Hujaona majini wanaokunywa pombe wewe, kuna majini wa ki comoro hao wanaitwa kibuki, hao wapo comoiro na Japan, hata Japan wanaitwa hivyo hivyo kibuki, nilishangaa sana nilipopewa hio elimu na Arsis, amejuaje majini wa Comoro na Japan wanaitwa ivyo ivyo?. Wote wanapiga pombe kali kali tena za ghali, mapombe ya bei kubwa, wewe mzee wa chai huyawezi bei zake.
Wewe naona ndio jana Arsis alisema "they've opened a can of worms", unaanzisha mabo usiokua na uj)uzi nayo.
Leta vitu, watu wafunguke zaidi. Unajua unanikumbusha mengi sana, mimi na Atrsis ni zaidi ya miaka 30 kujuana nae, mengine nayasahau wewe unakumbusha.
Simba.