Nimeshavuka hofu

Nimeshavuka hofu

Elevenn

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2021
Posts
9,775
Reaction score
19,436
Kwa level niliyo ifikia Itoshe kusema mimi ni mtu maarufu zaidi katika hili jukwaa kwa sasa

Mimi ni kama maji tu usipo yanywa utaya oga, siogopi kitu chochote..

Nimesha vuka fear, ni naweza kuhandle presha na maneno ya watu, hakuna anyeweza kuni challenge na kunitoa mchezoni.

Siongei haya Kujitamba mimi ni bora zaidi ya wengine... Bali najiona kuwa am a king in my own world. Am not conforming to other's point of views but also respecting them for their views.

Hakika when you surpass, fear you start truly living...

Most people out here are just surviving, controlled by their 9 to 5 jobs, controlled by desires, by their relationships.. They are afraid to be free because they'll loose their worth.

Siko hapa kujitapa ila hii ni affirmation kwangu ya kwangu.

Ukiona umekuwa triggered basi tatizo sio langu ni lako.
 
Screenshot_2026-08-11_122559.jpg
 
Kwa level niliyo ifikia Itoshe kusema mimi ni mtu maarufu zaidi katika hili jukwaa kwa sasa

Mimi ni kama maji tu usipo yanywa utaya oga, siogopi kitu chochote..

Umetafuta attention na umeipata.

Ila maneno hapa chini . Ni kujipa umuhimu sehem ambayo Hustahili huo umuhimu.
Mimi ni kama maji tu usipo yanywa utaya oga, siogopi kitu chochote

Ww sio Kama maji.
Ww uwepo au usiwepo hakuna kitu kitaharibika.
Na kama unafikiri uwepo wako una inspired watu. Basi unajidanganya.
 
Back
Top Bottom