Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

Huwa Ni Vigumu Mtu Asiyeitakia Mema Afrika Kujua Nyerere Ni Nani...!

Huu pia ni ujumbe kwa jmushi1 ambaye siku ya jana alithubutu kuniambia nyerererist na nyererelism vilikufa kitambo,,,halafu anajiita mwanaharakati dhidi ya mafisadi...Jana nilimwambia huo ndio ukubwa wa upeo wake na nadhani atathibitisha kauli yangu kwa kusoma maneno ya Chavez,,"kama chaves ni Nyerererist why not JF members?"
 
Ndio press hiyo, safari bado ndefu...Hongera Chavez kwa kuuthamini mchango wa mmoja wa wazalendo na mwana halisi wa Afrika.

Mafuchila mwalimu alikuwa na nia nzuri lakini implementation ya sera zake ilimuharibia kwasababu alikuwa na mwelekeo mbaya wa kutotaka ushirikiano na wale aliokuwa akitaka ushirikiano wao ndio walikuwa maadui wake wakubwa walioziuwa sera zake kabla hata hazijaanza!

Unakumbuka kuna wakati walikuwa wanapachika miche ya mimea na kuihamisha kila mara mwalimu alipokuwa akihamia kwenye shamba jingine kukagua maendeleo ya kilimo kama uti wa mgongo wa Taifa?

Je..Mnakumbuka kuwa maduka ya vijiji vya ujamaa yalikuwa ni ulaji na labda ni duka moja tu lenye kuwa na bidhaa ambazo zinahamishiwa haraka haraka kwenye kila duka na huku mwalimu akicheleweshwa njiani makusudi na huku wakiamishia bidhaa kwenye kila duka analoelekea kulikaguwa ili kumwonyesha kuwa yamejaa?

Sukari na wala bidhaa hizo hazikupewa wananchi...Ziliwekwa na viongozi mafisadi na kuuzwa kwa bei ya juu na kugawana na ndugu zao!

Je kuna wale wanaokumbuka kipindi ambacho mawe yalipangwa kwenye msitari ili kuwawakilisha watu ambao hata hawakuwepo ama walikuwa wakichukua bidhaa hizo mara mbili mbili?

Vipi kuhusu watu kutumia Mipapai kama sabuni?

Mwalimu huyo huyo alimweka MKAPA na Mkapa akauza nchi...Ni kweli alikuwa na nia nzuri lakini UKABILA na matatizo mengine ndivyo vilimrudisha chini!

Na sasa ccm wanataka kuiendeleza DHAMBI HIYO HIYO!
 
Hivi huyu mwandishi umakini wa habari uko wapi? Umoja wa nchi zinazoendelea si unaitwa NAM? Mimi nadhani NATO ni jeshi la kujihami la nchi za magharibi na Marekani.Lile lililomng'oa Slobodan Milosevick wa Yugoslavia ya zamani

Ni ukweli NATO NA SERA ZA MWALIMU NI TOFAUTI!

Hawa wana lao jambo!
Chavez na Bush haziivi...Hakuna anayeufagilia UBEPARI WALA UKOMUNISTI NA HATA USOSHALISTI!

TUNATAKA UHURU WA MALI ZETU NA ARDHI YETU ILI ITUONDOE KWENYE UMASIKINI ILI WANANCHI WAPATE MAJI, ELIMU, CHAKULA, MAHOSPITALI, BARABARA NK!

NA SI MAGONJWA NA MIDAWA LUKUKI YA UKIMWI NA MINETI KIBAO YA MBU BUSH ALIYOWANUNULIA!


MAZINGIRA YAKIWA BORA HATUTAHITAJI HIZO NETI ZINAZOZALISHWA KAMA NJUGU HAPO ARUSHA!

WANANCHI WAPEWE ELIMU, HAKI YAO NA UHURU WAO AMBAO UTAWAPATIA MAENDELEO YAO!
 
Mafuchila mwalimu alikuwa na nia nzuri lakini implementation ya sera zake ilimuharibia kwasababu alikuwa na mwelekeo mbaya wa kutotaka ushirikiano na wale aliokuwa akitaka ushirikiano wao ndio walikuwa maadui wake wakubwa walioziuwa sera zake kabla hata hazijaanza!

Unakumbuka kuna wakati walikuwa wanapachika miche ya mimea na kuihamisha kila mara mwalimu alipokuwa akihamia kwenye shamba jingine kukagua maendeleo ya kilimo kama uti wa mgongo wa Taifa?

Je..Mnakumbuka kuwa maduka ya vijiji vya ujamaa yalikuwa ni ulaji na labda ni duka moja tu lenye kuwa na bidhaa ambazo zinahamishiwa haraka haraka kwenye kila duka na huku mwalimu akicheleweshwa njiani makusudi na huku wakiamishia bidhaa kwenye kila duka analoelekea kulikaguwa ili kumwonyesha kuwa yamejaa?

Sukari na wala bidhaa hizo hazikupewa wananchi...Ziliwekwa na viongozi mafisadi na kuuzwa kwa bei ya juu na kugawana na ndugu zao!

Je kuna wale wanaokumbuka kipindi ambacho mawe yalipangwa kwenye msitari ili kuwawakilisha watu ambao hata hawakuwepo ama walikuwa wakichukua bidhaa hizo mara mbili mbili?

Vipi kuhusu watu kutumia Mipapai kama sabuni?

Mwalimu huyo huyo alimweka MKAPA na Mkapa akauza nchi...Ni kweli alikuwa na nia nzuri lakini UKABILA na matatizo mengine ndivyo vilimrudisha chini!

Na sasa ccm wanataka kuiendeleza DHAMBI HIYO HIYO!


...nani aliyesema kuwa mwalimu hakukosea....hapa tunaongelea KUENZI MEMA YA MWALIMU....yaliyo mengi ....ikiwemo kututunzia nchi na rasilimali zetu ..kina mobutu si walishindwa??

.........hayo mema ndio tunayoyataka....unajua kama upo huko huwezi kujua hali ya sasa.....
 
...nani aliyesema kuwa mwalimu hakukosea....hapa tunaongelea KUENZI MEMA YA MWALIMU....yaliyo mengi ....ikiwemo kututunzia nchi na rasilimali zetu ..kina mobutu si walishindwa??

.........hayo mema ndio tunayoyataka....unajua kama upo huko huwezi kujua hali ya sasa.....

Pointi yangu ni kwamba hata hapa tulipofikia ni maamuzi yake!
kwa mfano kitendo cha kumpa MKAPA nchi kwa nguvu!
 
Naomba kupata mawazo ya wanaukumbi juu ya suala la kutumia kura ya maoni katika kuamua mambo yanayotuhusu. Hivi karibuni tuliwasikia CCM wakitaka kura ya maoni kwa suala la serikali ya kitaifa kule zanzibar. Na hivi sasa wengi wakiongozwa na upinzani wanazungumzia kura ya maoni kwa suala la muungano.
Msimamo wa Baba wa Taifa Julius Nyerere unaweza kuonekana katika tokeo moja mjini Cairo mwaka 1984.
Kama tunavyojuwa mwaka 1984 kulikuwa na harakati za kuleta kura ya maoni kwa Muungano zilizoshindikizwa na Viongozi wa Zanzibar .Wanafunzi wa Kitanzania walimuuliza Nyerere kuhusu suala hilo wakidai kuwa waandishi wa habari na raia wa nchi nyengine wanawauliza maswali kuhusu Muungano wa Tanzania.
Mwalimu Julius Nyerere aliwajibu kuwa yeye na mwenzake Karume waliamua kuziunganisha nchi zao na kuwa nchi moja. Muungano wao haukufuata kigezo chochote cha miungano ya duniani kwani wao kama Waafrika hawawezi kufanya Muungano kwa namna walivyopenda wao. Aliendelea kusema kuwa ili kuondosha gharama za kuendesha Serikali basi wangeamua kuwa na serikali moja lakini kutokana na udogo wa Zanzibar haitowezekana kuwa na serikali moja kwani Zanzibar itamezwa na kupoteza utaifa wake. kuhusu wale wanaoleta suala la kura za maoni alijibu kwa hasira kuwa kura za maoni wakazifanye kwa wazee wao (wa kike).
Sasa tunapozungumzia suala la kura za maoni tutakuwa tukimkosowa au tukimkosea. Naomba michango yenu.
 
Vionozi wote wa tanzania at the moment wako totaly corrupted and blind to what is true and right.

Hawaoni hata hatua moja mbele.

Kwa namana hiyo they are destined to make a fatal mistake on any thing they will make a decision on.

Swala la muugano sio gumu kama linavyoonekana but all the top leaders wamepofuka na ni vigumu hata kuwajadili.... Nchi yote na kila kitu kinayumba..tunahitaji muujiza kurudi kwnye muelekeo wenye maana ..sio kwenye muungano tu...ni almost kila nyanja...
 
Naomba kupata mawazo ya wanaukumbi juu ya suala la kutumia kura ya maoni katika kuamua mambo yanayotuhusu. Hivi karibuni tuliwasikia CCM wakitaka kura ya maoni kwa suala la serikali ya kitaifa kule zanzibar. Na hivi sasa wengi wakiongozwa na upinzani wanazungumzia kura ya maoni kwa suala la muungano.

Msimamo wa Baba wa Taifa Julius Nyerere unaweza kuonekana katika tokeo moja mjini Cairo mwaka 1984.

Kama tunavyojuwa mwaka 1984 kulikuwa na harakati za kuleta kura ya maoni kwa Muungano zilizoshindikizwa na Viongozi wa Zanzibar .Wanafunzi wa Kitanzania walimuuliza Nyerere kuhusu suala hilo wakidai kuwa waandishi wa habari na raia wa nchi nyengine wanawauliza maswali kuhusu Muungano wa Tanzania.

Mwalimu Julius Nyerere aliwajibu kuwa yeye na mwenzake Karume waliamua kuziunganisha nchi zao na kuwa nchi moja. Muungano wao haukufuata kigezo chochote cha miungano ya duniani kwani wao kama Waafrika hawawezi kufanya Muungano kwa namna walivyopenda wao.

Aliendelea kusema kuwa ili kuondosha gharama za kuendesha Serikali basi wangeamua kuwa na serikali moja lakini kutokana na udogo wa Zanzibar haitowezekana kuwa na serikali moja kwani Zanzibar itamezwa na kupoteza utaifa wake. kuhusu wale wanaoleta suala la kura za maoni alijibu kwa hasira kuwa kura za maoni wakazifanye kwa wazee wao (wa kike).

Sasa tunapozungumzia suala la kura za maoni tutakuwa tukimkosowa au tukimkosea. Naomba michango yenu.

Kumbe huyu Mzee alishajibu swali hili siku nyingi....Tatizo watanganyika wengi hatupendi hili ama hatuoni mantiki ya ndugu zetu hawa kuendelea kuenzi utaifa wao...hatujatambua thamani ya tofauti miongoni mwetu ikiwemo hili la utaifa ambao kwa wazanziari lilijengeka karne nyingi kabla ya uhuru na wakati kwetu lilianza kujengwa baada ya uhuru...naona kama kuna kawivu fulani ndani yake, kutokujiamini na pia ule muono wetu wa kujiona watanganyika ni bora kuliko wazanzibari hivyo hawawezi kuwa na kitu zaidi yetu ikiwemo hili la utaifa uliokomaaa....

Kuhusu swali lako nadhani jibu lake ni kuwa tunafanya yote...kumkosoa na kumkosea....which is normal na muhimu kwa jamii kuliko kufanya yale tunayodhani aliyasema na kuyatenda kama DOGMA katika utanzania wetu

Tanzanianjema
 
Kuhusu swali lako nadhani jibu lake ni kuwa tunafanya yote...kumkosoa na kumkosea....which is normal na muhimu kwa jamii kuliko kufanya yale tunayodhani aliyasema na kuyatenda kama DOGMA katika utanzania wetu

Tanzanianjema

Tatizo litabaki daima kama hatukubali kuwa Nyerere mbali ya uzuri wake alikuwa binaadamu na hivyo naye alikuwa na kasoro zake. Iwapo kauli na matendo yake yanatukwaza katika harakati zetu tukubali kuwa hizo zilikuwa kasoro na hivyo tusiwe tunajihisi wakosa kwa kusawazisha makosa hayo.
 
Wana JF,
Nimekuwa nawaza kwa muda mrefu kuwa nani Rais bora tulishewahi kupata Tanzania. Baada ya kufikiri pamoja na maoungufu yao nimeona kwanza ni Nyerere. Pia anafuata Mkapa na kama siyo Anna Mkapa kumfundisha UFISADI basi leo hii angelikuwa kamzidi hata Nyerere na JK angelikuwa anafokewa na Mkapa. Lakani Nkapa akaona heri PESA kuliko heshima ya kweli na kukumbukwa milele kwa WEMA.

Sasa ukija angalia unajikuta wamebaki wawili yaani Shemeji aka Ngapulila aka Mzee wa ruksa aka Mwinyi akishindana na Msanii or Smiling handsome president SoulJAH-KAYA. Yes , yeye ni EX-JWTZ. Katika hawa wawili Mwinyi aling'ang'ania MADARAKA wee hadi akamaliza miaka 10 na ilipofika akaanza vikampeni vya chinichini ili kubadili katiba na ashike URAIS kwa miaka mingine 3 na jumla iwe 15. Mhhh, Mchonga meno akamshtukia na kumpandishia. Nakumbuka alisema "Ni nchi gani mambo ya IKULU yanaamuliwa kitandani...." Sitti Mwinyi inasemekana ndiyo alikuwa Rais wetu. Halafu watu wanafikiri yule mama wa Liberia ndiyo rais wa kwanza mwanamke Africa. Waambieni kabla yake alikuwepo Sitti Mwinyi.

Sasa tofauti ya MWINYI na KIKWETE ni kuwa Kikwete hana UCHU wa madaraka kwa muda mrefu kuwa Rais wetu. Kaona mambo yanamshinda na yamekuwa magumu. Sasa hivi anavuta zake za mwishomwisho na ikifika mwaka 2010 anajiendea zake Msoga na kula za Uzeeni. Hekalu lake kweli zuri na hadi kwenye GOOGLE EARTH unaliona.

Mwaka 2010 unakaribia. Tuanze kufikiri tutamuenzi vipi Kikwete kwa busara zake za kutoendelea na madaraka na kupisha wengine waje wapambane na UFISADI, Mauwaji ya Albino, tatizo la umeme, maji, maisha bora kwa Watanzania, usafiri hasa kwa wanafunzi mijini, nk. Yeye atakuwa Rais wa Pili baada ya Mandela kwa kufanya term 1 na kupisha wengine. Bravo Kikwete.
 
haya mimi binafsi sina la kusema, ni kweli anaachia ngazi hagombei kipindi cha pili?????
 
Kikwete na Mkapa sioni tofauti yoyote. Wote ni mafisadi, Mkapa aliwezesha kuongeza makusanyo ya kodi, hilo alifanikiwa pamoja na kuwa ongezeko la makusanyo hayo ya kodi hayakunufaisha Watanzania, lakini ni mwizi na fisadi. Kikwete waliombeba hata kuibuka mgombea wa CCM wote` wamegubikwa na tuhuma nzito za ufisadi Rostam, Lowassa, Karamagi, Msabaha, Jeetu Patel na wengineo. Kwa hiyo kama waliofanikisha yeye kuwa Rais wa Tanzania ni mafisadi basi na yeye ni fisadi.
 
Mwinyi alitaka kuwa MFALME wa Tanzania. Isingelikuwa Nyerere hadi leo hii angelikuwa MALKIA wa tanzania wakati Sitti Mwinyi akiwa MFALME hasa wa Tanzania.
Kikwete yeye inaonyesha hata kuwa na makuu na atajiondokoa mapema maana kila dalili inaonyesha kuwa tuanze kumpigia makofi ya kumaliza muda wake. Huo nao ni ushujaa. Sijui hata kama ningelikuwa mimi ningeliamini kuwa sifai au watu tu wananionea wivu. Ningelipigana na kubaki. Hapo ndipo jamaa ni BORA kuliko Mwinyi.
 
Legacy ya Mwinyi
1: kuongoza nchi kutoka ujamaa(tuliodumu nao takriban kwa miaka 25 ) kuingia ubepari
2:kufungua uhuru wa vyombo vya habari (kumbuka wakati huo magazeti yalianza kujitutumua,Mwinyi mwenyewe alikuwa victim wa uhuru mpya)
2:Kuruhusu soko huria na kuwafanya wanachi wawe na wide choice ya bidhaa mbali mbali(bidhaa kama tv, nguo, redio kali, n.k vikaanza kupatikana kwa urahisi zaidi)
3:kupanuka kwa uhuru wa kisiasa (vyama vingi vilirejeshwa, na watu kama Mtikila wakang'ara sana).


JK bado ana Muda, anaweza kurekebisha makosa yake na akajihakikishia nafasi yake katika historia ya Tanzania
 
Hana ubora wowote. Hajafanya chochote kile ambacho kinamfanya yeye awe bora kuliko Mwinyi. Ni bomu tu. Sidhani kama JK ana muda wowote, alipata opportunities chungu nzima za kunyanyua credibility yake lakini kwa sababu anazozijua mwenyewe hakuzitumia. Hili la utata wa kutojulikana zilipo shilingi 60 bilioni zilizosemekana zimerudishwa na mafisadi wa EPA linazidi kumpa muda mdogo wa kujisafisha. Sidhani hata kama CCM watataka awe mgombea wao 2010, lakini ndani ya chama cha mafisadi inaweza kutembezwa rushwa ya hali ya juu na wakaibuka kwa sauti moja kwamba ni 'mwenzetu anastahili kutuongoza tena' kwa awamu nyingine.
 
Hivi Kikwete angelikuwa ndiyo raisi wetu wa kwanza pale tu baada ya uhuru leo hii nchi ingekuwa wapi?? Fikiria watu kama Rostam,Karamagi,na wengine wengi at top post at that time.Leo hii tungelikuwa wapi??

Tutamkumbuka sana mzee Nyerere!!..nakumbuka kuna watu walianza kumcheka na kumdhihaki na sera zake za azimio la arusha.Ila sasa naona wanayo majibu tosha! sukari na chumvi haviendi pamoja! Inabidi kuchagua moja, biashara au siasa na sivyote kwa pamoja.

Nalisema hili si tu kwa CCM bali hata kwenye vyama vyetu vya upinzani.Kamwe huwezi kuwa mwanasiasa safi na hapo hapo kuwa mfanyabiashara maarufu.Inabidi kuchagua kimoja na kuacha kingine.Ama kutumikia wananchi au kujinufaisha wewe mwenyewe!

Sasa sisi wazalendo tunauliza ni wapinzani wangapi wako tayari kufanya hilo???

Maana hata kama siku wakipewa nchi nadhani tutaelekea kule kule kwa akina Karamagi na Rostam.

Naanza kuamini kabisa kuwa huenda tusipate tena rais kama Nyerere!...we had a gold we didn use it! thats all. Leo hii uzalendo kwa nchi yetu haupo tena! Nasikia hata kwenye siku kuu ya mashujaa wetu kuna baadhi ya viongozi hawakuhudhuria! lakini sijui kama sikukuu hiyo ingefanyika marekani wangeacha kwenda!

Nchi imetekwa nyara na kikundi cha watu wachache.

We are all hostages now!
 
Mkuu hapa naona sasa unataka kutupeleka Mtaroni, Mwinyi alikuwepo na anaonekana sio bora kwasababu alipata madaraka kwa ubabe wake kwa Nyerere ndio maana huwezi kuona mazuri yake hali kadhalika Kikwete sasa hivi anachokifanya ni kurekebisha na kushinda na Majini ambayo yalipandwa kipindi cha Che Nkapa na the all issues of UFISADI.

Sikatai kwamba kila mmoja anamapungufu ila sasa sio kihivyo kama ulivyowaacha hao wengine unless kuna thread unazitetea au unajaribu kutafuta Uzani .
 
Back
Top Bottom