Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,223
- 40,457
"kwa hiyo wewe una uchungu sana kumzidi mwenye mke wake. Kwanza sisi watu wa pwani kufumaniwa ni heshima" - Marehemu Ukiwaona Ditpile wa Mzuzuri akimjibu mtangazaji aliyemwuliza, "nasikia umewahi kufumaniwa na mke wa mtu"Salaam
Kitendo cha Kumnyeshwa Mwanaume Juice kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki
Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?
Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuuliza kiasi hiki?