Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Huyo nimeshamjuwa, yupo hapa JF, ngoja nitafute uzi wa yule rafiki yangu, namjuwa mpaka namba zake kazitangaza hapa jF, mpigie 0769302206 anaitwa Bi Zainab, mumewe anamwita "Bi Mrembo", anaonesha ujana wake alikua mrembo kweli kweli, si mchezo. Hapa JF wengi wametumia hiyo tiba yake, mimi mmoja wapo, mpaka leo naitumia kulainisha ngozi kama urembo tu, Ni nzuri sana.
Nilijua tu mwisho wa siku watu watalia humu, naona mmeanza kuwapanga! Wewe na mleta uzi ni aidha mtu mmoja au kundi moja lenye mpango mkakati...muda utasema
 
Mwisho wa huu uzi kuna watu watalia, nimekaa hapa nafatilia kwa ukaribu. Naona ni mtu ana akunti kadhaa au ni kundi la watu wanacheza na akili za wana JF mwisho wa siku vichwa maji wataingia kwenye 18.
Yaani jini lije kuandika humu JF!? Hahahahaha kweli akili nywele.
 
Hii Mada ni ya Waislamu na ndugu zao wa kijini.
Wakristo tukae pembeni tuwasikilize tu.
Ni ya Waislamu na ndugu zao Majini.
Ibn Mas'ud reported God’s messenger as saying, “Do not cleanse yourselves with excrement or bones, for that is the provision of your brethren among the jinn.”

Mkristo kama huelewi kitu kwenye dini yako, waulize Malaika wa Mungu Mwenyezi.
Malaika waana nguvu kuliko hao Majini wa Kiislamu wa utambuzi kuishia kujiita
“Shehe Sharifu Majini
 
Huyu hapa, kwani yupo mbali, ni hapahapa JF. Hiyo tiba ni kiboko, mimi nampigia debe, nimeshaitumia sana. Ongea nae tarartibu ni mtu mzima sana sasa. Namba zake ni 07693022060 au WhatsApp 06252449606.

safi sana umefanya vema..ila huu uzi ni wa miaka mingi huo udongo atakuwa bado nao kweli mpaka sasa tena ule original.?
 
Nakufuatilia naelewa, najua hupendi kuwaambia watu kuhusu huduma zako kwa sasa lakini pokea na kuwasaidia wale wanaohitaji huduma hizo kama kwa dhati unaamini hazipingani na Muumba wa Mbingu na Nchi.
Mimi huduma yangu ni kufikisha ujumbe wa Arsis tu. Arsis ujumbe wake mkubwa ni kua yeye anatoa maarifa, sio zaidi ya hapo.
Simba.
 
Hii Mada ni ya Waislamu na ndugu zao wa kijini.
Wakristo tukae pembeni tuwasikilize tu.
Ni ya Waislamu na ndugu zao Majini.
Ibn Mas'ud reported God’s messenger as saying, “Do not cleanse yourselves with excrement or bones, for that is the provision of your brethren among the jinn.”

Mkristo kama huelewi kitu kwenye dini yako, waulize Malaika wa Mungu Mwenyezi.
Malaika waana nguvu kuliko hao Majini wa Kiislamu wa utambuzi kuishia kujiita
“Shehe Sharifu Majini
Hivi Yesu si mnasema ni Mungu? Kama ni kweli aliwaumba majinni na mashetani?
 
Labda uwaagize wanaokwenda Nyamisati. Kwetu shungubweni wapo, lakini hawanunuliki siku hizi, wavuvi wana order za mahoteli ya wenye pesa zao. Wenyeji sisi mpaka tuongee na wajomba ambao wavuvi ndio watuletee tena kwa mbinde na huruma ya ndugu tu.

Ongeeni na Simba wakati wa msimu awaletee. Ngoja nifanye urafiki na Arsis, watanikoma hao.
Siku hizi msimu huko mahandakini watoto na wajukuu wanavyouwahi, mpaka wamewekeana sheria huko, watavunwa kamaba wakati wa msimu na watauzwa kwa pamoja, kila mtu atapewa mgao kutokana na hesabu za urithi .

Imekua afadhali, watu wanataka kuuana huko. Kamba ni mali kweli kweli. Kuna anekula kamba huko siku hizi? Wote wanauzwa mpaka uduvi ni mali, mpaka wachina ni wanunuzi huko, wanakuja wenyewe mpaka kwenye boma, toka walioanza kujenga ile barabara ya ya lami kwenda mpakani, ndio kamaba wakapanda bei vibaya sana. Yule jumbo mmoja alieshiba anafika mpaka 25,000 (bei ya mwaka huu hio) kwa mmoja tu. Kule wana bei kwa kua ni wa asili, sio wa kufuga. Wanakuja watu na boti kutoka Kenya kuwanunua.
Simba.
 
Chief wapo tena sana,kuna ndugu yangu mmoja yeye ni mkristo,aliwahi pandisha ,kuna mwamba mmoja toka Marekani anaongea slang ile yenyewe,hapo ndo niliamini kweli majini wapo,kwasababu huyo ndugu yangu hajui kiingereza kabisa

Sema hao wengine labda maarufu,hivi unajua mpaka kuna majini ya kimasai,je wamasai ni waarabu?

Tujifunze mambo jaman ,tuache kusema mambo bila elimu
Kuna tofauti ya malaika / mizimu na majini. Waarab nijuavyo mimi kwa elimu yangu ndiyo majini haswa.
 
Nenda Zanzibar wana mashetani yao ya Kibuki ni wakirsto wana asli ya kizungu wafaransa wao ni pombe, u gay u lesbians kila balaa wanalo😄hakuna maimuna wala fatuma majini hayo.

Kama ilivyo Binadamu tuna makabila tofauti dini mila tofauti ndivyo ilivyo kwa majini.
Zanzibar yenyewe ni nchi ya majini, mtalii ukufika tu unakabidhiwa jinni as zawadi.
 
Halafu nimesoma mwanzo wa simulizi yako kuna mzizi ulipewa na Jini Bakora na akakupatia maelekezo yake ya kwamba ukiutafuna hauwezi kuonekana hadi pale utakapo tema huo mzizi toka kinywani ndio utaonekana kwa macho ya kawaida, swali langu kwako Bw. Arsis huo mzizi kuna mahali popote ulishawahi ujaribu na ukapata matokeo chanya? Lete majibu boss
Mara nyingi sana, halafu jini bakora hakunipa tena, nilikua nafanya uhuni ujanani. Mwenyezi Mungu anisamehe sana. Kuujaribu huo nishaingia mpaka chooni kukoga na wanawake.

Sasa kuna mzizi huo anaujua babu yangu, sasa hivi anaujua yule shangazi yangu wa shamba. ni mti gani. Jini bakora anaujua lakini hanipi, anasema ikitokea kazi yake ndio atauleta, hanipi kukaa nao kabisa.

Huo ukimtia nao mtu mdomoni hata awe kapandisha wazimu au majini, sekunde hiohio anaishiwa nguvu anakua shwari kabisa na analala fofofo.

Shangazi yangu anasema ule ndio wanatumia wachawi na wanga kulaza watu wafanye kazi zao usiku. Shangazi anasema ule wakijua unao wattakuua ili waupate, kupewa kwake mpaka ule viapo..

Ule wa kua huonekani, hata leo nikiutaka wananipa, ule sikosi kua nao. Kuna sehemu haufanyi kazi una sehemu zake.Jini Bakora anasema nikiutumia ovyo shauri langu, Nimeta akili siku hizi, utu uzima tena.
 
Kuna mad nimeiona huko kwenye majukwaa mengine kuhusu ushirikina na ushoga.

Napenda kuwafahamisha wanaukumbi; Hilo ni mi kwa mia linahusiana kwa asilimia kubwa na ushirikina.. Ukiona mtu anaanza kumchezea mtoto mdogo kwa sabau apate kumuingilia kinyume na maumbile ujue huyo ni mwanga au mchawai aua antumika nao kwa mambo hayo kishrikina.

Kwenye mikutano ya wachawi, mtasikia kisa chake -, siku mbili tatu zijazo,hicho kitendo ni lazima na sio aibu kwao iwe kwa mwanamke au mwanaume. Wala hawashangai wala hawaoni vibaya, tena ni sifa kwao.

Kisa chake mkikisikia wanakieleea wenyewe mnaweza kutapika, ngoja nitakieleze alipokamatwa huyo jini mkubwa mmoja wa kichawi na Arsis, kbanwa akaanza kufunguka aalipomaliza akachomwa moto mauibu yake yakafukiwa chini hata mdudu asiyale.
Simba.
 
Mara nyingi sana, halafu jini bakora hakunipa tena, nilikua nafanya uhuni ujanani. Mwenyezi Mungu anisamehe sana. Kuujaribu huo nishaingia mpaka chooni kukoga na wanawake.

Sasa kuna mzizi huo anaujua babu yangu, sasa hivi anaujua yule shangazi yangu wa shamba. ni mti gani. Jini bakora anaujua lakini hanipi, anasema ikitokea kazi yake ndio atauleta, hanipi kukaa nao kabisa.

Huo ukimtia nao mtu mdomoni hata awe kapandisha wazimu au majini, sekunde hiohio anaishiwa nguvu anakua shwari kabisa na analala fofofo.

Shangazi yangu anasema ule ndio wanatumia wachawi na wanga kulaza watu wafanye kazi zao usiku. Shangazi anasema ule wakijua unao wattakuua ili waupate, kupewa kwake mpaka ule viapo..

Ule wa kua huonekani, hata leo nikiutaka wananipa, ule sokosi kua nao. KUna sehemu haufanyi kazi una sehemu zake.
Tupe hiyo mizizi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom