BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,032
- 3,944
Ninaamini kuwa Mama atalitenda hill, maana kwa Asili Wamama wameumbwa na Mioyo ya Huruma. TumuombeeNa Mwenyezi Mungu atambariki sana mama kwa kirejesha fao hili.
Ninaamini kuwa Mama atalitenda hill, maana kwa Asili Wamama wameumbwa na Mioyo ya Huruma. TumuombeeNa Mwenyezi Mungu atambariki sana mama kwa kirejesha fao hili.
Hongera sana MkuNashindwa kuelewa pale Mtu anaposema watanzania tunapenda vitu vya bure. Naomba nikuelimishe kidogo wewe unayesema tunapenda vitu vya bure. Kama kazini kwako au ulipoajiriwa unalipwa laki saba kama ndio mshahara wako NSSF wanachukua kutoka kwenye mshahara wako kiasi cha asilimia 10 ambapo itakuwa ni elfu 70...
Zilikuwa na hatua za kuinusuru mifuko.. kama tulivyo sikia.. bado mifuko ina hali mbayaHii Nchi ni ya ajabu sana, kila nikifikiria ile sheria wakati inatungwa ililenga kumnufanisha nani hasaa ?? Sipati jibu oh ! Mpaka uzeeke hivi kifo hawakukifikiria ??
Its obvious wamepanga kuwaibia wanachama na sio kuwasaidia.
Mh: Rais futa sheria zote kandamizi...
Kwa muda mrefu tumesikia kwamba hii mifuko ya hifadhi ya jamii, ambayo lengo lake kuu ni kutunza fedha za wastaafu, ina hali mbaya kifedha na sababu kuu ni serikali kuchukua fedha zake bila kuzirejesha.Hii Nchi ni ya ajabu sana, kila nikifikiria ile sheria wakati inatungwa ililenga kumnufanisha nani hasaa ?? Sipati jibu oh ! Mpaka uzeeke hivi kifo hawakukifikiria ??
Its obvious wamepanga kuwaibia wanachama na sio kuwasaidia.
Mh: Rais futa sheria zote kandamizi...
Shida ni wabunge.Rais Samia anaweza kufanya mengi wa wafanyakazi hapa nchini ila bila kurudisha FAO la kujitoa, malalamiko ya wafanyakazi ndani ya nchi hii hayawezi kuisha na ataendelea kuonekena kwamba yeye na Serikali yake wanatumia sheria kandamizi na za kikoloni kuwakandamiza wafanyakazi wa nchi hii....
Umeona eee. Haiwezekani bunge linatunga sheria kandamizi Kama Hizi. Kama wangejuwa zina tija kwa wafanyakazi basi wangeweka ziwahusu na waoShida ni wabunge.
Wao mbona hawasubirii miaka 60? Mitano tu wanalamba pesa zao
Wabunge ndio wakuambiwa, kikatiba mhimili wa bunge ndio unaweza kufanya mabadiliko kwa haraka na kwa uchambuzi zaidi.Umeona eee. Haiwezekani bunge linatunga sheria kandamizi Kama Hizi. Kama wangejuwa zina tija kwa wafanyakazi basi wangeweka ziwahusu na wao