Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
Installation Cost ya 1.8mil kwa gari ya 4 cylinder bado ni kubwaNimeeleza hapo mkuu...kwa sasa kuna vituo 2 tu vinavyojaza gesi dar ambavyo ni ubungo na tazara...vingine vitatu vipp hatua ya mwsho... Kukamilika ila vyote vipo dar..
Mikoani ni ngumu kwa sasa