Nimeshavuka hofu

Nimeshavuka hofu

kucheka siachi maana ni hulka yangu😆😆,, karibu tandale wanunuzi wapo wa kutosha mai au utoe location nikutumie
Umeanza kutafuta comfort sio?

Nina kwambia je? Wewe na wenzako mtaishia kuwa vidampa vilivyo choka na msipate mafanikio yoyote

Usiwe unaleta insecurity na kutia huruma kwa Wanaume wanaojielewa wafwate hao hao wanaokupa makongolo kama zawadi
 
Unaharibu mada yako kwa matusi , na mihemko ya kijnga , sio kila jambo nilalazima kushinda nalo kama sio la kweli
Sio tatizo langu, na mimi sio mashine niwe na filter kila mtu na kila kitu
 
kucheka siachi maana ni hulka yangu😆😆,, karibu tandale wanunuzi wapo wa kutosha mai au utoe location nikutumie

Akija Sidhan kama atakuwa na nguvu. Atakutegea sana. Utanunuliwa ww tu.
Huyu Shosti wako Nguvu za Sex kazibadilisha kuwa energy. 😎😎😎

Thread 'Guys, Naomba anaye jua kuhusu sexual transmutation a nisaidie.'
 
Sio tatizo langu, na mimi sio mashine niwe na filter kila mtu na kila kitu
Huwenda una hoja nzuri ila Unaharibu kwa kuhamisha na kufanya kijiwe cha matusi , mwenyewe.
 
Akija Sidhan kama atakuwa na nguvu. Atakutegea sana. Utanunuliwa ww tu.
Huyu Shosti wako Nguvu za Sex kazibadilisha kuwa energy. 😎😎😎

Thread 'Guys, Naomba anaye jua kuhusu sexual transmutation a nisaidie.'
Wewe nakwambia je na hilo komwe lako lisilo na prefontal cortex

Amka na uanze kutafuta kusudi la kuishi, utabaki kuwa mzoga unao tembea
 
Kwa level niliyo ifikia Itoshe kusema mimi ni mtu maarufu zaidi katika hili jukwaa kwa sasa

Mimi ni kama maji tu usipo yanywa utaya oga, siogopi kitu chochote..

Nimesha vuka fear, ni naweza kuhandle presha na maneno ya watu, hakuna anyeweza kuni challenge na kunitoa mchezoni.

Siongei haya Kujitamba mimi ni bora zaidi ya wengine... Bali najiona kuwa am a king in my own world. Am not conforming to other's point of views but also respecting them for their views.

Hakika when you surpass, fear you start truly living...

Most people out here are just surviving, controlled by their 9 to 5 jobs, controlled by desires, by their relationships.. They are afraid to be free because they'll loose their worth.

Siko hapa kujitapa ila hii ni affirmation kwangu ya kwangu.

Ukiona umekuwa triggered basi tatizo sio langu ni lako.
Umekua sasa, Karibu kwenye kilabu ya watu wazima, Na Hongera sana
 
Umeanza kutafuta comfort sio?

Nina kwambia je? Wewe na wenzako mtaishia kuwa vidampa vilivyo choka na msipate mafanikio yoyote

Usiwe unaleta insecurity na kutia huruma kwa Wanaume wanaojielewa wafwate hao hao wanaokupa makongolo kama zawadi
wenzangu wapi? hapa ni mimi na wew tu hao wengine watoe,,

ila haifuti uhalisia ulowahi kuusema mwenyewe☺️

Karibu tandale kwanza ozalima😻
 
Akija Sidhan kama atakuwa na nguvu. Atakutegea sana. Utanunuliwa ww tu.
Huyu Shosti wako Nguvu za Sex kazibadilisha kuwa energy. 😎😎😎

Thread 'Guys, Naomba anaye jua kuhusu sexual transmutation a nisaidie.'
muache shost angu na wew 😆😆😆 maana tunaweza kukutana tandale tuanze kukusema shauri yako🤣
 
Wewe nakwambia je na hilo komwe lako lisilo na prefontal cortex

Amka na uanze kutafuta kusudi la kuishi, utabaki kuwa mzoga unao tembea

Ila mm nilitaka kukuelekeza namna ya kufanya sexual transmutation.

Ww si hizo nguvu huzitaki. 😎😎😎
 
wenzangu wapi? hapa ni mimi na wew tu hao wengine watoe,,

ila haifuti uhalisia ulowahi kuusema mwenyewe☺️

Karibu tandale kwanza ozalima😻
Sasa tangu lini nitembee na Takataka inayo nuka mimi?

Kama hauna uthibitisho unabaki kuwa Takataka na udwanzi wako pekee
 
Ila mm nilitaka kukuelekeza namna ya kufanya sexual transmutation.

Ww si hizo nguvu huzitaki. 😎😎😎
Huna akili wewe mwenye mwenye mental illness,

sasa uje ufahamu transmutation kweli?
 
Inanuka sio tu nje hadi ndani

Yaani huna nafsi kabisa kahaba wewe

Una chafua mbegu za wazazi wako tuu
next time ukikumbushwa jambo ulowahi kulisema naomba usianze kujiliza

alf nimechoka kujibizana na wew tutakutana kwenye kijiwe chetu cha makahaba tumalizane shooostie☺️ byeee
 
next time ukikumbushwa jambo ulowahi kulisema naomba usianze kujiliza

alf nimechoka kujibizana na wew tutakutana kwenye kijiwe chetu cha makahaba tumalizane shooostie☺️ byeee
Kwenda zako wewe
Na usirudie kuingia kwenye zone ya watu kamili.. Uwe unaishi kule kule kwa horrible pussycats.
 
Back
Top Bottom