Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 10,590
- 7,951
Kwa hiyo Waarab ndiyo majini yenyewe na ndiyo maana Waislam pekee ndiyo wanakuwa na majini, si ndiyo? Sijawahi ona mtu aliye safi wa kiroho akawa na majini ni waislam tu pekee. Waafrika tunapigwa changa la macho hapa, tuwaachie Waarab na majini yao.Neno Jinni lenyewe ni la Kiarabu, si ndiyo wenye elimu hao.
Sasa mtu kama Che mittoga unafikiri Kiarabu watamwita "che"? Watamuita Sheikh Mittoga.
Hapo sasa.