Rais Samia katumia muda mwingi kuishambulia CHADEMA

Rais Samia katumia muda mwingi kuishambulia CHADEMA

Naona kitendo Cha CHADEMA kutokuhudhuria mkutano wa Baraza la wadau wa siasa limemkasirisha Sana Mh Rais mpaka kuanza kuwasema CHADEMA. Kwa mfano Rais kadai CHADEMA kutokuja kwenye mkutano huo wa Leo wamegawanyika.


Kwani lazima?
 
Yeye huko kwake ndiyo kunateketea kabisa watu wanarudisha kadi kwa kasi kama moto wa nyika. Na bado sukuma Gang hawajaanza kumtekenya wanamlia timing tu

Amewahonga Nafasi ya unaibu Waziri Mkuu wa majanga …ambao unaenda kuwauwa Kisiasa …..
Genge walikuwa wakosoaji Wakubwa wa January kwenye Mafuta na Muda wa Miradi kukamilika …SASA Kampa pro Magu cheo ambacho hakipo Kikatiba lakini ambacho kinaenda kuwamaliza kisiasa
 
Naona kitendo Cha CHADEMA kutokuhudhuria mkutano wa Baraza la wadau wa siasa limemkasirisha Sana Mh Rais mpaka kuanza kuwasema CHADEMA. Kwa mfano Rais kadai CHADEMA kutokuja kwenye mkutano huo wa Leo wamegawanyika.
Hana ishu anaona aibu tu. Yeye anaona Chadema kufanya mikutano ni hisani yake na siyo matakwa ya kisheria.
 
Naona kitendo Cha CHADEMA kutokuhudhuria mkutano wa Baraza la wadau wa siasa limemkasirisha Sana Mh Rais mpaka kuanza kuwasema CHADEMA. Kwa mfano Rais kadai CHADEMA kutokuja kwenye mkutano huo wa Leo wamegawanyika.
FB_IMG_1694441195176.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom