Make sure line uliosajilia nmb mobile ni line 1 kwenye simu. Ikigoma nenda clear data ya hio app alafu login tena. Kwangu ilikubali baada ya kuclear data ya hio app.
Simu yangu ni line moja tu nimejaribu imeshindikana
 
NMB KLINK NI APP MPYA NA YAKISASA? INAHITAJI SIM ILIYOSAJILIWA NMB MOBILE IWEPO (SIO TATIZO) ILA SIM HIYO NDIYO ITUMIKE KWENYE DATA! NI TATIZO KUBWA WASOMI HAMJALITAMBUA (SEHEMU ZINGINE UMAKUATA LAIN ULIYOSAJI MTANDAO HAKUNA. CAN YOU FIX IT?
Mwanangu afadhali kama umeliona hili nilishawaambia kitambo ila juzi wamefanya updtd hakuna kitu
Screenshot_20181223-202304.jpeg
 
Muwe na utaratibu wa uhakika kuhusiana na makato ya NMD SALARY ADVANCE...

ile tabia unatoka mshahara alafu mnauzuia woote kwa muda hata masaa mawili ili tu mkate laki yenu sio poa...

Weken system vizuur... Pesa ikizama tu iwe ishakatwa juu kwa juu... Mshahara mnauzuia wa nin unajua ni mda gani mtu kakaaa anasuburia pesa yake....???

Unaskia mshahara umetoka unatoka bush huko ndan ndani unafika bank fasta utoe pesa ugeuke bush...

Unakuta mshahara woote umezuiliwa... Unaanza kusimama unashangaa mji... Unaaachwa na bus.. Unahangaika pa kulala.. Unatafutwa kazini siku ya pili...

Yaaani ni usumbufu usiokuwa na sababu tu.

Huu ni uzembe saaana.
Hahahhahahahahahha
 
Naomba ufafanuzi kidogo kuhusiana na huduma zenu Mimi in mtumishi Mwl nlikua na mkopo nlikopa 2015 sasa wiki iliyopita nikaenda kufanya topup nikaambiwa naweza kopa milion 6 na makato yakawa 146,000/= kwa mwezi na napata 2,900,000/= baada ya makato yote lkn Leo wananipigia wanasema kuna mabadiliko naweza kopa milion 4 na makato yatakua 106,781/= baada ya kila kitu napata 1,090,000/= Naomba kufahau ndio utaratibu wenu mpya au ni wa eneo nililopo tu? Ahsante kazi njema!
Mwl unapata M2.9 baada ya makato yote?
Ngoja wajuzi waje,hapa kuna harufu ya fix...
 
Muwe na utaratibu wa uhakika kuhusiana na makato ya NMD SALARY ADVANCE...

ile tabia unatoka mshahara alafu mnauzuia woote kwa muda hata masaa mawili ili tu mkate laki yenu sio poa...

Weken system vizuur... Pesa ikizama tu iwe ishakatwa juu kwa juu... Mshahara mnauzuia wa nin unajua ni mda gani mtu kakaaa anasuburia pesa yake....???

Unaskia mshahara umetoka unatoka bush huko ndan ndani unafika bank fasta utoe pesa ugeuke bush...

Unakuta mshahara woote umezuiliwa... Unaanza kusimama unashangaa mji... Unaaachwa na bus.. Unahangaika pa kulala.. Unatafutwa kazini siku ya pili...

Yaaani ni usumbufu usiokuwa na sababu tu.

Huu ni uzembe saaana.
Iliwahi kunikuta,Nmb wako very local,old fashion kbsa,niliingiziwa 35 elfu zngne zkazuiwa siku nzima,kuwafuata wakaniambia ww wa salary advance pesa yako mpaka kufikia jioni utakua umeipata,ilikuwa kweli,ila kwa usumbufu ule,sijawah kuomba tena hyo advanve mpk leo..
 
Iliwahi kunikuta,Nmb wako very local,old fashion kbsa,niliingiziwa 35 elfu zngne zkazuiwa siku nzima,kuwafuata wakaniambia ww wa salary advance pesa yako mpaka kufikia jioni utakua umeipata,ilikuwa kweli,ila kwa usumbufu ule,sijawah kuomba tena hyo advanve mpk leo..
Wazinguaji saana hadi nashndwa elewa tatizo nin ni wataalamu hakuna au uzembe uvivu wa kufanya kazi
 
Wahusika wa NMB watu wanatoa maoni,ushauri na malalamiko mbali mbali lakini sioni mkijibu chochote. Isijekuwa watu " tunapaka rangi upepo"
 
Shukran kwa kuandaa hii thread :
Ombi langu ni kuhusu Internet banking system yenu

Kidogo Ipo complicated nu wazi kuwa lengo ni usalama lakini bado ni shida kwa maana kila unapohitaji kufanya muamala wowote lazima uwe na vitu vitabu kwa wakati mmoja yaani Computer , Kale kadude ka password na simu ni usumbufu

Angalieni wenzenu wa CRDB ni kimoja tu kinamaliza kila kitu aidha SIMU au Computer

Bado program siyo rahisi kivile kuna vitu vya kukalili hasa kwenye TISS kutuma pesa kama //

Tafadhali nitafurahi kama nitapata mrejesho wa huu ushauri wangu
Mteja wenu xxxyyyzzz
 
Mastercard zenu kwann hazifanyi online transactione nimekuja ofisini kwenu c chin ya mara tatu ni kujazishwa mafomu tu na kuambiwa ndan ya masaa 24 utapata meseji utasubiria had mwaka hakuna k2!
 
Kuna mzee mmoja alikopa mkopo mwaka 2014 huko njombe akiwekeza hati ya nyumba mpaka leo akienda kwa meneja anazungushwa tu njoo kesho kesho kutwa ngoja tunalishughulikia utapigiwa simu mbona kwenye ulipaji alimaliza deni lote anasema tatizo lenu nn

Wahudumu wenu wa mjini iringa hiyo ni changamoto nyingine hasa tawi LA mkwawa looh wanaweza ondoka mmeachwa kwenye foleni haijulikan wameenda wapi hadi kwa robo SAA mnafeli wapi kuna haja gani ya kuwa na madirisha manne linalofanya kazi moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wahusika wa NMB watu wanatoa maoni,ushauri na malalamiko mbali mbali lakini sioni mkijibu chochote. Isijekuwa watu " tunapaka rangi upepo"
Hii bank imeshakuwa ya kuchukulia mshahara tu na kupeleka kwenye akaunti za bank nyingne kwa ku save kwa ajili ya baadaye na siyo kukopa wala kutunzia akiba NMB bank.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi jamani kuhusu hii app ya Klik mimi naona inasumbua sana iko slow mno
Mimi nina tatizo na nyie nmb yaani message alert ya pesa kwenye smu yangu mwezi acheni masihara nina tatizo nataka message alert kila pesa inapoingia kwenye acc yangu mwezi sasa form kibao nimejaza no action.taken
 
HIVI NYIE NMB MKOJE? JAMANI MI NATAKA KU CLEAR DENI LANGU LOTE LA MKOPO LILILOBAKI, ILA SASA NI WK YA PILI TANGU NIWAOMBE HIYO BARUA YA DENI LILILOBAKI, HV TATIZO NI NN?
UKIULIZA UNAAMBIWA MAKAO MAKUU BADO HAWAJATUMA TAARIFA, MNAKWAZA SANA, YANI SITORUDIA TENA KUKOPA KWENYE BANK YENU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HIVI NYIE NMB MKOJE? JAMANI MI NATAKA KU CLEAR DENI LANGU LOTE LA MKOPO LILILOBAKI, ILA SASA NI WK YA PILI TANGU NIWAOMBE HIYO BARUA YA DENI LILILOBAKI, HV TATIZO NI NN?
UKIULIZA UNAAMBIWA MAKAO MAKUU BADO HAWAJATUMA TAARIFA, MNAKWAZA SANA, YANI SITORUDIA TENA KUKOPA KWENYE BANK YENU

Sent using Jamii Forums mobile app
Hyo kitu hawatakagi kusikiaNMB watakuzungusha sana cjui kwa nn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
77 Reactions
Reply
Back
Top Bottom