win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 8,806
- 29,864
labda maneno yako ila ya kwangu ni ya ukweli sa sijui kwanini kisukari kimempanda wakati alianzisha uzi yeye mwenyew kwa aidii yake ya pili🤣🤣,,amesema haogopi maneno.
Alaf maneno ya watu wawili tu. (Mimi na ww) yamempandisha kisukari 😎😎😎😎.
bad enough ni kwamba sijasema yeye ni upinde ila nimesema "aliwahi kusema anavutiwa ila sio muumini" ila povu lililotoka ni kama anafulia homo 😆😆 sas kama ni uongo ya nini aanze kutukana ujinga mxiuuuu