Elevenn
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 9,775
- 19,436
Kwa level niliyo ifikia Itoshe kusema mimi ni mtu maarufu zaidi katika hili jukwaa kwa sasa
Mimi ni kama maji tu usipo yanywa utaya oga, siogopi kitu chochote..
Nimesha vuka fear, ni naweza kuhandle presha na maneno ya watu, hakuna anyeweza kuni challenge na kunitoa mchezoni.
Siongei haya Kujitamba mimi ni bora zaidi ya wengine... Bali najiona kuwa am a king in my own world. Am not conforming to other's point of views but also respecting them for their views.
Hakika when you surpass, fear you start truly living...
Most people out here are just surviving, controlled by their 9 to 5 jobs, controlled by desires, by their relationships.. They are afraid to be free because they'll loose their worth.
Siko hapa kujitapa ila hii ni affirmation kwangu ya kwangu.
Ukiona umekuwa triggered basi tatizo sio langu ni lako.
Mimi ni kama maji tu usipo yanywa utaya oga, siogopi kitu chochote..
Nimesha vuka fear, ni naweza kuhandle presha na maneno ya watu, hakuna anyeweza kuni challenge na kunitoa mchezoni.
Siongei haya Kujitamba mimi ni bora zaidi ya wengine... Bali najiona kuwa am a king in my own world. Am not conforming to other's point of views but also respecting them for their views.
Hakika when you surpass, fear you start truly living...
Most people out here are just surviving, controlled by their 9 to 5 jobs, controlled by desires, by their relationships.. They are afraid to be free because they'll loose their worth.
Siko hapa kujitapa ila hii ni affirmation kwangu ya kwangu.
Ukiona umekuwa triggered basi tatizo sio langu ni lako.