Orodha ya ndoto (karibia zote) na maana yake
Let me give you some tips..

Test or Examination ni sehemu ya maisha.
Mungu hutoa mtihani kwa watu wake, na ukimaliza na kufaulu huo mtihan, unapanda darasa la kiroho na unapanda kimaisha.

Binafsi hata mm ninapokuwa mvivu katika darasa la kiroho nakutana na mtihani mgumu. Lakini Mungu ni mwaminifu hutupa nafasi zaidi.

Katika ndoto ya kufanya mtihani.. unapopata nafasi ya kujua ni mtihani wa somo gani, hapo tayari kwenye somo kunakua na maana.

Dream is not all about what you see, but unatakiwa kuwa makini nini roho inakwambia kuhusu mazingira unayokutana nayo ndotoni.
what spirit tell you.

Unaweza ukawa upo kwenye mtihani, umeshikilia mtihani muanze kufanya lakini rohoni unajishuhudia mwenyewe hivi nitatoboa kweli maana sikupiga msuli ulioshiba na pengine unakumbuka kabisa hukupata muda wa kutulia kusoma.


So, kupitia hilo unatambua nn roho anakusemesha na kukumbusha.
Donatila note this
 
Kuna mdogo wangu wa kike alifariki mwaka 2017, kifo chake kiukweli kilikuwa na utata.. Japo tulimswalia na tulimzika na mazishi yake niliyasimamia mimi mwenyewe, sasa hii ni mara ya pili naota analia kwa uchungu huku ameniangalia, usiku wa leo nimeota ananingalia huku analia kwa uchungu sana mwisho wa siku ilibidi nimkumbatie kwa kumbebeleza na akanyamaza na ndio nikashtuka usingizini
 
kuna mdogo wangu wa kike alifariki mwaka 2017, kifo chake kiukweli kilikuwa na utata ..japo tulimswalia na tulimzika na mazishi yake niliyasimamia mimi mwenyewe, sasa hii ni mara ya pili naota analia kwa uchungu huku ameniangalia, usiku wa leo nimeota ananingalia huku analia kwa uchungu sana mwisho wa siku ilibidi nimkumbatie kwa kumbebeleza na akanyamaza na ndio nikashtuka usingizini
Ungeelezea maisha yake japo kidogo bro

Ila kma ww ni Muslim fanya jitihada kubwa sana ya kumuombea dua mdogo wako after each swalaa penda sana uamke usiku muombee dua kwani huko alipo anauhitaji wa dua zenu sanaa kuliko kitu chochote

Ila ukiwa wa imani nyengine sijui
 
kuna mdogo wangu wa kike alifariki mwaka 2017, kifo chake kiukweli kilikuwa na utata ..japo tulimswalia na tulimzika na mazishi yake niliyasimamia mimi mwenyewe, sasa hii ni mara ya pili naota analia kwa uchungu huku ameniangalia, usiku wa leo nimeota ananingalia huku analia kwa uchungu sana mwisho wa siku ilibidi nimkumbatie kwa kumbebeleza na akanyamaza na ndio nikashtuka usingizini
Mkuu Pole sana, nakushauri tu mwombe Roho Mtakatifu akusaidie, achana na ubishi wa kidini, mpokee Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yako
 
kuna mdogo wangu wa kike alifariki mwaka 2017, kifo chake kiukweli kilikuwa na utata ..japo tulimswalia na tulimzika na mazishi yake niliyasimamia mimi mwenyewe, sasa hii ni mara ya pili naota analia kwa uchungu huku ameniangalia, usiku wa leo nimeota ananingalia huku analia kwa uchungu sana mwisho wa siku ilibidi nimkumbatie kwa kumbebeleza na akanyamaza na ndio nikashtuka usingizini
Sali Sala ya Toba, Ama hakika mtakuwa pamoja nae siku si nyingi.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom