Wabunge 19 waliofukuzwa CHADEMA wanampa wakati mgumu sana Spika wa Bunge

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Jul 21, 2021
14,304
29,834
Tunaweza kuona kama huyu spika ana kiburi lakini ukweli nikuwa moja ya mzigo mzito unaomtoa jasho ni huu msala aliotelekezewa kutoka kwa mrithi wake.

Anapitia wakati mgumu sana huku akijua fika kinachofanyika ni hila mbovu za serikali, japo kuendelea kuwakumbatia kwa maelekezo kutoka juu - Rais, inamuharibia sana status aliyonayo.

Ebu twende Sawa : iko hivi, Hili swala la hawa wabunge fake haliko mikononi mwa bunge, mahakama wala chadema Bali liko mikononi mwa Samia, yani piga ua kama Samia hajatoa amri kwa Katiba yetu hii ngoma kuchomoa ni ngumu.

Yaliyomkuta job ndugai madhara yake ndio haya, spika anaogopa kutoa maamuzi magumu maana akienda kinyume na Rais atazongwa mpaka na mjumbe wa nyumba kumi, narudia tena, hawa wabunge fake niwamama Samia over.

Tulia Ackson anakosa hata usingizi, hii ngoma msiichukulie poa, ivi aendelee kuwabeba ili iweje??, wanampa nini??, ukweli nikuwa haya makapi anatamani kuyatapika mda wowote ule maana kwanza wanaharibu bunge tu hakuna cha maana tena pale walipo.

Hata mahakama Leo itangaze rasmi kujiridhisha kuwa watu hawa sio wanachama wa chadema bado tu huyu spika atapiga simu kwa Samia apewe go ahead, kama ms president akisema usiwafukuze mimi nakwambia hawatatoka bungeni.

Tuachane na maelezo ya hapo juu sasa naomba tujikite kwenye mambo ya msingi :Hivi ni kweli kabisa watanzania wote tumeshindwa na hawa wanawake 19. Can you imagine makerere tunayopiga mitandaoni na bado tunaishi nao lakini wanaendelea kama kawaida kuingia bungeni huku wakitung'ong'a.

Hizi ni fedheha kama taifa maana ninavyojua general principle ya uwajibikaji na uwajibishwaji ipo mikononi mwa hii mihimili mitatu yaani bunge serikali na mahakama, endapo wakashindwa basi mamlaka kuu hurudishwa kwa wananchi ili sisi tuamue tunafanyaje.

Mwaka 2021 uchaguzi mkuu wa Uganda bobi wine alishtaki mahakamani serikali ya Museveni na tume ya uchaguzi ya Uganda kwa kupora kura za wananchi lakini alipogundua mahakama sio ya Uganda Bali niyamseveni, aliamua kulileta swala hilo kwa wananchi nakusema "I bring this to the Court of the people" akiamini kuwa kama justice imekuwa inafinywa mahakamani basi generally no option zaidi ya wananchi wenyewe kuamua wakae kimya au zipigwe.

Rais wa zamani wa marekani sir Jefferson aliwahi kusema "when injustice become law resistance becomes duty", Sasa sisi hatuwezi kuona sheria zinavunjwa tena sio sheria, ni Katiba inavunjwa halafu tuendelee kukaa kimya hicho kitu hakipo. Hili swala litakuja kulipuka moto wa petrol cha mtoto, maana wanalichukulia simple sana halafu wasitarajie kuwa kutaibuka kundi kubwa la watu, wala haiko hivyo Bali mtu mmoja kuweka maisha yake rehani ni jambo la dakika sifuri tu hapo nadhani watakuja kuheshimu utawala wa sheria.

Tunacholalamika wananchi sio posho wanazochukua, sisi jaziba yetu ni kuona Katiba ya nchi inasiginwa waziwazi. Hapa ndoumuhimu wa Katiba mpya unaonekana maana nchi ambazo Katiba ni stable hujuma za hawa wabunge fake zingeondoka mpaka na Rais nawangeozea jera.

Nchi za wenzetu huko moja ya kesi ngumu kuchomoa ni kuvunja Katiba ya nchi ikifuatia ukwepaji wa kodi jambo ambalo ni contrary kwenye nchi zetu. Watanzania tutaamka tu kutoka usingizini endeleeni kutuwangia.
 
Tunaweza kuona kama huyu spika ana kiburi lakini ukweli nikuwa moja ya mzigo mzito unaomtoa jasho ni huu msala aliotelekezewa kutoka kwa mrithi wake. Anapitia wakati mgumu sana huku akijua fika kinachofanyika ni hila mbovu za serikali, japo kuendelea kuwakumbatia kwa maelekezo kutoka juu - Rais, inamuharibia sana status aliyonayo.

Ebu twende Sawa : iko hivi, Hili swala la hawa wabunge fake haliko mikononi mwa bunge, mahakama wala chadema Bali liko mikononi mwa Samia, yani piga ua kama Samia hajatoa amri kwa Katiba yetu hii ngoma kuchomoa ni ngumu. Yaliyomkuta job ndugai madhara yake ndio haya, spika anaogopa kutoa maamuzi magumu maana akienda kinyume na Rais atazongwa mpaka na mjumbe wa nyumba kumi, narudia tena, hawa wabunge fake niwamama Samia over.

Tulia Ackson anakosa hata usingizi, hii ngoma msiichukulie poa, ivi aendelee kuwabeba ili iweje??, wanampa nini??, ukweli nikuwa haya makapi anatamani kuyatapika mda wowote ule maana kwanza wanaharibu bunge tu hakuna cha maana tena pale walipo. Hata mahakama Leo itangaze rasmi kujiridhisha kuwa watu hawa sio wanachama wa chadema bado tu huyu spika atapiga simu kwa Samia apewe go ahead, kama ms president akisema usiwafukuze mimi nakwambia hawatatoka bungeni.

Tuachane na maelezo ya hapo juu sasa naomba tujikite kwenye mambo ya msingi :Hivi ni kweli kabisa watanzania wote tumeshindwa na hawa wanawake 19. Can you imagine makerere tunayopiga mitandaoni na bado tunaishi nao lakini wanaendelea kama kawaida kuingia bungeni huku wakitung'ong'a. Hizi ni fedheha kama taifa maana ninavyojua general principle ya uwajibikaji na uwajibishwaji ipo mikononi mwa hii mihimili mitatu yaani bunge serikali na mahakama, endapo wakashindwa basi mamlaka kuu hurudishwa kwa wananchi ili sisi tuamue tunafanyaje.

Mwaka 2021 uchaguzi mkuu wa Uganda bobi wine alishtaki mahakamani serikali ya Museveni na tume ya uchaguzi ya Uganda kwa kupora kura za wananchi lakini alipogundua mahakama sio ya Uganda Bali niyamseveni, aliamua kulileta swala hilo kwa wananchi nakusema "I bring this to the Court of the people" akiamini kuwa kama justice imekuwa inafinywa mahakamani basi generally no option zaidi ya wananchi wenyewe kuamua wakae kimya au zipigwe.

Rais wa zamani wa marekani sir Jefferson aliwahi kusema "when injustice become law resistance becomes duty", Sasa sisi hatuwezi kuona sheria zinavunjwa tena sio sheria, ni Katiba inavunjwa halafu tuendelee kukaa kimya hicho kitu hakipo. Hili swala litakuja kulipuka moto wa petrol cha mtoto, maana wanalichukulia simple sana halafu wasitarajie kuwa kutaibuka kundi kubwa la watu, wala haiko hivyo Bali mtu mmoja kuweka maisha yake rehani ni jambo la dakika sifuri tu hapo nadhani watakuja kuheshimu utawala wa sheria.

Tunacholalamika wananchi sio posho wanazochukua, sisi jaziba yetu ni kuona Katiba ya nchi inasiginwa waziwazi. Hapa ndoumuhimu wa Katiba mpya unaonekana maana nchi ambazo Katiba ni stable hujuma za hawa wabunge fake zingeondoka mpaka na Rais nawangeozea jera. Nchi za wenzetu huko moja ya kesi ngumu kuchomoa ni kuvunja Katiba ya nchi ikifuatia ukwepaji wa kodi jambo ambalo ni contrary kwenye nchi zetu. Watanzania tutaamka tu kutoka usingizini endeleeni kutuwangia.
Bado Pana utawala wa Sheria?

Wamepata wapi mamlaka ya kudharau KATIBA ya Nchi?

Mahakama ikidharauliwa na Mihimili mingine wananchi wako salama?

Kuelekea kuandika KATIBA mpya, tusirudie Kumpa madaraka makubwa kiasi hiki Rais.
 
Bado Pana utawala wa Sheria?

Wamepata wapi mamlaka ya kudharau KATIBA ya Nchi?

Mahakama ikidharauliwa na Mihimili mingine wananchi wako salama?

Kuelekea kuandika KATIBA mpya, tudirudie Kumpa madaraka makubwa kiasi hiki Rais.
Nchi yoyote viongozi madikiteta wote hutolewa na wananchi, hawa dawa yao ni sisi watanzania refer ~Sudan, Zimbabwe, ivory coast, Mali, Libya nakwingineko, jeshi huwa linakuja kusaidia tu baada ya wananchi kuvuja damu za kutiririka barabarani.
 
Nchi yoyote viongozi madikiteta wote hutolewa na wananchi, hawa dawa yao ni sisi watanzania refer ~Sudan, Zimbabwe, ivory coast, Mali, Libya nakwingineko, jeshi huwa linakuja kusaidia tu baada ya wananchi kuvuja damu za kutiririka barabarani.
No, sie tumelivuka Hilo,

Tunaanza mchakato wa KATIBA mpya.Rasimu ya Warioba inarudi mezani.

Tusisahau hili ktk Katiba liwe fundisho. Tulifika pabaya sana kama nchi.

Nashauri pia Nchi iwe tayari kuongozwa na kiongozi wa JINSIA Ile baada ya miaka 300 ijayo. Amen
 
Samia ndie alikuwa msaidizi wa Magufuli wakati hao wanawake 19 wakienda bungeni isivyo halali, sijui walikula kiapo gani kati yake na Magufuli kwamba watawalinda hao wanawake kwa nguvu zao zote.

Ajabu nashangaa bado Mbowe ana matumaini na hayo maridhiano yake na Samia, anakwenda kwenye kikao kulalamikia juu ya uvunjifu wa sheria, halafu bado wanaendelea kuzivunja hizo sheria mbele ya macho yake, halafu nae bado anatoka kwenye hicho kikao akitabasamu!.
 
Mwandishi umewapa Ole,lakini wajinga miongoni mwetu ama mwao hawatakuelewa .Nyakati zitasema na wao watalia na kusaga meno.Haiwezekani katiba na sheria ziwe za kufunga wananchi halafu Wanaojiita wakubwa wakivunja katiba na sheria Huku majaji wa mahakama wakiwaangalia. Wao ni nani? Pale mjengoni ukiwa mtu unaetafakari kuna mambo ya aibu aibu yakishabikiwa na wanaoitwa watunga sheria. Hii si sawa!
 
Eti Spika anakosa Usingizi issue ya kina Halima Mdee

Mmesahau Mbunge wa Ndanda Chadema aliunga Mkono juhudi akajivua uanachama wa Chadema na baada ya miezi kadhaa akaitwa Bungeni kuendelea na Bunge

mmesahau Mayor Jacob aliamka Asubuhi akakutwa kavuliwa Uanachama wa Chadema bila ya kujulikana nani kamvua na hatimae akapoteza U Meya
 
Leo umeandka vitu nyeti sana!
Hizo DHARAU wanazoonyesha zitawagharimu.

Mfano mzuri ni baadhi ya viongozi walioaminiwa na Wananchi wakati Ule mf Lipumbaaaa, zuberi, lyatongaa hata watoto wa shule ya msingi wanaweza wasiwasikize wakihutubia sasa.
 
Mpigie sim DJ muulize anasemaje kuhusu hai 19 sababu aliitwa na mama muulize walikubaliana nini.

Asali tamu sana!.
 
Tunaweza kuona kama huyu spika ana kiburi lakini ukweli nikuwa moja ya mzigo mzito unaomtoa jasho ni huu msala aliotelekezewa kutoka kwa mrithi wake.

Anapitia wakati mgumu sana huku akijua fika kinachofanyika ni hila mbovu za serikali, japo kuendelea kuwakumbatia kwa maelekezo kutoka juu - Rais, inamuharibia sana status aliyonayo.

Ebu twende Sawa : iko hivi, Hili swala la hawa wabunge fake haliko mikononi mwa bunge, mahakama wala chadema Bali liko mikononi mwa Samia, yani piga ua kama Samia hajatoa amri kwa Katiba yetu hii ngoma kuchomoa ni ngumu.

Yaliyomkuta job ndugai madhara yake ndio haya, spika anaogopa kutoa maamuzi magumu maana akienda kinyume na Rais atazongwa mpaka na mjumbe wa nyumba kumi, narudia tena, hawa wabunge fake niwamama Samia over.

Tulia Ackson anakosa hata usingizi, hii ngoma msiichukulie poa, ivi aendelee kuwabeba ili iweje??, wanampa nini??, ukweli nikuwa haya makapi anatamani kuyatapika mda wowote ule maana kwanza wanaharibu bunge tu hakuna cha maana tena pale walipo.

Hata mahakama Leo itangaze rasmi kujiridhisha kuwa watu hawa sio wanachama wa chadema bado tu huyu spika atapiga simu kwa Samia apewe go ahead, kama ms president akisema usiwafukuze mimi nakwambia hawatatoka bungeni.

Tuachane na maelezo ya hapo juu sasa naomba tujikite kwenye mambo ya msingi :Hivi ni kweli kabisa watanzania wote tumeshindwa na hawa wanawake 19. Can you imagine makerere tunayopiga mitandaoni na bado tunaishi nao lakini wanaendelea kama kawaida kuingia bungeni huku wakitung'ong'a.

Hizi ni fedheha kama taifa maana ninavyojua general principle ya uwajibikaji na uwajibishwaji ipo mikononi mwa hii mihimili mitatu yaani bunge serikali na mahakama, endapo wakashindwa basi mamlaka kuu hurudishwa kwa wananchi ili sisi tuamue tunafanyaje.

Mwaka 2021 uchaguzi mkuu wa Uganda bobi wine alishtaki mahakamani serikali ya Museveni na tume ya uchaguzi ya Uganda kwa kupora kura za wananchi lakini alipogundua mahakama sio ya Uganda Bali niyamseveni, aliamua kulileta swala hilo kwa wananchi nakusema "I bring this to the Court of the people" akiamini kuwa kama justice imekuwa inafinywa mahakamani basi generally no option zaidi ya wananchi wenyewe kuamua wakae kimya au zipigwe.

Rais wa zamani wa marekani sir Jefferson aliwahi kusema "when injustice become law resistance becomes duty", Sasa sisi hatuwezi kuona sheria zinavunjwa tena sio sheria, ni Katiba inavunjwa halafu tuendelee kukaa kimya hicho kitu hakipo. Hili swala litakuja kulipuka moto wa petrol cha mtoto, maana wanalichukulia simple sana halafu wasitarajie kuwa kutaibuka kundi kubwa la watu, wala haiko hivyo Bali mtu mmoja kuweka maisha yake rehani ni jambo la dakika sifuri tu hapo nadhani watakuja kuheshimu utawala wa sheria.

Tunacholalamika wananchi sio posho wanazochukua, sisi jaziba yetu ni kuona Katiba ya nchi inasiginwa waziwazi. Hapa ndoumuhimu wa Katiba mpya unaonekana maana nchi ambazo Katiba ni stable hujuma za hawa wabunge fake zingeondoka mpaka na Rais nawangeozea jera.

Nchi za wenzetu huko moja ya kesi ngumu kuchomoa ni kuvunja Katiba ya nchi ikifuatia ukwepaji wa kodi jambo ambalo ni contrary kwenye nchi zetu. Watanzania tutaamka tu kutoka usingizini endeleeni kutuwangia.
Sir Jefferson?
Amandla..
 
Tunaweza kuona kama huyu spika ana kiburi lakini ukweli nikuwa moja ya mzigo mzito unaomtoa jasho ni huu msala aliotelekezewa kutoka kwa mrithi wake.

Anapitia wakati mgumu sana huku akijua fika kinachofanyika ni hila mbovu za serikali, japo kuendelea kuwakumbatia kwa maelekezo kutoka juu - Rais, inamuharibia sana status aliyonayo.

Ebu twende Sawa : iko hivi, Hili swala la hawa wabunge fake haliko mikononi mwa bunge, mahakama wala chadema Bali liko mikononi mwa Samia, yani piga ua kama Samia hajatoa amri kwa Katiba yetu hii ngoma kuchomoa ni ngumu.

Yaliyomkuta job ndugai madhara yake ndio haya, spika anaogopa kutoa maamuzi magumu maana akienda kinyume na Rais atazongwa mpaka na mjumbe wa nyumba kumi, narudia tena, hawa wabunge fake niwamama Samia over.

Tulia Ackson anakosa hata usingizi, hii ngoma msiichukulie poa, ivi aendelee kuwabeba ili iweje??, wanampa nini??, ukweli nikuwa haya makapi anatamani kuyatapika mda wowote ule maana kwanza wanaharibu bunge tu hakuna cha maana tena pale walipo.

Hata mahakama Leo itangaze rasmi kujiridhisha kuwa watu hawa sio wanachama wa chadema bado tu huyu spika atapiga simu kwa Samia apewe go ahead, kama ms president akisema usiwafukuze mimi nakwambia hawatatoka bungeni.

Tuachane na maelezo ya hapo juu sasa naomba tujikite kwenye mambo ya msingi :Hivi ni kweli kabisa watanzania wote tumeshindwa na hawa wanawake 19. Can you imagine makerere tunayopiga mitandaoni na bado tunaishi nao lakini wanaendelea kama kawaida kuingia bungeni huku wakitung'ong'a.

Hizi ni fedheha kama taifa maana ninavyojua general principle ya uwajibikaji na uwajibishwaji ipo mikononi mwa hii mihimili mitatu yaani bunge serikali na mahakama, endapo wakashindwa basi mamlaka kuu hurudishwa kwa wananchi ili sisi tuamue tunafanyaje.

Mwaka 2021 uchaguzi mkuu wa Uganda bobi wine alishtaki mahakamani serikali ya Museveni na tume ya uchaguzi ya Uganda kwa kupora kura za wananchi lakini alipogundua mahakama sio ya Uganda Bali niyamseveni, aliamua kulileta swala hilo kwa wananchi nakusema "I bring this to the Court of the people" akiamini kuwa kama justice imekuwa inafinywa mahakamani basi generally no option zaidi ya wananchi wenyewe kuamua wakae kimya au zipigwe.

Rais wa zamani wa marekani sir Jefferson aliwahi kusema "when injustice become law resistance becomes duty", Sasa sisi hatuwezi kuona sheria zinavunjwa tena sio sheria, ni Katiba inavunjwa halafu tuendelee kukaa kimya hicho kitu hakipo. Hili swala litakuja kulipuka moto wa petrol cha mtoto, maana wanalichukulia simple sana halafu wasitarajie kuwa kutaibuka kundi kubwa la watu, wala haiko hivyo Bali mtu mmoja kuweka maisha yake rehani ni jambo la dakika sifuri tu hapo nadhani watakuja kuheshimu utawala wa sheria.

Tunacholalamika wananchi sio posho wanazochukua, sisi jaziba yetu ni kuona Katiba ya nchi inasiginwa waziwazi. Hapa ndoumuhimu wa Katiba mpya unaonekana maana nchi ambazo Katiba ni stable hujuma za hawa wabunge fake zingeondoka mpaka na Rais nawangeozea jera.

Nchi za wenzetu huko moja ya kesi ngumu kuchomoa ni kuvunja Katiba ya nchi ikifuatia ukwepaji wa kodi jambo ambalo ni contrary kwenye nchi zetu. Watanzania tutaamka tu kutoka usingizini endeleeni kutuwangia.

Hawa kina dada watoke au wasitoke Bungeni, hakuna impact yoyote kwa Mtanzania wa kawaida. Hakuna mwanasiasa ambaye yuko kwenye siasa kwa ajili ya kupigania maslahi ya nchi hii. Haijalishi ni vocal kiasi gani; wote wanasukumwa na maslahi yao na ya familia zao.

Tukubali tusikubali, wanasiasa wote ni egocentric. Kuhangaika na wanasiasa 19 kati ya mamia (kama sio maelfu) ya wanasiasa ambao hawana manufaa yoyote kwa taifa letu ni kupoteza muda. Unahangaika kuwatoa hawa ili umweke nani wa maana? Wanasiasa waliomo na wasiokuwemo Bungeni wote ni useless!
 
Back
Top Bottom