Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kazunguka? katiba imekuambia nchi iko na wakuu wa nchi wangapi? basi kama ni mmoja anao huo uwezo.mbn mnazunguka sana wazee? toen jibu tu ikiwa ni sawa raisi kumuagiza spika afanye maamuzi flani na km ni sawa je pia naweza kuiagIza mahakama ifanye maamuzi flani maana nao ni mhimili km bunge
itafutwe kwa udi na uvumba!Plan B ipi Mkuu?
hahahaa kaazi kwelikweliNani kazunguka? katiba imekuambia nchi iko na wakuu wa nchi wangapi? basi kama ni mmoja anao huo uwezo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, Bunge na Mahakama vimewekwa mfukoni. Spika hana ubavu wa kujibu chochote, bali kutekeleza MAAGIZO tu.Ingependeza kama speaker wa bunge amjibu rais kama alivyofanya speaker wa Uganda juzi kwa rais Museven ili kuonesha nguvu ya bunge kama mhimili unaojitegemea na wenye maamuzi yake so rais auheshimu.
CAG alishasema "bunge dhaifu"Wakuu, ile dhana ya uwepo wa Mihimili Mitatu inayojitegemea ni DANGANYA TOTO TU. Magufuli amedhihirisha hilo leo kwa kuagiza Ndugai asilipe posho za Wabunge walioamua kujiweka "karantini".
Kama Rais ana mamlaka ya kuliingilia Bunge, vipi kuhusu Mahakama? Atashindwaje kutoa maagizo yanayofanana na hayo kwenye Tume yake ya Uchaguzi hapo Oktoba?
My take: Tuna utawala wa Mkono wa Chuma, tusitarajie Uchaguzi Huru hapo Oktoba mwaka huu.
Tofautisha Posho na mshahara,posho ni sitting allowance inalipwa kwa wahudhuriaji tu ikiwa ni gharama ya chakula malazi usafiri nk.Tafuta kanuni za bunge sisemi assumptions hapaKama ni automatic, basi Lissu asinge dai posho zake wakati alijua hakuwepo bungeni! Vitu vingine don't just assume.
Rudia kusoma ulichoandika.Tuliwaasa Chadema
Wabunge wa Chadema wakichaguliwa na Watanzania wakawawakilishe bungeni
Ila Mbowe kwa ubabe wake bila kushirikiana na Spika amewakataza wabunge wa Chadema wasihudhurie vikao
Kwanza ieleweke Mbowe huwakata wabunge wake zaidi ya milion kwenye mshahara wa mbunge
Leo anawakataza wasichukue hata posho ?
Mbowe ajitathimini akae pembeni akili imefika kikomo
Mkuu sijui umenielewa lakini naposema hea of state and government.Nimekwambia kuwa kwa nchi yoyote inayojidai kuwa ina utawala bora, ni lazima pawepo na "separation of power" katika mihimili 3 mikuu, katika kile kinachoitwa "check and balance"
hivi ni kwanini mnakuwa na mahaba namna hii kwa Mfalme wenu? Kuna siri gani?
Unakuwa hauko rational una lazimisha kitu .umeongea point haihitaji attachment.ndo yale ya wabunge wananchi wamenituma Mara sisi watu wa mtwara etcSasa unasemaje Mimi nimiosea kwa kijumlisha wananchi, wakati huo wewe pia ukiniunga mkono kwa mawazo yangu??
OkMihimili inaweza kuwa sawa outwardly lakini inwardly kuna mmoja umejichimbia zaidi.
Sasa ndio tunajua upi umejichimbia zaidi aiseh