Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Sorry, Uislamu wote kwangu sio dini sahihi, ni ushirikina mtupu, mmejiunganisha sana na majini kwenye mambo yenu mpaka nashindwa kuiona nguvu ya Mungu na uwezo wake kwenye kutatua shida zenu.

Matatizo yenu mengi mnatatuliwa na majini, huku jina la Mungu mkilitaja juu juu tu ili ionekane mnamuamini, nashangaa nikimsoma huyu mleta story kuna mahali mpaka inaonekana Quran inashindwa kuondoa majini kwa wagonjwa, ila jini la mgonjwa linaondolewa na jini lingine {refer. mwanamke aliyetolewa jini na jini la mleta story Shinyanga}, sasa nyie msaada wenu mnaupata kwa Mungu au majini?!

Hii story nawaambia ukweli, imekuja kuivua nguo kabisa dini yenu, na kitabu chenu, na ndio maana nikimsoma faiza foxy kwenye hii story anaonekana kuipotezea, kama kukipuuza kile mleta mada anachoandika, ni kwasababu ameshaona dini yake anayoipigania humu kila siku, ina muunganiko wa moja kwa moja na majini, anaona aibu anajaribu kuificha, lakini haifichiki!.

Pesa za jamii ya waarabu wengi ni kwa msaada wa majini, sio Mungu, kufanikiwa kwenye mambo mengine kama safarini ni kwa ulinzi wa majini, sio Mungu, wengine wenu mnayafuga majini ndani, mimi nitashangaa sana kama siku ikifika nikamuona muislamu yeyote wa hii dunia ameurithi ufalme wa Mungu, unless muwe na hiyo pepo yenu wenyewe ya mabikra 72!, lakini sio yule Mungu wa rohoni ninae mwabudu mimi na kumtumikia, kwa jina la Yesu Kristu wa Nazareth.
Wewe wacha porojo, soma kuhusu kanisa la shetani 👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾

 
...Nikakuta mzee kishafika ndani kishakua mwenyeji, kakaa anaongea na Dokta ikawa kama nimekatiza maongezi yao. Mzee alikua kakaa katikati ya mama na wife wangu juu ya kochi kubwa, Dokta alikua kakaaa kochi dogo la mtu mmoja wanatazamana, mimi nilipoingia nikaka kochi la peke yangu lilikua pembeni yao, Dokta kulia kwangu na watu wa nyumbani kushoto kwangu. Chumba kilikua kikubwa kwa hio kulikua na distance nzuri tu.

Mimi; Samahani nimewakatiza, natumai mmeshatambulishana.
Mzee; Labda tukutambulishe wewe mgeni wetu, nimeona nikukimbieni na Mshikaji wako maana akianza kuongea hana breki.

Mimi; ndio zake, tena ungekuepo wewe ndio kabisa.

Mzee; Kwa hio Dokta ndio kama nilivokua nakujulisha, huyu na huyu ni wanagu wote. Simba Dokta kumbe anamjua shangazi yako, wanawasiliana sana kwa kazi zao.
Dokta; Sio kwa kazi, moaka tumekua marafiki, ngoja nimsurpise, akatoa simu akapiga.
Dokta' Guess where ma at? Ooh yu'll never guess in a million Years. Ongea ujue nipo wapi, hata ukisie vipi huwezi kujua.

Akampa simu mama. Wakaslimiana.

Mama; Si wewe hujawahi kulmleta, sasa mimi niwajua watu wote unaowajua wewe? kweli, kweli, mbona wewe hujanambia? Aaah wacha we, haya, haya. Tupo wote hapa, Simba yupo mkewe yupo na kakao yupo, haya hiuyu hapa. Akanipa simu.

Shangazi; Nyoo uliejidai Shehe wewe, huyo Dokta umejua wapi?
Mimi; jamani kidogo natoka nje, sipendi kuongea na simu mbele za watu.
Mama; Huyo na shangazi yake hawamaizi leo, tuendelee sisi na maongezi yetu.

Nilipotoka nikaanza kuongea na Shangazi.

Mimi: Shangazi vipi, mbona huonekani siku hizi?
Shangazi; Usinitoe njiani, nimekuuliza huyo Dokta umejua wapi?
Mimi; Kuna sehemu tulikua na Mzee, babako ndio katujulisha nae

Shangazi; Msimsingizie yule Mzee yu[po Tanga huko, yeye na Dokta wapi na wapi, lakini inawezekana, maana huyo Dokta kila siku safarini, labda alikwenda Tanga wakakutana?

Mimi; Hata sijui. Mimi kanambia mzee tu twende shemu ndio tukakutana nae.
Shangazi' Wewe kama hunambii yeye atanambia. Kuna nini hiuko leo huko? Najua kuna msosi rasmi, namjua mamako akija mgeni, kwanini hamjanambia?
Mimi; Wala haikua rasmi, imekuja kwa kustukiza ghafla tu, kasma anakuja kwa Barafaa antamani apajue nyumbani, ndio tukamleta.
Shangazi; Ingekua rasmi sio ya ghafla ningekuja sasa hivi nichukue takeaway.
Mimi; Takeaway hazikosekani nyumba hii, muulize wifi yako.
Shangazi; Nimezisamehe leo, saa nyingi nataka kupumzika. Tutaongea kesho, kwaheri.

Tukaagana pale nikarudi ndani.

Mimi; Samahani, nimetoka na simu yako, nikamrudishia Dokta simu yake,nimeona nisiwakatize maongezi yenu maana Shangazia akifungulia maongezi hamalizi.

Dokta; Mbona umemkata? Si kitu lakini kishaelewa niko wapi, haamini.

Mzee; Naam, Dokta, tuendelee. Huyu bwana ndio kishafika.

Dokta; Samahani Simba, Mzee Ali vipi, tutaemda kwake, mzee hapa ananambia kishaongea na wewe anaona haina haja ya kwenda.
Mimi; Mpigie lakini sikilize atakwambaje. mpigie tu sasa hivi uondoe wasi wasi.

Dokta akapiga simu.


Dokta; Salam SAlekum.
Dokta; Ooh, ana nini tena dada, nipe niongee nae japo kidogo. Ok. baada ya kama sakika mbili.
Dokta: Salaam Mzee Ali, pole sana, kichwa kinauma? Hio haina haina neno kichew kingekua kinauma ndio mbaya. Hio wala sio tatizo, unatakiwa upumzike tu. Ooh, sawa, nipo nae hajanambia. Ok , Ok basi imekua vizuri umenipunguzia kazi ya kuja nae mpaka huko. Ooh, sawa sawa kabisa. Kwanini mimi sihitaji kwa sasa, ahsante sana. Kaa mwenyewe umeamua, namba yangu ni hii hii, inatoka jina langu. Usijikalifishe, wala usiwe na shaka kabisa, mimi nilishapanga kwenda, basoi sawa usiwe na wasi wasi. Haya kwa heri, basi nitakupigia mimi kukujulia hali, usijali, kawaida tu. kwaheri.

Mama; haya jamani twendeni tukale, nyinyi mtamalizia mazungumzo yenu uani.

Mama na binti yake na Dokta wakatangulia wakatoka, mimi na mzee tukawafata nyuma, tukawakuta uani.

Mama; Wewe Kaeni hapo malizeni tu mazungumzo yenu, mimi na Nisha hapa tutatayarisha chakula. Simba mwanagu wa gtatu yuko wapi?
Mimi' Yupoo nje mama, akisikia harufu ya chakula tu, utamuona.
Mama; Msimsahau.
Mimi; Poa.

Dokta; haya mambo jamani mimi sielewi sielewi lakini nilikuja hapa kwa kupata ufunbuzi wa maswali hyangu. Sasa Mzee Ali amesema katupa ofa ya gtiketi za ndege, mimi na wewe Simba, kasewma hio sababu ni laima tuhudhurie ni muhimu sana, na kanambia ulikwenda kwake jioni?

Mimi; Ndio, kweli, nilikwenda kwake baada ya kuongea na wewe, nikafikri sana,nikaona ndio njia yangu nikitoka kazini acha nipite kabisa nijue kuna nini huko kwao mpaka mimi niwepo.

Nikaongea nae, nikamwabia sisi kama hatuna pesa za safari si itashindikana kuja? Akanambia hilo wala tusijali, yeye atagharamia, amenambia kwa kua alishaweka majina yetu kwenye listi ya wageni huko, tungeshawekewa na sehemu ya kulala huko Kojani kwa hio hawezi kutuona tunavunja ahadi yetu kwa nauli tu. Akanambia atatupa tiketi akachukua na majina yangu, yako akasema anayo.

Dokta; Mimi kanidahamisha kama ulikwenda huko, sasa kasema atanitumia na esa kwenye simu yangu zinisaidie kwenye safari lakini nisiache kwend na sina haja ya kwenda kwake tena, amaeshaongea na wewe. Pia kasema kwa sasa hatiweza kunipigia tena simu labda mkewe au mimi nikiwa nahitaji chochote nimpigie yeye katingwa na kutayarisha safari wiki hii, shetehe ni kubwa huko.
Mimi; Sawa kama ni hivyo, mimi hanitumii pesa za safari?
Dokta; Hajanambia na sowezi kumuuliza hilo, hata mimi kanilazimisha sana, sina sabau ya kuchukua pesa kwake za safari. Mimi Pemba nishaenda mara nyingi kwa kazi zetu, kuna hoteli nzuri tu tunafikia pale Chake, inaitwa karafuu. Sema ni ghai kidogo, mi natoa ofa ya siku mbili kukulipia.

Mimi; Haina haja, kabisa, mimi sina tatizo kwa kua ninahamu hya kufika Pemba sijawahi kufika kabisa.
Dokta; Pazuri sana mimi naimepapenda. Lakini Simba baafda ya hilo la Mzee nina mengine mawili yalionileta hapa. Moja langu mimi moja nimeambiwa nikuulize wewe.
Mimi; Mimi tena?
Dokta: ndiyo, naomba nisikilize na mzee hapa atattushauri...

Dokta: kwanza narudia hili swali, niliwahi kukuuliza, mimi nina uhakika nilikuona chumbani kwa Bi S, umesimama kwenye pazia halafu ukajificha sijui nyuma ya pazia la dirishani, lakinitulitazamana kabisa, na haiwezeekani kua ilikua sijakuona wewe. Tafadhali nambie ulikuwepo? msinitie wazimu. Sijaishia hapo, ngoja nikwambie na hili la piki, halafu tugtaunganisha yote kwa [pamoja yameungana.

Mimi; Sawa.

Dokta; Yule jini anaenitesa naesema ni lazima anioe, kanijia mara mbili tatu usingizini, lakini kama naongea live, isipokua nina uhakika ni singizini. Mara ya kwanza kanambia, yeye ameshakubaliana nao, kua nikipata mume wa kunioa au yeye akipata mke wa kumuoa hatonisumbua tena, Kwa sasa atabaki kua kama rafiki tu. Basi akaondoka.

Nikawa nawaza sana huyu mbona simuelewi elewi. Ikawa sasa mimi namuita aje, siku hio nimekaa chumbani kwangu nikawa namuita ukanijia usingizi mzito akaja tena ndotoni, akaniuliza unaniitia nini? Yeye sasa hivi ana makubaliano kua asije kabisa kwangu isipokua nikitaka mimi, ndio kaja maana nimemuita sana. Nikamuuliza, umesema umeshakubalina nao, nani hao? Kwanza mimi nilikua nafikiri vibuki, lakinivibuki kamaujuavyo tumemalizana nao, bado wa Ngazija tu huko, nao hawaleti tabiu kabisa, maana sasa hivi hata kazi zangu nafanya kwa raja, sina uzito wowote ule wa kwanza. Akanijibu kina Simba, akaondoka zzzake.

Dokta; Nikawa najiuliza kina simba wepi hao, ikawa inajia poicha yako ya Pale kwa Bi S, na nataka nikuuliza anamaanisha nini huyu kina Simba? Nikamuita tena, leo saa 9 za usiku, hajaja, lakini nilipolala tana tu akaja tena kwenye ndoto, akaniuli umeniitia nini? Nikamwabia mimi sijaelewa uliposema kina simba umefanya nao makubaliani, simba wepi hao? Akanambia ni gtule mlikutana kwa Mzee Ali, ndoto ikakata, basi na Mzee ali anavonisumbua kuhusu hii safari mpka leo asubuhi akanambia lazima na wewe uende, ndio kama mmenichanganya sana. Nifumbulieni haya mambo jamani, sitaki kutrudi nilipotika.

Nikawa kimya, sijui nianzie wapi.

Mzee: Subiri Simba nimfahamishe, nimesikiliza yote. Sikiliza Dokta, sisi ni ukoo wa Simba kimizimu ya kwetu huko Tanga. Na kweli tunayo hio mizimu, woite sisi, mimi, huyu Simba, mke wangu na mkewe huyu. Lakini kwa sasa huyu na mkewe na mama yao hawataki kabisa mila za Kisimba, nimebaki mimi tu, kwa hio naelewa kinachoendelea.
Dokta; Nini kinaendelea?
Mzee; Usiwe na wasiwasi Dokta mambo yako yamewshaisha, hautorudi ulipotoka kabisa. Uliyemuona huko Unguja chumnai sijui, sio huyu, ule ni mzimu uliochukua sura na umbo la huyu. Naa huyo jini anaetaka kukuoa anasema kweli, hao alioongea ni mizimu ya ukoo wa Simba, ndio kina Simba hao na wamekubaliana asikusumbue akiendelea kulusumbua itakuwa kaingia kwenye vita na wao Simba, Yeye yule ana elimu lakini hana majeshi akaona isiwe tabu, akakubaliana nao atabaki pembeni tu mpaka uolewe au yeye aoe. Ndio hivo tu hakuna zaidi.

Dokta: hapo kama nimeelewa kwa kiasi fulani na holi la Mzee Ali kutaka lazima niende na huyu.

Mzee; Mimi nilikuepo siku ya kwanza kwa Mzee Ali, si unakumbuka? mizimu ya Simba na yenyewe imeongea na majini wa mzee Ali. wameshaelewana, kua mradi kibuki basi ayamalize tu. Kutamazia ndipoo mpaka uende kwao, inaonesha mliahidiana mtakwenda kwao au sivyo?
Dokta; Ndiyo kabla hata sijawaona nyinyi.

Mzee; Basi katimizeni ahadi yenu, kama nimesikia vizuri katooa na ofa ya tiketi na poesa za matumizi, nendeni.
Dokta; Hapo ndipo napopata waasiwasi mimi, kwanini mpaka mtu atoe gharama zote hizo?
Mzee; Si Simba kakwambia hapa, kamuuliza Mzee Ali kama mtu hana pesa, sasa yeye kaona asiharibu jina lake, kishawajulisha huko kua ana mgeni Dokta na Simba hapa, na anazo pesaa yule.
Dokta: Pesa kweli anazo maana hizo gharama zake za tiba kuliko madaktari hospitali.
Mzee; Uganga unalipa, naona na mimi ningeacha kazi za gereji nitengeze pesa.
Dokta: Wagnjwa tupo, tutakuja tu.
Mzee; natania tu. Kwa hio nyie wote wawili msiwe na wasiwasi mimi ningekua sio kazi ningekuja Pemba, nilikwenda zamani sana wakati bado kijana kabisa, tena kwa siku mbili tu, nilikwenda na meli, nikatapika wakati wa kwenda na wakurudi sina hamu tena.
Dokta: twende mimi nitaukatia tiketi ya ndege.

Mama: haya jamaani chakula tayari huku, msimsahau na mwanangu nje hapo.

Mzee akamwabia Doktam haya nyanyuka twende tukale tugtamalizia maongezi huku tunakula. Mimi nikaenda kiumuita mshikaji nje, ile natoka simuoni, nataka kuifata simu nimpigie, nikasikia Hoyaa.

Mimi: Msosi tayari, njoo tule.

Mshikaji; Ilikua kidogo nionedoka zangu, ningetazama mlangoni hapa ndio ilikua ishatika hio, mna miponhgezi mrefu, basi kina mama huko walivikwisha ineshana makochi wakaingia nae chumbani wakaanza kuoneshana mishono na ma hendi begi. Wantuua sisi na njaa.

Mimi; Poa, mwananhgu, wende, tunasubiriwa wewe tu, nikaingia na mshikaj dining.

Mshikaji; Akatoa salaam pale. Wife akachukua sahani kama kawaida yake akaanza mumtilia mzee, huku anamwambia Dokta, kula uhai daktari, kula mahunjumati ya mama mkwe wangu, usione haya.

Mshikaji; usijali shemeji hakuna kuona haya haoa au sio Dokta?
Dokta: Sioni haya.

Mama; Ngoja nikupakuliea Dokta wewe uteona haya?
Dokta: hata, sina haya kwenye chakula, tena hii harifu tu imenimaliza, msione haya nyinyi tu ninavyokula.
Mshikaji: Mpakulie mza. Dokta huyu huyu ndio dingi wetu, huyu ndio mkewe, huyu shemeji yangu habiabi ayuni wa Simba, mimi ndio mtoto wa mwisho wa maza. orijino. Au sio maza?
Mama: wewe tu mwanangu kipenzi, wengine woite feki, haya tia chakula ule?
Mshikaji; Maza mimi hata sijui nianzie wapi manaake umechfaua meza kinoma. Nitilie wewe mazaangu.
Wife; Ngoja nikutilie mimi.
Mshikaji; mtilie mumeo, mimi usiniingilie kabisa na mazangu.
Mama: mwacheni mwanagu jamani namtilia mwenyewe.

Mzee yeye aniga tu msosi kimya.

Tukawa woite tumeanza kula.

Mama; Nimesikia mnaenda Pemba, kweli.
Mimi; Ndio mama.
Mama; Naytamani kweli kwenda, kunam kiwanda huko cha kutengeza mafuta ya viungoi voite, mkienda msikose, kila mafuta mtayopata mnichukulie.
Dokta; Twende ofa yangu, ukakione mwenyewe.
Mama; Mikmi nakazi kipindi kuliko hao. Nenda na Nisha.
Dokta: Nisha twende, ofa yangu.
Wife siku ngapi tunakaa huko? mimi napatamani kweli Pemba.
Mshikji; Mbina mimi hamnioi hio oigfa, fasta tu, lakini mambi ya kuoanda boti sitaki.
Dokta; Kwa ndege, twende.
Mshikaji, kuondoka lini?
Dokta; nahisi wiki inyokuja sijui siku gani?
Mshikaji: Aaah kwani haiwi kesho, mimi wiki ijayo sipo, kuna binge la tripu mzee kanituma, hilo kulikosa mwiko.
Mimi; Ndio salama yetu hio.
Mama; kwanini jamni, hamumchukui mwanangu?
Mimi; Si unamsikia mwenyewe kakataa.
Mshikaji: maza wewe acha waende tu, mimi nikimaliza kazi za wiki ijayo za dingi, kama bado wapo Pemba naruka tu, kwani kwa pipa si one time tu, wala usikonde maza.

Wife siku ngapi jamani, mmenitia hamu na mimi ya kwenda Pemba,
Mimi; Tulipanda kwenda kama leo nakurudi kesho, tunalala huko siku moja tu.
Mama: msirudi mikono mitupu msinisahau mafuta ya viungo, tena nataka ya hapo kiwandani msinunue mitaani feki.

Wife onezeni siku na mimi niende, siku moja tu kwenda na siku yapili kurudi tutaiona wape pemba, eeh Simba?
Dokta; Mnaweza kuongeza siku, kweli Pemba kuzuri, sema mimi siwezi, kazi za watu labda nitazame kama kuna kazi za kufanya Pemba niunganishe.
Wife: Dokta wewe fanaya kila njia iwepo safari ya Pemba, huyu ukisafiri nae, yeye hapendi kutembea kuona mji, yeye anataka tukitoka kwa huyu tumeenda kwa huyu, raha ya safari uuone mji, najua Dokta wewe mwenyeji kule.
Dokta: Sio sana, lakini napajua sana, sababu kazi zetu zinahusu kwenda mpaka vijijini huko, tena kuna hospitali pale Wete wananijua eite, tuna program nao. Ngoja kesho ofisini nitatazzama kama kuna porogram zozote naweza kuchomekea, tutakwenda. Unajua hao naofanya nao kazi tuna program za mwaka mzima tayari, kuzipangua hizo kazi kweli kweli, tunaenda kwa kalenda. Ingekua kazi za Serikali, mara moja tu labda iwe emergency, wacha nifike ofisini kesho nitajua. Niakupigia Nisha usijali, jitayarishe na safari.
Wife; Poa, tupoo wote, na mimi nikaione Pema.
Mama' Na wajukuu zngu wachukueni. nsiwawache.
Wife: Watabaki na bibi yao, siendi na mtoto mimi, iyakua safari ya kulea, mie nataka nizururw huko Pemba nzima.

Tkakubaliana ttwasilina kesho tukatoka nje tukakaa kwenye kahawa.

Mama; Dokta saa hizi usiende popote, si unakaa peke yako? Chumba kipo hapa, kesho mapema utaamkia hapa kwenda kazini. Twende nikakuoneshe chumba.
Dokta: jamani wacha nende tu.
Mama; Usiku huu poeke yako haiwezekani kanbisa, mimi takuamsha alafairi, kama inabidi upite kwako uytapita na kazini utawahi, Leo mgai wangu hapa. Hao wenzako hawajakuonesha, kwao huko upande wa pili, wamezowea tu hapa.
Dokta: Ooh, bilifikiri ko wote hapahapa.
Wife; Ndio kama hapoa tu, mlango huo unaenda kwangu. Siku hyingine utapaooina ,sasa hiuvi hata sijui kuna hali gani huko.

Tukaagana pale mama akamchukua Dokta kumuonesha pa kulala, chumba cha wageni. Mzee na yeye akaingia ndani, Mshikaji akaaga na mimi na wife tukaenda kwetu.
Simba.
Vionjo vya Arsis - Majini ya Kojani- Pemba 5.

... Tukalala salama bila event yoyote, alafajiri nikaamka nikawahi sala ya Alfajiri msikitini nkamkuta mshikaji na yeye anaingia, tukasali tulipomaliza tukarudi home, kwenye barza yetu ya gahwa.

Tumekaa tunapiga kahawa kimya k9imya mpaka mimi nikashangaa Mshikaji leo yupo kimya. Mara mama akatoka ndani akaenda jikoni, yeye huwa kama mzee hajatayarishiwa kahawa na wife wangu yeye huwa anaitayarisha, kahawa yayakuondoka nayo kazini. Akaingia jikoni kama dakika 10 hivi nzee akatoka, kidogo na wife wangu akaja, akaenda jikoni moja kwa moja, Wife akaja akamtilia mzee kahawa.

Wife: leo mbona kimya sana hapa, mgeni yuko wapi? Mimi sijui.
Mzee: Mgeni saa hizi kishafika kwake, mamako kamuamsha mapema kabla ya adhana naona hajakaa tena kasem atasali akwake, atawahi.

Mshikaji; Mwanangu nimemuona alipoondoka. kaniharibia mudi yte ya asubuhi.
Mimi: kwanini?
Mshikaji; Nilijua atakuwepo hapa kwenye barza, nilianzisha na mzee yupo hapa mapema baada ya kusali tu, kumbe mwenzagu ana plani zingine.
Mzee; Sasa ilianzishe nini mwanangu?
Mshikaji; Si jambo la heri Dingi, mimi nilishamuuliza kumbe hjana mume, waliachana zamani sana.
Mzee; Sasa posa inakwenda hivo jamani?
Mshikaji; Mzee mimi nilitaka nisikie mbicho na mbivu live hapahapa, najua madua niliopiga usiku na Alfajiri ningrmalizia, kama hajaondoka, asingeruka kabisa.
Mimi: usijali mwanangu mbona siku zipo kibao, wewe ingea na Mzee hapa akuelelekeze ch KUFANHYA.
Mshikaji; Mzee unajua jana usiku nilifurahi sana, nilivoisiki na mkewe huyu mwanga anaenda Pemba, nikashukuru kimoyomoyo, unajua mzee baina ya mwanamke na mwanamme shetani, sasa huyu chui unamkabidhi mbuzi aende nae pembe akamchunge? Atarudi huyo mbuzi? Ataliwa hukohuko hata mifupa huikuti. hata fisi haambulii kitu.

Mama; haya jamaa, leo nimewafanyia chakula cha asubuhi teke away wote, kila mmoja pack yake, akitaka kula hapa au mwendenacho Mzee kasema anataka kuondoka sasa hivi hakai, ana kazi.
Mshikaji; Kweli Dingi, mikazi ile lazima tukaipangue pajgue mapema. Hoyaa mwanangu usilaze damu basi, uje faster. Dingi si unaona yupo tayari tayari, na kibegi chake cha nguo za kazi, ndio kishanyanyua nanga, inaondoka hio.

Mzee akanyanyuka, wakatoka na mshikaji, maza nae akaingia ndani;

Mama ; Sie tunatoka wote na watoto, wewe mchana leo ukija chakula kipo kwenye friji, au ukifanya maarifa mengine huko poa. Takeaway yako hio hapo juu ya meza. Nikamwabia poa mama, usijali, mie naingia ndani mara moja, hata mimi mikazi kibao huko.

na mie sikukaa sana baada ya muda nikaenda zangu kazini, nilikua na magari kibao yanataka mambo madogo, sijui bulb sijui taa ya dashboard haiwaki, lakini gari kama tano za diagnosis. Nikazifanyia faster kuna kijana wangu wa veta anakula maoezi ya practical na mimi yupo vizuri, sema alikua kai za uchafu uchafiu, siku hizi kaana za kijirekebisha, ndio maana simwachii mpaka nhakikishe yupo neat kabisa.

Gereji ya mzee fundi au msaidizi wa fundi ukiwa mchafu.mzee anakupa warning marfa moja, mara yapili anakupa off siku tatu. Ukifrudia nnra ya tatu hata ikipita mwaka, ndio kwaheri hio. Hukai hata dakika 1, haamini kabisa katika fundi anaejijaza magirisi na miguo mpaka inaganda. Anapenda kila kitu neat kabisa.

Nikawa busy kama masaa ypote mpaka mchana muda wa kusali, nikawahi msikitoni nipate kunyoosha miguu kidogo, nikarudia mbele dukani kwangu, gereji zina hamu nako. Nikacheki cheki mahesabu, kuna binti mmoja anajua soare huyo kuliko mafundi, kajifunza hapahapa kwetu, tena ni wa foitrm foyur tu kama mimi, sema yuko sharp ile mbaya, alishindwa kuendelee wlimjaza mimba mapema. Nzee akamchukua hivyo akamuweka dukani kwake huku ana mtotoananyonyesha, mytoto sasa sasa kishaanza darasa la kwanza, na huyu binti kishgaolewa na fundi mmoja wa mzee. Nikakuta kila kitu OK. Nikamwabia mie nakwenda kumuaga mzee naindoka mapema nimexhoka mapema leo.


Nikaingia ndani nikwamuga mzee akanambia OK bora uende, naona leo uli[inda mgngo kweli.


Nikaingia nytumba tupu, kimyaa nikaenda kukoga faster nikajitupa kitandani kupumzika nikastulkiwa na simu nilisahau kuiweka silence. Kupokea ni wife.
Wife; Ulikua umelala?
Mimi; Ndio umestua usingizi mzito kweli?
Wife; Pole D. Nimeongea na Dokta sasa hivi, anasema kapata 3 days baada ya tarehe ya hio sherehe yao, maana tarehe yao satorday kuakia Sunday, yeye atapata Mondau, Tuesady Wednesday. Wedenesday hio tunaweza kuondoka jioni kuna ndege saa 11 ya kuja Dar. Rhursaday Morning inaboidi awe ofisini, kisha fanya booking kabisa ya watu watatu, anasema ticket yako na yeye katumiwa namba kwenye simu kisha zibadili zote. Kwa hio D tunaenda wote. Nikamwabia poa.

Wife anasema atakupigia ku confirm na wewe na kupanga tutaonf)dokaje.
Miumi; Mwambie siku ya safari aje hapa awache gari yake, utaondokea hapa nyumbani wote kwen airport.
Wife; ndege 12 asubuhi inaondoka, Airport 10 au kabla tuwe tumeshafika.
Mimi: mwambie aje kulala hapa basi, asubuhi tubaondoka pamoja.
Wife; Hipo godd idea, mimi namwambia sasa hivi na wewe mpigie.
Mimi: Okay.

Nikamkaa nikaona heri kaniamsha, ningelala mpaka saa ngapi. nikaingia kukoga kutoka nikasheki simu, kumbe tiketi imeingia toka jana, nilikua sijaiona, nikaona miss call ya babu, miss call ya sheikh wa Unguja. Nikampoihgia kwana babu, baada ya kusalimiana.

Babu; Nimeonge na mkeo muda kidogo kanambia habari ya safari yenu ya Pemba, sasa mfalme wewe, mmoja huku mmoja huku. Muoe huyo Dokta.

Mimi; babu huyi siwezi hana dadake kwa ajili yako.
Babu akacheka sana kwenye simu; Mie usijali, usikiache kifaa hicho.
Mimi: babu ndiuo ulinipigia kwa hilo?

Babu: Dogo hilo Simba? Mie nimefurahi tu mnaenda Pemba wote, tena wife wako kanambia mtakaa siku tano.
Mimi: Babu: hata mimi sijajua sawasawa, kanipigia simu muda huu kunieleza.
Babu: Haya basi kwaheri.

Nikapigia Sheikh wa Unguja, baada ya kusalimiana.

Sheikh: Simba nimepoata habari zako za sfari kwa Bwana Ali wa Buguruni. Nimefirahi sana mnakwenda kumaliza mambo ya huyo binti na babu yako nilongea nae, sisi tunawatakia safari njema, nitawapa namba zako jamaa zangu wa Pemba, ni watu maariufu sana hapo, tumeoleana, au una wenyeji huko?

Mimi: Hapoasa sinjui zaidi ya Mzee Ali.

Sheikh: basi una wenyeji, hao kama nipo au zaidi maana ni vijana wenzio, wapo vizuri sana utawapenda na utafurahi, nikaona nikuulize kabla sijawapa namba zako.

Mimi: wape tu usijali Sheikh wangu. Tukaagana.

Bikatoka nje kupiga misele mitaani kwetu, nikakuta na washikjai wenginytu na watu tunaojuana hapa na pale nikatrudia msikitini, nikakaa msikiti baada ya magharibi nasoma soma Qur'an mpoka sala ya Isha nilipomaliza nagtoka, narudi nyumbani maza na wafe washaru musda mrefu kumbe, Mzee na Mshikaji ndio hawajarudi sio kawaid ya Mzee kabisa.

Nikamuuliza mama, vipi mzee?

Mama; kapiga simu kasema hachelkewi atakuja baada ya Isha

baaa ya muda kidogo mzee akaingia sisi tupo uani, kutusalimia akaenda Chumbani kwake moja kwa moja.
Mshikaji; Mazaa eeh, mimi nikishapifga gahwa sikai, nakwenda kupumzika mapema. Leo nipo taaabani ile mbaya, lakini mashukuru, muemo lo ndio nimeuona akipiga kazi, hakubali mpaka amalize akiianza kazi, watu tukajua leo tunalala gereji, lakinituko na Dingi hakiharibiki kitu. Oyaa, mwanagu, leo getreji nyeupoe huko, mzee kamaliza gari zote, kila mtu huko leo taabani, hajakaa ofusini leo, tulikua na egereji mwanzo mwisho, anasema tunafuga mbu na magari kukaa sana pale. Gari zilizobaki pale za bodi na rangi tu, na wale kishawaambia wiki hii hataki kuona gari inabaki/

Mimi; Niliusom mchezo mapema nikamaliza kazi zangu mapema kabisa, maana wote leo tungepigishwa spana.
Mshikaji: umeotea kweli mwanangiu. Kwaherini jamani, mimi nimeshiba ile mbaya, msosi tumekula jioni jioni 11.

Usiku ule ule nikampigia simu Dokta akanieleza yite kuhusu tiketi na safari, kua kishaongea na wofe ajje kuondokea hapo.

Dokta; basi wewe usijali Simba nimeshapata coordinator mzuri tunaelewana lugha, Nikamwambia poa, tukaagana.

Kama alielewa kua nataka kumwabia sasa aanz emawasiliano yote na wife, nilikua sitaki kuzoeana nae sana.

Siku zikapita faster, mambo yote sasa ikawa wife ndio kila kitu, Mpaka siku moja kabla ya safari Dokta akaja mwenyewe jioni, tukawa nae pale, siku ya pili ikaanza. Kimbembe cha Kojani kikaanza.
 
... Tukalala salama bila event yoyote, alafajiri nikaamka nikawahi sala ya Alfajiri msikitini nkamkuta mshikaji na yeye anaingia, tukasali tulipomaliza tukarudi home, kwenye barza yetu ya gahwa.

Tumekaa tunapiga kahawa kimya k9imya mpaka mimi nikashangaa Mshikaji leo yupo kimya. Mara mama akatoka ndani akaenda jikoni, yeye huwa kama mzee hajatayarishiwa kahawa na wife wangu yeye huwa anaitayarisha, kahawa yayakuondoka nayo kazini. Akaingia jikoni kama dakika 10 hivi nzee akatoka, kidogo na wife wangu akaja, akaenda jikoni moja kwa moja, Wife akaja akamtilia mzee kahawa.

Wife: leo mbona kimya sana hapa, mgeni yuko wapi? Mimi sijui.
Mzee: Mgeni saa hizi kishafika kwake, mamako kamuamsha mapema kabla ya adhana naona hajakaa tena kasem atasali akwake, atawahi.

Mshikaji; Mwanangu nimemuona alipoondoka. kaniharibia mudi yte ya asubuhi.
Mimi: kwanini?
Mshikaji; Nilijua atakuwepo hapa kwenye barza, nilianzisha na mzee yupo hapa mapema baada ya kusali tu, kumbe mwenzagu ana plani zingine.
Mzee; Sasa ilianzishe nini mwanangu?
Mshikaji; Si jambo la heri Dingi, mimi nilishamuuliza kumbe hjana mume, waliachana zamani sana.
Mzee; Sasa posa inakwenda hivo jamani?
Mshikaji; Mzee mimi nilitaka nisikie mbicho na mbivu live hapahapa, najua madua niliopiga usiku na Alfajiri ningrmalizia, kama hajaondoka, asingeruka kabisa.
Mimi: usijali mwanangu mbona siku zipo kibao, wewe ingea na Mzee hapa akuelelekeze ch KUFANHYA.
Mshikaji; Mzee unajua jana usiku nilifurahi sana, nilivoisiki na mkewe huyu mwanga anaenda Pemba, nikashukuru kimoyomoyo, unajua mzee baina ya mwanamke na mwanamme shetani, sasa huyu chui unamkabidhi mbuzi aende nae pembe akamchunge? Atarudi huyo mbuzi? Ataliwa hukohuko hata mifupa huikuti. hata fisi haambulii kitu.

Mama; haya jamaa, leo nimewafanyia chakula cha asubuhi teke away wote, kila mmoja pack yake, akitaka kula hapa au mwendenacho Mzee kasema anataka kuondoka sasa hivi hakai, ana kazi.
Mshikaji; Kweli Dingi, mikazi ile lazima tukaipangue pajgue mapema. Hoyaa mwanangu usilaze damu basi, uje faster. Dingi si unaona yupo tayari tayari, na kibegi chake cha nguo za kazi, ndio kishanyanyua nanga, inaondoka hio.

Mzee akanyanyuka, wakatoka na mshikaji, maza nae akaingia ndani;

Mama ; Sie tunatoka wote na watoto, wewe mchana leo ukija chakula kipo kwenye friji, au ukifanya maarifa mengine huko poa. Takeaway yako hio hapo juu ya meza. Nikamwabia poa mama, usijali, mie naingia ndani mara moja, hata mimi mikazi kibao huko.

na mie sikukaa sana baada ya muda nikaenda zangu kazini, nilikua na magari kibao yanataka mambo madogo, sijui bulb sijui taa ya dashboard haiwaki, lakini gari kama tano za diagnosis. Nikazifanyia faster kuna kijana wangu wa veta anakula maoezi ya practical na mimi yupo vizuri, sema alikua kai za uchafu uchafiu, siku hizi kaana za kijirekebisha, ndio maana simwachii mpaka nhakikishe yupo neat kabisa.

Gereji ya mzee fundi au msaidizi wa fundi ukiwa mchafu.mzee anakupa warning marfa moja, mara yapili anakupa off siku tatu. Ukifrudia nnra ya tatu hata ikipita mwaka, ndio kwaheri hio. Hukai hata dakika 1, haamini kabisa katika fundi anaejijaza magirisi na miguo mpaka inaganda. Anapenda kila kitu neat kabisa.

Nikawa busy kama masaa ypote mpaka mchana muda wa kusali, nikawahi msikitoni nipate kunyoosha miguu kidogo, nikarudia mbele dukani kwangu, gereji zina hamu nako. Nikacheki cheki mahesabu, kuna binti mmoja anajua soare huyo kuliko mafundi, kajifunza hapahapa kwetu, tena ni wa foitrm foyur tu kama mimi, sema yuko sharp ile mbaya, alishindwa kuendelee wlimjaza mimba mapema. Nzee akamchukua hivyo akamuweka dukani kwake huku ana mtotoananyonyesha, mytoto sasa sasa kishaanza darasa la kwanza, na huyu binti kishgaolewa na fundi mmoja wa mzee. Nikakuta kila kitu OK. Nikamwabia mie nakwenda kumuaga mzee naindoka mapema nimexhoka mapema leo.


Nikaingia ndani nikwamuga mzee akanambia OK bora uende, naona leo uli[inda mgngo kweli.


Nikaingia nytumba tupu, kimyaa nikaenda kukoga faster nikajitupa kitandani kupumzika nikastulkiwa na simu nilisahau kuiweka silence. Kupokea ni wife.
Wife; Ulikua umelala?
Mimi; Ndio umestua usingizi mzito kweli?
Wife; Pole D. Nimeongea na Dokta sasa hivi, anasema kapata 3 days baada ya tarehe ya hio sherehe yao, maana tarehe yao satorday kuakia Sunday, yeye atapata Mondau, Tuesady Wednesday. Wedenesday hio tunaweza kuondoka jioni kuna ndege saa 11 ya kuja Dar. Rhursaday Morning inaboidi awe ofisini, kisha fanya booking kabisa ya watu watatu, anasema ticket yako na yeye katumiwa namba kwenye simu kisha zibadili zote. Kwa hio D tunaenda wote. Nikamwabia poa.

Wife anasema atakupigia ku confirm na wewe na kupanga tutaonf)dokaje.
Miumi; Mwambie siku ya safari aje hapa awache gari yake, utaondokea hapa nyumbani wote kwen airport.
Wife; ndege 12 asubuhi inaondoka, Airport 10 au kabla tuwe tumeshafika.
Mimi: mwambie aje kulala hapa basi, asubuhi tubaondoka pamoja.
Wife; Hipo godd idea, mimi namwambia sasa hivi na wewe mpigie.
Mimi: Okay.

Nikamkaa nikaona heri kaniamsha, ningelala mpaka saa ngapi. nikaingia kukoga kutoka nikasheki simu, kumbe tiketi imeingia toka jana, nilikua sijaiona, nikaona miss call ya babu, miss call ya sheikh wa Unguja. Nikampoihgia kwana babu, baada ya kusalimiana.

Babu; Nimeonge na mkeo muda kidogo kanambia habari ya safari yenu ya Pemba, sasa mfalme wewe, mmoja huku mmoja huku. Muoe huyo Dokta.

Mimi; babu huyi siwezi hana dadake kwa ajili yako.
Babu akacheka sana kwenye simu; Mie usijali, usikiache kifaa hicho.
Mimi: babu ndiuo ulinipigia kwa hilo?

Babu: Dogo hilo Simba? Mie nimefurahi tu mnaenda Pemba wote, tena wife wako kanambia mtakaa siku tano.
Mimi: Babu: hata mimi sijajua sawasawa, kanipigia simu muda huu kunieleza.
Babu: Haya basi kwaheri.

Nikapigia Sheikh wa Unguja, baada ya kusalimiana.

Sheikh: Simba nimepoata habari zako za sfari kwa Bwana Ali wa Buguruni. Nimefirahi sana mnakwenda kumaliza mambo ya huyo binti na babu yako nilongea nae, sisi tunawatakia safari njema, nitawapa namba zako jamaa zangu wa Pemba, ni watu maariufu sana hapo, tumeoleana, au una wenyeji huko?

Mimi: Hapoasa sinjui zaidi ya Mzee Ali.

Sheikh: basi una wenyeji, hao kama nipo au zaidi maana ni vijana wenzio, wapo vizuri sana utawapenda na utafurahi, nikaona nikuulize kabla sijawapa namba zako.

Mimi: wape tu usijali Sheikh wangu. Tukaagana.

Bikatoka nje kupiga misele mitaani kwetu, nikakuta na washikjai wenginytu na watu tunaojuana hapa na pale nikatrudia msikitini, nikakaa msikiti baada ya magharibi nasoma soma Qur'an mpoka sala ya Isha nilipomaliza nagtoka, narudi nyumbani maza na wafe washaru musda mrefu kumbe, Mzee na Mshikaji ndio hawajarudi sio kawaid ya Mzee kabisa.

Nikamuuliza mama, vipi mzee?

Mama; kapiga simu kasema hachelkewi atakuja baada ya Isha

baaa ya muda kidogo mzee akaingia sisi tupo uani, kutusalimia akaenda Chumbani kwake moja kwa moja.
Mshikaji; Mazaa eeh, mimi nikishapifga gahwa sikai, nakwenda kupumzika mapema. Leo nipo taaabani ile mbaya, lakini mashukuru, muemo lo ndio nimeuona akipiga kazi, hakubali mpaka amalize akiianza kazi, watu tukajua leo tunalala gereji, lakinituko na Dingi hakiharibiki kitu. Oyaa, mwanagu, leo getreji nyeupoe huko, mzee kamaliza gari zote, kila mtu huko leo taabani, hajakaa ofusini leo, tulikua na egereji mwanzo mwisho, anasema tunafuga mbu na magari kukaa sana pale. Gari zilizobaki pale za bodi na rangi tu, na wale kishawaambia wiki hii hataki kuona gari inabaki/

Mimi; Niliusom mchezo mapema nikamaliza kazi zangu mapema kabisa, maana wote leo tungepigishwa spana.
Mshikaji: umeotea kweli mwanangiu. Kwaherini jamani, mimi nimeshiba ile mbaya, msosi tumekula jioni jioni 11.

Usiku ule ule nikampigia simu Dokta akanieleza yite kuhusu tiketi na safari, kua kishaongea na wofe ajje kuondokea hapo.

Dokta; basi wewe usijali Simba nimeshapata coordinator mzuri tunaelewana lugha, Nikamwambia poa, tukaagana.

Kama alielewa kua nataka kumwabia sasa aanz emawasiliano yote na wife, nilikua sitaki kuzoeana nae sana.

Siku zikapita faster, mambo yote sasa ikawa wife ndio kila kitu, Mpaka siku moja kabla ya safari Dokta akaja mwenyewe jioni, tukawa nae pale, siku ya pili ikaanza. Kimbembe cha Kojani kikaanza.
Vionjo vya Arsis - Majini ya Kojani- Pemba 6.

Tukaamka kabla ya alfajiri, tukaondoka kabla ya saa 11. Tukafika Airport mapema tu tukawahi ndege vizuri kabisa. Ikaondoka ontime.

Tulipofika Pemba, tukakuta vigari nje, Dokta na wofe walikua washa arrange gari la Karafuu Hotel, Dr. Akawaona anawajua yeye, maana anakuja kuja Pemba mara kwa mara, tyukapelkwa Hotel, ni takriban sio mbali na kati kati ya mji wa Chakechake.

Hotel nzuri sio mbaya. Tukaponeshwa chumba chetu, kilikua hakipo mbali na cha Dokta. Floor hio hio, hii hoteli nadhani ina ghorofa tatu. Nikamwacha wife ndani anapanga panga, nikamwabia mimi nakwenda kunusu upepo wa karafuu nje, huko. Nikatoka kwa nyuma iuna swiming pool ndogo ndodgo na kuna sehemu ya breafst ya nje. Nikaenda kwa mbele nikato nje, ukitoka tu kuna barabata, nikawa natia macho Nuru.

Nikapapenda Pemba, pako green sana, sehemu ile jirabni hakuna yumba nyingi lakini ilizopo zinaonesha ni nyumba nzuri kama popote YTanzania kwenye majengo ya watiu mazuri. Nikatembea tembea kama dakika 45 hivi nikarudi, ile naingia tu resepshen wakanambia, wenzako wako huko wameacha maagizo uende pool.

Nikawakuta washaanzq kupiga breakfast, na mimi wife akaniagizia.
Wife: Mwenzetu ushakua mwenyeji? Tunaambiwa umetoka nje, tunaytoka hatukuoni.
Mimi; Nilikua nanyoosha nyoosha miguu navuta jewa ya karafuu.

Wife; Dokta mueleze kisa na mikasa, mie sijaongea nae lolote.
Dokta: Ngja nianzie kwa Mzee Ali jana, mkeqwe alinipigia simu akaniuliza kuhusu safari, maana nilishaongea kabla nikamjulisha nimepata tiketi na pesa> Simba si unajua walinitumia klaki tano za safari?
Mimi; Hapana sijui.
Dokta; Nisha hujamwambia?
Wife: Sijamwambia, pesa zako nimwambie yeye ya nini?
Dokta' Ungemjulisha tu, hizo ni gharama za safari yetu, mndio zilizokata tiketi yako na gharama za hoteli, kama zitapungua ni juu yangu.
Mimi; Hapana, hizo kama hazijatosha mimi nitatoa zigtazozidi, hilo tulishaongea na Nisha na hio ni closed case, yeye ata take care gharama, mtashirikiana mpaka zitappoishia hizo laki tano, sitaki kua burden yako, sisi tumekuja kutenbea tu Pemba Dokta.
Wife: Si nilikwambaia Dokta hakubali kabisaa Simba, mimi sijamwambia llolote. Wacha tu enjoy Pemba.

Dokta; Sijamaliza jamani, mkewe Mzee Ali akanambia leo iusikiu ndio hio shughuli inaanza kesho nikumalizia tu, tunatakiwa tuwe pale kuanzia mchana tule hukohuko, twende mpka kituo cha Kojani, tukifika tutaonana na mzee Ali haondoki mpaka sisi tufike. Atatuchukua tutaenda nae Kojani. Ni hapo hapo tu tunavuka na ngarawa, sio mbali.

Mimi; Poa.

Doktaa; Na Sheikh...wa unguja alinipatia wenyeji, wae zao walinnipigia simu nikaongea nao, nikawaambia sisi tumeshabook hotel na mimi nitakua kikazi kuanzia Jumatatu, k hio wasijisumbue nikifika nitwajulisha, wakanambia na we Simba waume zao watakupigia tukifika, kwa hio tegemea simu yao.

Mimi; Sawa hakuna tatizo.

Simu yangu hapo hapo ikaita, kupokea Jini 1;
Jini 1; Tafuta sehemu nzuri tuongee sasa hivi.

Nikawaambia, jamani nisameheni kidogo nakwenda kuongea na simu, nitarudi nisubirini, nikapanda juu nikaenda chumbani kwetu, ile naingia tu, mlango ukagongwa uulivoigongwa nikajua Jini 1, niamfungulia tukasalimiana.
Jini 1: Sitaki kukupotezea muda, nisikilize kwa makini sana...
Usikubali kufatana na yeyoite huko, nendandeni nyinyi m,msiende hata na hao wenyeji ala wasijue mnaenda wapi. Mtaonana nao kesho mkimaliza hii shughuli. Sawa?

Mimi; Sawa.
Jini 1; Halafu, tupo mimi, mama na Bakora tutakutana hapo kituoni tutavuka wote na tutakua kama mtu yoyote yule na mjulishe Mzee Ali kua hawa nimefatana nao mimi. Usijali kitu gtukiwepo sisi wataweka heshia kubwa sana kwako kwa sababu wakubwa zao watawaambia sisi ni kina nani na tumeshajulishwa nao na Kamanada. Umefahamu?
Mimi; Nimefahamu.

Jini; La mwisho hili, huko itabidi leo vijini vyao vilivukua vina mzoinga Dokta viachiwe, kwa hio mtatoka pale mtafikia kwa Mzee Ali mtaenda kama kilomita moja na nusu, sio mbali kwa kutembea, ndio kuna mizimu ya hayo majini,ukifika utawaambia, kabka ya kuwawachia lazima mzee Mzee aLI Akuahidi kua mkirudi tu leo, kwa kua shughuli inaanza usiku tatu, basi kazima akufundishe njia zake anazofanya kuwapa wati vijini vyake. Zipo njia tatu, zote atakuonesha. akisha kuonesha huko ndio kamanda atawawachia lakini pale mkiend atawaweweka wawaone wao, lakini watakua chini ya ulinzi wake, mpaka wewqe ukisema. Sisi tutafanana na nyinyi kote huko na mtatuona wote msiwe na shaka.

Mimi; Sasa wakinuliza mke wangu an Dokta kna nani hawa?
Jini 1; Waambie kweli kuwa sisi tunajuana kutokea Tanga kwa babu yako na tumekuja na sisi kushuhudia shughuli.
Mimi: Mzee Ali si alisema, kua alisha leta list ya wageni?
Jini 1; Muongo yule, hana cha listiu wla nini, sema hiviu vijini vyake kama havijaachiwa leo, atanyang'anywa ukubwa, unajua yule ndio mkubwa wa shughuli hizi za majini wote wa Kojani? Waganga na wachawi wote wa Kojani yeye ndio Kinara wao, hawafanyi kitu bila yeye kujua. Ni cheo kikubwa akinyang'anywa hicho ni aibu kubwa sana, na hicho wanapewa ukoo wao tu, ndio makubaliano yaliopo toka babuzake...

Sasa hakuna maongezi mengi kama umesahau kitu, utajua namna ya kutuuliza, haya nenda kwa wenzako wasingie wasiwasi, tugtaonana kituo cha Kojani.


Nikarudi.

Wife; Eeeh Simba ulikua na mkutano wa kwenye simu? Muda wite huu?
Mimi; Usijali, yalikua mambo muhimu kidogo. Saa ngapi tunakwend huko.

Dokta; hicho kituo cha Kojanikwa gari kama nusu saa tu, wale wanawake wenyeji wamanipigia tena wanasema watutumie gari, na huyu anaseam mumewe anakupigia hupokei.

Mimi; Ngoja niwapigie niwasikilize, nikanyanyuka.

Nikapiga simu nimekuta miss callas kama tanoi hivi.

Ya kwanza ikawa kwa huyo mwenyeji wetu ytukatambuana pale akanisihi sana aje. Nikamwabia utanisameh Sheikh wangu tutaonana Jumatatu, kuna ndugu lazima niwatembelee watakuja kunichukua. Tukamalizana, kua tukimaliza mambo yetu tuawasiliana nao.

Ya pili ikawa mwenyeji mwengine katika hao hao, nikamjulisha nishaongea na fulani wasijihangaishe,akanambia Sheikh basoi chakula cha mchana nyumbani leo. Nikamwambia leo haiwezekani kabisa, tukakubaliana Jumatatu.

Ya gtatu, mkewe Mzee Ali, nikaongea nae, sisi trumeshafika Kojani, nikamwabia wasiliana na Dokta atakupa maelezo yote. Akajibu sawa, nikamwabia kwaheri.

Ya nne na ya tani ikawa zote za kina Mzee Ali, naona mkewe kaona simu hyake haipokelewi na mimi kwa wasiwasi ule akatafita namba zingine. Nikajua anatiwa presha na Mzee Ali maana nilishambia aiwasiliane na mimi wala Dokta, anaogopa kuukosa ukubwa..

Nikatrudi nikawaeleza nimeongea na jamaa na nimewakatalia kuhusu garo lao na ugeni wao mpaka Jumatatu, tukimaliza kesho shughuli ya hawa jamaa inabidi tupumzike kesho, matembezi na wao Jumatatu. Wakanielewa.

Wife; Mimi naona tuondoke hapa saa sita kamili, nusu saa ya kufika, nusu saa tutatazama mandhar, mchana tutasali hukohukom Pemba hii hapakosi msikiti hapo, Tukitoka kusali tutakutana na Mzee Ali tuvuke. Mnaonaje?

Mimi; Dokta unaonaje?

Dokta: naona good idea na wewe simba unasemaje?

Mimi; Poa tu. Tutaenda na gari ya hoteli au?

Dokta" Gari hapa unawajulisha dakika 15 tu kabla ya kuondoka wana madereva wengi wanafanya nao.


Nikajua huu kama mpango wa Unguja.

...
 
Kwa mnaosoma tupeni update kwani jamaa ajapofushwa bado
 
Ukiona Muislam anafanya hivyo elewa kua anakiuka Mafundisho ya Uislam, huyo anakua ni Mchawi na ni Muislam jina tu.

Hakuna ushirikina wa Kiislam, punguza makali ya maneno yako, Unapoona kuna ushirikina kwenye Uislam tuoneshe tu labda kuna kitu hujakielewa.

Unaulinganisha Uislam na dini au imani ipi kwa mfano? ya "EvilSpirit"?

Mimi naona ID yako ipo ki shirki shirki. Kwanini unafanya shirki, kwa imani ipi?
Simba.

Ukiona Muislam anafanya hivyo elewa kua anakiuka Mafundisho ya Uislam, huyo anakua ni Mchawi na ni Muislam jina tu.

Hakuna ushirikina wa Kiislam, punguza makali ya maneno yako, Unapoona kuna ushirikina kwenye Uislam tuoneshe tu labda kuna kitu hujakielewa.

Unaulinganisha Uislam na dini au imani ipi kwa mfano? ya "EvilSpirit"?

Mimi naona ID yako ipo ki shirki shirki. Kwanini unafanya shirki, kwa imani ipi?
Simba.
Nitake radhi sheikh mimi nafanya shirki mimi
 
Vionjo vya Arsis - Majini ya Kojani- Pemba 6.

Tukaamka kabla ya alfajiri, tukaondoka kabla ya saa 11. Tukafika Airport mapema tu tukawahi ndege vizuri kabisa. Ikaondoka ontime.

Tulipofika Pemba, tukakuta vigari nje, Dokta na wofe walikua washa arrange gari la Karafuu Hotel, Dr. Akawaona anawajua yeye, maana anakuja kuja Pemba mara kwa mara, tyukapelkwa Hotel, ni takriban sio mbali na kati kati ya mji wa Chakechake.

Hotel nzuri sio mbaya. Tukaponeshwa chumba chetu, kilikua hakipo mbali na cha Dokta. Floor hio hio, hii hoteli nadhani ina ghorofa tatu. Nikamwacha wife ndani anapanga panga, nikamwabia mimi nakwenda kunusu upepo wa karafuu nje, huko. Nikatoka kwa nyuma iuna swiming pool ndogo ndodgo na kuna sehemu ya breafst ya nje. Nikaenda kwa mbele nikato nje, ukitoka tu kuna barabata, nikawa natia macho Nuru.

Nikapapenda Pemba, pako green sana, sehemu ile jirabni hakuna yumba nyingi lakini ilizopo zinaonesha ni nyumba nzuri kama popote YTanzania kwenye majengo ya watiu mazuri. Nikatembea tembea kama dakika 45 hivi nikarudi, ile naingia tu resepshen wakanambia, wenzako wako huko wameacha maagizo uende pool.

Nikawakuta washaanzq kupiga breakfast, na mimi wife akaniagizia.
Wife: Mwenzetu ushakua mwenyeji? Tunaambiwa umetoka nje, tunaytoka hatukuoni.
Mimi; Nilikua nanyoosha nyoosha miguu navuta jewa ya karafuu.

Wife; Dokta mueleze kisa na mikasa, mie sijaongea nae lolote.
Dokta: Ngja nianzie kwa Mzee Ali jana, mkeqwe alinipigia simu akaniuliza kuhusu safari, maana nilishaongea kabla nikamjulisha nimepata tiketi na pesa> Simba si unajua walinitumia klaki tano za safari?
Mimi; Hapana sijui.
Dokta; Nisha hujamwambia?
Wife: Sijamwambia, pesa zako nimwambie yeye ya nini?
Dokta' Ungemjulisha tu, hizo ni gharama za safari yetu, mndio zilizokata tiketi yako na gharama za hoteli, kama zitapungua ni juu yangu.
Mimi; Hapana, hizo kama hazijatosha mimi nitatoa zigtazozidi, hilo tulishaongea na Nisha na hio ni closed case, yeye ata take care gharama, mtashirikiana mpaka zitappoishia hizo laki tano, sitaki kua burden yako, sisi tumekuja kutenbea tu Pemba Dokta.
Wife: Si nilikwambaia Dokta hakubali kabisaa Simba, mimi sijamwambia llolote. Wacha tu enjoy Pemba.

Dokta; Sijamaliza jamani, mkewe Mzee Ali akanambia leo iusikiu ndio hio shughuli inaanza kesho nikumalizia tu, tunatakiwa tuwe pale kuanzia mchana tule hukohuko, twende mpka kituo cha Kojani, tukifika tutaonana na mzee Ali haondoki mpaka sisi tufike. Atatuchukua tutaenda nae Kojani. Ni hapo hapo tu tunavuka na ngarawa, sio mbali.

Mimi; Poa.

Doktaa; Na Sheikh...wa unguja alinipatia wenyeji, wae zao walinnipigia simu nikaongea nao, nikawaambia sisi tumeshabook hotel na mimi nitakua kikazi kuanzia Jumatatu, k hio wasijisumbue nikifika nitwajulisha, wakanambia na we Simba waume zao watakupigia tukifika, kwa hio tegemea simu yao.

Mimi; Sawa hakuna tatizo.

Simu yangu hapo hapo ikaita, kupokea Jini 1;
Jini 1; Tafuta sehemu nzuri tuongee sasa hivi.

Nikawaambia, jamani nisameheni kidogo nakwenda kuongea na simu, nitarudi nisubirini, nikapanda juu nikaenda chumbani kwetu, ile naingia tu, mlango ukagongwa uulivoigongwa nikajua Jini 1, niamfungulia tukasalimiana.
Jini 1: Sitaki kukupotezea muda, nisikilize kwa makini sana...
Usikubali kufatana na yeyoite huko, nendandeni nyinyi m,msiende hata na hao wenyeji ala wasijue mnaenda wapi. Mtaonana nao kesho mkimaliza hii shughuli. Sawa?

Mimi; Sawa.
Jini 1; Halafu, tupo mimi, mama na Bakora tutakutana hapo kituoni tutavuka wote na tutakua kama mtu yoyote yule na mjulishe Mzee Ali kua hawa nimefatana nao mimi. Usijali kitu gtukiwepo sisi wataweka heshia kubwa sana kwako kwa sababu wakubwa zao watawaambia sisi ni kina nani na tumeshajulishwa nao na Kamanada. Umefahamu?
Mimi; Nimefahamu.

Jini; La mwisho hili, huko itabidi leo vijini vyao vilivukua vina mzoinga Dokta viachiwe, kwa hio mtatoka pale mtafikia kwa Mzee Ali mtaenda kama kilomita moja na nusu, sio mbali kwa kutembea, ndio kuna mizimu ya hayo majini,ukifika utawaambia, kabka ya kuwawachia lazima mzee Mzee aLI Akuahidi kua mkirudi tu leo, kwa kua shughuli inaanza usiku tatu, basi kazima akufundishe njia zake anazofanya kuwapa wati vijini vyake. Zipo njia tatu, zote atakuonesha. akisha kuonesha huko ndio kamanda atawawachia lakini pale mkiend atawaweweka wawaone wao, lakini watakua chini ya ulinzi wake, mpaka wewqe ukisema. Sisi tutafanana na nyinyi kote huko na mtatuona wote msiwe na shaka.

Mimi; Sasa wakinuliza mke wangu an Dokta kna nani hawa?
Jini 1; Waambie kweli kuwa sisi tunajuana kutokea Tanga kwa babu yako na tumekuja na sisi kushuhudia shughuli.
Mimi: Mzee Ali si alisema, kua alisha leta list ya wageni?
Jini 1; Muongo yule, hana cha listiu wla nini, sema hiviu vijini vyake kama havijaachiwa leo, atanyang'anywa ukubwa, unajua yule ndio mkubwa wa shughuli hizi za majini wote wa Kojani? Waganga na wachawi wote wa Kojani yeye ndio Kinara wao, hawafanyi kitu bila yeye kujua. Ni cheo kikubwa akinyang'anywa hicho ni aibu kubwa sana, na hicho wanapewa ukoo wao tu, ndio makubaliano yaliopo toka babuzake...

Sasa hakuna maongezi mengi kama umesahau kitu, utajua namna ya kutuuliza, haya nenda kwa wenzako wasingie wasiwasi, tugtaonana kituo cha Kojani.


Nikarudi.

Wife; Eeeh Simba ulikua na mkutano wa kwenye simu? Muda wite huu?
Mimi; Usijali, yalikua mambo muhimu kidogo. Saa ngapi tunakwend huko.

Dokta; hicho kituo cha Kojanikwa gari kama nusu saa tu, wale wanawake wenyeji wamanipigia tena wanasema watutumie gari, na huyu anaseam mumewe anakupigia hupokei.

Mimi; Ngoja niwapigie niwasikilize, nikanyanyuka.

Nikapiga simu nimekuta miss callas kama tanoi hivi.

Ya kwanza ikawa kwa huyo mwenyeji wetu ytukatambuana pale akanisihi sana aje. Nikamwabia utanisameh Sheikh wangu tutaonana Jumatatu, kuna ndugu lazima niwatembelee watakuja kunichukua. Tukamalizana, kua tukimaliza mambo yetu tuawasiliana nao.

Ya pili ikawa mwenyeji mwengine katika hao hao, nikamjulisha nishaongea na fulani wasijihangaishe,akanambia Sheikh basoi chakula cha mchana nyumbani leo. Nikamwambia leo haiwezekani kabisa, tukakubaliana Jumatatu.

Ya gtatu, mkewe Mzee Ali, nikaongea nae, sisi trumeshafika Kojani, nikamwabia wasiliana na Dokta atakupa maelezo yote. Akajibu sawa, nikamwabia kwaheri.

Ya nne na ya tani ikawa zote za kina Mzee Ali, naona mkewe kaona simu hyake haipokelewi na mimi kwa wasiwasi ule akatafita namba zingine. Nikajua anatiwa presha na Mzee Ali maana nilishambia aiwasiliane na mimi wala Dokta, anaogopa kuukosa ukubwa..

Nikatrudi nikawaeleza nimeongea na jamaa na nimewakatalia kuhusu garo lao na ugeni wao mpaka Jumatatu, tukimaliza kesho shughuli ya hawa jamaa inabidi tupumzike kesho, matembezi na wao Jumatatu. Wakanielewa.

Wife; Mimi naona tuondoke hapa saa sita kamili, nusu saa ya kufika, nusu saa tutatazama mandhar, mchana tutasali hukohukom Pemba hii hapakosi msikiti hapo, Tukitoka kusali tutakutana na Mzee Ali tuvuke. Mnaonaje?

Mimi; Dokta unaonaje?

Dokta: naona good idea na wewe simba unasemaje?

Mimi; Poa tu. Tutaenda na gari ya hoteli au?

Dokta" Gari hapa unawajulisha dakika 15 tu kabla ya kuondoka wana madereva wengi wanafanya nao.


Nikajua huu kama mpango wa Unguja.

...
Simba,
Nilikuwa nauliza kwanini unalipia tiketi za Ndege au Boti si ungekuwa unageuza tu pete hauonekani unapanda unaondoka...?! Au ukitaka hata kwenda Marekani unaingia pale JNIA bila kuonekana unafika unapotaka kwenda bila kuonekana... au kama ni Marekani unafika hawakuoni... unaigeuza tena unakula maisha...
 
Ombi kwa Simba, wataalam unaowaamini wana uwezo na kazi ya utabibu wewe usijali weka namba zao hapa utakuwa umesaidia wengi sana.

Majibu yako kuhusu jini mahaba hayajitoshelezi, kama kuna dawa fundishs watu namna ya kuliondowa.

Mimi nilikuwa nalo hilo ila mimi ni mtu wa vyombo naona limetoka nduki lenyewe kila likija linakuta niko bwii kaona isiwe tabu kuna simulizi nilisikia majini hayataki watu wachafu kama mimi.

Pia kama hutojali kuna simulizi nimesikia mifupa ya nguruwe inamkinga mtu na wachawi, je hili lina ukweli?

Hapo naona na Arsis akusaidie kujibu maswali yangu.
 
Vionjo vya Arsis - Majini ya Kojani- Pemba 6.

Tukaamka kabla ya alfajiri, tukaondoka kabla ya saa 11. Tukafika Airport mapema tu tukawahi ndege vizuri kabisa. Ikaondoka ontime.

Tulipofika Pemba, tukakuta vigari nje, Dokta na wofe walikua washa arrange gari la Karafuu Hotel, Dr. Akawaona anawajua yeye, maana anakuja kuja Pemba mara kwa mara, tyukapelkwa Hotel, ni takriban sio mbali na kati kati ya mji wa Chakechake.

Hotel nzuri sio mbaya. Tukaponeshwa chumba chetu, kilikua hakipo mbali na cha Dokta. Floor hio hio, hii hoteli nadhani ina ghorofa tatu. Nikamwacha wife ndani anapanga panga, nikamwabia mimi nakwenda kunusu upepo wa karafuu nje, huko. Nikatoka kwa nyuma iuna swiming pool ndogo ndodgo na kuna sehemu ya breafst ya nje. Nikaenda kwa mbele nikato nje, ukitoka tu kuna barabata, nikawa natia macho Nuru.

Nikapapenda Pemba, pako green sana, sehemu ile jirabni hakuna yumba nyingi lakini ilizopo zinaonesha ni nyumba nzuri kama popote YTanzania kwenye majengo ya watiu mazuri. Nikatembea tembea kama dakika 45 hivi nikarudi, ile naingia tu resepshen wakanambia, wenzako wako huko wameacha maagizo uende pool.

Nikawakuta washaanzq kupiga breakfast, na mimi wife akaniagizia.
Wife: Mwenzetu ushakua mwenyeji? Tunaambiwa umetoka nje, tunaytoka hatukuoni.
Mimi; Nilikua nanyoosha nyoosha miguu navuta jewa ya karafuu.

Wife; Dokta mueleze kisa na mikasa, mie sijaongea nae lolote.
Dokta: Ngja nianzie kwa Mzee Ali jana, mkeqwe alinipigia simu akaniuliza kuhusu safari, maana nilishaongea kabla nikamjulisha nimepata tiketi na pesa> Simba si unajua walinitumia klaki tano za safari?
Mimi; Hapana sijui.
Dokta; Nisha hujamwambia?
Wife: Sijamwambia, pesa zako nimwambie yeye ya nini?
Dokta' Ungemjulisha tu, hizo ni gharama za safari yetu, mndio zilizokata tiketi yako na gharama za hoteli, kama zitapungua ni juu yangu.
Mimi; Hapana, hizo kama hazijatosha mimi nitatoa zigtazozidi, hilo tulishaongea na Nisha na hio ni closed case, yeye ata take care gharama, mtashirikiana mpaka zitappoishia hizo laki tano, sitaki kua burden yako, sisi tumekuja kutenbea tu Pemba Dokta.
Wife: Si nilikwambaia Dokta hakubali kabisaa Simba, mimi sijamwambia llolote. Wacha tu enjoy Pemba.

Dokta; Sijamaliza jamani, mkewe Mzee Ali akanambia leo iusikiu ndio hio shughuli inaanza kesho nikumalizia tu, tunatakiwa tuwe pale kuanzia mchana tule hukohuko, twende mpka kituo cha Kojani, tukifika tutaonana na mzee Ali haondoki mpaka sisi tufike. Atatuchukua tutaenda nae Kojani. Ni hapo hapo tu tunavuka na ngarawa, sio mbali.

Mimi; Poa.

Doktaa; Na Sheikh...wa unguja alinipatia wenyeji, wae zao walinnipigia simu nikaongea nao, nikawaambia sisi tumeshabook hotel na mimi nitakua kikazi kuanzia Jumatatu, k hio wasijisumbue nikifika nitwajulisha, wakanambia na we Simba waume zao watakupigia tukifika, kwa hio tegemea simu yao.

Mimi; Sawa hakuna tatizo.

Simu yangu hapo hapo ikaita, kupokea Jini 1;
Jini 1; Tafuta sehemu nzuri tuongee sasa hivi.

Nikawaambia, jamani nisameheni kidogo nakwenda kuongea na simu, nitarudi nisubirini, nikapanda juu nikaenda chumbani kwetu, ile naingia tu, mlango ukagongwa uulivoigongwa nikajua Jini 1, niamfungulia tukasalimiana.
Jini 1: Sitaki kukupotezea muda, nisikilize kwa makini sana...
Usikubali kufatana na yeyoite huko, nendandeni nyinyi m,msiende hata na hao wenyeji ala wasijue mnaenda wapi. Mtaonana nao kesho mkimaliza hii shughuli. Sawa?

Mimi; Sawa.
Jini 1; Halafu, tupo mimi, mama na Bakora tutakutana hapo kituoni tutavuka wote na tutakua kama mtu yoyote yule na mjulishe Mzee Ali kua hawa nimefatana nao mimi. Usijali kitu gtukiwepo sisi wataweka heshia kubwa sana kwako kwa sababu wakubwa zao watawaambia sisi ni kina nani na tumeshajulishwa nao na Kamanada. Umefahamu?
Mimi; Nimefahamu.

Jini; La mwisho hili, huko itabidi leo vijini vyao vilivukua vina mzoinga Dokta viachiwe, kwa hio mtatoka pale mtafikia kwa Mzee Ali mtaenda kama kilomita moja na nusu, sio mbali kwa kutembea, ndio kuna mizimu ya hayo majini,ukifika utawaambia, kabka ya kuwawachia lazima mzee Mzee aLI Akuahidi kua mkirudi tu leo, kwa kua shughuli inaanza usiku tatu, basi kazima akufundishe njia zake anazofanya kuwapa wati vijini vyake. Zipo njia tatu, zote atakuonesha. akisha kuonesha huko ndio kamanda atawawachia lakini pale mkiend atawaweweka wawaone wao, lakini watakua chini ya ulinzi wake, mpaka wewqe ukisema. Sisi tutafanana na nyinyi kote huko na mtatuona wote msiwe na shaka.

Mimi; Sasa wakinuliza mke wangu an Dokta kna nani hawa?
Jini 1; Waambie kweli kuwa sisi tunajuana kutokea Tanga kwa babu yako na tumekuja na sisi kushuhudia shughuli.
Mimi: Mzee Ali si alisema, kua alisha leta list ya wageni?
Jini 1; Muongo yule, hana cha listiu wla nini, sema hiviu vijini vyake kama havijaachiwa leo, atanyang'anywa ukubwa, unajua yule ndio mkubwa wa shughuli hizi za majini wote wa Kojani? Waganga na wachawi wote wa Kojani yeye ndio Kinara wao, hawafanyi kitu bila yeye kujua. Ni cheo kikubwa akinyang'anywa hicho ni aibu kubwa sana, na hicho wanapewa ukoo wao tu, ndio makubaliano yaliopo toka babuzake...

Sasa hakuna maongezi mengi kama umesahau kitu, utajua namna ya kutuuliza, haya nenda kwa wenzako wasingie wasiwasi, tugtaonana kituo cha Kojani.


Nikarudi.

Wife; Eeeh Simba ulikua na mkutano wa kwenye simu? Muda wite huu?
Mimi; Usijali, yalikua mambo muhimu kidogo. Saa ngapi tunakwend huko.

Dokta; hicho kituo cha Kojanikwa gari kama nusu saa tu, wale wanawake wenyeji wamanipigia tena wanasema watutumie gari, na huyu anaseam mumewe anakupigia hupokei.

Mimi; Ngoja niwapigie niwasikilize, nikanyanyuka.

Nikapiga simu nimekuta miss callas kama tanoi hivi.

Ya kwanza ikawa kwa huyo mwenyeji wetu ytukatambuana pale akanisihi sana aje. Nikamwabia utanisameh Sheikh wangu tutaonana Jumatatu, kuna ndugu lazima niwatembelee watakuja kunichukua. Tukamalizana, kua tukimaliza mambo yetu tuawasiliana nao.

Ya pili ikawa mwenyeji mwengine katika hao hao, nikamjulisha nishaongea na fulani wasijihangaishe,akanambia Sheikh basoi chakula cha mchana nyumbani leo. Nikamwambia leo haiwezekani kabisa, tukakubaliana Jumatatu.

Ya gtatu, mkewe Mzee Ali, nikaongea nae, sisi trumeshafika Kojani, nikamwabia wasiliana na Dokta atakupa maelezo yote. Akajibu sawa, nikamwabia kwaheri.

Ya nne na ya tani ikawa zote za kina Mzee Ali, naona mkewe kaona simu hyake haipokelewi na mimi kwa wasiwasi ule akatafita namba zingine. Nikajua anatiwa presha na Mzee Ali maana nilishambia aiwasiliane na mimi wala Dokta, anaogopa kuukosa ukubwa..

Nikatrudi nikawaeleza nimeongea na jamaa na nimewakatalia kuhusu garo lao na ugeni wao mpaka Jumatatu, tukimaliza kesho shughuli ya hawa jamaa inabidi tupumzike kesho, matembezi na wao Jumatatu. Wakanielewa.

Wife; Mimi naona tuondoke hapa saa sita kamili, nusu saa ya kufika, nusu saa tutatazama mandhar, mchana tutasali hukohukom Pemba hii hapakosi msikiti hapo, Tukitoka kusali tutakutana na Mzee Ali tuvuke. Mnaonaje?

Mimi; Dokta unaonaje?

Dokta: naona good idea na wewe simba unasemaje?

Mimi; Poa tu. Tutaenda na gari ya hoteli au?

Dokta" Gari hapa unawajulisha dakika 15 tu kabla ya kuondoka wana madereva wengi wanafanya nao.


Nikajua huu kama mpango wa Unguja.

...

Vionjo vya Arsis - Majini ya Kojani- Pemba 7.

... Muda ulipofika tukaondoka kama walivopanga wife na Dokta.

Tukafika kituo cha Kojani, tukashuka nikwambia drereva wewe nenda tu tukikuhitaji tutapiga simu. Tukaagana akaenda zake.

Tukatembea kidogo kuna kama nyumba nyumba mbili tatu, moja ina kama kiduka hivi kutaka kuingia nasika Sheikh Simba, kutazama nani ananitta nikaona Mzee Ali. Tukasalimiana wote. Nikamwabia wife huyu Ndio Mzee Ali, nikamwabia huyu mke wangu, Nikamhizi Mzee Ali anajaribu kujiweka kawaida lakini hana raha kabisa na sisi, inabidi afanye.

Mzee Ali; Sheikh karibu sana, naona pale kuna wageni wako ndio nilikua naongea nao hata mliposhushwa na gari sikuwaona, wametokea Tanga, wanasema na wao wamekuja kwenye sherehe zetu, uliwaambia waniulize mimi bahati na wao walikuja duka hilihili kuniuliza, hilo duka ndio kitu cha wageni wote. Twende tukawaone wageni, tukaenda wote walikua wamesimama upande wa pili, hilo duka lilikua kwenye kona, ya kushukia chini kupanda boti au ngatrawa, kuvushwa kwenda Kojani, tukjasalimiana na Bakora na Jini 1 na Jini 2, walikua kama mtu na mamake kabisa. Nikamwabia Sheikh Ali mtatambuklishana wenyewe lakini kweli hawa wageni wangu wapo na sisi.
Mzee Ali; Kareubuni karibuni, twendeni tuvuke. Dokata, wife wangu yupo nyumbani alikua anawatayarishia chakula, yeye kashindwa kuja kuwapokea.
Dokta; Hakuna neno.
Mimi; kqwa kua Mzee Ali kaja mapena kidogo hatruna haja ya kusubiri, naiona Kojani yenyewe si ndio hiyo mbele yetu? Tutasali hukohuko mchana.
Mzee Ali; Ndio hiyo, ukifika hapa ndio ushafika Kojani, hii kuvuka haicuhukui hata dakika tano, maji ya kikupw tubatenbea kwa miguu.

Tukaenda ytukapanda ngarawa kubwa hivi, wote tukaingia, sisi na kina Bakora.

Tuliposhuka tukaanza kuingia mitaani, ni vichochoro vidogo vpdgo nyumba kwa nyumba kama dakika kumi hivi tukafika kwake, nyumba yake ndio ilikua na hadhi naona, lakini hata sijui imejengwa nadhani kwa mikoko lakini sina uhaki, akatukarib9sha ndani mkewe akaja akawakaribisha kina mama ndani. Mzee Ali sisi tuwahi msikitini jamani, poamesha adhiniwa, tukaenda tukasali dhuhr tukarudi.

Kurudi tukakuta chakula wali w maana, samaki wa cchukuchuku lkini samaki kweli wa kula wageni na wengine wamekaangwa. Tukaanza kula wanaume wote wanawake walichukuliwa ndani huko. Tulipomaliza Mzee Ali akaleta kahawa kina mama nao wakawa wameshakuja tukakaa nao kama ukumb lakini una kitanda, tumeenea wote.

Bakora: Sasa Masheikh trusipooteze muda kwa kua sote ni wahusika na hakuna mgeni hakuna siri tufanye kilichotuleta ambacho ni muhimu kabla ya sherehe.

Mzee Ali; Sawa, basi tungeanza safari si mbali ni hapo juu kidogo, kule ndio sehemu za juu za kisiwa cha Kojani, tutatembea kidogo, wote mpo sawa kutembea? Mkewe Mzee Ali akasema, mimi nipo siendi, wageni zangu mtanisamehe.++Bakora: hayta sisi tuanze safari, tuatoka, wakati tupom njiani.

Bakora: Mimi na Mzee Ali tumekutrana kabla hamjaja na kishafahamishwa na wakubwa zake kuwa mimi nipo na wenzangu tupo na wewe DSheikh Simba, sote ni wageni kwa sshughuli hio hio, au sio Mzee Ali?

Mzee Ali; Naam, Sheikh, mimi nashkuru kua mmeacha kazi zenu kuja tuyamalize mambo ya huyu binti na yangu, maana leo ndio shughuli imeshaanza, pale tuliposhuka tumekuja huku kushoto, tungeenda kwa kule kulia mngeona ng'ombe walivojaa kwa shughuli hii hii ya leo usiku na kesho. na bila kumaliza hili jambo letu inakua ugumu sana kwangu. Nawashukuru san tena sana...,

Tena Dokta tumetoka haraka nyumbani kunamzigo wako ilikua nikukabidhi kabla hatuja huku ninao hapa bora nikupe kabisa mzigo wako. Mzee Ali akajisachi akatoa bahasha ya kaki nzito tu. Hii Dokta amana yako.
Dokta; Amana ipi tena?
Bakora: Mimi naona ishike kwanza Mzee Ali, tukifika hapo kabla ya kuanza shughuli mtaeleweshana, hapa njiani haina haja, au sio Sheikh Simba?

Mimi; kweli, maana tunatembeana maongezi haya haipendezi.

Mzee Ali, ni hapo mbele kidogo tu, tumeshafika, sema leo huku kutakua na wageni wengi wankuja kwa ajili ya hii shughuli.

Hatukwenda sana tukafika sehemu kama ina uwanja hivi halafu kwa mbele kuna kama lango la pango hivi,. kuna watu watu pale.

mzee Ali; Ni hapa jamani, lakini naomba twendeni pale pembeni tukamalize kukabishiana amana yetu.

Tukaenda pembeni kuna kivuli cha miti moiti pepee chini tukakaa pale, Mzee Ali akaitoa tena bahasha, akaanza.

Mzee Ali; kwanza ndugu zangu mliopo hapa wote, kwa kuijutia nafsi yangu na jina langu nakuomba sana Dokta unisamehe sana makosa yote niliokufanyia, unayoyajua na usio ya yajua.

Dokta: hakuna kosa ulilonifanyia lakini binadam hatujijui tusameheanae sote pengine tunakoseana bila kujua.
Bakora; Kwanza naomba niongee kidogo msione vibaya, nyinyi hamnifahamu, mimi ni trafiki yake sana babu yenu wewe Simba na wewe Nisha, nyie mnanijua, Nisha umenina ona tu kwa babu yako unanijua klakini sio sana, Simba swahiba yangu hapa ananifahamu vizuri sana. Mimi nimekuja kwa sababu mbili hapa Kojani, ya kwanza ni hii iliotulet hapa sasa hivi na hii ni ya msingi ya lili na mimi miaka mingi naisikia sherehe ya kila mwaka ya Kojani nikaona ndio fursa na mimi nije kuiona>Umenikumbuka Nisha, mimi rafiki ya Simba?

Nisha ; Sasa nakukumbuka tokea mdogo nakujua kwa babu, tunakuita Mzee Bakora, Bakora yako hio kama ya babu na mume wangu.

Bakora; Ndio wote wananita hivoi hivo Bakora ndio imekua jina langu kwa sababu siiachi hii imekua ndio alama yangu. Akacheka.

Sasa Mzee Ali tusizungushe maneno muda unakwenda, bira uingee moja kwa moja kama kuna mtu analake atasema, hakuna siri, sisi sote wamoja hapa. Tuokoe muda tufanye mengine, au unasemaje Sheikh Simba?
Mimi: Unayosema kweli.
Mzee Ali; Dokta, mimi nimekufanyia makosa, tena makosa makubwa sana ambayo hata kuyakiri inakua vigumu lakini inabidi niyakiri ili niishi kwa amani, sitokua na mani maisha...

Mimi Dokta nimekukosea namna tatu kuu. Kwanza ulipoojulishwa kwangu na baada ya kukutazama noilijua kua voiumbe uliokua navyo mimi siwezi kukuagua lakini nikakuficha, nilijua kua wewe unasumbuliwa na viumbe aina ytatu, kimpja ndio huyo aliekupenda, nililiona hilo, halafu ulikua na viumbe amabyo ni kizimu ya kikwenu ya kibuki ya upande wa kuumneni kwa na kukeni kwako. Ndio maan nikashikilia sana uende ukawaone wau wa vibuki ndio aliekujulisha mikamwambia kwa nia njema kabisa atagfute huko Unguja ndio kuna wataalaam wa vibuki, ikaonekana vibuki wako, wapo wanaoweza kutulizewa Unguja na wengine wa uonade kikekeni kwamkoi ni laima uende kwenye shina huko kwenu Anjuani, Ngazija huko. Hayo yalikua ni ukweli nililokudanganya ni kua tunaweza kuyashughulikia sisi. La pili nililokukosea, ni sisi katika kazi zetu huwa tunavitumia vijini viwe na wewe ili viwe vinatupa habari zako zote ndio maana ulipokua unakuja kwangu niliweza kukwambia mambi yako, wala sio siri niliwaweka mimi hao viumbe muda wote. Lingine mama nililkusoea nile kukutapisha amaba nilisema uchawi, ile mama ni mchezo tunacheza wa mazingaombwe hata utazame vipi kama hujui tunachokifanya huwezi kuelewa wala kuona. Kwa hio mama hakunauchawi tuliokutapisha wala chocote, Nisamehe sana kwa hilo mama. Ni hayo mama.
Bakora: bado, sema kweli, mimi ninz(azo habari zote si unaju akua nimekutana na wakubwa zako? Au niseme ka unajifanya umesahau?
Mzee Ali; Nisamehe, mambo mengi kichwani kwa sasa.
Bakora: nakuonya kwa mara ya mwishi, unakumbuka siku huyu binti aliokuapa shillingi millioni moja?
Mzee Ali; Nimekumbuka sana, mnisamehe mimi hilo lilinitoka kabisa, kweli mniamini siwezi kudanganya kuna wakubwa zangu wanayaona na kuyasikia haya mambo.
Bakora; haya jielezee, tumekuelewwa kua ulisahau, sasa umekubuka.

Mzee Ali; Siku ile vile vile ilikua ni azingaimbwe tu, yale machupa mahirizi tuliofukua yalikua ni yetu wenyewe wala htukufukua pale tulipochimba. Tulikua tundanganya ytujipatieiea pesa tu. Niasamehe sana mama.

Bakora; kuna ingine?
Mzee Ali; mengine ni ya kusema sema uongo tu kwa ninayiambiwa na majini walikuwa kwake, najifanya kama ni mtu wa ajabu sana ninayajua majina mpaka ya ndugu zake, mpaka watu wa kazini kwake, kwa ufupi kila kitu hake, majini yalishikwa ndio yalikua yananiletea habaro hizo zote. Ni ujanja wa kawaida wa ma,bo yetu ya shirki.
Bakora: baado hujamaliza, nakukumbusha najua hili huwezi kulikumbuka kwa kua hili lilikua bado mnalipika halijatendeka. Sema tumalizane.

Mzee Ali; Nimekuelewa. Bwana Bakora; Dokta kumradhi mama nisamehe sana tulikua tunakutengenezea sihri iliukirudi safari yako ya Unguja yukunyweshe, ilikua ya mambi maiwili, moja tunakutia ugonjwa mdogo tu, wa kuumwa na kis)chwa na kila ukiumbmwa na kichwa lazima uje kwangu ndio nikupe tiba ya kukutuliza. Hilo mama tulikua tunalifanya ili kujipatia kipato cha mara kwa mara. Ni dhulma mama. Nisamehe sana lakini halikujaaliwa kufanyika, toma siku aliokuja huyu bwana na babake nyumbani kwangu, sikudhania kama wao ndio wenye nguvu ya kuharibu mambo, mpaka mlivokua Unguja ndio nikawa siwaoni majini nilowapa kazi yako, ndio wakubwa zangu katika kuwatafuta wakasema wamefungwa lakini hatuwezi kuwaona mpaka atake Simba hapa. Ndio hayao mama.

Dokta na mke wangu nikawaona wameanza kulia.

Bakora; Sasa sikilezeni kna mama apoleni sana ndio ulimwengu na waliwengu walivyo. bado, hayo yako mama madogo sana. Utayajua mengi ya wengine kenye hii safari, hii ni fsagari ya kufungua macho yetu wote. Haya kuna mwenye swali?

Mimi; Ndio, mimi nina swali au maswali. kwanza nagtaka kujua mmzee Ali majini unayoyatuma unayatoa wapi. Sitaki kudanganywa, kila kitu kipo wazi sasa.

Mzee Ali; naapa sitodanganya. Nimeshaona nikidanganya au nikificha neno najiharibia mwenyewe. Mimi bwana simba najua kutuma majini aina tatu.

Aina ya kwanza ni hawa wakuleta habari, hao tunawita saatulkhabar, kai yao ni hio tu, na hao ni majini wa hapa gtulipo, Mimu wao na wakubwa zao wapo hapa, na hivi navyokwambia wapo na wengine wamefungiwa humo ndani hawawezi kufanya kazi yangu wala ya mwengine.

Majini aina ya pili nyoweza kutuma mimi ni ambayo wengi wanayaita ya kutengeneza, lakini kiukweli huwa hatutengezi isipokua hao ni majini ya kishetani yapo kial kabila lakini ni yale maovu kabisa yenye ushetani yaliogoma kabisa kutubu, Sisi tunatengeneza mawasiliano nao na kwa kutumia njia zao wenyewe waliotufundisha na katika hayo mawasiliano tunawaahidi tutawatimia wayatakayo na tunamtafiuta yule wa ile kazi tunayoitaka sisi kwa funi tunaweka majina ya huyo anaetakiwa ashulikiwe nayo basi inakua ndio tumemaliza kulitengeneza.


Majini aina ya tatu, hivi ni vivuli tunanunua aidha iwa watu wenye kazi hizo au kwa majini wenye kazi hizo, lakini kwa kuepuka mashrti mengi ya majini, ndio tunavinunua hoivo vivuli kwa wagtu, hawa wa namna hii kazi yao kubwa kuaharibu kufanya mambo machafu.

Mfano kumuharibia mtu mvuto wake, na ndio ukenda kwa mganga anakwambia nyota imechafuka, hakuna cha nyota wala nini, inakua kishajua ni vivuli tu hivyo, ukimlipa naviondosha kama anajua namna zake, na yeye anavichukua anaviuza tena kwa wengine.

Ndio hivyo ninavyovijua kuvifanya mimi kuhusu majini.

Dokta alikua analia tu, kimya kimya lakini kwa kwikwi.

Wife: laanatullah aleik, mzee Ali, tazama kitambi chakula haramu tu.

Mimoi; Tulia mkwe wangu ndio yamekwisha tena.

Bakora; Haya ulikua unagtaka kumpa nini?

Mzee Ali, hii bahasha ina oesa nimejaribu kupiga hesabu nilizoshukua kwake nimepata kama millioni tatu, nilimpa laki tano kwanza na hizi kwenye bahasha millioni mbili na nusu. Naomba sipokee Dokta nihaki yako, unisamehe sana.

Dokta: Mimi sikusamahe duniani na akhera, yaani shida zangu nimekutaji bado unanitumia vijini, na unataka kuniroga juu ili niwe knakuchumia wewe tu? Unafikiri hovyo vi milioni tatu vyako ndio vitanitusha roho nikusamehe, wewe umeoiga hesabu ya ulizopopkea wewe tu, umepiga hesabu ya muda wangu, umepiga hesabu y asafari zangu za nenda rudi? Umepiga hesabu ya mawazo yangu kwa kujidai kunipa faraja kumbe unanimaliza zaidi. Sikusamehi na hivyo vijini vyako.
Bakora; Ali leo hii utatafuta millioni kumai utampa huyu binti, sisi tumeshawawka vijini vyenu hapo kwenu kabla hata hamjaja hapa, lakini tumevufunga kufanya kazi yoyote na leo kama hukuleta millioni kumi, usiku ndio kazi yako sijui utaifanyaje, ndio mwisho wako leo.

Mimi; haya twendeni jamani, kama tumemaliza hakuna cha kungoja.
Wife; kama yamekwisha na hio sherehe yao ya kishetani hatuna haja ya kukaa kuiona, twendeni zetuni.

Mzee Ali; Akapiga yuwe kama siku ile pale kwake akapiga smasolti na kitambi chake, mimi nikashidwa kujizuia nikacheka, m0aka dokta na wife wakacheka,

Wife; Nini tana jamani?mbina imekua sarakasi?

kitu kimojawapoi nnachopendea mke wangu, hana uoga kabisa kabisa, yupo straight firwarda na manweza kua na mawazo au mmekasirika yeye akaleta utani kwa kuwatuliza. Ni kama Zee tu au babu tu. Hata mimi hiuwa nastuka na kuogopa saa zingine, wao sijawahi kabisa kuwaona wakiopa jambo.

Mzee Aki akaongeza yome wakapiga samasolti nyingine kama mbili.
Mzee Ali; Salaam Salaam Salaam, wageni mnisamehe sana, leo mmekuja kwangu kwa amani lakini mimi nikasirishwa sana na huyu Ali, katutia aibu Kojani nzima. Samhani sana, mimi naondoka nilija kuwasalimia hapo kwenye hio mlango ndani ndio kwangu. Karibuni sana. Msee Ali akajibwga chini, nikajua jini samasolyti limeshakitoa.

Mzee Ali akaaa chini pale kapigwa na butaa kama dakika tatu, kimya kabisa akaanza kutazama kote, akaanza kulia alipomaliza kulia.
Mzee Ali: jamani mimik ndio basi tena, leo hii sasa hivi nakwenda kuwapa millioni kumi na hizi chukueni jamani, sasa hivi nyumbani kwangu ninazo. twendeni jamani, mimi nimeambiwa nisiguse humo pamgoni mpaka nimalizane na nyinyi, mpka nihakikishe mnaondoka Kojani salama kabisa. Twendeni tukamalizane mimi jipagte kurudi huku.

Tukaondoka pale pangini krudi kwa mzee Ali, kufika kwake nje tu, Dokta akasema mimi siingii ndani kwa huyu mchawi, handbag na bag langu nitoleeni asije akalishindilia ma uchawi yake mbwa huyu.
Wife; na mimi siingii toni vitu vyetu wote jamani.

Tukaingia mimi na bakora hata jini 1 na 2 wakabaki, mkewe akatoka.

Mkewe: Kuna nini jamani mboina Mzee a)Ali anasema mmegoma kuingia kwangu jamani, njooni jamani, nawaomba mimi.

Kinamama kimya hawajamjibu kigtu akrudi ndani, Mzeae Akaingia wapi sijui huko ndani hakuchelewa akatoka na bahasha nyingine nene zaodo na ile ya kwanza anayo.

Mzee Ali; Naomba nbwana Bakra uingilie kati mnisamahe sana, nagfafahamu makosa yangu si madogo ni makosa ya kuuliwa kabisa, natoa ahadi moja kwenu kuanzia leo nitanya tiba za halali tu na nafanya toba, hii kazi mimi basi tena na hio sherehe yao potelea mbali. Hizi mama Millioni kumi kawa shinda nilizokupa, nafahamu, shida zako hazina thamani ya kuzilipa, lakini hii inakua kua ni kifuta machozi na tushuku Mwenyezi Mungu kuwa kupitia kwangu umejiposesha wewe na umeniokoa mimi nianze kufanay toba, na kilinge cha Buguruni kuaniza sasa kimefungwa rasmi. Mimi sina zaidi Bwana Simba, Sina zaidi Bwa na Bakora, mshikieni hizi huyu bibi twendeni niwasindikize maanake hata nyinyi mmeisikia amri iliotoka nihakikhshe mnatoka Kojani salama.

Tukaanza kuondoka yeye tukamwabia pita mbele utuonhgoze niia, akapigta mbele huku bado analia,

Tukafika kivukoni tukapanda nae ngafrawa kama tulivokuja hatujakaa sana, kumbe wakati tunaondoka kwa Mzee Ali mkw)e wangu alipiga simu, kukawa kuna gari haipo mabli sana sisi ikaja kutuchukua, Tukaagana pale Bakora akasema nyinyi nd)endeni, Dimba chukua pesa hizo, msiogope, kama alivosema za kufutia machozi.

Mimi nikachukua bahasha zote mbili, nikamwambia mzee Ali nakuomba kauli yako ya toba iwe ni kweli, hio ni ahadi kwa Mwenyezi Mungu. Tukarudi zetu hoteli.

..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom