Naombeni ushauri wenu wakuu, me ni kijana wa mika 20 sasa but nimeshndwa kutmza hata wiki bila ya kutopga punyeto. Nifanyeje ili niache hii tabia mbaya. Nisaidieni plz.
tafuta GF hayo ndo mambo ya colleage boys
Ulaaniwe, ufe una faida gani duniani, uchafu mtupu! Ulaaniwe tena na tena, shetani mkubwa Lusiferi mwana haramu!
JAMANI JAMANI LAANA NA TOPIC MBONA HAVIHUSIANI HAPA?
Ndugu yangu wewe uliyetukana kwa mwenze2 huyu anayehitaji msaada Tafadhari mwombe msamaha Mungu wako, na mwenzetu huyu kwani hukupaswa kusema maneno mazito ya kumwombea kifo mwenzio. USIHUKUMU KABLA HUJAHUKUMIWA.
Tafadhari fanya hivyo ikiwezekana mbele ya wanajamii na mbele za Mungu wako.
Ulaaniwe, ufe una faida gani duniani, uchafu mtupu! Ulaaniwe tena na tena, shetani mkubwa Lusiferi mwana haramu!
usijione malaika....wala ajaomba matusi
Ulaaniwe, ufe una faida gani duniani, uchafu mtupu! Ulaaniwe tena na tena, shetani mkubwa Lusiferi mwana haramu!
Hapana huyu mtu ni hatari kesho atabaka watoto. afadhali afe, ana faida gani ! dunia ya watoto wadogo ipone. Atabaka! Kesho ataamua kufanya zaidi ya huo upuuzi!
Ulaaniwe, ufe una faida gani duniani, uchafu mtupu! Ulaaniwe tena na tena, shetani mkubwa Lusiferi mwana haramu!
Anahitaji ushauri, siyo laana hatupo duniani kumwombea mtu laana, ila kubadilisha mtu kutoka kufanya mabaya kufanya mema.
NARUDIA TENA KWA HEKIMA, NAOMBA UMWOMBE MSAMAHA MUNGU KWA KUMWOMBEA MWENZIO KIFO.
Tumuulize kwanza raha gani hua anapata kabla hujamlaani?
Naombeni ushauri wenu wakuu, me ni kijana wa mika 20 sasa but nimeshndwa kutmza hata wiki bila ya kutopga punyeto. Nifanyeje ili niache hii tabia mbaya. Nisaidieni plz.
Usitetee uovu. Huo upuuzi ni uovu mkubwa. Mimi sio malaika, lakini huo upuuzi auweke siri yake! Kesho atabaka alipofikia!
Acha ushamba wa kuhukumu watu hivyo, msaidie nawazo kama huna kaa kimyaa kuliko kumtusi tena mbaya zaidi unamuombea laana, peleka mbele ulokole wako wa kuiga wewe. Umeniboa sana baada ya kumjenga huyu mtoto unazidi kumbomoa. Non sense