Lambardi
Platinum Member
- Feb 7, 2008
- 20,218
- 24,550
Mlalamikaji ni Jamhuri......huyo sasa Jamhuri sikia tuuuuuNa mlalamikaji ni nani?
Mlalamikaji ni Jamhuri......huyo sasa Jamhuri sikia tuuuuuNa mlalamikaji ni nani?
Hoja ni ...nani alikuwa nyuma yake?Sasa kweli hili ni jambo la kujivunia kweli?
mbona hata dar kuna waamerika wanaiona ni kijiji cha wavuvi kilichopo pwani ya bahari ya hindi?Umesikia mwabukusi kasema Mbeya ni Kijiji kikubwa? Kila siku tunasema Mbeya sio jiji.
Bado Maria Sarungi, mange kimambi ,Hilda Newton,sativa n.k wakikamatwa haina hata sababu ya kuwafikisha mahakamaniSasa kweli hili ni jambo la kujivunia kweli?
Tusubiri afike Tz kwanza kama itathibitishwa na Dr kuwa hana akili sawa.ila vinginevyo kutojua sheria haikupi ithibati ya kufanya kosaSerikali ya hovyo inakamata Hadi wagonjwa wa akili
mbona hata dar kuna waamerika wanaiona ni kijiji cha wavuvi kilichopo pwani ya bahari ya hindi?
Hesabu shule zote halafu piga budget ya madawati pekee!
HAKUNA ANAYEPENDA HIYO HALI!
Kwa mange sahau ilo jambo never ata wahusika wenyewe wanalifahamu ilo yani umteke mtu kwenye ardhi ya USA unajitaka mzee na ata kama ukifanikiwa balaa utakalokuwa umelianzisha siyo la mchezoBado Maria Sarungi, mange kimambi ,Hilda Newton,sativa n.k wakikamatwa haina hata sababu ya kuwafikisha mahakamani
Hapo ndipo inaposhindwa kesi, Toka 30/07/2026 hadi Sasa hajapelekwa mahakamani!Serikali ya hovyo inakamata Hadi wagonjwa wa akili
Ili afanjweje?Kama yupo Kwenye Mikono Salama Haina sababu ya kufikishwa Mahakamani.
Ila alishaombaga msamaha
Mbona inaonekana iling'olewa?Misplaced priorities, nchi haina maji safi na salama , shule hazina madawati wala miundombinu unrafiki ya kusomea wanafunzi mnachoma maelfu ya dollar kwenda kuhonga vibaka na magenge ya nje ya nchi kuua watanzania ambao wanapishana mawazo na nyie.View attachment 3644043View attachment 3644043
Idiots.
Adhabu ya Msaliti inafahamika Duniani koteIli afanjweje?
We sio mtu ni muuaji!Adhabu ya Msaliti inafahamika Duniani kote
Mbona sijakuua weweWe sio mtu ni muuaji!