Ibn Unuq
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 5,494
- 10,048
Iwe chatGPT,Tatizo la ChatGpt ndio hili. Muandiko haujifichi labda uhariri sana
Isiwe chatGPT,
Ukweli umekufikia.
Hoja zako kuhusu Single mothers ni cognitive bias.
Iwe chatGPT,Tatizo la ChatGpt ndio hili. Muandiko haujifichi labda uhariri sana
Kazi Gani hiyoKama mabinti walio na bikra ndio wanakutana na wanaume wa type yako kazi ipo!
Masharti yapi unayoongelea? hivyo vigezo kupunguza hekaheka akutane na mtu anayemtaka ila maisha ndio yaleyale!Kazi Gani hiyo
Yaani watu wako desperate balaa, sema inategemea na jamii inayomzunguka pia!Huyu dada kakata tamaa, miaka 34 ni mdogo sanaaa mbona huko huko alipo anapata mume anaemtaka yeye na si wa kutafuta
Si ana epuka kuingia mkenge tena bwashee 😊Kwann azae na mwanaume ambaye hana hofu ya Mungu 😂
Age go+singo mazaz v. Wasaka bikra+hawana mbele/nyumaHapa kuna harufu ya vita🤧
Kumbaff🤣Kwann azae na mwanaume ambaye hana hofu ya Mungu 😂
Mbele na nyuma kivip mkuuAge go+singo mazaz v. Wasaka bikra+hawana mbele/nyuma
Miaka 34 kwa mwanamke n mingi sana, Acha kujidanganya Dada.Huyu dada kakata tamaa, miaka 34 ni mdogo sanaaa mbona huko huko alipo anapata mume anaemtaka yeye na si wa kutafuta
Inoccent boy anakwenda kuyavaa Huko 😂Kumbaff🤣
🫰🏾Mbele na nyuma kivip mkuu
Picha tuone tulinganishe😎Miaka 34 kwa mwanamke n mingi sana, Acha kujidanganya Dada.
Mwanamke akifikisha 30 huyu n mkubwa mno, Huwez kumfananisha na mwanaume mwenye 30.
kuoa single mother ni ngumuKazi kwishaaa....mtu Mmoja ajitokeze akamfute machozi huu single mama
Haya wadau nimewarahisishia badala ya kwenda huko fb issue ishie hapa tu wenzetu swala Tano mnahitajika.
Ila single mother kwa mashart mmezidi haya mashart ni ngumu sana kuambiwa na Binti asiye used. Anyway kimfaacho mtu ni chake.
Mjumbe hauawi View attachment 3563263
Wanazo , utajuaje sasa hawana , na kama hawana wanakula nini😃
Na innocent boy mwenyewe ndio wewe🫴🏾Inoccent boy anakwenda kuyavaa Huko 😂