Kuna mtumishi jirani yangu hapa anaomba kujua kama mnatoa Salary advance. Kasema mshahara wake unapitia kwenu.
 
ATM za Ubungo plaza ni kimeo mwaka nenda mwaka rudi na hamzifanyii marekebisho!
 
Nmb mnatoa huduma za upendeleo has a mikoani, utakta boss flank katoka ofsni anajuana na wahudumu wa nmb anavnja foleni ,anahdumiwa moja kwa moja hku wateja wengne wakiwa bdo foleni,hii inakera na nafkria kuhama benki
 
NMB siku hizi sijui wamekuwaje. wana uhusiano gani Shirika la bima la taifa [NIC]? wanaingiza makato ya NIC kwenye akauti za watu badala ya kuanzia kwa mwajiri
 
NMB ondoeni makato yote ya mashirika ya kifedha zinazofanyika kwenye akaunti za watu badala yake wawaelekezeni kwa waajiri. msijichukulie sheria mkononi.
 
NMB namba yenu ya Huduma kwa wateja haipokelewi,nimepiga hiyo simu# 080000202 mpaka vidole vinauma,Huduma gani hizo?
 
Mbona mashine zenu za kutolea pesa hamweki noti zingine zaidi ya noti za elfu kumi hapa Moshi mjini??
 
Kilio changu ni kwamba nimesajili card yangu kununua bidhaa online lakini wakati wa kununua sipati one-time password message!....Je nifanyeje??
 
Nmb mmefungua thread afu mmepotea Wala hamjibu kero za watu, aliyebuni wazo la kuwa na special thread alikua vizuri ila tatizo hakuna mfatiliaji, watu wanaandika kero na maswali hata hamjibu
 
Nataka kubaldilisha kadi ya chap chap kuwa Master card nifanyeje, au kuna utaratibu gani ili nifuate
 
Ndugu wana JamiiForums,

Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.

Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.


Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:

1. Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:

Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe "Siri")
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.

4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
Hon
nyie NMB nyie sina hamu na nyie kabisa nlifungua account chap chap baada ya kuambiwa account ya mwanzo imefungiwa sasa namba yangu simu hamjaifuta toka mwezi wa saba mpaka sasa hivi nimechoka kufuatilia
 
Back
Top Bottom