Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Okeeeee… lete vionjo tujifunze mambo ya ulimwengu
Soma hicho kisa cha mwisho cha Kojani, Pemba ndio utajua roho za kishetani na kinachawi za wanaojifanya waganga zinavowaumiza watu.


Simba.
 
Kisa hicho cha nwisho cha Simba huko Unguja kimeniliza machozi. Kwa kuwa naifahamu hiyo familia ya Kiunguja, iliowa "toto" la kariakoo, kutoka ukoo maarufu sana.

Dunia ni hatari sana jamani, baba mtu anamtowa mwanawe kwa tamaa za kidunia.
. Arsis karibu sana na kisa cha Adam.

Allah atustiri.
Vipi kisa hicho juu cha Kojani? Wachawi wanadhulumu maisha ya Dokta.
Simba.
 
Nilimaanisha ukiona watu wanakuomba uwape connection ya matibabu ujuwe wapo desperate na tiba,pia ni wewe ambaye umesema mahusiano yako na hao viumbe sio ya Kishirikina sasa unasita nini kutoa connection watu tustafidi kupitia wewe??
Pia baadhi ya maswali haujibu kwa mfano nilikuuliza kuna mahusiano(mechanisms gani kwa watu wenye majini mahaba kuwa na upungufu wa nguvu za kiume!??
Nakuelewa sana unayoyasema. Naomba kukufahamisha kua, mimi jukumu langu kubwa kwa sasa ni kutoa elimu niliyonayo na walionayo viumbe hawa niliojaaliwa kuweza kuwasiliana nao.

Ninaloweza kulielezea hapa na kulitolea tiba, nitafanya hivo, nisiloliweza nitawafahamisha watu ninaowajua mimi ambao kwa kiasi kikubwa ninawaamini.

Ukisoma kisa cha Kojani, hapo juu kidogo, utaelewa kua haya mambo ya shirki yana utapeli na wizi mkubwa sana.

Bado tutaendelea kuyafahamu mengi sana kila tunapoendelea na vionjo vya Arsis.
Simba.
 
Wewe wacha porojo, soma kuhusu kanisa la shetani 👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾

Kweli wewe shangazi ni "hamnazo"
Hili wamekuambia ni kanisa la 'shetani' yaani ni kusanyiko la shetani.
Sasa hapo ukristo unahusika vipi?
Au ulivyoona neno kanisa ndio moja kwa moja ukaunganisha na ukristo?

Jamaa hapo kakuambia ili uislamu usimame lazima majini yahusike iwe mema au mabaya kwa mujibu wa uislam, je kaongopa?
 
Vionjo vya Arsis - Majini ya Kojani- Pemba 1.

nilivyokutanishwa na majini ya Kingazija (Comoros) na Kipemba Kojani.


Baada ya kuongea na mshikjai nikampigia Babu. Baada ya kusalimiana.
Mimi; Babu umesikia kilichokuepo?
Babu; Kuhusu nini Simba nifahamishe.
Nikamuelez kama alivonambia Dokta.

Babu; Hilo nakifahamu, Sheikh...wa Unguja kanipigia jana, akanambia nikujulishe, nikaona saa hizi upo kazini, nilikua nangojabaada ya dhuhuri niku[igoie, Najua hua mnapumzika kidogo.
Mimi; kwa mwanao hapa kuna kupumzika, kama hujajiongeza mwenyewe, hata siku moja hasemi ka[pimzikeni.
Baba; Simba huyo, simba hawapumziki wawe wameshiba.
Mimi; Mwanao huyu saa zote ana njaa?
Babu: Muulize, mtajuana nae wenyewe, mbona mimi unanuliza?
Mimi; Mwanao huyu si unajua haongei ongei sana?
Babu; Simba, huyo achana nae wewe nenda ukapaone Pemba na Kojani ukaone huo mwaka koga wao wa Kojani, nasikia wanatoka dunia nzima siku hio, ha[patoshi. Kajonee huko, umekosa kuoa Unguja labda huko utapata, usinisahau lakini.
Mimi; Babu tunangea vitu serious wewe unaleta mambo ya kuoa?
Babu; hakuna itu seripous duniani kama kuoa, asikudanganye mtu, huyo wako mke ndagu, sasa tafuta asie ndugu. Pemba kuna mitotoya Kimanga huko, Wewe nenda tu babu...


Babu: Sikiliza Simba, wewe ukiweza leo hii nenda kwa Mzee Ali ukamsikilize, maana kishaambiwa bila wewe Dokta haendi, nenda ukamuone, kisha leo usiku nambie. Tena usimpigoie simu kama unakwenda, wewe mstukize tu. Si ulinambia pete uliitumia kujificha kwa mara ya kwanza Unguja?

Mimi; Ndio babu.
Babu; Sasa leo nenda kwake kama ulivyoingia kwa Bi S. Unguja akustukize upo ndani. Haya kwaheri Simba, usiache kwenda.

Akakata simu, nikawa nafanya kazi zangu lakini sina raha kabisa, baada ya kusa alasiri tu nikwamuaga Mzee.

Mzee; Babu yako kakwambia nini, umeongea nae?

Nikamweleza Mzee yote.

Mzee; Sawa, wewe nedna mradi babu yako kakwambia hivyo usitie shaka, na mimi nikitika hapa 11 nakuja huko moja kwa moja, Wewe fanaya mambo yako lakini usiningoje mimi.

Mimi; Nikatoka nikaomba dua ya safari nikaanza.

Njiani nikawa nafikiria ntaiweka wapi gari pale na parking mpaka lifunguliwe geti, likanijia wazo, kuna Kituo cha mafuta pale Buguruni naweza kuweka gari, kuna jamaa fundi pale, gari zake zote hizi za za kisasa tunamtengenezea kwetu.

Kufika, kweli nikamkuta, nikamwambia mimi naingia Buguruni pale nikamwelekeza hakuna parking mtaa ule, akanambia mitaa nuksi kweli ile chukua boda mwanagu, wacha gari yako hapa au nikupe pikipiki utaendesha mwenyewe? Nikamwambia hapana boda tu anatosha.

Nikaenda na boda mpaka karibu ya kufika nikamwambia hapahapa, nimefika. Ngapi mshikaji? Akanambia fundi pale kanambia nisichukue pesa kwako, nikampa buku mbili, nikamwabia basi hii kunywa soda mwanangu. Akanambia hapa Buku tu. Nikamwabia ubani wako huo mwana, usiwe na shaka. Akaondoka zake.

Kufika nyumba moja kabla ya Mzee Ali sikutazama hata kama kuna watu au hakuna, nikaigeuza pete nikaiminya, nikaingilia mlango wa uani kama tulivyoingizwa siku ile noikauta kina mama na kina dada wamekaa hawana habari kabisa, nikaenda moja kwa moja chumba chake cha kutibu watu, kuna watu wa pale pale kwake walikua wamekaa nje mlangoni kama kawaida.

Nikakaa kama dakika tatu nikaona hakuna anaekuja, nikatoka nikatazama tazama uani, wapo watu na shughuli zao kama mwanzo, hakuna hata anaeniona. Nikaingia mlango wa uani wa kuingilia nyumba kubwa, nikasikia Mzee Ali anaongea na mtu zaidi ya mmoja lakini kwenye chumba sio kule ukumbini kwake.

Nikatime mlango nikaona umefungwa, nikiufungua itakua noma.

Nikaenda ukumbini kwake nikakaa peke yangu mara nikasikia mlango umefunguliwa nikasoge wakawa wanatoka ndani, kumbe walikua watu watatu na yeye Mzee Ali, wawili wanaume mmoja mwanamke.

Mzee Ali; Sasa wewe mama na mumeo subirini kule ukumbini tulipokaa kwanza mke wangu lazima akupe nguo za mapambano mupe kama nusu saa mjje. Mimi na huyu bwana tunakwenda, kazi yake huyu ndogo tu. Nikawapita nikaenda chumba chake cha uganga nikawapita wale qa mlangoni, hakuna alieniona wala kustuka kabisa, nikaingia ndani nikakaa nikaiachia pete. Nikamsikia mzee Ali uwani anampa maelekezo mkewe kuhusu yule mwanamke na huku chumbani kwake aletewe ndoo za maji.

Nilikua nimekaa kiti anachokaa yeye, sijui kwanini niliamua hivyo. Cha ajabu nilikua sina uoga wala kuwaza matokeo ya kitendo changu. Mara namsikia mzee Ali mlangoni anamkaribisha mgeni wake karibu bwana karibu.

Akatangulia Mzee Ali kuingia hakuniona au hakutengenmea sielewi, ghafla aageukia mlangoni, karibu, karibu bwana yule mgeni alioingi tu macho yake na yangu, akapiga Salamu alekum, nikaitika Alekum Salam, na mzee Ali ndio anageuka ananiona, nikamuona kama kanitole macho, mdomo kawacha wazi, akapiga kelele kama yowe hivi halafu akaruka juu mara ya kwanza, karuka mara ya pili akapiga samasolti kwa mbele, mpaka nikashangaa, mtu mzima na ana mwili kidogo lakini kapiga samasalti, alipofikia akakaa chini, akatoa macho, akaanza kutazama chumba kizima akawa kama kapigwa ganzi, yule jamaa aliekuja naenkasimama karibu ya ukuta macho na kijasho chembembamba kina mtoka, hajui kinachoendelea.

Mzee Ali; Salaam, salaam salaam. Nimekuja kwa amani, nilikua nategemea utakuja lakini sio kimya kimya. Akamgeukia mgeni wake, kaa chini, huyu mhgeni wangu pia.

Mgeni; Au niwapishe?
Mimi; Kaa chini, hakuna siri inayotoka nje ya chumba hiki.
Mzee Ali; kaa bwana kaa.

Nakajua alikuwa sio yeye kwanza anaepiga samasamasolti, sasa ni yeye anaongea.
Mzee Ali; Bwan Simba, hali yako bwana?
Mimi; Sisi salama, wewe tu?
Mzee Ali; Nyie watotohapoo nje, hebu njooni haraka.

Hosi hodi. Mzee Ali piteni, ile kuingia tu.
Mzee Ali; kwanini anakuja mgeni hamnambii mnamkaribisha humu ndani peke yake?
Mabinti: Hakuna megni aliyekuja Baba.
Mimi; Mzee Ali, hawakuniona hao, hii habari yetu haiwahusu hao, waache wakafanye yao.
Mzee Ali; haya nendeni. Bwana Simba mbina umenistuwa, leo mpaka kaja mwenyewe hapa. Habari kubwa hii. Haya nambie bwana Simba.
Mimi: Mzee Ali unasema ulikua uanjua kua nitakuja, haya nambie wewe.

Mzee Ali; Bwana mgeni tafadhali katungoje pale ukumbini tuna mazungumzo ya faragha kidogo na bwana Simba hapa. Samahani sana.

Nikaona yule mgeni kama kashukuru kutoka nje. Akatoka nje.
Mzzee Ali alikua kasimama.
Mzee Ali; Nikae chini mkuu?
Mimi; kaa tu, usiwe na hofu, wala usiwalumu wanao au yeyote yule hakuna alieniona nikiingia, mimi nilikua na nyinyi toka kule mlipokaa na wale wengine, si umewaambia atakwenda mkeo kumpa yule dada nguo za mampano? Nakueleza hayo ili ujue kua nilikua na nyinyi. Sasa sema ukweli wako, uwe ukweli mtupu.

Mzee Ali; kama kashikwa kigugumizi cha mbali, Sikiliza Simba, mimi niliambiwa utakuja lakini sikujua kama utakuja ghafla hivi, nilijua utakuja Dokta akiwepo hapa ili tuongee na wewe habari ya safari.

Mimi: Ongea yote, Mzee Aliaua nikuulize ujibu maswali?
Mzee SAli; Itakua vozuri maana sijui yepi ya kuongea yepi sio ya kuongea.
Mimi: Hii safari ilikua ya Dokta tu, kwanini sasa iwe na yangu?
Mzee Ali; Nilipata maelekezo kwa huyu Mkuu aliekuja hapa sasa hivi, hakukaa lakini kaondoka haraka, kanambia niyamalize haraka na niseme ukweli mtupu, kama ulivyonambia wewe.
Mimi; Nataka kujua kama nilivyokuuliza, tafadhali kila unavyochelewa unazidi kuwachelewesha wageni zako.

Mzee Ali; Mimi ndio mkubwa wa shughuli inayofanyika nyumbani, ilikua niende na dokta poeke yake, lakini nimeletewa habari kua kuna watu wetu aliokua nao Dokta tunamtazama hali yake, wameshikwa wote na hakuna njia ya kuwawachiwa walioshikwa mpaka tukamuombe msamaha mbele ya wakubwa kojani na wewe tukuombe usaidie ili watu wetu wapoatikane.
Mimi; Wangaoi watu wenu?
Walioshikwa ni site lakini na wanaopokezana nao kumi na mbili nao hawajashikwa wapo nyumbani lakini wamezuliwa kufanya kazi yoyote si kwa Dokta si kwengine. Wakubwa wakajua kwanza ni Vibuki, vibuki sisi tunaviweza, lakini imeonekana hii nguvu kubwa inatokea kwako na haiwezekani kuwakatali, tutasambaratishwa Kojani nzima. Huo ndio ujumbe nilioletewa, kwa hio ilikua ukija nikuombe twende wote Kpojani.
Mimi; Bado hujasema ukweli, wakubw azako wamekwambia uniombe mimi twende kojani?

Mzee Ali; Hapoana Bwana Simba, hilo nasema mimi, wao wamenambia utakuwepo Kojani nikukaribishe kwa salama na amani na wamenambia ukija hapa nikukaribishw kwa salama na amani.
Mimi; Sasa kwanini wewe umetaka nifatane na wewe Kojani?
Mzee Ali; Nimewaz hio ndio itakuwa wepesi maana nimesisitizwa asikose Dokta kwenda, hivi kabla ya hao wageni kuja nilikua naongea Dokta namsisitiza kuja, lakini Sheikh kamwambia asije huku kwangu bila wewe, ndio nikajua mtakuja niwaombe twende sote.

Mzee Ali; Wanataka ukaombe msamaha wa nini kwa Dokgta huko Kojani?
Mzee Ali; Yamenikuta, hayasemeki lakini nabidi niyatapike.
Mimi: kama unavyotapisha kiuongo? Hapa ukisema uongo Dokta haji na unajua ndio utakua mwisho wako wa kukaa Dar?
Mzee Ali: Simba, nisamehe sana, ngoja nikwambi ukweli Mkuu. Mimi natafuta rizki tu, yale mambo ya kuwatapisha watu ni kujongezea kipato tu.

Mimi; Sikukuuliza hayo yote, jibu nililokuuliza, nilikupa fursa ya kuongea mwenyewe ukawa huongei, sasa nakwambia, kama hujajibu swali ninalokuuliza, urafiki wetu unaishia hapa na ujua hato jini yeyote kukusaidia utapeli wako, na wala hakua takaepandisha jini hapa kwako.
Mee Ali; Hilo nimeliona, hata yule mwanamke ilikua apandishe hukohuko tulikokua nae nikaona ajabu leo hajapandisha, ndio nikasema nimuhamishie huku.
Mimi: kama hujajibu swali, hatopandisha na utakua huna ujanja, si unaona hata huyo mkuu wenu kaja kakimbia kuniona mimi hapa?
Mzee Ali; Nisamehe, naanza kukujibu. Mi nilikua nakwenda kumuomba msamaha kwa uongoniliomfanyia. Na nimemrishewa nipiga hesabu ya pesa zote nilizochukua akarudishiwe mbele ya wakuu huko na wewe niliambiwa utakuwepo huko, nikuobe msamaha pia kwa kufanay uongo mbele yako na babako.
Mimi; Kwanini unamtaka Dokta aje hapa?
Mzee Ali; Ili nihakikishe anakuja Kojani, tukawatoe hai wanaonisaidia kazi niwarudishe kwao nipewe wengine.
Mimi; Kwanini hujawarudisha hapa ulipompachika nao?
Mzee Ali; Imeshindikana bwana Simba, mpoakawakubwa wamejaribu kuwarudisha kule imeshindaka, hata hawaonekani kabis, hatujui walipo lakini tunajua nguvu sako ndio zimewazuia.
Mimi; Nani kakwambia hivyo?
Mzee Ali; Huyu aliekuja akaondoka hapa, na yeye anaambiwa na wakubwa ake.
Mimi; Mwambia aje.
Mzee Ali; Huyu bwana akija anapirika nyingi sana, si umeona alivyokuja kwanza?
Mimi; Usiogope, mwambie aje, au nimwambie mimi?

Nikamngoja kama dakika tatu.
mzee Ali; Namwabia lakinihaji kabisa, sio kawaida yake. hua nikimwita tu anakuja, hachukui hata nusu dakika.
Mimi; haya tulia, mimi nimeshamwita anakuja, na hafanyi fujo yoyote leo.

Mzee kama akatingishika kidogo tu.
Mzee Ali Salaam, Salaam Salaam, nimekuja mkuu kama ulivyoniita niko chini ya amri yako.
Mimi; Anakusikia huyu?
Mzee Ali; Ndiyo ananisikia.

Mimi: Haya mwambie kinachoendelea na nini kinatakiwa kifanyike haraka sana, au wewe na yeye unajua kitakachowapata. Ilikua kama sauti ya Jini 2 inanambia niseme nini.

Mzee Ali; Sikiliza kiti, huyu Simba ni mkubwa wa wakubwa zetu sisi na wote wanamuheshimu sana na hawataki hata kuwaza vita na ukoo wake na marafiki zake. Kw ahio Ali, umkatie tiketi ya ndege huyu na Daktari ya kwenda na kurudi Pemba, wiku moja kabla ys shughuli kubwa na siku moja baada ya shughuli kubwa, bila hivyo itakua fedheha kubwa Kojani, sherhr haitofanyika kabisa.

Mpigie yule mteja wako anafanyua kiwanja ya ndeh)ge, anajua namna ya kutaka tiketi na namna atavyowapa hawa. Wewe kama utamlipa yule au humlipi mtajuana nae yule. Hii haina mjadala. Wamesema wnajua wenyewe pakufikia na wanajua wenyewe watfika vipi Kojani, wewe wape tiketi zao tu leo hii, zowe na tarehe ya kwenda na kuondoka, ukikosea shauri lako.

Mzee Ali; Kunalingine Mkuu Simba?
Mimi' Ndio, nataka heshima na adabau kuanzia leo, wewe na wakubwa zako na huyu mjinga wenu mfahamisheni. Akikuita tena uje kama kawaida yako usichelewe. Mengine, sisis gtunajua tuongee vipi na wakubwa zako bila kupitia kwa huyu mwizi mwenzako.
Mzee Ali; Nimekuelewa mkuu, naomba niondoke.
Mimi ; Haya kwaheri.

Hakuna cha samasolti wala nini.

Mzee Ali; Samahani Simba, naomba niagize naji a kunywa.

Mimi; Agiza, harakanataka kuondoka.
Mzee Ali; Nyiiie Mabinti leyteni maji chupa mbili haraka.

Mabingti wakaleta maji Mzed Ali wakanywa na mimi nikafungua nikanywa, kuonesha ustaarabu. Mzee akayagida chupa nzima.

Mzee Ali; Nashukuru yameisha salama, Sasa bwana simba kwanza naanza kukuomba msmaha hapahapa mradi mmeongea na hawa wakuu, mimi nikutimiza tu, sasa hizi napigia simu yule binti afanye tiketi, naoimba nimpe namba yako akitaka majina au maelezo mengine. Wewe mpe maelezo yote, leo huyajui majina ta Dokta? yake nayajua yote mpaka la mamake. Yako bwana Simba ndio sina. Nikamwabia haya andika jina langu kamili, Wee binti njoo uandike haraka, akaja binti mmoja mkubwa mkubwa hivi Haya andik, nikampa tena majina, yule binti akawa anayaandika kwenye simu yake.

Mimi; Haya mimi naondoka akiwa gtayari na tiketi ndio anijulishe, leo hii hii baada ya lisaa limoja asinitafute kabla.

Mzee Ali; Sawa bwana Simba, ahsante sana tutawasiliana.
Mimi; Usiwasiliane na mimi wala Dokta kuanzia leo, wasiliana na yule mwizi mmwenzio, nimeshamwambi aje ukimwita. Huamini?

Mzee Ali; hapana, Bwana Simba nimesema kimazowea tu.

Nikanyayuka huyo nikatoka, nikajua wambea walikua wansikiliza mlangoni, na mkewe kakaa nao. Nikatoa Salaam nikaitikiwa na wote mbio mbio. Nikatoka langi uani, kutoka tu nje nikatazama kushoto nikaona Gari ya Mzee, nikawa sina haja ya kuminya pete nikaifata gari, nikaona yupo ndani na mshikaji.

Majini ya Kojani, Pemba 2
Majini ya Kojani, Pemba 3
Majini ya Kojani, Pemba 4
Majini ya Kojani, Pemba 5
Majini ya Kojani, Pemba 6
Majini ya Kojani, Pemba 7
Ichi kipengele nimecheka kijinga sana , mzee ,kapiga samasoti ,dunia sio fair
 
Hakuna cha ligi wala nini.

Sisi Wakristo tunatambua kuwa hakuna Majini Wakristo.
Na Kuna Aya nyingi sana zinazo tueleza kuwa Majini ni pepo wachafu fullstop.

Na sijui ni kwa nini baadhi ya Waislamu wanashinikiza kwa nguvu zote kuwa kuna Majini Wakristo.

Kwani Majini wakiamua wenyewe kumwabudu Mungu wao kupitia Dini ya Kiislamu kuna shida gani ?

Nasema tena Wakristo wote kupitia mafundisho ya Manabii wao wanafundishwa kuwa Majini yote ni maovu.

Kama Majini waliamua kutubu na kuwa Waislamu sisi Wakristo hatuna shida na Hilo.

Ila kauli ya baadhi ya Waislamu kuwa kuna Majini Wakristo bila kuleta ushahidi wowote wa kimaandiko tunaiona ni kauli ya kupuuzwa tu.

Narudia tena, hakuna Mkristo anaye amini kuwa kuna Majini Wakristo. Ndivyo tulivyo fundishwa na Manabii wetu.

Mambo ya Walawi (Lev) 17:7 Wala hawatatoa tena sadaka zao kwa wale majini, ambao huwafuata ili wafanye uasherati nao. Sheria hii itakuwa sheria ya milele kwao, kizazi baada ya kizazi.

Huu ndi msimamo wa Wakristo wote.
Naomba ieleweke hivyo.

Majini ni Waislamu na Aya Zipo nyingi tu.
وَأَنَّا مِنَّا الْمُسْلِمُونَ وَمِنَّا الْقَاسِطُونَ ۖ فَمَنْ أَسْلَمَ فَأُولَـٰئِكَ تَحَرَّوْا رَشَدًا

(AL - JINN - 14)
Na hakika wamo katika sisi Waislamu, na wamo kati yetu wanao acha haki. Basi walio silimu, hao ndio walio tafuta uwongofu.

NB:
Kama Kuna kauli tofauti tunaomba ushahidi wa Kimaandiko na sio kuongea hewani tu.
Hilo la kuwa hakuna majinni wakristo, sikupingi. Tunavyoelewa sisi majinni wanaishi umri nrwfubkukiko sisi sasa qai wanaelewa hakuna dini ya Kikristo, ni mchongo wa kishetani tu, sasa jinni atakuwaje mkristo? Haiingii akilini, si atakuwa poyoyo huyo kama wewe?
 
Hilo la kuwa hakuna majinni wakristo, sikupingi. Tunavyoelewa sisi majinni wanaishi umri nrwfubkukiko sisi sasa qai wanaelewa hakuna dini ya Kikristo, ni mchongo wa kishetani tu, sasa jinni atakuwaje mkristo? Haiingii akilini, si atakuwa poyoyo huyo kama wewe?
Gazeti lenu lina maandiko ya kupinga dini zingine??
 
Hilo la kuwa hakuna majinni wakristo, sikupingi. Tunavyoelewa sisi majinni wanaishi umri nrwfubkukiko sisi sasa qai wanaelewa hakuna dini ya Kikristo, ni mchongo wa kishetani tu, sasa jinni atakuwaje mkristo? Haiingii akilini, si atakuwa poyoyo huyo kama wewe?
Jini akiambiwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth lazima atoke nduki.
Maana ni jina lenye nguvu sana hao viumbe waovu hawawezi kulihimili.

Jini hawezi kufundisha kuhusu ukristo maana atakuwa anajihukumu.
 
Soma hicho kisa cha mwisho cha Kojani, Pemba ndio utajua roho za kishetani na kinachawi za wanaojifanya waganga zinavowaumiza watu.


Simba.
Dunia ina mambo hii…. Mungu atunusuru watu wake🙌🏽
 
Vionjo vya Arsis - Majini ya Kojani- Pemba 7.

... Muda ulipofika tukaondoka kama walivopanga wife na Dokta.

Tukafika kituo cha Kojani, tukashuka nikwambia drereva wewe nenda tu tukikuhitaji tutapiga simu. Tukaagana akaenda zake.

Tukatembea kidogo kuna kama nyumba nyumba mbili tatu, moja ina kama kiduka hivi kutaka kuingia nasika Sheikh Simba, kutazama nani ananitta nikaona Mzee Ali. Tukasalimiana wote. Nikamwabia wife huyu Ndio Mzee Ali, nikamwabia huyu mke wangu, Nikamhizi Mzee Ali anajaribu kujiweka kawaida lakini hana raha kabisa na sisi, inabidi afanye.

Mzee Ali; Sheikh karibu sana, naona pale kuna wageni wako ndio nilikua naongea nao hata mliposhushwa na gari sikuwaona, wametokea Tanga, wanasema na wao wamekuja kwenye sherehe zetu, uliwaambia waniulize mimi bahati na wao walikuja duka hilihili kuniuliza, hilo duka ndio kitu cha wageni wote. Twende tukawaone wageni, tukaenda wote walikua wamesimama upande wa pili, hilo duka lilikua kwenye kona, ya kushukia chini kupanda boti au ngatrawa, kuvushwa kwenda Kojani, tukjasalimiana na Bakora na Jini 1 na Jini 2, walikua kama mtu na mamake kabisa. Nikamwabia Sheikh Ali mtatambuklishana wenyewe lakini kweli hawa wageni wangu wapo na sisi.
Mzee Ali; Kareubuni karibuni, twendeni tuvuke. Dokata, wife wangu yupo nyumbani alikua anawatayarishia chakula, yeye kashindwa kuja kuwapokea.
Dokta; Hakuna neno.
Mimi; kqwa kua Mzee Ali kaja mapena kidogo hatruna haja ya kusubiri, naiona Kojani yenyewe si ndio hiyo mbele yetu? Tutasali hukohuko mchana.
Mzee Ali; Ndio hiyo, ukifika hapa ndio ushafika Kojani, hii kuvuka haicuhukui hata dakika tano, maji ya kikupw tubatenbea kwa miguu.

Tukaenda ytukapanda ngarawa kubwa hivi, wote tukaingia, sisi na kina Bakora.

Tuliposhuka tukaanza kuingia mitaani, ni vichochoro vidogo vpdgo nyumba kwa nyumba kama dakika kumi hivi tukafika kwake, nyumba yake ndio ilikua na hadhi naona, lakini hata sijui imejengwa nadhani kwa mikoko lakini sina uhaki, akatukarib9sha ndani mkewe akaja akawakaribisha kina mama ndani. Mzee Ali sisi tuwahi msikitini jamani, poamesha adhiniwa, tukaenda tukasali dhuhr tukarudi.

Kurudi tukakuta chakula wali w maana, samaki wa cchukuchuku lkini samaki kweli wa kula wageni na wengine wamekaangwa. Tukaanza kula wanaume wote wanawake walichukuliwa ndani huko. Tulipomaliza Mzee Ali akaleta kahawa kina mama nao wakawa wameshakuja tukakaa nao kama ukumb lakini una kitanda, tumeenea wote.

Bakora: Sasa Masheikh trusipooteze muda kwa kua sote ni wahusika na hakuna mgeni hakuna siri tufanye kilichotuleta ambacho ni muhimu kabla ya sherehe.

Mzee Ali; Sawa, basi tungeanza safari si mbali ni hapo juu kidogo, kule ndio sehemu za juu za kisiwa cha Kojani, tutatembea kidogo, wote mpo sawa kutembea? Mkewe Mzee Ali akasema, mimi nipo siendi, wageni zangu mtanisamehe.++Bakora: hayta sisi tuanze safari, tuatoka, wakati tupom njiani.

Bakora: Mimi na Mzee Ali tumekutrana kabla hamjaja na kishafahamishwa na wakubwa zake kuwa mimi nipo na wenzangu tupo na wewe DSheikh Simba, sote ni wageni kwa sshughuli hio hio, au sio Mzee Ali?

Mzee Ali; Naam, Sheikh, mimi nashkuru kua mmeacha kazi zenu kuja tuyamalize mambo ya huyu binti na yangu, maana leo ndio shughuli imeshaanza, pale tuliposhuka tumekuja huku kushoto, tungeenda kwa kule kulia mngeona ng'ombe walivojaa kwa shughuli hii hii ya leo usiku na kesho. na bila kumaliza hili jambo letu inakua ugumu sana kwangu. Nawashukuru san tena sana...,

Tena Dokta tumetoka haraka nyumbani kunamzigo wako ilikua nikukabidhi kabla hatuja huku ninao hapa bora nikupe kabisa mzigo wako. Mzee Ali akajisachi akatoa bahasha ya kaki nzito tu. Hii Dokta amana yako.
Dokta; Amana ipi tena?
Bakora: Mimi naona ishike kwanza Mzee Ali, tukifika hapo kabla ya kuanza shughuli mtaeleweshana, hapa njiani haina haja, au sio Sheikh Simba?

Mimi; kweli, maana tunatembeana maongezi haya haipendezi.

Mzee Ali, ni hapo mbele kidogo tu, tumeshafika, sema leo huku kutakua na wageni wengi wankuja kwa ajili ya hii shughuli.

Hatukwenda sana tukafika sehemu kama ina uwanja hivi halafu kwa mbele kuna kama lango la pango hivi,. kuna watu watu pale.

mzee Ali; Ni hapa jamani, lakini naomba twendeni pale pembeni tukamalize kukabishiana amana yetu.

Tukaenda pembeni kuna kivuli cha miti moiti pepee chini tukakaa pale, Mzee Ali akaitoa tena bahasha, akaanza.

Mzee Ali; kwanza ndugu zangu mliopo hapa wote, kwa kuijutia nafsi yangu na jina langu nakuomba sana Dokta unisamehe sana makosa yote niliokufanyia, unayoyajua na usio ya yajua.

Dokta: hakuna kosa ulilonifanyia lakini binadam hatujijui tusameheanae sote pengine tunakoseana bila kujua.
Bakora; Kwanza naomba niongee kidogo msione vibaya, nyinyi hamnifahamu, mimi ni trafiki yake sana babu yenu wewe Simba na wewe Nisha, nyie mnanijua, Nisha umenina ona tu kwa babu yako unanijua klakini sio sana, Simba swahiba yangu hapa ananifahamu vizuri sana. Mimi nimekuja kwa sababu mbili hapa Kojani, ya kwanza ni hii iliotulet hapa sasa hivi na hii ni ya msingi ya lili na mimi miaka mingi naisikia sherehe ya kila mwaka ya Kojani nikaona ndio fursa na mimi nije kuiona>Umenikumbuka Nisha, mimi rafiki ya Simba?

Nisha ; Sasa nakukumbuka tokea mdogo nakujua kwa babu, tunakuita Mzee Bakora, Bakora yako hio kama ya babu na mume wangu.

Bakora; Ndio wote wananita hivoi hivo Bakora ndio imekua jina langu kwa sababu siiachi hii imekua ndio alama yangu. Akacheka.

Sasa Mzee Ali tusizungushe maneno muda unakwenda, bira uingee moja kwa moja kama kuna mtu analake atasema, hakuna siri, sisi sote wamoja hapa. Tuokoe muda tufanye mengine, au unasemaje Sheikh Simba?
Mimi: Unayosema kweli.
Mzee Ali; Dokta, mimi nimekufanyia makosa, tena makosa makubwa sana ambayo hata kuyakiri inakua vigumu lakini inabidi niyakiri ili niishi kwa amani, sitokua na mani maisha...

Mimi Dokta nimekukosea namna tatu kuu. Kwanza ulipoojulishwa kwangu na baada ya kukutazama noilijua kua voiumbe uliokua navyo mimi siwezi kukuagua lakini nikakuficha, nilijua kua wewe unasumbuliwa na viumbe aina ytatu, kimpja ndio huyo aliekupenda, nililiona hilo, halafu ulikua na viumbe amabyo ni kizimu ya kikwenu ya kibuki ya upande wa kuumneni kwa na kukeni kwako. Ndio maan nikashikilia sana uende ukawaone wau wa vibuki ndio aliekujulisha mikamwambia kwa nia njema kabisa atagfute huko Unguja ndio kuna wataalaam wa vibuki, ikaonekana vibuki wako, wapo wanaoweza kutulizewa Unguja na wengine wa uonade kikekeni kwamkoi ni laima uende kwenye shina huko kwenu Anjuani, Ngazija huko. Hayo yalikua ni ukweli nililokudanganya ni kua tunaweza kuyashughulikia sisi. La pili nililokukosea, ni sisi katika kazi zetu huwa tunavitumia vijini viwe na wewe ili viwe vinatupa habari zako zote ndio maana ulipokua unakuja kwangu niliweza kukwambia mambi yako, wala sio siri niliwaweka mimi hao viumbe muda wote. Lingine mama nililkusoea nile kukutapisha amaba nilisema uchawi, ile mama ni mchezo tunacheza wa mazingaombwe hata utazame vipi kama hujui tunachokifanya huwezi kuelewa wala kuona. Kwa hio mama hakunauchawi tuliokutapisha wala chocote, Nisamehe sana kwa hilo mama. Ni hayo mama.
Bakora: bado, sema kweli, mimi ninz(azo habari zote si unaju akua nimekutana na wakubwa zako? Au niseme ka unajifanya umesahau?
Mzee Ali; Nisamehe, mambo mengi kichwani kwa sasa.
Bakora: nakuonya kwa mara ya mwishi, unakumbuka siku huyu binti aliokuapa shillingi millioni moja?
Mzee Ali; Nimekumbuka sana, mnisamehe mimi hilo lilinitoka kabisa, kweli mniamini siwezi kudanganya kuna wakubwa zangu wanayaona na kuyasikia haya mambo.
Bakora; haya jielezee, tumekuelewwa kua ulisahau, sasa umekubuka.

Mzee Ali; Siku ile vile vile ilikua ni azingaimbwe tu, yale machupa mahirizi tuliofukua yalikua ni yetu wenyewe wala htukufukua pale tulipochimba. Tulikua tundanganya ytujipatieiea pesa tu. Niasamehe sana mama.

Bakora; kuna ingine?
Mzee Ali; mengine ni ya kusema sema uongo tu kwa ninayiambiwa na majini walikuwa kwake, najifanya kama ni mtu wa ajabu sana ninayajua majina mpaka ya ndugu zake, mpaka watu wa kazini kwake, kwa ufupi kila kitu hake, majini yalishikwa ndio yalikua yananiletea habaro hizo zote. Ni ujanja wa kawaida wa ma,bo yetu ya shirki.
Bakora: baado hujamaliza, nakukumbusha najua hili huwezi kulikumbuka kwa kua hili lilikua bado mnalipika halijatendeka. Sema tumalizane.

Mzee Ali; Nimekuelewa. Bwana Bakora; Dokta kumradhi mama nisamehe sana tulikua tunakutengenezea sihri iliukirudi safari yako ya Unguja yukunyweshe, ilikua ya mambi maiwili, moja tunakutia ugonjwa mdogo tu, wa kuumwa na kis)chwa na kila ukiumbmwa na kichwa lazima uje kwangu ndio nikupe tiba ya kukutuliza. Hilo mama tulikua tunalifanya ili kujipatia kipato cha mara kwa mara. Ni dhulma mama. Nisamehe sana lakini halikujaaliwa kufanyika, toma siku aliokuja huyu bwana na babake nyumbani kwangu, sikudhania kama wao ndio wenye nguvu ya kuharibu mambo, mpaka mlivokua Unguja ndio nikawa siwaoni majini nilowapa kazi yako, ndio wakubwa zangu katika kuwatafuta wakasema wamefungwa lakini hatuwezi kuwaona mpaka atake Simba hapa. Ndio hayao mama.

Dokta na mke wangu nikawaona wameanza kulia.

Bakora; Sasa sikilezeni kna mama apoleni sana ndio ulimwengu na waliwengu walivyo. bado, hayo yako mama madogo sana. Utayajua mengi ya wengine kenye hii safari, hii ni fsagari ya kufungua macho yetu wote. Haya kuna mwenye swali?

Mimi; Ndio, mimi nina swali au maswali. kwanza nagtaka kujua mmzee Ali majini unayoyatuma unayatoa wapi. Sitaki kudanganywa, kila kitu kipo wazi sasa.

Mzee Ali; naapa sitodanganya. Nimeshaona nikidanganya au nikificha neno najiharibia mwenyewe. Mimi bwana simba najua kutuma majini aina tatu.

Aina ya kwanza ni hawa wakuleta habari, hao tunawita saatulkhabar, kai yao ni hio tu, na hao ni majini wa hapa gtulipo, Mimu wao na wakubwa zao wapo hapa, na hivi navyokwambia wapo na wengine wamefungiwa humo ndani hawawezi kufanya kazi yangu wala ya mwengine.

Majini aina ya pili nyoweza kutuma mimi ni ambayo wengi wanayaita ya kutengeneza, lakini kiukweli huwa hatutengezi isipokua hao ni majini ya kishetani yapo kial kabila lakini ni yale maovu kabisa yenye ushetani yaliogoma kabisa kutubu, Sisi tunatengeneza mawasiliano nao na kwa kutumia njia zao wenyewe waliotufundisha na katika hayo mawasiliano tunawaahidi tutawatimia wayatakayo na tunamtafiuta yule wa ile kazi tunayoitaka sisi kwa funi tunaweka majina ya huyo anaetakiwa ashulikiwe nayo basi inakua ndio tumemaliza kulitengeneza.


Majini aina ya tatu, hivi ni vivuli tunanunua aidha iwa watu wenye kazi hizo au kwa majini wenye kazi hizo, lakini kwa kuepuka mashrti mengi ya majini, ndio tunavinunua hoivo vivuli kwa wagtu, hawa wa namna hii kazi yao kubwa kuaharibu kufanya mambo machafu.

Mfano kumuharibia mtu mvuto wake, na ndio ukenda kwa mganga anakwambia nyota imechafuka, hakuna cha nyota wala nini, inakua kishajua ni vivuli tu hivyo, ukimlipa naviondosha kama anajua namna zake, na yeye anavichukua anaviuza tena kwa wengine.

Ndio hivyo ninavyovijua kuvifanya mimi kuhusu majini.

Dokta alikua analia tu, kimya kimya lakini kwa kwikwi.

Wife: laanatullah aleik, mzee Ali, tazama kitambi chakula haramu tu.

Mimoi; Tulia mkwe wangu ndio yamekwisha tena.

Bakora; Haya ulikua unagtaka kumpa nini?

Mzee Ali, hii bahasha ina oesa nimejaribu kupiga hesabu nilizoshukua kwake nimepata kama millioni tatu, nilimpa laki tano kwanza na hizi kwenye bahasha millioni mbili na nusu. Naomba sipokee Dokta nihaki yako, unisamehe sana.

Dokta: Mimi sikusamahe duniani na akhera, yaani shida zangu nimekutaji bado unanitumia vijini, na unataka kuniroga juu ili niwe knakuchumia wewe tu? Unafikiri hovyo vi milioni tatu vyako ndio vitanitusha roho nikusamehe, wewe umeoiga hesabu ya ulizopopkea wewe tu, umepiga hesabu ya muda wangu, umepiga hesabu y asafari zangu za nenda rudi? Umepiga hesabu ya mawazo yangu kwa kujidai kunipa faraja kumbe unanimaliza zaidi. Sikusamehi na hivyo vijini vyako.
Bakora; Ali leo hii utatafuta millioni kumai utampa huyu binti, sisi tumeshawawka vijini vyenu hapo kwenu kabla hata hamjaja hapa, lakini tumevufunga kufanya kazi yoyote na leo kama hukuleta millioni kumi, usiku ndio kazi yako sijui utaifanyaje, ndio mwisho wako leo.

Mimi; haya twendeni jamani, kama tumemaliza hakuna cha kungoja.
Wife; kama yamekwisha na hio sherehe yao ya kishetani hatuna haja ya kukaa kuiona, twendeni zetuni.

Mzee Ali; Akapiga yuwe kama siku ile pale kwake akapiga smasolti na kitambi chake, mimi nikashidwa kujizuia nikacheka, m0aka dokta na wife wakacheka,

Wife; Nini tana jamani?mbina imekua sarakasi?

kitu kimojawapoi nnachopendea mke wangu, hana uoga kabisa kabisa, yupo straight firwarda na manweza kua na mawazo au mmekasirika yeye akaleta utani kwa kuwatuliza. Ni kama Zee tu au babu tu. Hata mimi hiuwa nastuka na kuogopa saa zingine, wao sijawahi kabisa kuwaona wakiopa jambo.

Mzee Aki akaongeza yome wakapiga samasolti nyingine kama mbili.
Mzee Ali; Salaam Salaam Salaam, wageni mnisamehe sana, leo mmekuja kwangu kwa amani lakini mimi nikasirishwa sana na huyu Ali, katutia aibu Kojani nzima. Samhani sana, mimi naondoka nilija kuwasalimia hapo kwenye hio mlango ndani ndio kwangu. Karibuni sana. Msee Ali akajibwga chini, nikajua jini samasolyti limeshakitoa.

Mzee Ali akaaa chini pale kapigwa na butaa kama dakika tatu, kimya kabisa akaanza kutazama kote, akaanza kulia alipomaliza kulia.
Mzee Ali: jamani mimik ndio basi tena, leo hii sasa hivi nakwenda kuwapa millioni kumi na hizi chukueni jamani, sasa hivi nyumbani kwangu ninazo. twendeni jamani, mimi nimeambiwa nisiguse humo pamgoni mpaka nimalizane na nyinyi, mpka nihakikishe mnaondoka Kojani salama kabisa. Twendeni tukamalizane mimi jipagte kurudi huku.

Tukaondoka pale pangini krudi kwa mzee Ali, kufika kwake nje tu, Dokta akasema mimi siingii ndani kwa huyu mchawi, handbag na bag langu nitoleeni asije akalishindilia ma uchawi yake mbwa huyu.
Wife; na mimi siingii toni vitu vyetu wote jamani.

Tukaingia mimi na bakora hata jini 1 na 2 wakabaki, mkewe akatoka.

Mkewe: Kuna nini jamani mboina Mzee a)Ali anasema mmegoma kuingia kwangu jamani, njooni jamani, nawaomba mimi.

Kinamama kimya hawajamjibu kigtu akrudi ndani, Mzeae Akaingia wapi sijui huko ndani hakuchelewa akatoka na bahasha nyingine nene zaodo na ile ya kwanza anayo.

Mzee Ali; Naomba nbwana Bakra uingilie kati mnisamahe sana, nagfafahamu makosa yangu si madogo ni makosa ya kuuliwa kabisa, natoa ahadi moja kwenu kuanzia leo nitanya tiba za halali tu na nafanya toba, hii kazi mimi basi tena na hio sherehe yao potelea mbali. Hizi mama Millioni kumi kawa shinda nilizokupa, nafahamu, shida zako hazina thamani ya kuzilipa, lakini hii inakua kua ni kifuta machozi na tushuku Mwenyezi Mungu kuwa kupitia kwangu umejiposesha wewe na umeniokoa mimi nianze kufanay toba, na kilinge cha Buguruni kuaniza sasa kimefungwa rasmi. Mimi sina zaidi Bwana Simba, Sina zaidi Bwa na Bakora, mshikieni hizi huyu bibi twendeni niwasindikize maanake hata nyinyi mmeisikia amri iliotoka nihakikhshe mnatoka Kojani salama.

Tukaanza kuondoka yeye tukamwabia pita mbele utuonhgoze niia, akapigta mbele huku bado analia,

Tukafika kivukoni tukapanda nae ngafrawa kama tulivokuja hatujakaa sana, kumbe wakati tunaondoka kwa Mzee Ali mkw)e wangu alipiga simu, kukawa kuna gari haipo mabli sana sisi ikaja kutuchukua, Tukaagana pale Bakora akasema nyinyi nd)endeni, Dimba chukua pesa hizo, msiogope, kama alivosema za kufutia machozi.

Mimi nikachukua bahasha zote mbili, nikamwambia mzee Ali nakuomba kauli yako ya toba iwe ni kweli, hio ni ahadi kwa Mwenyezi Mungu. Tukarudi zetu hoteli.

..

Vionjo vya Arsis - Majini ya Kojani- Pemba 8.

Tuliporudi hoteli, Dokta macho na sura vimemvimba kwa kulia.

Wife; Mume wangu mie nakwenda kukaa na Dokta chumbani, nakuacha peke ako ukinihitaji nipo kwa Dokta, leo si vizuri kumuacha peke yake, she needs a shoulder to lean on.

Nikamwambia, Poa. wakaenda kwa Dokta mimi nikaingia chumba chetu, noikakoga, nikapiga piga simu zangu, kumaliza tu, Mlango ukagongwa nikajua staili ysa Jini 1. Nikamfungulia, baada ya kusa,limiana...

Jini 1; Simba unawabadilisha watu kama babu yako. Mzee Ali huko baada ya wewe kupokea zile pesa kawachiwa afanye kazi zake lakini azifanye kihalali, akirudia kufanya mambo yake ya kishenzi, sasa watajuana Kamanda na wakubwa zake. Vijini vyake vimeachiwa vyote lakini Kamanda ana masharti yao ya kijini anayajua mwenyewe, ukitaka kuyajua wewe utaongea naArsis, hata mimi siyajui..


Kilichonileta hapa. ni kuwaambia msisafri leo wala kesho, kaeni siku zenu kama mlivypokusudia, na wewe leo fanya kila njia uende Kojani ukaione sherehe yao, huna cha kuogopa, na hivi mkeo analala Dokta itakua wepesi kwako, sisi wite tutakuawepo huko, kuna surprise yako.

Mimi; Hata wewe jini unajua "surprise"?

Jini 1; Hivi elimu yote ninayopata kwa Arsis nisijue ' surprise"? Mie nasoma wewe usinione hivi, mwenzako nipo form Vi Sasa hivi karibu namaliza niingie chuo kikuu.
Mimi' Chuo kipi, cha Kijini?
Jini 1; Wala, mimi mtu wewe, nasoma mlimani...

Sasa hayo mengine acha, wewe Arsis kanituma nikuombe uende Kojani, waache kinamama wapumzike, usiwe na shaka, wewe Kojani na Pemba nzima habari zako zitaongelewa na vijini vyote vya kichawi. Huna swali?

Mimi; Kuna maswali mengi sana, lakini najihisi nimechoka, hata huko Kojani sijui kama nitakwenda. Ngoja nipumzike.

Jini 1; kwani huko sasa hivi, wewe fika hata saa tatu kasorobo, shughuli yao inaanza saa tatu kamili. kamuone rafiki yako Mzee Ali anavoendesha shughuli yake. Tutakuepo huko usikose. Kwaheri.

Akaondoka zake, na mimi nikapumzika kidogo tu, wife akaja.

Wife nimemwacha Dokta apumzike kidogo tena kaniomba leo nilale nae, unaonaje?
Mimi; Njaa kali.
Wife; ndicho kilichonileta hicho, mapirika kama ya leo yale sijui kwanini yanaleta njaa?
Mimi; Kujua baadae kwanza tuitoe njaa.

Tukakaa na wife kama lisaa lizima, akakoga akabadili akaenda kwa Dokta. mimi nikakoga nikashuka chini, nikaenda pool, mara wakashuka na wao wakaja poool wapo fresh kabisa.

Wife: Dokta anasema hapo barabarani karibu tu kuna hoteli wanapika samaki wazuri na vyakula vizuri, tutaenda hapo kula?

Mimi; Amueni nyinyi.
Dokta: Bira tukachukue tuje kula hapa.
Mimi; Twendeni tutaamua hapo hapo, kama pazuri tutakula hapohapo.

Tukaenda kufika, kweli ni kama hoteli zozote za Dar, nikaagiza mapande ya nguru wa kukaanga na mchuzi wao wa nguru, ni ka a supu tu, nikala na mkate wa bofulo za Kizanzibari.

Dokta na wife waksema wao chao wanachukua watakula hoteli. nikawarudisha, wife akaja chumbani akachukua chukua vitu vyake, akasema Mume wangu tutaonana alfajiri, nipigie nikichelewa kuamka kusali.

Mimi; Poa.

EWalipotoka nikawa nawaza habari ya Kojani, niende nisiende, nikaona niende tu, si ndio fursa ya kujionea mambo ndio kufungua macho huko.

Nikatoka nikaenda kwa miguu mpaka kile kihoteli nilichokula nilion magari na vibajaji pale vinangoja abiria. Nikamuu;liza mwenye Kibajaji anaweza kunipelka kigtuo cha Kojani?
Bajaji; Kituo cha Kojani cha hapa kuendea Kojani au cha kule Kojani?
Mimi; Cha kule Kojani.
Kibajaji; Elfu kumi, nakupeleka faster tu na sichukui abiria mwingine.

Nikamwambia twende, tukaondoka, kweli alikua anakipeleka spidi huyo na vile hakuna magarri mengi njiani, faster tu tukafika, oile nashuka nielekee kwenye vingarawa, nikaona Bakora yupo, tukasalimiana.

Bakora; Mimi nilirudo mlip0oondoka nilikua namalizia kazi na yule mjinga, wtwende Jini 1 na 2 tutawakuta hukohuko. Tukaenda lakini safari hii vichochoro vya mbele huko hatukuenda njia ya mzee Ali, tukaingia kulia tukaenda sehemu kama kuna jumba la zamani na kuna uanja mkubwa, watu wamejaa, mwenye kucheza, na ndani ya hilo jengo, lipo wazzi tu kama soko fulani hivi, Kuna ngoma zinapigwa.
Bakora; huu ndio uwanja wa sherehe na hilo jengwa limejengwa miaka mingi ni kwa ajili hii, wakimaliza kazi yakea leo, siku zingine wanaletwa watu mmoja mmoja na waganga zao, wanaotaka kuaguliwa, wenyewe wanaamini hili jengo lishakua kituo cha mizimu yao yote ya Kojani, akiitwa jini hapo lazima aje.

Tukaingia ndani ya jengi kwa kusukumna na watu mlangoni, lango kubwa lakini watu wengi, tukaelekea kama nkuna jukwaa hivi. Nikamuona Mzee Ali ndio kakaa juu ya kiti katikati, tukaenda mpaka kwa mbele yake lakini sisi tuko kwa chini ya jukwaa, mwenyewe yupo bize, kachangamka huyo, sio yule wa mchana, matra aanamuagiza huyu hiki, mara jile, kuna vyetezzo hapo kama vyote. Chhenye chenye mavumba mengi hata siyajui, moshi mtupu ndani na pembeni kwa chini ndio wapiga ngoma hao.

Mzee Ali alipoangaza upande wetu akatuona, kama akapigwa ngazi kwa muda aliponiona. Akaanza kuja upande wetu, huku anapangauwau, njooni njooni Bwana Simba, Bwana bakora, pandeni nyinyi wageni wangu, wapisheni wapisheni. Tukapanda juu ndio high table tena hio.

Mzee; Jamani jamani jamni, subiri kidogo , nisikilizeni, ngoam simamisheni. Nataka kuwajulisha wageni wetu rasmi wa mwaka huu.

Pakawa kimyaa, kasoro sauti za hapa na pale za watu.

Mzee Ali; Wageni mliotoka nchi na sehemu mbali mbali, Binadam na majini na viumbe wengine wote mliohudhurria, wenyeji wa hapa Kojani na Pemba naomba niwajulishe na watu rasmi.

Huyu hapa ni bwana simba, kutokea Dar na huyu hapa bwana Bakora kutokea Tanga. Kwa leo na kila wanapokuwepo, siku yoyote mtayokutana nao, uwe jini uwe binadam, elewa kua hawa ndio wakuu wa kazi wetu, muwape heshima yao na mimi kuanzia sasa hivi kwa kua wapo wao sifanyi chochogte bila idhini yao.

Kusema hayo nikaanza kusikia minong'ono na sauti kila mmoja anauliza lake. Mmoja akasimama, alikua jukwaa kuu na sisi, nikajua ni chawi la majini. Akasema. Mimi siliafiki hilo, haijawahi kutojea na wala haitokuwa. Haiwezekani mgeni aje kuwa mkubwa wa hii shughuli. Nawaambia....

Kimyaaaa, akawa anapeka midomo haitoki sauti kabisa, akaanza kama kujishngaa, watu wakashangaa nini kinaendelea.

Bakora: Kaa chini, wewe feshuli unaeweza kufungua mdomo mbele yetu.

Ikawa kama kama kanyuliwa akakalishwa chi kwa nguvu lakini haonekani aliemkalisha chini.
Bakora; Endelea Ali.


Mzee Ali; jamani kama kuna mwenhgine anapinga apinge kabisa, lakini narudia, hawa ndio wakuu wa kazi leo na siku nyingine yoyote wanapokuwepo. Asielitaka hilo ni bora aseme wazi kama Shikh hapa chini. Kuna mwenye lake? msituchelewe tunataka kuanza kuchinja, muda unakwenda.

Bakora: haya simama wewe, useme.
Yule mzee aksimama akaanza kusema; Kwanza mnisamehe sana nilikua sijaelewa lakini nimefahamishwa, jamani naungana na Bwana Ali hapa na mimi nakiri hawa ndio wakuu wa hii kazi. Sheikh Simba na Sheikh bakora mnisamehe sana ni mapungufu ya kutokuti kaui ya mkuuw) wetu wa shughuli Bwana Ali...

Bwana Ali nisamehe sana endelea.

Mzee Ali; naona tumeliza, sasa jamani tutashuka kwenye kuchinja na wageni wote na wakuu wetu watakuja kushuhudia kafara zetu.

Akashuka akatangulia, huku ansema anzeni ngoma haya kila mmoja aendelee kama kawaida. Tukashuka watu wanatupa nafasi tukaenda mpka kama hatua 20 au 25 kutoka lile banda tukakuta ng'ombe saba wamesha fungwa wamelazwa kwa kuchinjwa, Mzee Ali akakabidhiwa bonge ya Kisu.

Mzee Ali; Wakuu naomba muanze nyinyi kuchinja.
Bakora; Wewe endelea tu na kazi yako, sio kazi yetu hio.

Mzee akaendelea, kisu kilikua kikali, mzee alai akawa anawachinja kuna mama wana mabeseni wanaikinga ile damu, beseni lijaa anapewa jingine.

mzee Ali; kama ada yetu, hawa ni ng'mbe wa... wote saba, (Bakora akanambia hilo ndio shetani lao kubwa la kichawi,) kwa hio tunaomba nyote msikate nyama mpoka baada ya nusuu damu itapokauka, na nyinyi mliochukua damu mnajua pa kuipeleka na chakufanya kama ilivo ada yetu. akaitika sawa.

Mzee Ali akatangaza, baada ya nusu saa tutarudi kuchinja wengine wote waliobakia. Tukarudi juu. ngoma zinaendelea ssa zinhgine zipo nje kwenye ng'mbe zingine zipo Juu.

Mzee Ali; Haya jamani, wale wabeba vyano vya kesho wapande juu hapa, wakapandishwa wasichana 21. Mzee Ali akasma yule mbeba chano kikuu aliechaguliwa asogee hapa kwangu, akaja binti mmoja kajazia jazia. wakati huo watu wote kimya mpka ngoma zimenyamaza bila kuambiwa, wanajua ptokali yao.

Mzee Ali; Wakuu huyu ndie binti aliechaguliwa kubeba chano kikuu mwaka huu. Mmemuafiki wakuu.
Bakora; Endelea tu na utambulisho.

Mzee Ali hawa wengine watabeba vyano vingine.

Binti mbeba chano kikuu, chano kitakua nyumba ya...utakwenda kule ukawepo kinapopambewa na usiondoke ule mpaka kesho kipokwenda kukabidhiwa, Na nyinyi wengine nendeni hukohuko wako wapambaji vyano watawapangia kila mmoja aende kapambe chano kwa nani, ile damu ya sasa hivi yote iende nyumba ya chano kikuu sasa hivi. Wakaondoka, ngoma zikjaanza hazijapigwa sana

Mzee Ali; Sasa watayarisheni ng'ombe wengine waliobakia, wakuu kuna ng'ombe wengine 20 tutaenda kuchnja ili vyanoi vingine vikamilike. Naomba twendeni.
Bakora: Tangulia sisi tunakuja, mangoma yakaanza, bakora akanambia sikioni.
Bakora: Simba wakianza kuchnja kabala hawajamaliza wewe jifiche kwa kuminya pte yako tuwe hatuonekani, mimi utaniona lakini hawa washenzi wote hawataniona, nifate twende na mimi, ndio tunaondoka sisis mpaka kesho.

Nikagfanya kama Bakora alivonambia kufika ng'ombe wa tano tu, watu wapo bize na ng'ombe, mimi nikaiminya pete Bakora akatangulia mbele yangu nikawa namfata nyuma. Tukaenda mpoaka bandari ya mitumbwi, tukakuta mtu mmoja. Tukapoanda mtumbwi wakatuvusha, tuliposika mwisho.

Bakora; Yule nilishmtayarisha atungoje bandarini, na Bajaj ile pale inatungoja, twende, wewe nenda tu uka[umzike, leo hakunza aizada ni ushetani tu uliobaki mpaka asubuhi, wataanza kupika mnayamafu yao yaliochinjwa kwa ajili ya shetani, mji mzima leo watagawana nyama, wale saba itapikwa chakula kila mtu atakula na kinachobaki watachukua wakale makwao kesho mchana, ndio chano kitapelkwa kutolea. Utakuja kuona, njoo baada ya dhuhuri tu, kazi ya chano inaanza. haichelewi. Wewe neda Simba, mimi narudi, uliwaona jamaa zako? Kina nani? Jini 1 na 2. Wapo pale niliwaambia wasijitokeze.

Mimi; Sikuwaona, kwaheri bakora,.

Tukaagana pale nikarudi hoteli, nikaingia chumbani kwangu nikakoga nikasali nikalala, usingizi haujaja mapema nikawa na maswali mengi sana lakini sipati majibu, nikasema kesho nitawauliza hawa majini na babu. Nikalala.

...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom