Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 1,632
- 2,757
DP World vipi?
DP World vipi?
Kuwa mjinga sio tusi ni sifa, na kwa sasa hiyo ndiyo sifa yenu ninyi watumishi wa umma.
Si kutwa mnamtukana humu, halafu mnataka incrementNiko kazini kwangu hapa. Watumishi wameishiwa hamu ya kazi. Wamekata tamaa.
Mama unaua taifa. Ahadi unatoa lakini hutimizi. Nyongeza ya mshahara haipo.
Mungu anakuona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Imeandikwa sehem gani annual incriment ni hisani kutoka kwa rais?Imeandikwa sehemu gani kuwa annual increment ni haki yao?
wewe ni mchawikwani lini mmefanya kazi??kila siku tunakuja maofisini kwenu kutafuta huduma tunaambiwa mara mnakunywa chai,mara chakula!ratiba ya mfanyakazi wa serikali;
saa 2 asbh - anaripoti
saa 2.05 - chai mpka saa 4
saa 4 - anapiga story mpk saa 7
saa 7 lunch mpka saa 9
saa 9 kugusagusa kazi mpk saa 10
Kuna kazi hapo kweli?wanahitaji ongezeko kweli?
wadau tujadili
Kama ni mwalimu kula chuma hichoNiko kazini kwangu hapa. Watumishi wameishiwa hamu ya kazi. Wamekata tamaa.
Mama unaua taifa. Ahadi unatoa lakini hutimizi. Nyongeza ya mshahara haipo.
Mungu anakuona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipi kiwajenge ili mpate akili na kuisusa hiyo ccm yenu?
😂😂😂 asante Kwa kunisema ikhiiii😁Punguzeni kukopa na nyie, hapo ni madeni ndo yanawafanya msifanye kazi. Mlishakaa stand by mpate salary slip mkachukue top up😂
Nasi tutashangilia,...Mwaka ujao MEI MOSI atatoa ahadi Tena!
Ila si madaraja amewapendisheni, kwa sasa kavurugwa na swala la bandari ,Niko kazini kwangu hapa. Watumishi wameishiwa hamu ya kazi. Wamekata tamaa.
Mama unaua taifa. Ahadi unatoa lakini hutimizi. Nyongeza ya mshahara haipo.
Mungu anakuona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waache ujinga sisi wenyewe atujaongezewa kitu na tutaenda na mama adi 2030Niko kazini kwangu hapa. Watumishi wameishiwa hamu ya kazi. Wamekata tamaa.
Mama unaua taifa. Ahadi unatoa lakini hutimizi. Nyongeza ya mshahara haipo.
Mungu anakuona.
Uko sahihi kabisa. Na ni haki yake kudai. Nilichokifanya mimi ni kumkumbusha ty kubadili huo mtazamo wake.ni haki yake mkuu maana huko ndio anaposhinda na kupoteza masaa mengi nchi zilizoendelea mtumishi wa umma ana furaha analipwa mshahara unaoendana na hali ya maisha ya wakati husika ndio maana amna wapigaji ni haki yake kuulizia nyongeza mkuu samahani kama umekwazika
Nitolee uchizi wako hapo mimi sijawafungulia kesi bwashee okAcha shobo,watoto wako wafundishe mwenyewe kamu unajua kila kitu
Watumishi mnapenda kulalamika hamna subra ,hetu tulieni kwanza muwe na subira msiwe wepesi wa kulaumuNi wazi kuwa sasa ni mwaka wa 8 watumishi hawapati shahiki yao ya nyongeza ya mshahara. Matamko mbalimbali hususani kwenye sherehe za Mei Mosi, Rais kupitia majibu ya hotuba ya wafanyakazi alitoa kauli ya kurudisha japo Annual Increment kwa watumishi ifikapo July mwaka mpya wa bajeti.
Tofauti na matarajio ya wengi, hali imekuwa tofauti. Malalamiko na manung'uniko yamekuwepo kila kona. Watumishi wanabeba watu walio wengi; Arican extended families macho yote yapo kwa watumishi.
Mwaka jana hali ilikuwa mbaya na mwaka huu pia hali imekuwa mbaya. Rais wetu, tunajua una mambo mengi, lakini hili la mishahara duni linakupa sifa hasi mbele ya jamii ya watumishi (watendaji) wataifa hili.
Keki ya taifa ni ndogo lakini isiwe yenu tu watembelea V8. 🙏
Acha wajambeTulieni, mlisema JPM mbaya.
Mkasahau kwamba JPM alihakikisha Pesa inatahamn sawa na Maisha.
Japo hakuongeza mshahara, ila tuliishi vizuri kabisa.
Ndiyo maana watoto wao hawasomi kwenye hizo shuleKwamba hakuna anayemjali mwalimu wa Tanganyika nchi iliyojaa rasilimali nyingi kuliko nchi zote Africa!
Lini mwalimu wa Tanganyika atafurahia kazi yake na aifanye kwa amani na ufanisi zaidi!? Huwezi fanya kazi kwa ufanisi wakati una matatizo ya kiuchumi tusidanganywe hapa!
Msubiri hela za kusumamia achaguzi🤣🤣🤣🤣Ni wazi kuwa sasa ni mwaka wa 8 watumishi hawapati shahiki yao ya nyongeza ya mshahara. Matamko mbalimbali hususani kwenye sherehe za Mei Mosi, Rais kupitia majibu ya hotuba ya wafanyakazi alitoa kauli ya kurudisha japo Annual Increment kwa watumishi ifikapo July mwaka mpya wa bajeti.
Tofauti na matarajio ya wengi, hali imekuwa tofauti. Malalamiko na manung'uniko yamekuwepo kila kona. Watumishi wanabeba watu walio wengi; Arican extended families macho yote yapo kwa watumishi.
Mwaka jana hali ilikuwa mbaya na mwaka huu pia hali imekuwa mbaya. Rais wetu, tunajua una mambo mengi, lakini hili la mishahara duni linakupa sifa hasi mbele ya jamii ya watumishi (watendaji) wataifa hili.
Keki ya taifa ni ndogo lakini isiwe yenu tu watembelea V8. 🙏