Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

I see "bodi" members trying to avoid this thread. You know they wouldn't want the truth about Nyerere, his intentions and performance to be brought to the fore. Hypocrites they are. I promise I am digging more data and I will come back to this. The truth about anybody must be brought out.

1.jpg

2.jpg

6.jpg
 
Hakuna kiongozi asiye na mapungufu (kila mwanadamu ana mpungufu). Hatutamshtaki kiongozi hata siku moja kwa matokeo bila kuangalia NIA na DHAMIRA.

Jiulize swali, kipindi anafanya maamuzi kulikuwa na mazingira gani?? Ungekuwa wewe ungechukua uamuzi gani kwa maslahi ya taifa kipindi hiko unatakiwa uamue?? JE ALICHUKUA HUO UAMUZI KWA NIA YA KUJISTAWISHA YEYE AMA KIKUNDI FLANI, AU KWA USTAWI WA TAIFA?? Je mambo yaliyotakiwa kuzingatiwa wakati wa maamuzi yalizingatiwa??? (ikiwemo kupokea ushauri wa kutosha, kuruhusu kura n.k)

Tumia hayo maswali kuhukumu uongozi na sio matokeo.... Viongozi wetu 'sio' miungu wa kuona kila kitu cha mbele!!

No one is perfect, the person who does his best deserves credits!
 
Hakuna kiongozi asiye na mapungufu (kila mwanadamu ana mpungufu). Hatutamshtaki kiongozi hata siku moja kwa matokeo bila kuangalia NIA na DHAMIRA.

Jiulize swali, kipindi anafanya maamuzi kulikuwa na mazingira gani?? Ungekuwa wewe ungechukua uamuzi gani kwa maslahi ya taifa kipindi hiko unatakiwa uamue?? JE ALICHUKUA HUO UAMUZI KWA NIA YA KUJISTAWISHA YEYE AMA KIKUNDI FLANI, AU KWA USTAWI WA TAIFA?? Je mambo yaliyotakiwa kuzingatiwa wakati wa maamuzi yalizingatiwa??? (ikiwemo kupokea ushauri wa kutosha, kuruhusu kura n.k)

Tumia hayo maswali kuhukumu uongozi na sio matokeo.... Viongozi wetu 'sio' miungu wa kuona kila kitu cha mbele!!

No one is perfect, the person who does his best deserves credits!

may be??
 
Miaka 50 ya uhuru, Ni watanzania 18% wanapata nishati ya umeme. Ni 31% wanapata maji salama kutoka kwenye mifereji (bomba),Ni 29% ya njia zina lami.

Je wa Tz mmekosa nini mpaka mumekuwa masikini hivyo.

Waarabu tuna usemi mmoja (nitautoa kwa tafsiri isiyo rasmi) In order to build something strong, It helps to start with best and possible material.
 
Kuna mtu hapa anaekumbuka the financial crisis of 2008? During its height Kikwete akiwa USA aliulizwa kama kuna anaona possibility ya Tanzania kurudia siasa ya ujamaa, akajibu kuwa ni mwendawazimu tu (or something to that effect) ndie anaeweza kufikiria hayo. Ambacho hakujua (and his mental capacity is unable to know that) kuwa kuna theory Mwalimu alishaandika kwenye moja ya vitabu vyake kuwa "you can't entrust to a man who by nature is selfish anything that is meant to benefit the marginalized, kwa kuwa primary concern ya capitalist ni kujilimbikizia mali. Na ambacho Kikwete hakulijua then (and I doubt kuwa anaweza kukijua) ni kuwa mauzo ya machapisho ya Mwalimu na Karl Max yaliongezeka kwenye nchi za magharibi kuliko kipindi chochote katika uhai wao wote wawili!

Kwa wenye akili, what caused the banking crisis then and what is being said about it now? Na kwa nini kulikuwa na ongezeko la manunuzi ya machapisho ya Mwalimu? Ni kwa nini kulikuwa na bailout (public sector kui-bailout private sector)?
 
Back
Top Bottom