Simple and clear, sio sawa!
Kwa mujibu wa katiba yetu, Bunge linaundwa na pande mbili... Wabunge na Rais.
Utekelezaji wa mambo unategemea pande hizi mbili... Bunge na Rais
Ni kutokana na hilo, ndio maana hata kama serikali imejiridhisha pasipo na shaka yoyote kwamba tukiwa na sera fulani baada ya mwaka Tanzania itakuwa kama Brunei; bado Rais hawezi kuwatuma watu wake waitengeneze sera husika na yeye kuipitisha bali LAZIMA iende kwanza bungeni!
Na kwavile Bunge linaundwa na Wabunge na Rais, hata kama Bunge limekubaliana kwa 100% kupitisha muswada husika, lazima urudi kwa Rais aidhinishe kuwa sheria!
Chukulia hata Mamlaka ya Rais kutangaza hali ya vita... akishatoa tangazo tu, inabidi Bunge likutane ndani ya Siku 14 kujadili tangazo la rais! Na hapo Bunge linaweza kukubali au kukataa azimio la rais la kuiingiza nchi vitani!
Kwa kungalia mfano huo tu, utaona ni namna gani si Bunge wala Rais mwenye mamlaka ya kutekeleza jambo peke yake! Na tunaposema Bunge sio Spika wa Bunge bali Wabunge!
So, ukichukua issue ya jana kuhusu agizo lake kwa Ndugai... Rais hana mamlaka hayo kwa sababu suala la posho na mishahara ya Wabunge halipo kwenye Mamlaka ya Rais kwa mujibu wa katiba yetu.
Wacha kwanza nitafute Ibara husika!!
Kwa mujibu wa katiba yetu, Bunge linaundwa na pande mbili... Wabunge na Rais.
Utekelezaji wa mambo unategemea pande hizi mbili... Bunge na Rais
Ni kutokana na hilo, ndio maana hata kama serikali imejiridhisha pasipo na shaka yoyote kwamba tukiwa na sera fulani baada ya mwaka Tanzania itakuwa kama Brunei; bado Rais hawezi kuwatuma watu wake waitengeneze sera husika na yeye kuipitisha bali LAZIMA iende kwanza bungeni!
Na kwavile Bunge linaundwa na Wabunge na Rais, hata kama Bunge limekubaliana kwa 100% kupitisha muswada husika, lazima urudi kwa Rais aidhinishe kuwa sheria!
Chukulia hata Mamlaka ya Rais kutangaza hali ya vita... akishatoa tangazo tu, inabidi Bunge likutane ndani ya Siku 14 kujadili tangazo la rais! Na hapo Bunge linaweza kukubali au kukataa azimio la rais la kuiingiza nchi vitani!
Kwa kungalia mfano huo tu, utaona ni namna gani si Bunge wala Rais mwenye mamlaka ya kutekeleza jambo peke yake! Na tunaposema Bunge sio Spika wa Bunge bali Wabunge!
So, ukichukua issue ya jana kuhusu agizo lake kwa Ndugai... Rais hana mamlaka hayo kwa sababu suala la posho na mishahara ya Wabunge halipo kwenye Mamlaka ya Rais kwa mujibu wa katiba yetu.
Wacha kwanza nitafute Ibara husika!!