secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,611
No sense manake haina mashiko au sio
No sense manake haina mashiko au sio
Au mjinga mjingaLa hasha.!
Kwa kiswahili tukisema NONSENSE huwa tunamaanisha UPUUZI.
Wizara na wataalam wao wataacha kutoa maamuzi ya kitaalam na kumuacha Mwenyewe Hangaya aamue kila kitu na akishindwa tusimlaumu waziri husika.Hivi bado kuna uhaba wa sukari mpaka leo? Sijasikia zile kelele muda mrefu.
Rais wetu naona kama amekubali kutumiwa na Museveni nae akatumika, kama Museveni ana sukari nyingi kwake haina soko ameona aje kulitafuta huku na sisi badala ya kujiuliza kama tunaihitaji naona tumekimbilia kukubali ombi tu ili kukuza urafiki na majirani.
Suala la kuita msimamo wa waziri wake Nonsense tena public nalo nalipinga, kama alikerwa na huo msimamo ana kila nafasi na kuonana na waziri wake na kumweleza aliyonayo, sio kumsubiri Museveni aje ndio anamnange mbele za watu, hizi ni tabia typical za kike - umbea.
Ushenzi mtupu,Acha uongo. Nonsense ni upuuzi.
Ajiuzulu ale kwako? Hapa Ni Tumbo Kama Polepole kiongozi wa matumboNimeshangazwa na kauli hii ya Mh Rais, kuita msimamo wa mteule wake Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje, kuwa NONSENSE, tena hadharani.
Nimesikitishwa na kauli hiyo kwa sababu mbili.
Moja, public reprimand kwa kiongozi mwandamizi, sidhani kama ni utawala bora.
Na hii naanza kuhisi ile power is getting to the head, and power corrupts.
Pili, nimesikiliza arguments za Mkenda, though pompous, kuna relevance pale.
Argument ni kuagiza sukari kama kuna shortage, si kwa matakwa ya wafanyabiashara.
Sasa wale wawekezaji wanaovipanua viwanda ili ku boost uzalishaji wa sukari, wale ni nonsense?
All in all, Mkenda anapaswa kujiuzulu ku-save face.
Nonsense!Ajiuzulu ale kwako? Hapa Ni Tumbo Kama Polepole kiongozi wa matumbo
Waziri ni Prof, Maza Ana Elimu gani?Wengi mnapenda kuandika bila kuelewa, sera na Sheria zipo wazi. Kulinda viwanda vya ndani sukari inapaswa kuagizwa endapo kuna upungufu na waagizaji wanapaswa kuwa viwanda na sio wafanyabiashara.
Waziri ndio kasimamia hapo, raisi yeye anataka iagizwe vyovyote vile.
Sijaona kosa la waziri
Kama mama yakoNonsense!
CCM mbele kwa mbele 🤣 🤣 🤣Juzi kati nilikutana na vijana wale wa dampo wazungusha mchele kwa wafuga kuku mtaani, uko kwenye viroba vimeshonwa vizuri ila ume expire!
Kuangalia kile kiroba kimeandikwa Pakistani
Yani hebu imagine hii nchi tunaagiza mchele toka pakistani?
Hii ni laana ama nini?
PiganeniKama mama yako
Jifunze kujibu kwa staha, ukitukana nitakutukana, potelea mbali
Ukishndwa kulisha watoto wako , basi heri mkeo na watoto wakale kwa jirani , au siyo?Vipi wewe umelizika sukari iuzwe elfu 3?Sim Bora iinguzwe nyingi ili ishuke bei ili Wananchi tupate nafuu ya maisha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha!Kama mama yako
Jifunze kujibu kwa staha, ukitukana nitakutukana, potelea mbali
hii ni pure style ya mwendazake, kwa kiongozi dhabiti kabisa unawaachia ofisi yao, Pole waziri hii ndiyo CCM yetu vumilia.Katika hili Mh Rais amevurunda kwa sababu kwanza wangeweza kulimaliza suala hili ofisini kwake na siyo hadharani.
Wanatafuta ban kwa nguvu!Piganeni
Umenena kiukweli mkuu lakini vizuri hata mh Rais angweka hizi arguments on board badala ya slivyo ita nonsense.Bro ni vizuri pia ujue kuwa Uganda nao wamesucrifice sana kwa kuleta bomba Tanzania, hilo bomba kiuhalisia lilitakiwa lipite Kenya but wao wakalileta kwetu na pia kuna benefits kubwa tunazipata kwa waganda kutumia bandari za Tanzania badala ya za Kenya hivyo na sisi ni lazima tuoneshe mkono wa shukrani
Mzee hii kitu ni kama dili la wakubwa. Haiwezekani viwanda vyetu vituuzie sukari kwa bei ghali kuliko Zanzibar au Burundi au Uganda. Hivi hawa wengine wanatumia teknolojia gani mpaka wauze kwa bei ya chini kwa mlaji? Hii kitu inatia maudhi sana, kuna kitu hakieleweki na wala hakielezeki.Kabisa, kuna mengine wangemalizana ofisi, na siyo kuyaleta public!
Laana na inasababishwa na watu wasio na uwezo wa CCM wanaoitwa viongozi.Juzi kati nilikutana na vijana wale wa dampo wazungusha mchele kwa wafuga kuku mtaani, uko kwenye viroba vimeshonwa vizuri ila ume expire!
Kuangalia kile kiroba kimeandikwa Pakistani
Yani hebu imagine hii nchi tunaagiza mchele toka pakistani?
Hii ni laana ama nini?
Haina maana kununua sukari bei juu kwa maelezo kwamba tunalinda wazalishaji wa ndani,hii ndio nonsense yenyewe.Nimeshangazwa na kauli hii ya Mh Rais, kuita msimamo wa mteule wake Waziri wa Kilimo juu ya kuzuia uagizaji wa sukari nje, kuwa NONSENSE, tena hadharani.
Nimesikitishwa na kauli hiyo kwa sababu mbili.
Moja, public reprimand kwa kiongozi mwandamizi, sidhani kama ni utawala bora.
Na hii naanza kuhisi ile power is getting to the head, and power corrupts.
Pili, nimesikiliza arguments za Mkenda, though pompous, kuna relevance pale.
Argument ni kuagiza sukari kama kuna shortage, si kwa matakwa ya wafanyabiashara.
Sasa wale wawekezaji wanaovipanua viwanda ili ku boost uzalishaji wa sukari, wale ni nonsense?
All in all, Mkenda anapaswa kujiuzulu ku-save face.