kwasukwasu
Senior Member
- Jun 15, 2016
- 120
- 134
Simu yangu ni line moja tu nimejaribu imeshindikanaMake sure line uliosajilia nmb mobile ni line 1 kwenye simu. Ikigoma nenda clear data ya hio app alafu login tena. Kwangu ilikubali baada ya kuclear data ya hio app.
Mwanangu afadhali kama umeliona hili nilishawaambia kitambo ila juzi wamefanya updtd hakuna kituNMB KLINK NI APP MPYA NA YAKISASA? INAHITAJI SIM ILIYOSAJILIWA NMB MOBILE IWEPO (SIO TATIZO) ILA SIM HIYO NDIYO ITUMIKE KWENYE DATA! NI TATIZO KUBWA WASOMI HAMJALITAMBUA (SEHEMU ZINGINE UMAKUATA LAIN ULIYOSAJI MTANDAO HAKUNA. CAN YOU FIX IT?
Hawa majamaa walishashindwa tayari hawapo active.Mwanangu afadhali kama umeliona hili nilishawaambia kitambo ila juzi wamefanya updtd hakuna kituView attachment 975643
HahahhahahahahahhaMuwe na utaratibu wa uhakika kuhusiana na makato ya NMD SALARY ADVANCE...
ile tabia unatoka mshahara alafu mnauzuia woote kwa muda hata masaa mawili ili tu mkate laki yenu sio poa...
Weken system vizuur... Pesa ikizama tu iwe ishakatwa juu kwa juu... Mshahara mnauzuia wa nin unajua ni mda gani mtu kakaaa anasuburia pesa yake....???
Unaskia mshahara umetoka unatoka bush huko ndan ndani unafika bank fasta utoe pesa ugeuke bush...
Unakuta mshahara woote umezuiliwa... Unaanza kusimama unashangaa mji... Unaaachwa na bus.. Unahangaika pa kulala.. Unatafutwa kazini siku ya pili...
Yaaani ni usumbufu usiokuwa na sababu tu.
Huu ni uzembe saaana.
Mwl unapata M2.9 baada ya makato yote?Naomba ufafanuzi kidogo kuhusiana na huduma zenu Mimi in mtumishi Mwl nlikua na mkopo nlikopa 2015 sasa wiki iliyopita nikaenda kufanya topup nikaambiwa naweza kopa milion 6 na makato yakawa 146,000/= kwa mwezi na napata 2,900,000/= baada ya makato yote lkn Leo wananipigia wanasema kuna mabadiliko naweza kopa milion 4 na makato yatakua 106,781/= baada ya kila kitu napata 1,090,000/= Naomba kufahau ndio utaratibu wenu mpya au ni wa eneo nililopo tu? Ahsante kazi njema!
Iliwahi kunikuta,Nmb wako very local,old fashion kbsa,niliingiziwa 35 elfu zngne zkazuiwa siku nzima,kuwafuata wakaniambia ww wa salary advance pesa yako mpaka kufikia jioni utakua umeipata,ilikuwa kweli,ila kwa usumbufu ule,sijawah kuomba tena hyo advanve mpk leo..Muwe na utaratibu wa uhakika kuhusiana na makato ya NMD SALARY ADVANCE...
ile tabia unatoka mshahara alafu mnauzuia woote kwa muda hata masaa mawili ili tu mkate laki yenu sio poa...
Weken system vizuur... Pesa ikizama tu iwe ishakatwa juu kwa juu... Mshahara mnauzuia wa nin unajua ni mda gani mtu kakaaa anasuburia pesa yake....???
Unaskia mshahara umetoka unatoka bush huko ndan ndani unafika bank fasta utoe pesa ugeuke bush...
Unakuta mshahara woote umezuiliwa... Unaanza kusimama unashangaa mji... Unaaachwa na bus.. Unahangaika pa kulala.. Unatafutwa kazini siku ya pili...
Yaaani ni usumbufu usiokuwa na sababu tu.
Huu ni uzembe saaana.
Wazinguaji saana hadi nashndwa elewa tatizo nin ni wataalamu hakuna au uzembe uvivu wa kufanya kaziIliwahi kunikuta,Nmb wako very local,old fashion kbsa,niliingiziwa 35 elfu zngne zkazuiwa siku nzima,kuwafuata wakaniambia ww wa salary advance pesa yako mpaka kufikia jioni utakua umeipata,ilikuwa kweli,ila kwa usumbufu ule,sijawah kuomba tena hyo advanve mpk leo..
Wahusika wa NMB watu wanatoa maoni,ushauri na malalamiko mbali mbali lakini sioni mkijibu chochote. Isijekuwa watu " tunapaka rangi upepo"
Hii bank imeshakuwa ya kuchukulia mshahara tu na kupeleka kwenye akaunti za bank nyingne kwa ku save kwa ajili ya baadaye na siyo kukopa wala kutunzia akiba NMB bank.Wahusika wa NMB watu wanatoa maoni,ushauri na malalamiko mbali mbali lakini sioni mkijibu chochote. Isijekuwa watu " tunapaka rangi upepo"
Mhh, kumbe uko chanika mbn kipo frxh tu, alaf NMB waanzishe tawi maana chanika sasa ushakuwa mji.NMB hichi ki ATM chenu cha chanika mbona kinazingua mtandaoo mxeeww
Mimi nina tatizo na nyie nmb yaani message alert ya pesa kwenye smu yangu mwezi acheni masihara nina tatizo nataka message alert kila pesa inapoingia kwenye acc yangu mwezi sasa form kibao nimejaza no action.takenVipi jamani kuhusu hii app ya Klik mimi naona inasumbua sana iko slow mno
Hyo kitu hawatakagi kusikiaNMB watakuzungusha sana cjui kwa nnHIVI NYIE NMB MKOJE? JAMANI MI NATAKA KU CLEAR DENI LANGU LOTE LA MKOPO LILILOBAKI, ILA SASA NI WK YA PILI TANGU NIWAOMBE HIYO BARUA YA DENI LILILOBAKI, HV TATIZO NI NN?
UKIULIZA UNAAMBIWA MAKAO MAKUU BADO HAWAJATUMA TAARIFA, MNAKWAZA SANA, YANI SITORUDIA TENA KUKOPA KWENYE BANK YENU
Sent using Jamii Forums mobile app