Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Sawa Arsis shusha episode simba
Hivi visa vipo vingi sana jamani. Haviishi leo wala ksho, nachagua kila kimoja kwa aina yake, sitaki nitoe visa vinavyofanana namna zake.

Tukirudi kisa cha msukule wa Unguja halafu tutaachana na misukule tutaingia kwenye elimu ya dunia saba na nyota na sayari zake.

Tutagusa kila upande kidogo kidogo. Arsis anasema atakue[o siku ya elimu yua nyota nitoe intodaksheni halafu iwe kama maswali na majibu, ili kila mtu aelewe kwa elimu yake. Anagtalka wana sayansi wawepo na wafganga wa nyota wawepo.
Simba.
 
Ndio alizaliwa, ndio alikufa, tenakwa dhambi ambazo sisi tumezitenda na sio za kale tu hata za miaka yote, na akafufuka siku ya tatu, amepaa hivi tunavyozungumza yupo zake mbinguni. kiufupi tatizo la dhambi amelisha litatua miaka buku mbili iliyopita..

2Wakorintho 5:18.,19.,21.
18. Lakini vyote pia vyatokana na Mungu, aliyetupatanisha sisi na nafsi yake kwa Kristo, naye alitupa huduma ya upatanisho;

19. yaani, Mungu alikuwa ndani ya Kristo, akiupatanisha ulimwengu na nafsi yake, asiwahesabie makosa yao; naye ametia ndani yetu neno la upatanisho.

21. Yeye asiyejua dhambi alimfanya kuwa dhambi kwa ajili yetu, ili sisi tupate kuwa haki ya Mungu katika Yeye.



Sijajua kwanini ni kichekesho Mungu kufa kwaajili ya watu wake.. kwamba Mungu kuna vitu anaweza kufanya na kuna vitu hawezi kufanya.. kwamba uwezo wa Mungu upo so limited.. au kwamba Mungu anataka watu wapote tu
Sasa mahakama za nini?
 
Hivi voisa vipo vingi sana jamani. Haviishi leo wala ksho, nachagua kila kimoja kwa aina yake, sitaki nitoe visa vinavyofanana namna zake.

Tukirudi kisa cha msukule wa Unguja halafu tutaachana na misukule tutaingia kwenye elimu ya dunia saba na nyota na sayari zake.

Tutagusa kila upande kidogo kidogo. Arsis anasema atakue[o siku ya elimu yua nyota nitoe intodaksheni halafu iwe kama maswali na majibu, ili kila mtu aelewe kwa elimu yake. Anagtalka wana sayansi wawepo na wafganga wa nyota wawepo.
Simba.
Kuanzia saa ngapi atakuwepo?
Alafu mkumbushe kuhusu lile swali la ismul adhwam.
Mwanzoni nilisema sura za alif Lam na mim ni 3 ila sio tatu ni nane mwambie aendelee kunipa dondoo.
 
Endelea kutafta mahali wakristo wamepata jina Yesu lakini kwa jina hilo mapepo yanatoka.. viwete wanatembea.. wagonjwa wanapona.. wafu wanafufuliwa..

Mnafocus na vitu visivyo na maana as if mkionyeshwa mtaamini.. msipoteze wakati
Hilo wala sio la kulitafuta waliitwa kwanza huko antiokia ambako ni Syria kwa sasa, tena na wapagani, hata yesu halijuwi jina wakristo.
 
nishaanza kuwatamani hao kamba kuwala

hapa dar tunawapataje.

si ndio wale wako na rangi nyekundu au brown hivi.
Labda uwaagize wanaokwenda Nyamisati. Kwetu shungubweni wapo, lakini hawanunuliki siku hizi, wavuvi wana order za mahoteli ya wenye pesa zao. Wenyeji sisi mpaka tuongee na wajomba ambao wavuvi ndio watuletee tena kwa mbinde na huruma ya ndugu tu.

Ongeeni na Simba wakati wa msimu awaletee. Ngoja nifanye urafiki na Arsis, watanikoma hao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom