Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,908
- 33,345
Umeumia wewe unajuaje huenda alim consult kabla ya hapoNajiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
Umeumia wewe unajuaje huenda alim consult kabla ya hapoNajiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
Umeona sahihi,japo kiusalama Msumbiji wamepigwa.kvant ya asubuhi ndugu
Mwisho ni kama ile Glass ilibadilishwa akapewa nyingine....
Uko sahihi kabisa. Ilikuwa issue ya ku cross check usalama wake.Mama master, kakataa kinywaji cha nyusi kijanjanja na kimedani, nimemuelewa mama
Kama!kvant ya asubuhi ndugu
Mwisho ni kama ile Glass ilibadilishwa akapewa nyingine....
Hebu soma tena ulichoandika maana hueleweki!😁😁😃😃 Usisahau kwamba Rais ni Mwanamama so hizo events huwa wanazipenda Sana.
Ndio ujue 2025 tuna kazi ya ziadaKha! sikuamini macho yangu!
Muda umefika mwisho wa kundi dogo ndani ya CCM kutupangia marais. Kwa sasa tutusamehe. CCM oyeeeeeNdio ujue 2025 tuna kazi ya ziada
Mwenye mke amelalamika?Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?
Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
Mabeberu wanasemajeKitendo cha Kumnyeshwa Mwanaume Juice kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki
Mhh tuongee tu japo kwa sauti ya chini, ila hii kitu sio kawaida aiseeDuh aiseeee ila mkuu usishangae si ametoka uingereza kwa wazungu orijino
Uko sahihi kabisa. Ilikuwa issue ya ku cross check usalama wake.