Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,534
- 32,757
porojo tu hizi hamna tafiti yoyote ya kisayansi ambayoilisha thibitisha hilo
Mleta thread ni mtu wa kupuuziwa! Ingekuwa kupiga nyeto huingizi hela hata mimi nisingepiga kamwePunyeto teh teh teh teh 😀😀 umenikamata Ndipo.... Labda Mtu aniroge Ndiyo Niache..
Tumia mkongo mkuu wakati unasubiri kwenda hospitalhabari wana jamiiform mimi ni mgeni kwenye hili jukwaa ila naomba msaada wenu mimi ni kijana wa miaka 22 nimeathiriwa na punyeto sana kwani nilianza kupiga punyeto nikiwa na miaka 15 mpaka juzi tu kama miezi miwili iliyopita ndio nimeacha nimeacha baada ya kushindwa kabisa kufanya mapenzi na msichana mara mbili kwani kabla sijaweka hata kitu kwenye k ninakuwa tayari nishamaliza na siwezi kusimamisha tena nikashauriwa nitumie erecto nikawa naweza kufanya lakini sasa hata erecto nikinywa kidonge kimoja hakifanyi kaxi naombeni mnisaidie kwani sasa naisi kuwa mimi sio mwanaume kama wengine naomba msaada wenu jamanii
mara mbili kwa siku mkuuUlikua unapiga punyeto kwa muda gani, yani kwa siku mara ngapi au kwa week mara ngapi?