.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hapo usiku wa jana katika kuadhimisha siku ya wanawake Duniani Rais wetu na jemedari wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge alishiriki katika the citizen Rising woman.ambapo aliweza kuzungumza mambo mbalimbali na mengi sana.

Lakini pamoja na mambo mengi kugusiwa kuna eneo moja lililoteka hisia za wengi sana, ambalo lilikuwa ni juu ya R nne alizokuja nazo baada ya kushika madaraka ya Urais.anasema mara baada ya kushika madaraka ya Urais alisikia watu wakimwambia Mama mama unganisha Taifa.anasema kauli hizo zilimfanya ajiulize na kujipa jibu kuwa Taifa halipo pamoja na kuna mgawanyiko ndani ya Taifa.

Hivyo baada ya hapo akaamua kuja na R hizo nne za kuvumiliana,kustahimiliana, kufanya mabadiliko pamoja na kujenga upya Taifa letu.anasema kuwa akaanza kuzungumza na watu mbalimbali,taasisi ,makundi pamoja na vyama vya siasa.akaendelea kueleza kuwa adhima ikiwa ni kulileta pamoja Taifa na kujenga umoja wa kitaifa .

kwa kuhakikisha kuwa tunasameheana tulipokoseana,tunavumiliana,tunafanya mabadiliko ya mambo yanayotoa uhuru kwa watu kuzungumza na kueleza hisia zao pamoja na kujenga upya Taifa katika namna ambayo kila mtu atajiona anayo nafasi katika ujenzi wa Taifa letu pamoja na kutoa mawazo yake .yaani kila mtu anashiriikishwa na kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa Taifa na siyo yeye kama yeye Rais kujifungia ndani na kufanya maamuzi peke yake juu ya Taifa letu..

Ndugu zangu Watanzania katika hili Rais Samia ameweka alama ya kudumu iliyoandikwa na kuchorwa kwa wino wa dhahabu katika mioyo ya watanzania.ambapo atakumbukwa vizazi na vizazi kwa namna alivyo liunganisha Taifa na kujenga umoja wa kitaifa.vifua vya watanzania vimejaa furaha,amani,uhuru na vimefunguka kama geti lililofunguliwa.hali hii imechochea ushirikiano na mshikamano miongoni mwa Watanzania pamoja na kupalilia mbegu ya upendo na kutamalaki kwa amani na utulivu hapa Nchini.

Hakuna manung'uniko ya watu kuonewa , kudhulumiwa,kunyanyaswa na kukandamizwa.na inapotokea mtu kafanyiwa hivyo na ikajulikana kwa mamlaka hatua kali na za haraka zimekuwa zikichukuliwa kwa watu waliofanya uonevu au uovu huo.hii imejenga imani kubwa sana kwa watanzania kwa serikali yao na kuiamini sana na kuendelea kuiunga mkono muda wote.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.View attachment 2928959View attachment 2928960
Mwana mama, shupavu, madhubuti, mwana mageuzi makini na mahiri sana si tu Tanzania bali pia barani Africa na Duniani kote,
kwa hakika amethubutu....

Matunda ya kazi za uongozi wake yanaonekana mchana kweupe kwa wananchi pote nchini 🐒

viva Rais Comrade Dr SSH viva 💪👊

Mungu Ibariki Tanzania
 
Anae stahiki kusifiwa na kuabudiwa ni mmoja tuu!!! Mungu peke yake.
Namshangaa sana Mama Samia kukubali sifa pandikizi. Mtu ambas kwa usoni ana onekana kuwa na hofu ya Mungu.
Kumbe ni ngozi ya kondoo kwa nje. Ndani ni fisi.
Haifaiii.
 
Anae stahiki kusifiwa na kuabudiwa ni mmoja tuu!!! Mungu peke yake.
Namshangaa sana Mama Samia kukubali sifa pandikizi. Mtu ambas kwa usoni ana onekana kuwa na hofu ya Mungu.
Kumbe ni ngozi ya kondoo kwa nje. Ndani ni fisi.
Haifaiii.
umebadilika kua mungu sasa,
unatoa hukumu hadi unajua mpaka ngozi ya kondoo na fisi🐒 🐒


Dr.SSH anafanya yote haya kwa Neema na Baraka za Mungu....

hayo mengine ni mitazamo , maoni, stori na gubu za kawaida tu za binadamu zimezoeleka 🐒
 
H
umebadilika kua mungu sasa,
unatoa hukumu hadi unajua mpaka ngozi ya kondoo na fisi🐒 🐒


Dr.SSH anafanya yote haya kwa Neema na Baraka za Mungu....

hayo mengine ni mitazamo , maoni, stori na gubu za kawaida tu za binadamu zimezoeleka 🐒
Iyo takataka hata chakula Cha mchana Hana uhakika nacho

Ipuuze , vijana wengi wa Chadema wanapenda kujipa mamlaka ya kimungu kijinga sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom