LIGEDENGE 1
Senior Member
- Nov 15, 2013
- 184
- 29
mastableshen ndiyo ugonjwa gani tena huo,au ni huo mpya unaoua kuliko ukimwi?
Supa gluu ni kiboko ya tatizo lako, ukitumia hiyo hakika utakuwa umemaliza kabisa hiyo kadhia.
Mweleweshe vizuri hiyo super glue anaifanyaje ili imsaidie
Utaelewa tu hata kwa twisheni.
Na wewe unataka kuacha mastablesheni?
nifundishe basi tena kwa vitendo
Kunakipindi liacha kwa muda wa siku 7o baada ya kuombewa. Sasa wiki2 zilizopita nilitoka safar kufika nyumban nikaenda kutafuta picha ya x. Ndio natumia kufanyia.nachukizwa lkn najikuta nafanya na muda mfup nimetoka kufanya.niacheje jaman?
Kunakipindi liacha kwa muda wa siku 7o baada ya kuombewa. Sasa wiki2 zilizopita nilitoka safar kufika nyumban nikaenda kutafuta picha ya x. Ndio natumia kufanyia.nachukizwa lkn najikuta nafanya na muda mfup nimetoka kufanya.niacheje jaman?
ndg, 1 nakushauri achakabisa izo picha za ngono,ndani ya picha izo ipo roho ya ushawishi ya zinaa, 2 mungu hapendezwi na vitendo vya vinaa ya kufanya au kutizama, hayo yote uratibiwa na shetani kuwapoteza watu wa mungu, 3 mpe yesu maisha yako awe bwana na kiongozi wa maisha yako,sisi nasi tulipitia hayo lakini baada ya kumpa yesu maisha alitusaidia kushinda yote, watu wengi uenda kuombewa sikwamba wanamtaka yesu lahasha hawamtaki ila wanapenda kuombewa wakishapata walichotaka wanamwacha yesu, usione watu wamejazana kwenye mikutano ya injili na kuudhuria kwenye maombezi, mungu akikuonyesha wanayotaka utashangaa, wengine wanaomba wazae na waume za watu,wengine watembee na wake za watu, sasa hapo yesu yupo? au ata kukubalia? kwaiyo yawezekana na wewe hukumfuata yesu kwa kuokoka,bali kwa shida ya punyetotu alafu uendelee na mambo yako, mimi nilimpa yesu maisha yangu mwaka 2008 kwa kweli yesu amenisaidia sana maishani kaniondolea vitu vingi sana ambavyo nilikua navyo,na sasa mimi ni mpya naishi maisha matakatifu na yenye kumpendeza bwana, mpe yesu moyo wako atawale atakusaidia amen,