Orodha ya ndoto (karibia zote) na maana yake
Nimeota ilikuwa usiku nimesimama sehemu nikawa natazama mbingu ghafla nyota ikaanguka kutoka mbinguni,ikaanguka upande wangu wa kulia.Kwenye ndoto ile nilifurahi sana nikaenda nikishangilia kwa furaha kwamba nyota imeanguka kutoka mbinguni.
 
Habari ya kwenu jamani,

Naomba ushauri juu ya suala hili, nina rafiki yangu wa kike yeye anasema mara kwa mara amekua akiota anafanya mapenzi na wanawake tofauti tofauti, yani anaweza akaota anafanya romance na huyo mwanamke, lakini sura haionekani.

Pia amekua anaota anataka kufanya mapenzi na wanaume ila sura hawaoni ila anauwezo wa kushuka uume wao na anaota kama vile yuko nao live. Sometimes hao wanaume huwa wanakuja kwa sura ya kaka yake.

Je, inawezekana akawa ikawa ndio jini mahaba? Au ni kitu gani na je nimpe ushauri gani juu ya suala hili?

Na pia anasema katika maisha ya kawaida hata akifanya mapenzi na mwanaume hajawahi kusikia raha yoyote, je inawezekana ni hilo jini ndio limemshikilia.

Naombeni maoni yenu wadau nijue tunamsaidiaje mdada huyu.

Asanteni.
Ana roho ya usagaji
 
Mimi kuna hizi ndoto unapambana na paka mdogo au kambwa kadogo yaani unavipiga kweli kweli lakini havifi
Vinakung'ata kwa kung'ang'ania balaa ukija kustuka usingizini ndio afadhali yako.
Juzi jumapili limekuja li fisi leupe ndotoni tumembana sana hadi nikastuka.
Hii ndoto ya fisi wengi napambana nao ndotoni ile wamekaribia kunizidi nguvuuuuuuuu nimeshituka moyo unadunda balaa.

Mpaka kichwa kikawa kinauma hii ndoto asubuh hii imeniwazisha sanaa sijapata majibu
 
[emoji28][emoji28]mkuu bhana niliwahi puuza ndoto kumbe inamaana kubwa sana juu ya tukio lilikojua kutokea mbelee
Mimi ni shuhuda pia nimeota nipo nje ya mjii kidogo Kuna ghorofa kuu kuu Mimi na mdogo angu wa kike.

Ghorofa lipo kwenye ujenzii Kuna kitu mdogo angu akadhulumiwa Mimi nikamwambie TWENDE nipeleke nikakuchukulie tukapandisha ghorofani kufika sehemu wao wakapita Mimi njia ikawa finyu nikashindwa kupanda

Kwenye pilika pilika nikadondoka ghorofani kufika chini vizuri sana kulikua na ka pori porii nakutana mafisi mengi Nika Anza kuyatoa baruu mtanange mkali mpaka nikachoka ile yamenikalibia nikashituka usingizinii na hema sanaa
 
Wewe mtoa hoja huwa unaota ndoto za aina gani?.....kuamini ndoto ni ujinga
 
Mimi ni shuhuda pia nimeota nipo nje ya mjii kidogo Kuna ghorofa kuu kuu Mimi na mdogo angu wa kike.

Ghorofa lipo kwenye ujenzii Kuna kitu mdogo angu akadhulumiwa Mimi nikamwambie TWENDE nipeleke nikakuchukulie tukapandisha ghorofani kufika sehemu wao wakapita Mimi njia ikawa finyu nikashindwa kupanda

Kwenye pilika pilika nikadondoka ghorofani kufika chini vizuri sana kulikua na ka pori porii nakutana mafisi mengi Nika Anza kuyatoa baruu mtanange mkali mpaka nikachoka ile yamenikalibia nikashituka usingizinii na hema sanaa
Unawindwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom