terasy
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 478
- 133
Nimepewa cheque na GEPF ambapo inatakiwa nilipwe hela yangu nikaenda NMB Kenyatta road Mwanza nikaambiwa lazima niwe na account ili malipo yafanyike kwa kuwa Nina account CRDB nikawaeleza basi wakanambia nipeleke cheque CRDB itafanyiwa kazi.
nkapeleka cheque tarehe 6/9/2017 nikaambiwa nisubir had alhamis ya tarehe8/9/2017 hela itakuw tayar lakin mpaka sasa hela haijaingizwa na Nimeishiwa pesa kabisa naomba msaada wenu
nkapeleka cheque tarehe 6/9/2017 nikaambiwa nisubir had alhamis ya tarehe8/9/2017 hela itakuw tayar lakin mpaka sasa hela haijaingizwa na Nimeishiwa pesa kabisa naomba msaada wenu