Freeman Mbowe ajipanga kuuthibitishia Umma kuhusu nyongeza ya mishahara ya Wabunge

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,753
218,343
Taarifa nilizonazo zinaeleza kwamba Freeman Mbowe na timu yake iliyoko bungeni na hazina wanajipanga kuuthibitisha umma kwamba wabunge wa Tanzania wameongezewa mshahara kutoka milioni 13 hadi milioni 18, nyongeza ya milioni 5 kamili.

Ikumbukwe kwamba wafanyakazi wa Tanzania waliongezewa kati ya Tsh elfu 8 na elfu 18, kutegemeana na ngazi ya mshahara, hii ilitokana na ahadi ya nyongeza ya mishahara ya mtukufu rais aliyoitoa kwenye sherehe za Mei Mosi na kupigiwa makofi mengi na wafanyakazi wakiwemo walimu.

Baada ya uthibitisho huo unaopangwa kutolewa wakati wowote kuanzia sasa, unadhani ni hatua gani zifuate?

Ikumbukwe kwamba si mara ya kwanza kwa Bunge la Tanzania kuukanusha ukweli , kuna wakati waliwakusanya wanawake wanaowajua wenyewe na kwa kutumia nyaraka za kufoji wakawaapisha kuwa Wabunge wa Viti maalum wa Chadema , hata hivyo baadaye ikaja kuthibitika kwamba wanawake hao hawakuteuliwa na Chadema .
 
Taarifa nilizonazo zinaeleza kwamba Freeman Mbowe na timu yake iliyoko bungeni na hazina wanajipanga kuuthibitisha umma kwamba wabunge wa Tanzania wameongezewa mshahara kutoka milioni 13 hadi milioni 18, nyongeza ya milioni 5 kamili.

Ikumbukwe kwamba wafanyakazi wa Tanzania waliongezewa kati ya Tsh elfu 8 na elfu 18, kutegemeana na ngazi ya mshahara, hii ilitokana na ahadi ya nyongeza ya mishahara ya mtukufu rais aliyoitoa kwenye sherehe za Mei Mosi na kupigiwa makofi mengi na wafanyakazi wakiwemo walimu.

Baada ya uthibitisho huo unaopangwa kutolewa wakati wowote kuanzia sasa, unadhani ni hatua gani zifuate?
Basi mzee mbowe atakuwa mbunge 2025😎😎
 
Taarifa nilizonazo zinaeleza kwamba Freeman Mbowe na timu yake iliyoko Bungeni na Hazina wanajipanga kuuthibitisha umma kwamba Wabunge wa Tanzania wameongezewa Mshahara kutoka mil 13 hadi mil 18 , nyongeza ya mil 5 kamili

Ikumbukwe kwamba Wafanyakazi wa Tanzania waliongezewa kati ya Tsh elfu 8 na elfu 18 , kutegemeana na ngazi ya Mshahara , hii ilitokana na Ahadi ya Nyongeza ya mishahara ya Mtukufu Rais aliyoitoa kwenye sherehe za Mei Mosi na kupigiwa makofi mengi na wafanyakazi wakiwemo walimu .

Baada ya Uthibitisho huo unaopangwa kutolewa wakati wowote kuanzia sasa unadhani ni hatua gani zifuate ?
Bwanaee tumechokaa!!! Yeye aungane na Lissu kupigania Katiba na Hifadhi zetu. Mbowe aache kumvuta shati Lissu.

Hayo mengine yatakuja tukifanikiwa kila kitu kitakaa vizuri.

Yule Nabii wenu pia kabaki kutukana Mashehe na Wachungaji tu!! Ondoeni uroho wa pesa ili tuendelee kuiamini CHADEMA. Ngedere wakubwa nyie
 
Hivi nani huwa anapitisha hii mishahara (sababu hatuna uwazi / transparency, wala uzalendo na umimi ndio order of the day tutaendelea kutafunwa)

Ni nani alipinga na kutuambia hata ilivyopandishwa mpaka hio 13m ? Ni wangapi walimuunga mkono Zitto (hata kama alikuwa anatafuta publicity) aliposema wabunge wasilipwe Posho katika Vikao ?

Tatio kubwa ni umimi na wale true Man of the People no Longer Exist...., Anyway sometimes siangalii motive kama the end will Justify the Means...
 
Taarifa nilizonazo zinaeleza kwamba Freeman Mbowe na timu yake iliyoko bungeni na hazina wanajipanga kuuthibitisha umma kwamba wabunge wa Tanzania wameongezewa mshahara kutoka milioni 13 hadi milioni 18, nyongeza ya milioni 5 kamili.

Ikumbukwe kwamba wafanyakazi wa Tanzania waliongezewa kati ya Tsh elfu 8 na elfu 18, kutegemeana na ngazi ya mshahara, hii ilitokana na ahadi ya nyongeza ya mishahara ya mtukufu rais aliyoitoa kwenye sherehe za Mei Mosi na kupigiwa makofi mengi na wafanyakazi wakiwemo walimu.

Baada ya uthibitisho huo unaopangwa kutolewa wakati wowote kuanzia sasa, unadhani ni hatua gani zifuate?
Kashapata agenda tayari
 
Wabunge wameongezewa mishahara na Rais baada ya kupeleka pendekezo kwa Spika wa bunge nae spika akapeleka kwa Rais na Rais kaidhinisha ongezeko hilo!

Huu ndio utaratibu wa kawaida maana mwenye funguo za hazina ya nchi na mwenye kuhojiwa kuhusu matumizi yeyote ya pesa yeyote na anaye takiwa kujua kila pesa ni Rais na hakuna jambo la pesa au mshahara unaopitishwa bila Rais kukubali!

Bila shaka pengine watumishi meimosi wataongezewa mshahara na kima cha chini cha mshahara kitakuwa million 4 na bila shaka wabunge wametangulia na wengine wamefata!

Yani kwa wale ambao hawajui kuhesabu yani wabunge wameongezewa million 5 na ushee kwenye mshahara wao ambao haukatwi kodi yeyote yani wabunge hawana mambo ya chama cha wafanyakazi na maana yake pesheni yao imepanda kutoka million miambili na ushee na kwenda million mia nne na ushee…….
Yani kwa muktadha huu Rais amevunja rekodi sidhani kama kuwai kutokea ongezeko kubwa namna hii la mshahara kwa watumishi!

Hivyo wakati wa kuvunja bunge 2025 kila mbunge bila kujali atarudi bungeni au lah atakunja fao nono la Tsh 400,000,000+/=
Yani mwakani ni mwendo wa kupiga sarakasi….
 
Hivi nani huwa anapitisha hii mishahara (sababu hatuna uwazi / transparency, wala uzalendo na umimi ndio order of the day tutaendelea kutafunwa)

Ni nani alipinga na kutuambia hata ilivyopandishwa mpaka hio 13m ? Ni wangapi walimuunga mkono Zitto (hata kama alikuwa anatafuta publicity) aliposema wabunge wasilipwe Posho katika Vikao ?

Tatio kubwa ni umimi na wale true Man of the People no Longer Exist...., Anyway sometimes siangalii motive kama the end will Justify the Means...
Anayepitisha mishahara na matumizi ya pesa yeyote ya nchi ni Rais yani uko jukwaa hili hujui mshika funguo mkuu wa nchi? Hili sio swali…
 
Anayepitisha mishahara na matumizi ya pesa yeyote ya nchi ni Rais yani uko jukwaa hili hujui mshika funguo mkuu wa nchi? Hili sio swali…
Na unaona ni sawa watu kujipitishia mishahara yao na sio waajiri wao ? Kama wananchi ndio waajiri kwanini wasiwe consulted kwenye mambo kama haya.... By the way Ukiona hii Character (?) ujue kwamba ni swali na jibu la swali moja linazaa maelezo na maswali pengine mwisho wa siku kufikia ufumbuzi
 
Ni agenda nzuri kama mwananchi unatakiwa kuunga mkono…unaijua pesheni ya million 400 wewe?
Na Agenda hii came too late angeanza kuipigia chapuo hata wakati yeye anavuta hizo 13m plus Posho na marupurupu
 
Na unaona ni sawa watu kujipitishia mishahara yao na sio waajiri wao ? Kama wananchi ndio waajiri kwanini wasiwe consulted kwenye mambo kama haya.... By the way Ukiona hii Character (?) ujue kwamba ni swali na jibu la swali moja linazaa maelezo na maswali pengine mwisho wa siku kufikia ufumbuzi
Kwa nchi kama Tanzania nyie ni taka taka tuu..umesoma barua ya bunge kumjibu Mbowe😂😂😂
 
Taarifa nilizonazo zinaeleza kwamba Freeman Mbowe na timu yake iliyoko bungeni na hazina wanajipanga kuuthibitisha umma kwamba wabunge wa Tanzania wameongezewa mshahara kutoka milioni 13 hadi milioni 18, nyongeza ya milioni 5 kamili.

Ikumbukwe kwamba wafanyakazi wa Tanzania waliongezewa kati ya Tsh elfu 8 na elfu 18, kutegemeana na ngazi ya mshahara, hii ilitokana na ahadi ya nyongeza ya mishahara ya mtukufu rais aliyoitoa kwenye sherehe za Mei Mosi na kupigiwa makofi mengi na wafanyakazi wakiwemo walimu.

Baada ya uthibitisho huo unaopangwa kutolewa wakati wowote kuanzia sasa, unadhani ni hatua gani zifuate?

Ikumbukwe kwamba si mara ya kwanza kwa Bunge la Tanzania kuukanusha ukweli , kuna wakati waliwakusanya wanawake wanaowajua wenyewe na kwa kutumia nyaraka za kufoji wakawaapisha kuwa Wabunge wa Viti maalum wa Chadema , hata hivyo baadaye ikaja kuthibitika kwamba wanawake hao hawakuteuliwa na Chadema .
ukiwa huna ajira, huna hela, ni mtu mzima na halafu ukawa na gubu flani linakufurukuta sana, kama hujafunga kwaresma au ramadhani, you are likely to commit many and more mistake as possible bila kupata faida yoyote ispokua hasara na kazi ya kujieleza sanaaa🐒
 
Mshahara wa mbunge wa zaidi ya bilioni moja kila mwaka (miezi 12) ktk kikokotoo:

Mchanganuo wa mshahara wa miaka mitano wa mbunge ni Bilioni 1 na milioni themanini :

Shilingi 18,000,000 x miezi 12 = 216,000,000

Shilingi 216,000,000 × miaka 5 =1,080,000,000

  • Bado hapo pia anapokea allowance za vikao vya bajeti
  • Ziara za mafunzo Dubai, India n.k
  • Vikao vya Kamati za Kudumu za Bunge PAC, LAAC, Mambo ya Nje na ulinzi usalama n.k
  • Marupurupu ya mkopo wa gari n.k
  • Bima ya Afya kwa mbunge hospitali VIP Class n.k
  • Pensheni ya mkupuo akimaliza ubunge miaka
 
Hizi wala si tuhuma ni maelezo tu yanayoelekezwa kwa wananchi , unawezaje kulituhumu bunge la chama kimoja ?
Akili yangu inanituma kusema, Mbowe kama wanasiasa wengi tu, hutoa madai au shutuma ili tu, wachochee migogoro.
Wanapofanya hivyo, wanavutia na ku score point za kisiasa.
Alichokifanya mbowe, uwe ni ukweli au lah(bunge limekanusha madai yake) naweza kusema, ametumia madai au shutuma hizo kama mkakati wa kupata kiki ya kisiasa na kubandikwq kwenye vichwa vya habari-kwa kuchochea mgogoro.

Sasa unaniuliza maswali ambayo ulitakiwa umuulize bosi wako, ili iweje bwashee?
 
Back
Top Bottom