Magari ya Biashara
Senior Member
- Sep 16, 2019
- 183
- 568
Kwa wale wamiliki wa magari ikiwa umekuwa ukiwaza ni namna gani utapunguza gharama za matumizi ya mafuta kwenye gari lako BASI UJUMBE HUU UNAKUHUSU.
Tumekuwa tukilalamikia juu ya gharama za mafuta katika kuhudumia magari yetu ila kwa sasa mkombozi amewasili.
Gharama za maisha zinapanda kila siku na katika sekta muhimu ya maisha ambayo hatuwezi kuikwepa mi usafiri.
Watu wengi tunapenda kuwa na usafiri binafsi mzuri na wa uhakika ila kuna wakati unataka kuchagua gari zuri ila unahofia juu ya gharama ya mafuta na kujikuta ukichagua gari ambalo moyo haujaliridhia ila tu mfuko wako wa pesa ndio umeridhia kwa kuwa utamudu matumizi ya kila siku ya mafuta.
Wengi hatuhofii kuingia gharama za kumiliki magari wakatibwa kununua mtu unaweza kujipinda na kutenga milioni 15 au 20 au hata 30 na kuagiza gari zuri tu ila kinachokuja kupasua kichwa ni gharama za kila siku za kulihudumia hilo gari kuanzia mafuta hadi kwenye services
Tunawaletea huduma ya kuongeza mfumo wa kutumia gesi kwenye magari.mfumo huu utapunguza gharama ya ku
tumia mafuta kwa 50%
Nini maana ya kupunguza gharama kwa 50%?
CNG(compressed natural gas) ni gesi asilia ambayo inaweza kutumika katika kuendeshea injini za magari.. Ni tofauti na gesi ya kupikia majumbani..
Gesi hii ni salama zaidi na haishiki moto kwa haraka ukilinganisha na mafuta...
Kilo 1 ya gesi inaweza kuzalisha nguvu ambayo ni sawa na 1.8 litre ya petrol ... Hapo utaona kabisa gesi inaweza kukupeleka umbali mrefu zaidi kuliko petrol
Cha kufurahusha zaidi bei ya kilo moja ya gesi ni ndogo kuliko klita 1 ya petrol..
Kilo 1 ya gesi ni 1,550
Hiyo unayoiona hapo kwenye lorry la kampuni ya dangote ni mitungi ya gesi
Maana yake kama ulikuwa unatumia mafuta ya 45,000 kwa safari ya km 180.kwa sasa utatumia gesi ya 15,000 kwa safari hiyo hiyo bila kuathiri uwezo/perfomance ya gari.
Jambo muhimu ya kufahamu ni kuwa unapofunga mfumo huu wa kutumia gesi hauondoi mfumo wa mafuta bali unaongezea tu mfumo wa gesi na unaweza ku switch muda wowote ukihitaji kubadili nishati unayotaka kutumia kama ni mafuta au gesi
Hapo utaona kuna valve ya gesi na kuna mfuniko wa mafuta ya kawaida
Ubora na uthabiti wa huduma hii
kama unajiuliza na kuhofia juu ya usalama wa gari lako au wewe mwenyewe basi ondoa shaka huduma hii inatolewa namtaalamu aliyeithinishwa kimataifa juu ya uwekaji wa huduma hii katika magari.. Wataalamu hawa wapo 3 tu tanzania walioidhinishwa na mamlaka za kimataifa juu ya matumizi ya gesi katika vyombo vya moto.hauwezi kwenda kujaziwa gesi kwenye gari lako bila miongoni mwa wataalamu hawa kukupa kibali cha uthibiti wa mfumo wako wa gesi kwenye gari lako.
Upatikanaji wa gesi ya kujazia kwenye gari
Mpaka sasa kuna vituo 2 vinavyojaza mafuta ambavyo vipo ubungo maziwa na kingine kipo tazara.. Na kuna vituo vingine 3 hapa jijini dar es salaam vipo kwenye hatua za mwisho kupitishwa kwa ajili ya utoaji wa huduma ya kujazia gesi .
Mpaka mwisho wa mwaka huu vitakuwa vimekamilika
Gharama zikoje?
Gharama za kuweka mfumo huu zinategemea na aina ya injine kama ni cylinder 4 au 6 au 8
Gari yenye injini ya cylinder 4 kuwekewa mfumo huu inagharimu milioni 1.8M, cylinder 6 ni milioni 2 na cylinder 8 ni milioni 2.4
Gharama ni nafuu sana kwakuwa ndani ya miezi 3 mpaka 4 utakuwa umeokoa kiasi hicho ambacho ulikitumia kuweka mfumo ( nina uhakika na hili)... Baada ya miezi hiyo maisha yako ya usafiri yatakuwa nafuu mnooo.
Wamiliki wa magari hasa yale ya biashara madogo kwa makubwa hufuma hii itawapunguzia gharama za mafuta na itaweza kurudishwa kwa kipindi cha miezi 3 tu
Kwanini uendelee kuwa na msongo wa mawazo kutokana na gharama kubwa za mafuta na wakati mkombozi yupo .wahi sasa huduma hii
Ni ndani ya siku 1 mpaka 2 tu gari yako inakuwa tayari kwa matumizi yako
Tumia gesi asilia kwa unafuu wa maisha
0613 11 31 90
Tumekuwa tukilalamikia juu ya gharama za mafuta katika kuhudumia magari yetu ila kwa sasa mkombozi amewasili.
Gharama za maisha zinapanda kila siku na katika sekta muhimu ya maisha ambayo hatuwezi kuikwepa mi usafiri.
Watu wengi tunapenda kuwa na usafiri binafsi mzuri na wa uhakika ila kuna wakati unataka kuchagua gari zuri ila unahofia juu ya gharama ya mafuta na kujikuta ukichagua gari ambalo moyo haujaliridhia ila tu mfuko wako wa pesa ndio umeridhia kwa kuwa utamudu matumizi ya kila siku ya mafuta.
Wengi hatuhofii kuingia gharama za kumiliki magari wakatibwa kununua mtu unaweza kujipinda na kutenga milioni 15 au 20 au hata 30 na kuagiza gari zuri tu ila kinachokuja kupasua kichwa ni gharama za kila siku za kulihudumia hilo gari kuanzia mafuta hadi kwenye services
Tunawaletea huduma ya kuongeza mfumo wa kutumia gesi kwenye magari.mfumo huu utapunguza gharama ya ku
tumia mafuta kwa 50%
Nini maana ya kupunguza gharama kwa 50%?
CNG(compressed natural gas) ni gesi asilia ambayo inaweza kutumika katika kuendeshea injini za magari.. Ni tofauti na gesi ya kupikia majumbani..
Gesi hii ni salama zaidi na haishiki moto kwa haraka ukilinganisha na mafuta...
Kilo 1 ya gesi inaweza kuzalisha nguvu ambayo ni sawa na 1.8 litre ya petrol ... Hapo utaona kabisa gesi inaweza kukupeleka umbali mrefu zaidi kuliko petrol
Cha kufurahusha zaidi bei ya kilo moja ya gesi ni ndogo kuliko klita 1 ya petrol..
Kilo 1 ya gesi ni 1,550
Hiyo unayoiona hapo kwenye lorry la kampuni ya dangote ni mitungi ya gesi
Maana yake kama ulikuwa unatumia mafuta ya 45,000 kwa safari ya km 180.kwa sasa utatumia gesi ya 15,000 kwa safari hiyo hiyo bila kuathiri uwezo/perfomance ya gari.
Jambo muhimu ya kufahamu ni kuwa unapofunga mfumo huu wa kutumia gesi hauondoi mfumo wa mafuta bali unaongezea tu mfumo wa gesi na unaweza ku switch muda wowote ukihitaji kubadili nishati unayotaka kutumia kama ni mafuta au gesi
Hapo utaona kuna valve ya gesi na kuna mfuniko wa mafuta ya kawaida
Ubora na uthabiti wa huduma hii
kama unajiuliza na kuhofia juu ya usalama wa gari lako au wewe mwenyewe basi ondoa shaka huduma hii inatolewa namtaalamu aliyeithinishwa kimataifa juu ya uwekaji wa huduma hii katika magari.. Wataalamu hawa wapo 3 tu tanzania walioidhinishwa na mamlaka za kimataifa juu ya matumizi ya gesi katika vyombo vya moto.hauwezi kwenda kujaziwa gesi kwenye gari lako bila miongoni mwa wataalamu hawa kukupa kibali cha uthibiti wa mfumo wako wa gesi kwenye gari lako.
Upatikanaji wa gesi ya kujazia kwenye gari
Mpaka sasa kuna vituo 2 vinavyojaza mafuta ambavyo vipo ubungo maziwa na kingine kipo tazara.. Na kuna vituo vingine 3 hapa jijini dar es salaam vipo kwenye hatua za mwisho kupitishwa kwa ajili ya utoaji wa huduma ya kujazia gesi .
Mpaka mwisho wa mwaka huu vitakuwa vimekamilika
Gharama zikoje?
Gharama za kuweka mfumo huu zinategemea na aina ya injine kama ni cylinder 4 au 6 au 8
Gari yenye injini ya cylinder 4 kuwekewa mfumo huu inagharimu milioni 1.8M, cylinder 6 ni milioni 2 na cylinder 8 ni milioni 2.4
Gharama ni nafuu sana kwakuwa ndani ya miezi 3 mpaka 4 utakuwa umeokoa kiasi hicho ambacho ulikitumia kuweka mfumo ( nina uhakika na hili)... Baada ya miezi hiyo maisha yako ya usafiri yatakuwa nafuu mnooo.
Wamiliki wa magari hasa yale ya biashara madogo kwa makubwa hufuma hii itawapunguzia gharama za mafuta na itaweza kurudishwa kwa kipindi cha miezi 3 tu
Kwanini uendelee kuwa na msongo wa mawazo kutokana na gharama kubwa za mafuta na wakati mkombozi yupo .wahi sasa huduma hii
Ni ndani ya siku 1 mpaka 2 tu gari yako inakuwa tayari kwa matumizi yako
Tumia gesi asilia kwa unafuu wa maisha
0613 11 31 90