Black Legend
Senior Member
- Jul 28, 2015
- 103
- 130
Ni wazi kuwa sasa ni mwaka wa 8 watumishi hawapati shahiki yao ya nyongeza ya mshahara. Matamko mbalimbali hususani kwenye sherehe za Mei Mosi, Rais kupitia majibu ya hotuba ya wafanyakazi alitoa kauli ya kurudisha japo Annual Increment kwa watumishi ifikapo July mwaka mpya wa bajeti.
Tofauti na matarajio ya wengi, hali imekuwa tofauti. Malalamiko na manung'uniko yamekuwepo kila kona. Watumishi wanabeba watu walio wengi; Arican extended families macho yote yapo kwa watumishi.
Mwaka jana hali ilikuwa mbaya na mwaka huu pia hali imekuwa mbaya. Rais wetu, tunajua una mambo mengi, lakini hili la mishahara duni linakupa sifa hasi mbele ya jamii ya watumishi (watendaji) wataifa hili.
Keki ya taifa ni ndogo lakini isiwe yenu tu watembelea V8. 🙏
Pia, Soma;
TUCTA: Nyongeza ya Mshahara "Annual increment" Itaanza Kulipwa Mwezi wa 8
Tofauti na matarajio ya wengi, hali imekuwa tofauti. Malalamiko na manung'uniko yamekuwepo kila kona. Watumishi wanabeba watu walio wengi; Arican extended families macho yote yapo kwa watumishi.
Mwaka jana hali ilikuwa mbaya na mwaka huu pia hali imekuwa mbaya. Rais wetu, tunajua una mambo mengi, lakini hili la mishahara duni linakupa sifa hasi mbele ya jamii ya watumishi (watendaji) wataifa hili.
Keki ya taifa ni ndogo lakini isiwe yenu tu watembelea V8. 🙏
Pia, Soma;
TUCTA: Nyongeza ya Mshahara "Annual increment" Itaanza Kulipwa Mwezi wa 8