Lete Tundu yako nikukeep Bize nakuhakikishia hutathubutu tena iyo kitu,ni Pm tuwasiliane
 
Naombeni ushauri wenu wakuu, me ni kijana wa mika 20 sasa but nimeshndwa kutmza hata wiki bila ya kutopga punyeto. Nifanyeje ili niache hii tabia mbaya. Nisaidieni plz.

Ulaaniwe, ufe una faida gani duniani, uchafu mtupu! Ulaaniwe tena na tena, shetani mkubwa Lusiferi mwana haramu!
 
Ameomba mshauri, tumpe wa kumjenga maana tabia hiyo haifurahii na ameshasema. Kumpa maneno makali si kumjenga.
 
tafuta GF hayo ndo mambo ya colleage boys

We dada unamshauri nini? Nilikuwa nakuheshimu sana pamoja na kuwa sikufahamu, but you were very sensible in your posts, sasa unanitia mashaka! Unamuelekeza, nini? Atafute GF, are you ready to offer binti yako? Mkuki kwa nguruwe.!!!
 
Ulaaniwe, ufe una faida gani duniani, uchafu mtupu! Ulaaniwe tena na tena, shetani mkubwa Lusiferi mwana haramu!

JAMANI JAMANI LAANA NA TOPIC MBONA HAVIHUSIANI HAPA?
Ndugu yangu wewe uliyetukana kwa mwenze2 huyu anayehitaji msaada Tafadhari mwombe msamaha Mungu wako, na mwenzetu huyu kwani hukupaswa kusema maneno mazito ya kumwombea kifo mwenzio. USIHUKUMU KABLA HUJAHUKUMIWA.
Tafadhari fanya hivyo ikiwezekana mbele ya wanajamii na mbele za Mungu wako.
 
JAMANI JAMANI LAANA NA TOPIC MBONA HAVIHUSIANI HAPA?
Ndugu yangu wewe uliyetukana kwa mwenze2 huyu anayehitaji msaada Tafadhari mwombe msamaha Mungu wako, na mwenzetu huyu kwani hukupaswa kusema maneno mazito ya kumwombea kifo mwenzio. USIHUKUMU KABLA HUJAHUKUMIWA.
Tafadhari fanya hivyo ikiwezekana mbele ya wanajamii na mbele za Mungu wako.

Hapana huyu mtu ni hatari kesho atabaka watoto. afadhali afe, ana faida gani ! dunia ya watoto wadogo ipone. Atabaka! Kesho ataamua kufanya zaidi ya huo upuuzi!
 
dogo! Jitaid kujkp busy...fanya mazoez sana, dawa kukwa ni mazoez, kwa wng..pia jiepushe na vshawish kama picha za ngono
 
Hapana huyu mtu ni hatari kesho atabaka watoto. afadhali afe, ana faida gani ! dunia ya watoto wadogo ipone. Atabaka! Kesho ataamua kufanya zaidi ya huo upuuzi!

Anahitaji ushauri, siyo laana hatupo duniani kumwombea mtu laana, ila kubadilisha mtu kutoka kufanya mabaya kufanya mema.
NARUDIA TENA KWA HEKIMA, NAOMBA UMWOMBE MSAMAHA MUNGU KWA KUMWOMBEA MWENZIO KIFO.
 
Anahitaji ushauri, siyo laana hatupo duniani kumwombea mtu laana, ila kubadilisha mtu kutoka kufanya mabaya kufanya mema.
NARUDIA TENA KWA HEKIMA, NAOMBA UMWOMBE MSAMAHA MUNGU KWA KUMWOMBEA MWENZIO KIFO.

Hapana, siombi radhi, ni kuendekeza upuuzi! Huyu atabaka. Akimbaka anaye,kuhusu utasema tumwombee!
 
Panga Ratiba Yako.......




fanyakazi, au soma sana, nenda library, meki shua unakaa mezani ukisoma masaa mawili kwa bidii, ukitoka kazini au darasani, panga ratiba ya library na ya mazoezi, na
hakikishaunasali-omba dua kila siku dakika 5 tu

mazoezi: hapa zoezi liwe gumu...anza polepole

  1. kukimbia, pushapu, kuruka kamba, 30 saa kila siku.
  2. unyew maji mengi zaid ya litre3 kwa siku.
  3. usisahau kufanya zoezi la viungo ukiwa umekaa kila baada ya mazoezi
faida:

  • utachoka kwa hiyo ulalala vzr,
  • hutakuwa na muda kuwaza sex, maana ndio chnzo
  • usiwaangalie wanawake, shusha us wako ukiwaona, usipende kukaa nao karb
  • utafaulu
  • utapata kaz nzur
  • utaoa
 
Faszar, kuna njia mbili:
1. Jikeep busy na mambo ya msingi kama kuangalia vipindi vya television, kusoma vitabu. Chochote kile ambacho ni constractive na ambacho kitaocupy mind yako. Acha kuangalia picha za kwenye mitandao kwani huwa zinapandisha hisia bure. Acha kukaa kwenye vikundi vyenye watu wanafurahia jambo hilo. Ukiwa kwenye net soma mambo mengine picha za ngono ni one of things zinazokupeleka zaidi huko. (Haya ni mazoezi unayoweza kufanya binafsi).

2. Kuna mwingine hawezi peke yake mpaka apate guid. Siku hizi wapo washauri wazuri tu na watakuongoza. Tumia viongozi wa dini, madaktari au mtu unayemwamini atakuongoza. Watakupa mazoezi na mambo ya kufanya.

Nakuhakikishia utaweza kama ukiwa serious. i am talking through experience kwani hiyo ndio shetani yetu sisi vijana wa miaka kati ya 15 had 30th.
 
Naombeni ushauri wenu wakuu, me ni kijana wa mika 20 sasa but nimeshndwa kutmza hata wiki bila ya kutopga punyeto. Nifanyeje ili niache hii tabia mbaya. Nisaidieni plz.

Sikushauri uwe na gf ila kwanza ichukie kwa dhati pia jaribu kuondoa mawazo hayo kama utashindwa nibora kua gf kuliko huyo mpenz mkono
 
Usitetee uovu. Huo upuuzi ni uovu mkubwa. Mimi sio malaika, lakini huo upuuzi auweke siri yake! Kesho atabaka alipofikia!

Acha ushamba wa kuhukumu watu hivyo, msaidie nawazo kama huna kaa kimyaa kuliko kumtusi tena mbaya zaidi unamuombea laana, peleka mbele ulokole wako wa kuiga wewe. Umeniboa sana baada ya kumjenga huyu mtoto unazidi kumbomoa. Non sense
 
Acha ushamba wa kuhukumu watu hivyo, msaidie nawazo kama huna kaa kimyaa kuliko kumtusi tena mbaya zaidi unamuombea laana, peleka mbele ulokole wako wa kuiga wewe. Umeniboa sana baada ya kumjenga huyu mtoto unazidi kumbomoa. Non sense

Nyote ndio hao hao unajuaje kuwa ni mtoto au ni wewe! Acha kutetea ukosefu wa maadili!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom