Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
Waziri machachari wa Kilimo, Prof. Adolf Mkenda mara baada ya kukemewa na Rais Samia Suluhu kwa kitendo chake cha kukataa kutoa kibali cha kuagiza sukari nje ya nchi kuwa ni nonsense haonekani tena je ameenda wapi?
Sasa hivi kila kona anayeonekana ni Naibu Waziri Hussein Bashe tu.
Sasa hivi kila kona anayeonekana ni Naibu Waziri Hussein Bashe tu.