Nimeshavuka hofu

Nimeshavuka hofu

Jaden alisema anampenda Tyler.

Hakuna Mtu ambaye hajiamini na kujikubali. Ndio maana kila mtu anajitunza.

Alaf kujiamini kwako mtu mwingne anachukiaje?.
Acha kuwa mtu unayeamini kila kitu kwenye social media.. Fatillia kwa undani ujue influence na career yake
 
Nilitaka kupima Je ni kweli?.

Amesema kuwa Maneno na mawazo ya watu anayaheshimu na hatingishiki nayo.

Angekuwa matured enough asingetukana tukana . Angedeal nayo in other way.
Inshort wewe huna akili, akili zako zote zinategemea outside source ndo zifanye kazi

Toka mitandaoni hakuna lolote utakao jifunza, huku you'll keep being dumb for the rest of your life
 
Back
Top Bottom