Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Hivi kwanini mnapenda kufuga majini nyie washirikina wa kiislamu?
Ukiona Muislam anafanya hivyo elewa kua anakiuka Mafundisho ya Uislam, huyo anakua ni Mchawi na ni Muislam jina tu.

Hakuna ushirikina wa Kiislam, punguza makali ya maneno yako, Unapoona kuna ushirikina kwenye Uislam tuoneshe tu labda kuna kitu hujakielewa.

Unaulinganisha Uislam na dini au imani ipi kwa mfano? ya "EvilSpirit"?

Mimi naona ID yako ipo ki shirki shirki. Kwanini unafanya shirki, kwa imani ipi?
Simba.
 
Ukiona Muislam anafanya hivyo elewa kua anakiuka Mafundisho ya Uislam, huyo anakua ni Mchawi na ni Muislam jina tu.

Hakuna ushirikina wa Kiislam, punguza makali ya maneno yako, Unapoona kuna ushirikina kwenye Uislam tuoneshe tu labda kuna kitu hujakielewa.

Unaulinganisha Uislam na dini au imani ipi kwa mfano? ya "EvilSpirit"?

Mimi naona wewe unafanya shirki hata kwa ID yako tu.
Simba.
Uzi wako ulianza vizuri ila nilipoona udini tu nilipotezea kuendelea
 
Hakuna udini katika huu uzi.

Kuna elimu zenye manufaa kwa wote, wenye dini na wasio na dini.
Simba.
Unajua dunia hii sio kila mtu ana dini , upozungumza na watu mbalimbali uzingatie hilo
 
Na mimi ilikuwa hiv hivi nikaacha hapo hapo
Unajua kwanini tumehisi ganzi?

Iko hivi je umeshawahi kujiuliza kwanini huwa tunaota tunapigana au kukimbia au kucheza mpira lkn haturushi ngumi kitandani au kutupa miguu?

Iko hivi kwa kawaida tukilala mwili hutoa hormone maalumu ambayo huupa mwili mzima ganzi,na hivyo kuufanya utulie,na tunapoamka ganzi huondoka na kuwa free

Sasa tunapofanya astro projection,tunaudanganya ubongo kuwa tumelala,matokeo yake unaruhusu hiyo ganzi ipatikane,so kadri unavyozidi kujituliza ndio ganzi inaenea mwili mzima

Sasa kwa kawaida hata usiku tukilala ujue roho huwa inatoka,hii hata qur'an imeeleza,na ndio maana smtm unaweza kwenda sehemu ukahisi kama mbona hapa napajua au nilishawahi kupaota,ujue ulifika pande hizo

Ebu pata elimu kidogo hapa

 
Hakuna cha ligi wala nini.

Sisi Wakristo tunatambua kuwa hakuna Majini Wakristo.
Na Kuna Aya nyingi sana zinazo tueleza kuwa Majini ni pepo wachafu fullstop.

Na sijui ni kwa nini baadhi ya Waislamu wanashinikiza kwa nguvu zote kuwa kuna Majini Wakristo.

Kwani Majini wakiamua wenyewe kumwabudu Mungu wao kupitia Dini ya Kiislamu kuna shida gani ?

Nasema tena Wakristo wote kupitia mafundisho ya Manabii wao wanafundishwa kuwa Majini yote ni maovu.

Kama Majini waliamua kutubu na kuwa Waislamu sisi Wakristo hatuna shida na Hilo.

Ila kauli ya baadhi ya Waislamu kuwa kuna Majini Wakristo bila kuleta ushahidi wowote wa kimaandiko tunaiona ni kauli ya kupuuzwa tu.

Narudia tena, hakuna Mkristo anaye amini kuwa kuna Majini Wakristo. Ndivyo tulivyo fundishwa na Manabii wetu.

Mambo ya Walawi (Lev) 17:7 Wala hawatatoa tena sadaka zao kwa wale majini, ambao huwafuata ili wafanye uasherati nao. Sheria hii itakuwa sheria ya milele kwao, kizazi baada ya kizazi.

Huu ndi msimamo wa Wakristo wote.
Naomba ieleweke hivyo.

Majini ni Waislamu na Aya Zipo nyingi tu.
وَأَنَّا مِنَّا الْمُسْلِمُونَ وَمِنَّا الْقَاسِطُونَ ۖ فَمَنْ أَسْلَمَ فَأُولَـٰئِكَ تَحَرَّوْا رَشَدًا

(AL - JINN - 14)
Na hakika wamo katika sisi Waislamu, na wamo kati yetu wanao acha haki. Basi walio silimu, hao ndio walio tafuta uwongofu.

NB:
Kama Kuna kauli tofauti tunaomba ushahidi wa Kimaandiko na sio kuongea hewani tu.
Jini linaogopa Nguruwe 🤣🤣
 
T
This is the Truth in Christianity Doctrine.
The faith has northing to do with the demons but to cast them out wherever we contact them.
This is the Command from our Lord and Saviour Jesus Christ.
Mathayo (Mat) 10:8
Heal the sick, cleanse the lepers, raise the dead, cast out devils: freely ye have received, freely give.
Acha nicomment Ameen mtumishi
 
Katizame video ya SHEKH YUSUPH KIDAGO..... Andika hivi 👉Watu wa dhikr / daruwesh ni mtu wa aina gani

Utajifunza mengi kuhusu daraja na athari za kumtaja Mungu🤝

Note: Shekh huyo ni Murshid wangu (kwahyo ukisikia nataja taja mwalim kasema mwalimu kasema, mengi yametoka kwenye bloodline ya elim yake
Shukran, Nitamfuatilia
alafu nina swali kwako mkuu Mwami Atale niliona kuna comment umesema kupitia uzi huu umeweza kuwaita viumbe wa kiroho na kuongea nao ulitumia njia gani kuwaita?
 
Shukran, Nitamfuatilia
alafu nina swali kwako mkuu Mwami Atale niliona kuna comment umesema kupitia uzi huu umeweza kuwaita viumbe wa kiroho na kuongea nao ulitumia njia gani kuwaita?
Telepathy 🤝..... Hii siwezi ielezea kiutaalam zaidi ila Arsis/Simba anamaelezo yake mazuri

(Hyo telepathy ni moja ya njia ya kufanya communication na viumbe wa kiroho)
Nakuomba umuulize Simba akueleweshe hapa, japo huko nyuma alishagusia kidogo...
(Mm sio mjuzi sana,,,, mwenyewe bado maamuma ndugu yangu
 
Uislamu ndio hakuna kitu kabisa.
Wao hawawezi kutenda bila kushirikiana na majini.

Wakristo tunatumia jina tuh, Jesus au yesu linatosha kununua kila kitu apa duniani,

Jina yesu linao uwezo wa kununua nafsi, inanunua uzima, n.k.
Ndio kitu pekee chenye thamani kubwa apa duniani, jina la yesu kristo,

Muulize kwann hao majini wanaogopa jina la yesu kristo na kwamba wakitajiwa na mtu mwenye iman sawa sawa wanakimbia au wanateketea kabsa.

Kwann hatutumii jina la muhammad kwenye manunua yeyote yale apa duniani mfano kununua afya ya mtu, n.k

Hii inaonesha kuwa muhammad was nothing
Jina la Yesu ni zaidi ya Petrol na Kiberiti Yani Ukisikia harufu ya Petrol uone hata cheche inawaka unakimbia vibaya kuhofia mlipuko Sijui kwa nini Mungu alilipa hili jina Nguvu hivyo Yan hata hayo majini na Wachawi wanakiri kuwa Linawatetemesha sana na tishio kubwa hata hyo Arsis ukimuuliza atakwambia kuwa huyo Yesu ana Magnetic 🧲 Kali ya Kuwavuta wote wakadondoka na kupotea na ndio maana katika Biblia Takatifu na Quraan tukufu wameandika kurudi kwake siku ya mwisho kiama wakasema atakuja kuhukumu na ataivuruga Dunia kweli pamoja na wale watenda dhambi wala kamwe hapatakuwa na Jiwe litakalosalia. Kwa hyo siyo kwamba majini na mashetani hawamjui Yesu wanamjua na wanamuogopa sababu ni Nguvu za kiovu
 
Vionjo vya Arsis - Majini ya Kojani- Pemba 1.

nilivyokutanishwa na majini ya Kingazija (Comoros) na Kipemba Kojani.


Baada ya kuongea na mshikjai nikampigia Babu. Baada ya kusalimiana.
Mimi; Babu umesikia kilichokuepo?
Babu; Kuhusu nini Simba nifahamishe.
Nikamuelez kama alivonambia Dokta.

Babu; Hilo nakifahamu, Sheikh...wa Unguja kanipigia jana, akanambia nikujulishe, nikaona saa hizi upo kazini, nilikua nangojabaada ya dhuhuri niku[igoie, Najua hua mnapumzika kidogo.
Mimi; kwa mwanao hapa kuna kupumzika, kama hujajiongeza mwenyewe, hata siku moja hasemi ka[pimzikeni.
Baba; Simba huyo, simba hawapumziki wawe wameshiba.
Mimi; Mwanao huyu saa zote ana njaa?
Babu: Muulize, mtajuana nae wenyewe, mbona mimi unanuliza?
Mimi; Mwanao huyu si unajua haongei ongei sana?
Babu; Simba, huyo achana nae wewe nenda ukapaone Pemba na Kojani ukaone huo mwaka koga wao wa Kojani, nasikia wanatoka dunia nzima siku hio, ha[patoshi. Kajonee huko, umekosa kuoa Unguja labda huko utapata, usinisahau lakini.
Mimi; Babu tunangea vitu serious wewe unaleta mambo ya kuoa?
Babu; hakuna itu seripous duniani kama kuoa, asikudanganye mtu, huyo wako mke ndagu, sasa tafuta asie ndugu. Pemba kuna mitotoya Kimanga huko, Wewe nenda tu babu...


Babu: Sikiliza Simba, wewe ukiweza leo hii nenda kwa Mzee Ali ukamsikilize, maana kishaambiwa bila wewe Dokta haendi, nenda ukamuone, kisha leo usiku nambie. Tena usimpigoie simu kama unakwenda, wewe mstukize tu. Si ulinambia pete uliitumia kujificha kwa mara ya kwanza Unguja?

Mimi; Ndio babu.
Babu; Sasa leo nenda kwake kama ulivyoingia kwa Bi S. Unguja akustukize upo ndani. Haya kwaheri Simba, usiache kwenda.

Akakata simu, nikawa nafanya kazi zangu lakini sina raha kabisa, baada ya kusa alasiri tu nikwamuaga Mzee.

Mzee; Babu yako kakwambia nini, umeongea nae?

Nikamweleza Mzee yote.

Mzee; Sawa, wewe nedna mradi babu yako kakwambia hivyo usitie shaka, na mimi nikitika hapa 11 nakuja huko moja kwa moja, Wewe fanaya mambo yako lakini usiningoje mimi.

Mimi; Nikatoka nikaomba dua ya safari nikaanza.

Njiani nikawa nafikiria ntaiweka wapi gari pale na parking mpaka lifunguliwe geti, likanijia wazo, kuna Kituo cha mafuta pale Buguruni naweza kuweka gari, kuna jamaa fundi pale, gari zake zote hizi za za kisasa tunamtengenezea kwetu.

Kufika, kweli nikamkuta, nikamwambia mimi naingia Buguruni pale nikamwelekeza hakuna parking mtaa ule, akanambia mitaa nuksi kweli ile chukua boda mwanagu, wacha gari yako hapa au nikupe pikipiki utaendesha mwenyewe? Nikamwambia hapana boda tu anatosha.

Nikaenda na boda mpaka karibu ya kufika nikamwambia hapahapa, nimefika. Ngapi mshikaji? Akanambia fundi pale kanambia nisichukue pesa kwako, nikampa buku mbili, nikamwabia basi hii kunywa soda mwanangu. Akanambia hapa Buku tu. Nikamwabia ubani wako huo mwana, usiwe na shaka. Akaondoka zake.

Kufika nyumba moja kabla ya Mzee Ali sikutazama hata kama kuna watu au hakuna, nikaigeuza pete nikaiminya, nikaingilia mlango wa uani kama tulivyoingizwa siku ile noikauta kina mama na kina dada wamekaa hawana habari kabisa, nikaenda moja kwa moja chumba chake cha kutibu watu, kuna watu wa pale pale kwake walikua wamekaa nje mlangoni kama kawaida.

Nikakaa kama dakika tatu nikaona hakuna anaekuja, nikatoka nikatazama tazama uani, wapo watu na shughuli zao kama mwanzo, hakuna hata anaeniona. Nikaingia mlango wa uani wa kuingilia nyumba kubwa, nikasikia Mzee Ali anaongea na mtu zaidi ya mmoja lakini kwenye chumba sio kule ukumbini kwake.

Nikatime mlango nikaona umefungwa, nikiufungua itakua noma.

Nikaenda ukumbini kwake nikakaa peke yangu mara nikasikia mlango umefunguliwa nikasoge wakawa wanatoka ndani, kumbe walikua watu watatu na yeye Mzee Ali, wawili wanaume mmoja mwanamke.

Mzee Ali; Sasa wewe mama na mumeo subirini kule ukumbini tulipokaa kwanza mke wangu lazima akupe nguo za mapambano mupe kama nusu saa mjje. Mimi na huyu bwana tunakwenda, kazi yake huyu ndogo tu. Nikawapita nikaenda chumba chake cha uganga nikawapita wale qa mlangoni, hakuna alieniona wala kustuka kabisa, nikaingia ndani nikakaa nikaiachia pete. Nikamsikia mzee Ali uwani anampa maelekezo mkewe kuhusu yule mwanamke na huku chumbani kwake aletewe ndoo za maji.

Nilikua nimekaa kiti anachokaa yeye, sijui kwanini niliamua hivyo. Cha ajabu nilikua sina uoga wala kuwaza matokeo ya kitendo changu. Mara namsikia mzee Ali mlangoni anamkaribisha mgeni wake karibu bwana karibu.

Akatangulia Mzee Ali kuingia hakuniona au hakutengenmea sielewi, ghafla aageukia mlangoni, karibu, karibu bwana yule mgeni alioingi tu macho yake na yangu, akapiga Salamu alekum, nikaitika Alekum Salam, na mzee Ali ndio anageuka ananiona, nikamuona kama kanitole macho, mdomo kawacha wazi, akapiga kelele kama yowe hivi halafu akaruka juu mara ya kwanza, karuka mara ya pili akapiga samasolti kwa mbele, mpaka nikashangaa, mtu mzima na ana mwili kidogo lakini kapiga samasalti, alipofikia akakaa chini, akatoa macho, akaanza kutazama chumba kizima akawa kama kapigwa ganzi, yule jamaa aliekuja naenkasimama karibu ya ukuta macho na kijasho chembembamba kina mtoka, hajui kinachoendelea.

Mzee Ali; Salaam, salaam salaam. Nimekuja kwa amani, nilikua nategemea utakuja lakini sio kimya kimya. Akamgeukia mgeni wake, kaa chini, huyu mhgeni wangu pia.

Mgeni; Au niwapishe?
Mimi; Kaa chini, hakuna siri inayotoka nje ya chumba hiki.
Mzee Ali; kaa bwana kaa.

Nakajua alikuwa sio yeye kwanza anaepiga samasamasolti, sasa ni yeye anaongea.
Mzee Ali; Bwan Simba, hali yako bwana?
Mimi; Sisi salama, wewe tu?
Mzee Ali; Nyie watotohapoo nje, hebu njooni haraka.

Hosi hodi. Mzee Ali piteni, ile kuingia tu.
Mzee Ali; kwanini anakuja mgeni hamnambii mnamkaribisha humu ndani peke yake?
Mabinti: Hakuna megni aliyekuja Baba.
Mimi; Mzee Ali, hawakuniona hao, hii habari yetu haiwahusu hao, waache wakafanye yao.
Mzee Ali; haya nendeni. Bwana Simba mbina umenistuwa, leo mpaka kaja mwenyewe hapa. Habari kubwa hii. Haya nambie bwana Simba.
Mimi: Mzee Ali unasema ulikua uanjua kua nitakuja, haya nambie wewe.

Mzee Ali; Bwana mgeni tafadhali katungoje pale ukumbini tuna mazungumzo ya faragha kidogo na bwana Simba hapa. Samahani sana.

Nikaona yule mgeni kama kashukuru kutoka nje. Akatoka nje.
Mzzee Ali alikua kasimama.
Mzee Ali; Nikae chini mkuu?
Mimi; kaa tu, usiwe na hofu, wala usiwalumu wanao au yeyote yule hakuna alieniona nikiingia, mimi nilikua na nyinyi toka kule mlipokaa na wale wengine, si umewaambia atakwenda mkeo kumpa yule dada nguo za mampano? Nakueleza hayo ili ujue kua nilikua na nyinyi. Sasa sema ukweli wako, uwe ukweli mtupu.

Mzee Ali; kama kashikwa kigugumizi cha mbali, Sikiliza Simba, mimi niliambiwa utakuja lakini sikujua kama utakuja ghafla hivi, nilijua utakuja Dokta akiwepo hapa ili tuongee na wewe habari ya safari.

Mimi: Ongea yote, Mzee Aliaua nikuulize ujibu maswali?
Mzee SAli; Itakua vozuri maana sijui yepi ya kuongea yepi sio ya kuongea.
Mimi: Hii safari ilikua ya Dokta tu, kwanini sasa iwe na yangu?
Mzee Ali; Nilipata maelekezo kwa huyu Mkuu aliekuja hapa sasa hivi, hakukaa lakini kaondoka haraka, kanambia niyamalize haraka na niseme ukweli mtupu, kama ulivyonambia wewe.
Mimi; Nataka kujua kama nilivyokuuliza, tafadhali kila unavyochelewa unazidi kuwachelewesha wageni zako.

Mzee Ali; Mimi ndio mkubwa wa shughuli inayofanyika nyumbani, ilikua niende na dokta poeke yake, lakini nimeletewa habari kua kuna watu wetu aliokua nao Dokta tunamtazama hali yake, wameshikwa wote na hakuna njia ya kuwawachiwa walioshikwa mpaka tukamuombe msamaha mbele ya wakubwa kojani na wewe tukuombe usaidie ili watu wetu wapoatikane.
Mimi; Wangaoi watu wenu?
Walioshikwa ni site lakini na wanaopokezana nao kumi na mbili nao hawajashikwa wapo nyumbani lakini wamezuliwa kufanya kazi yoyote si kwa Dokta si kwengine. Wakubwa wakajua kwanza ni Vibuki, vibuki sisi tunaviweza, lakini imeonekana hii nguvu kubwa inatokea kwako na haiwezekani kuwakatali, tutasambaratishwa Kojani nzima. Huo ndio ujumbe nilioletewa, kwa hio ilikua ukija nikuombe twende wote Kpojani.
Mimi; Bado hujasema ukweli, wakubw azako wamekwambia uniombe mimi twende kojani?

Mzee Ali; Hapoana Bwana Simba, hilo nasema mimi, wao wamenambia utakuwepo Kojani nikukaribishe kwa salama na amani na wamenambia ukija hapa nikukaribishw kwa salama na amani.
Mimi; Sasa kwanini wewe umetaka nifatane na wewe Kojani?
Mzee Ali; Nimewaz hio ndio itakuwa wepesi maana nimesisitizwa asikose Dokta kwenda, hivi kabla ya hao wageni kuja nilikua naongea Dokta namsisitiza kuja, lakini Sheikh kamwambia asije huku kwangu bila wewe, ndio nikajua mtakuja niwaombe twende sote.

Mzee Ali; Wanataka ukaombe msamaha wa nini kwa Dokgta huko Kojani?
Mzee Ali; Yamenikuta, hayasemeki lakini nabidi niyatapike.
Mimi: kama unavyotapisha kiuongo? Hapa ukisema uongo Dokta haji na unajua ndio utakua mwisho wako wa kukaa Dar?
Mzee Ali: Simba, nisamehe sana, ngoja nikwambi ukweli Mkuu. Mimi natafuta rizki tu, yale mambo ya kuwatapisha watu ni kujongezea kipato tu.

Mimi; Sikukuuliza hayo yote, jibu nililokuuliza, nilikupa fursa ya kuongea mwenyewe ukawa huongei, sasa nakwambia, kama hujajibu swali ninalokuuliza, urafiki wetu unaishia hapa na ujua hato jini yeyote kukusaidia utapeli wako, na wala hakua takaepandisha jini hapa kwako.
Mee Ali; Hilo nimeliona, hata yule mwanamke ilikua apandishe hukohuko tulikokua nae nikaona ajabu leo hajapandisha, ndio nikasema nimuhamishie huku.
Mimi: kama hujajibu swali, hatopandisha na utakua huna ujanja, si unaona hata huyo mkuu wenu kaja kakimbia kuniona mimi hapa?
Mzee Ali; Nisamehe, naanza kukujibu. Mi nilikua nakwenda kumuomba msamaha kwa uongoniliomfanyia. Na nimemrishewa nipiga hesabu ya pesa zote nilizochukua akarudishiwe mbele ya wakuu huko na wewe niliambiwa utakuwepo huko, nikuobe msamaha pia kwa kufanay uongo mbele yako na babako.
Mimi; Kwanini unamtaka Dokta aje hapa?
Mzee Ali; Ili nihakikishe anakuja Kojani, tukawatoe hai wanaonisaidia kazi niwarudishe kwao nipewe wengine.
Mimi; Kwanini hujawarudisha hapa ulipompachika nao?
Mzee Ali; Imeshindikana bwana Simba, mpoakawakubwa wamejaribu kuwarudisha kule imeshindaka, hata hawaonekani kabis, hatujui walipo lakini tunajua nguvu sako ndio zimewazuia.
Mimi; Nani kakwambia hivyo?
Mzee Ali; Huyu aliekuja akaondoka hapa, na yeye anaambiwa na wakubwa ake.
Mimi; Mwambia aje.
Mzee Ali; Huyu bwana akija anapirika nyingi sana, si umeona alivyokuja kwanza?
Mimi; Usiogope, mwambie aje, au nimwambie mimi?

Nikamngoja kama dakika tatu.
mzee Ali; Namwabia lakinihaji kabisa, sio kawaida yake. hua nikimwita tu anakuja, hachukui hata nusu dakika.
Mimi; haya tulia, mimi nimeshamwita anakuja, na hafanyi fujo yoyote leo.

Mzee kama akatingishika kidogo tu.
Mzee Ali Salaam, Salaam Salaam, nimekuja mkuu kama ulivyoniita niko chini ya amri yako.
Mimi; Anakusikia huyu?
Mzee Ali; Ndiyo ananisikia.

Mimi: Haya mwambie kinachoendelea na nini kinatakiwa kifanyike haraka sana, au wewe na yeye unajua kitakachowapata. Ilikua kama sauti ya Jini 2 inanambia niseme nini.

Mzee Ali; Sikiliza kiti, huyu Simba ni mkubwa wa wakubwa zetu sisi na wote wanamuheshimu sana na hawataki hata kuwaza vita na ukoo wake na marafiki zake. Kw ahio Ali, umkatie tiketi ya ndege huyu na Daktari ya kwenda na kurudi Pemba, wiku moja kabla ys shughuli kubwa na siku moja baada ya shughuli kubwa, bila hivyo itakua fedheha kubwa Kojani, sherhr haitofanyika kabisa.

Mpigie yule mteja wako anafanyua kiwanja ya ndeh)ge, anajua namna ya kutaka tiketi na namna atavyowapa hawa. Wewe kama utamlipa yule au humlipi mtajuana nae yule. Hii haina mjadala. Wamesema wnajua wenyewe pakufikia na wanajua wenyewe watfika vipi Kojani, wewe wape tiketi zao tu leo hii, zowe na tarehe ya kwenda na kuondoka, ukikosea shauri lako.

Mzee Ali; Kunalingine Mkuu Simba?
Mimi' Ndio, nataka heshima na adabau kuanzia leo, wewe na wakubwa zako na huyu mjinga wenu mfahamisheni. Akikuita tena uje kama kawaida yako usichelewe. Mengine, sisis gtunajua tuongee vipi na wakubwa zako bila kupitia kwa huyu mwizi mwenzako.
Mzee Ali; Nimekuelewa mkuu, naomba niondoke.
Mimi ; Haya kwaheri.

Hakuna cha samasolti wala nini.

Mzee Ali; Samahani Simba, naomba niagize naji a kunywa.

Mimi; Agiza, harakanataka kuondoka.
Mzee Ali; Nyiiie Mabinti leyteni maji chupa mbili haraka.

Mabingti wakaleta maji Mzed Ali wakanywa na mimi nikafungua nikanywa, kuonesha ustaarabu. Mzee akayagida chupa nzima.

Mzee Ali; Nashukuru yameisha salama, Sasa bwana simba kwanza naanza kukuomba msmaha hapahapa mradi mmeongea na hawa wakuu, mimi nikutimiza tu, sasa hizi napigia simu yule binti afanye tiketi, naoimba nimpe namba yako akitaka majina au maelezo mengine. Wewe mpe maelezo yote, leo huyajui majina ta Dokta? yake nayajua yote mpaka la mamake. Yako bwana Simba ndio sina. Nikamwabia haya andika jina langu kamili, Wee binti njoo uandike haraka, akaja binti mmoja mkubwa mkubwa hivi Haya andik, nikampa tena majina, yule binti akawa anayaandika kwenye simu yake.

Mimi; Haya mimi naondoka akiwa gtayari na tiketi ndio anijulishe, leo hii hii baada ya lisaa limoja asinitafute kabla.

Mzee Ali; Sawa bwana Simba, ahsante sana tutawasiliana.
Mimi; Usiwasiliane na mimi wala Dokta kuanzia leo, wasiliana na yule mwizi mmwenzio, nimeshamwambi aje ukimwita. Huamini?

Mzee Ali; hapana, Bwana Simba nimesema kimazowea tu.

Nikanyayuka huyo nikatoka, nikajua wambea walikua wansikiliza mlangoni, na mkewe kakaa nao. Nikatoa Salaam nikaitikiwa na wote mbio mbio. Nikatoka langi uani, kutoka tu nje nikatazama kushoto nikaona Gari ya Mzee, nikawa sina haja ya kuminya pete nikaifata gari, nikaona yupo ndani na mshikaji.

Majini ya Kojani, Pemba 2
Majini ya Kojani, Pemba 3
Majini ya Kojani, Pemba 4
Majini ya Kojani, Pemba 5
Majini ya Kojani, Pemba 6
Majini ya Kojani, Pemba 7
Majini ya Kojani, Pemba 8
Majini ya Kojani, Pemba 9
Majini ya Kojani, Pemba 10
Majini ya Kojani, Pemba 11
Majini ya Kojani, Pemba 12
 
onjo vya Arsis - Majini ya Kojani- Pemba.

nilivyokutanishwa na majini ya Kingazija (Comoros) na Kipemba Kojani.


Baada ya kuongea na mshikjai nikampigia Babu. Baada ya kusalimiana.
Mimi; Babu umesikia kilichokuepo?
Babu; Kuhusu nini Simba nifahamishe.
Nikamuelez kama alivonambia Dokta.

Babu; Hilo nakifahamu, Sheikh...wa Unguja kanipigia jana, akanambia nikujulishe, nikaona saa hizi upo kazini, nilikua nangojabaada ya dhuhuri niku[igoie, Najua hua mnapumzika kidogo.
Mimi; kwa mwanao hapa kuna kupumzika, kama hujajiongeza mwenyewe, hata siku moja hasemi ka[pimzikeni.
Baba; Simba huyo, simba hawapumziki wawe wameshiba.
Mimi; Mwanao huyu saa zote ana njaa?
Babu: Muulize, mtajuana nae wenyewe, mbona mimi unanuliza?
Mimi; Mwanao huyu si unajua haongei ongei sana?
Babu; Simba, huyo achana nae wewe nenda ukapaone Pemba na Kojani ukaone huo mwaka koga wao wa Kojani, nasikia wanatoka dunia nzima siku hio, ha[patoshi. Kajonee huko, umekosa kuoa Unguja labda huko utapata, usinisahau lakini.
Mimi; Babu tunangea vitu serious wewe unaleta mambo ya kuoa?
Babu; hakuna itu seripous duniani kama kuoa, asikudanganye mtu, huyo wako mke ndagu, sasa tafuta asie ndugu. Pemba kuna mitotoya Kimanga huko, Wewe nenda tu babu...


Babu: Sikiliza Simba, wewe ukiweza leo hii nenda kwa Mzee Ali ukamsikilize, maana kishaambiwa bila wewe Dokta haendi, nenda ukamuone, kisha leo usiku nambie. Tena usimpigoie simu kama unakwenda, wewe mstukize tu. Si ulinambia pete uliitumia kujificha kwa mara ya kwanza Unguja?

Mimi; Ndio babu.
Babu; Sasa leo nenda kwake kama ulivyoingia kwa Bi S. Unguja akustukize upo ndani. Haya kwaheri Simba, usiache kwenda.

Akakata simu, nikawa nafanya kazi zangu lakini sina raha kabisa, baada ya kusa alasiri tu nikwamuaga Mzee.

Mzee; Babu yako kakwambia nini, umeongea nae?

Nikamweleza Mzee yote.

Mzee; Sawa, wewe nedna mradi babu yako kakwambia hivyo usitie shaka, na mimi nikitika hapa 11 nakuja huko moja kwa moja, Wewe fanaya mambo yako lakini usiningoje mimi.

Mimi; Nikatoka nikaomba dua ya safari nikaanza.

Njiani nikawa nafikiria ntaiweka wapi gari pale na parking mpaka lifunguliwe geti, likanijia wazo, kuna Kituo cha mafuta pale Buguruni naweza kuweka gari, kuna jamaa fundi pale, gari zake zote hizi za za kisasa tunamtengenezea kwetu.

Kufika, kweli nikamkuta, nikamwambia mimi naingia Buguruni pale nikamwelekeza hakuna parking mtaa ule, akanambia mitaa nuksi kweli ile chukua boda mwanagu, wacha gari yako hapa au nikupe pikipiki utaendesha mwenyewe? Nikamwambia hapana boda tu anatosha.

Nikaenda na boda mpaka karibu ya kufika nikamwambia hapahapa, nimefika. Ngapi mshikaji? Akanambia fundi pale kanambia nisichukue pesa kwako, nikampa buku mbili, nikamwabia basi hii kunywa soda mwanangu. Akanambia hapa Buku tu. Nikamwabia ubani wako huo mwana, usiwe na shaka. Akaondoka zake.

Kufika nyumba moja kabla ya Mzee Ali sikutazama hata kama kuna watu au hakuna, nikaigeuza pete nikaiminya, nikaingilia mlango wa uani kama tulivyoingizwa siku ile noikauta kina mama na kina dada wamekaa hawana habari kabisa, nikaenda moja kwa moja chumba chake cha kutibu watu, kuna watu wa pale pale kwake walikua wamekaa nje mlangoni kama kawaida.

Nikakaa kama dakika tatu nikaona hakuna anaekuja, nikatoka nikatazama tazama uani, wapo watu na shughuli zao kama mwanzo, hakuna hata anaeniona. Nikaingia mlango wa uani wa kuingilia nyumba kubwa, nikasikia Mzee Ali anaongea na mtu zaidi ya mmoja lakini kwenye chumba sio kule ukumbini kwake.

Nikatime mlango nikaona umefungwa, nikiufungua itakua noma.

Nikaenda ukumbini kwake nikakaa peke yangu mara nikasikia mlango umefunguliwa nikasoge wakawa wanatoka ndani, kumbe walikua watu watatu na yeye Mzee Ali, wawili wanaume mmoja mwanamke.

Mzee Ali; Sasa wewe mama na mumeo subirini kule ukumbini tulipokaa kwanza mke wangu lazima akupe nguo za mapambano mupe kama nusu saa mjje. Mimi na huyu bwana tunakwenda, kazi yake huyu ndogo tu. Nikawapita nikaenda chumba chake cha uganga nikawapita wale qa mlangoni, hakuna alieniona wala kustuka kabisa, nikaingia ndani nikakaa nikaiachia pete. Nikamsikia mzee Ali uwani anampa maelekezo mkewe kuhusu yule mwanamke na huku chumbani kwake aletewe ndoo za maji.

Nilikua nimekaa kiti anachokaa yeye, sijui kwanini niliamua hivyo. Cha ajabu nilikua sina uoga wala kuwaza matokeo ya kitendo changu. Mara namsikia mzee Ali mlangoni anamkaribisha mgeni wake karibu bwana karibu.

Akatangulia Mzee Ali kuingia hakuniona au hakutengenmea sielewi, ghafla aageukia mlangoni, karibu, karibu bwana yule mgeni alioingi tu macho yake na yangu, akapiga Salamu alekum, nikaitika Alekum Salam, na mzee Ali ndio anageuka ananiona, nikamuona kama kanitole macho, mdomo kawacha wazi, akapiga kelele kama yowe hivi halafu akaruka juu mara ya kwanza, karuka mara ya pili akapiga samasolti kwa mbele, mpaka nikashangaa, mtu mzima na ana mwili kidogo lakini kapiga samasalti, alipofikia akakaa chini, akatoa macho, akaanza kutazama chumba kizima akawa kama kapigwa ganzi, yule jamaa aliekuja naenkasimama karibu ya ukuta macho na kijasho chembembamba kina mtoka, hajui kinachoendelea.

Mzee Ali; Salaam, salaam salaam. Nimekuja kwa amani, nilikua nategemea utakuja lakini sio kimya kimya. Akamgeukia mgeni wake, kaa chini, huyu mhgeni wangu pia.

Mgeni; Au niwapishe?
Mimi; Kaa chini, hakuna siri inayotoka nje ya chumba hiki.
Mzee Ali; kaa bwana kaa.

Nakajua alikuwa sio yeye kwanza anaepiga samasamasolti, sasa ni yeye anaongea.
Mzee Ali; Bwan Simba, hali yako bwana?
Mimi; Sisi salama, wewe tu?
Mzee Ali; Nyie watotohapoo nje, hebu njooni haraka.

Hosi hodi. Mzee Ali piteni, ile kuingia tu.
Mzee Ali; kwanini anakuja mgeni hamnambii mnamkaribisha humu ndani peke yake?
Mabinti: Hakuna megni aliyekuja Baba.
Mimi; Mzee Ali, hawakuniona hao, hii habari yetu haiwahusu hao, waache wakafanye yao.
Mzee Ali; haya nendeni. Bwana Simba mbina umenistuwa, leo mpaka kaja mwenyewe hapa. Habari kubwa hii. Haya nambie bwana Simba.
Mimi: Mzee Ali unasema ulikua uanjua kua nitakuja, haya nambie wewe.

Mzee Ali; Bwana mgeni tafadhali katungoje pale ukumbini tuna mazungumzo ya faragha kidogo na bwana Simba hapa. Samahani sana.

Nikaona yule mgeni kama kashukuru kutoka nje. Akatoka nje.
Mzzee Ali alikua kasimama.
Mzee Ali; Nikae chini mkuu?
Mimi; kaa tu, usiwe na hofu, wala usiwalumu wanao au yeyote yule hakuna alieniona nikiingia, mimi nilikua na nyinyi toka kule mlipokaa na wale wengine, si umewaambia atakwenda mkeo kumpa yule dada nguo za mampano? Nakueleza hayo ili ujue kua nilikua na nyinyi. Sasa sema ukweli wako, uwe ukweli mtupu.

Mzee Ali; kama kashikwa kigugumizi cha mbali, Sikiliza Simba, mimi niliambiwa utakuja lakini sikujua kama utakuja ghafla hivi, nilijua utakuja Dokta akiwepo hapa ili tuongee na wewe habari ya safari.

Mimi: Ongea yote, Mzee Aliaua nikuulize ujibu maswali?
Mzee SAli; Itakua vozuri maana sijui yepi ya kuongea yepi sio ya kuongea.
Mimi: Hii safari ilikua ya Dokta tu, kwanini sasa iwe na yangu?
Mzee Ali; Nilipata maelekezo kwa huyu Mkuu aliekuja hapa sasa hivi, hakukaa lakini kaondoka haraka, kanambia niyamalize haraka na niseme ukweli mtupu, kama ulivyonambia wewe.
Mimi; Nataka kujua kama nilivyokuuliza, tafadhali kila unavyochelewa unazidi kuwachelewesha wageni zako.

Mzee Ali; Mimi ndio mkubwa wa shughuli inayofanyika nyumbani, ilikua niende na dokta poeke yake, lakini nimeletewa habari kua kuna watu wetu aliokua nao Dokta tunamtazama hali yake, wameshikwa wote na hakuna njia ya kuwawachiwa walioshikwa mpaka tukamuombe msamaha mbele ya wakubwa kojani na wewe tukuombe usaidie ili watu wetu wapoatikane.
Mimi; Wangaoi watu wenu?
Walioshikwa ni site lakini na wanaopokezana nao kumi na mbili nao hawajashikwa wapo nyumbani lakini wamezuliwa kufanya kazi yoyote si kwa Dokta si kwengine. Wakubwa wakajua kwanza ni Vibuki, vibuki sisi tunaviweza, lakini imeonekana hii nguvu kubwa inatokea kwako na haiwezekani kuwakatali, tutasambaratishwa Kojani nzima. Huo ndio ujumbe nilioletewa, kwa hio ilikua ukija nikuombe twende wote Kpojani.
Mimi; Bado hujasema ukweli, wakubw azako wamekwambia uniombe mimi twende kojani?

Mzee Ali; Hapoana Bwana Simba, hilo nasema mimi, wao wamenambia utakuwepo Kojani nikukaribishe kwa salama na amani na wamenambia ukija hapa nikukaribishw kwa salama na amani.
Mimi; Sasa kwanini wewe umetaka nifatane na wewe Kojani?
Mzee Ali; Nimewaz hio ndio itakuwa wepesi maana nimesisitizwa asikose Dokta kwenda, hivi kabla ya hao wageni kuja nilikua naongea Dokta namsisitiza kuja, lakini Sheikh kamwambia asije huku kwangu bila wewe, ndio nikajua mtakuja niwaombe twende sote.

Mzee Ali; Wanataka ukaombe msamaha wa nini kwa Dokgta huko Kojani?
Mzee Ali; Yamenikuta, hayasemeki lakini nabidi niyatapike.
Mimi: kama unavyotapisha kiuongo? Hapa ukisema uongo Dokta haji na unajua ndio utakua mwisho wako wa kukaa Dar?
Mzee Ali: Simba, nisamehe sana, ngoja nikwambi ukweli Mkuu. Mimi natafuta rizki tu, yale mambo ya kuwatapisha watu ni kujongezea kipato tu.

Mimi; Sikukuuliza hayo yote, jibu nililokuuliza, nilikupa fursa ya kuongea mwenyewe ukawa huongei, sasa nakwambia, kama hujajibu swali ninalokuuliza, urafiki wetu unaishia hapa na ujua hato jini yeyote kukusaidia utapeli wako, na wala hakua takaepandisha jini hapa kwako.
Mee Ali; Hilo nimeliona, hata yule mwanamke ilikua apandishe hukohuko tulikokua nae nikaona ajabu leo hajapandisha, ndio nikasema nimuhamishie huku.
Mimi: kama hujajibu swali, hatopandisha na utakua huna ujanja, si unaona hata huyo mkuu wenu kaja kakimbia kuniona mimi hapa?
Mzee Ali; Nisamehe, naanza kukujibu. Mi nilikua nakwenda kumuomba msamaha kwa uongoniliomfanyia. Na nimemrishewa nipiga hesabu ya pesa zote nilizochukua akarudishiwe mbele ya wakuu huko na wewe niliambiwa utakuwepo huko, nikuobe msamaha pia kwa kufanay uongo mbele yako na babako.
Mimi; Kwanini unamtaka Dokta aje hapa?
Mzee Ali; Ili nihakikishe anakuja Kojani, tukawatoe hai wanaonisaidia kazi niwarudishe kwao nipewe wengine.
Mimi; Kwanini hujawarudisha hapa ulipompachika nao?
Mzee Ali; Imeshindikana bwana Simba, mpoakawakubwa wamejaribu kuwarudisha kule imeshindaka, hata hawaonekani kabis, hatujui walipo lakini tunajua nguvu sako ndio zimewazuia.
Mimi; Nani kakwambia hivyo?
Mzee Ali; Huyu aliekuja akaondoka hapa, na yeye anaambiwa na wakubwa ake.
Mimi; Mwambia aje.
Mzee Ali; Huyu bwana akija anapirika nyingi sana, si umeona alivyokuja kwanza?
Mimi; Usiogope, mwambie aje, au nimwambie mimi?

Nikamngoja kama dakika tatu.
mzee Ali; Namwabia lakinihaji kabisa, sio kawaida yake. hua nikimwita tu anakuja, hachukui hata nusu dakika.
Mimi; haya tulia, mimi nimeshamwita anakuja, na hafanyi fujo yoyote leo.

Mzee kama akatingishika kidogo tu.
Mzee Ali Salaam, Salaam Salaam, nimekuja mkuu kama ulivyoniita niko chini ya amri yako.
Mimi; Anakusikia huyu?
Mzee Ali; Ndiyo ananisikia.

Mimi: Haya mwambie kinachoendelea na nini kinatakiwa kifanyike haraka sana, au wewe na yeye unajua kitakachowapata. Ilikua kama sauti ya Jini 2 inanambia niseme nini.

Mzee Ali; Sikiliza kiti, huyu Simba ni mkubwa wa wakubwa zetu sisi na wote wanamuheshimu sana na hawataki hata kuwaza vita na ukoo wake na marafiki zake. Kw ahio Ali, umkatie tiketi ya ndege huyu na Daktari ya kwenda na kurudi Pemba, wiku moja kabla ys shughuli kubwa na siku moja baada ya shughuli kubwa, bila hivyo itakua fedheha kubwa Kojani, sherhr haitofanyika kabisa.

Mpigie yule mteja wako anafanyua kiwanja ya ndeh)ge, anajua namna ya kutaka tiketi na namna atavyowapa hawa. Wewe kama utamlipa yule au humlipi mtajuana nae yule. Hii haina mjadala. Wamesema wnajua wenyewe pakufikia na wanajua wenyewe watfika vipi Kojani, wewe wape tiketi zao tu leo hii, zowe na tarehe ya kwenda na kuondoka, ukikosea shauri lako.

Mzee Ali; Kunalingine Mkuu Simba?
Mimi' Ndio, nataka heshima na adabau kuanzia leo, wewe na wakubwa zako na huyu mjinga wenu mfahamisheni. Akikuita tena uje kama kawaida yako usichelewe. Mengine, sisis gtunajua tuongee vipi na wakubwa zako bila kupitia kwa huyu mwizi mwenzako.
Mzee Ali; Nimekuelewa mkuu, naomba niondoke.
Mimi ; Haya kwaheri.

Hakuna cha samasolti wala nini.

Mzee Ali; Samahani Simba, naomba niagize naji a kunywa.

Mimi; Agiza, harakanataka kuondoka.
Mzee Ali; Nyiiie Mabinti leyteni maji chupa mbili haraka.

Mabingti wakaleta maji Mzed Ali wakanywa na mimi nikafungua nikanywa, kuonesha ustaarabu. Mzee akayagida chupa nzima.

Mzee Ali; Nashukuru yameisha salama, Sasa bwana simba kwanza naanza kukuomba msmaha hapahapa mradi mmeongea na hawa wakuu, mimi nikutimiza tu, sasa hizi napigia simu yule binti afanye tiketi, naoimba nimpe namba yako akitaka majina au maelezo mengine. Wewe mpe maelezo yote, leo huyajui majina ta Dokta? yake nayajua yote mpaka la mamake. Yako bwana Simba ndio sina. Nikamwabia haya andika jina langu kamili, Wee binti njoo uandike haraka, akaja binti mmoja mkubwa mkubwa hivi Haya andik, nikampa tena majina, yule binti akawa anayaandika kwenye simu yake.

Mimi; Haya mimi naondoka akiwa gtayari na tiketi ndio anijulishe, leo hii hii baada ya lisaa limoja asinitafute kabla.

Mzee Ali; Sawa bwana Simba, ahsante sana tutawasiliana.
Mimi; Usiwasiliane na mimi wala Dokta kuanzia leo, wasiliana na yule mwizi mmwenzio, nimeshamwambi aje ukimwita. Huamini?

Mzee Ali; hapana, Bwana Simba nimesema kimazowea tu.

Nikanyayuka huyo nikatoka, nikajua wambea walikua wansikiliza mlangoni, na mkewe kakaa nao. Nikatoa Salaam nikaitikiwa na wote mbio mbio. Nikatoka langi uani, kutoka tu nje nikatazama kushoto nikaona Gari ya Mzee, nikawa sina haja ya kuminya pete nikaifata gari, nikaona yupo ndani na mshikaji.

...
Kwanini hizi post yako usizi link pale kwenye post ya kwanza mtu au watu wakitaka kusoma post inayofuata wanaipata kwenye post ya kwanza
 
onjo vya Arsis - Majini ya Kojani- Pemba.

nilivyokutanishwa na majini ya Kingazija (Comoros) na Kipemba Kojani.


Baada ya kuongea na mshikjai nikampigia Babu. Baada ya kusalimiana.
Mimi; Babu umesikia kilichokuepo?
Babu; Kuhusu nini Simba nifahamishe.
Nikamuelez kama alivonambia Dokta.

Babu; Hilo nakifahamu, Sheikh...wa Unguja kanipigia jana, akanambia nikujulishe, nikaona saa hizi upo kazini, nilikua nangojabaada ya dhuhuri niku[igoie, Najua hua mnapumzika kidogo.
Mimi; kwa mwanao hapa kuna kupumzika, kama hujajiongeza mwenyewe, hata siku moja hasemi ka[pimzikeni.
Baba; Simba huyo, simba hawapumziki wawe wameshiba.
Mimi; Mwanao huyu saa zote ana njaa?
Babu: Muulize, mtajuana nae wenyewe, mbona mimi unanuliza?
Mimi; Mwanao huyu si unajua haongei ongei sana?
Babu; Simba, huyo achana nae wewe nenda ukapaone Pemba na Kojani ukaone huo mwaka koga wao wa Kojani, nasikia wanatoka dunia nzima siku hio, ha[patoshi. Kajonee huko, umekosa kuoa Unguja labda huko utapata, usinisahau lakini.
Mimi; Babu tunangea vitu serious wewe unaleta mambo ya kuoa?
Babu; hakuna itu seripous duniani kama kuoa, asikudanganye mtu, huyo wako mke ndagu, sasa tafuta asie ndugu. Pemba kuna mitotoya Kimanga huko, Wewe nenda tu babu...


Babu: Sikiliza Simba, wewe ukiweza leo hii nenda kwa Mzee Ali ukamsikilize, maana kishaambiwa bila wewe Dokta haendi, nenda ukamuone, kisha leo usiku nambie. Tena usimpigoie simu kama unakwenda, wewe mstukize tu. Si ulinambia pete uliitumia kujificha kwa mara ya kwanza Unguja?

Mimi; Ndio babu.
Babu; Sasa leo nenda kwake kama ulivyoingia kwa Bi S. Unguja akustukize upo ndani. Haya kwaheri Simba, usiache kwenda.

Akakata simu, nikawa nafanya kazi zangu lakini sina raha kabisa, baada ya kusa alasiri tu nikwamuaga Mzee.

Mzee; Babu yako kakwambia nini, umeongea nae?

Nikamweleza Mzee yote.

Mzee; Sawa, wewe nedna mradi babu yako kakwambia hivyo usitie shaka, na mimi nikitika hapa 11 nakuja huko moja kwa moja, Wewe fanaya mambo yako lakini usiningoje mimi.

Mimi; Nikatoka nikaomba dua ya safari nikaanza.

Njiani nikawa nafikiria ntaiweka wapi gari pale na parking mpaka lifunguliwe geti, likanijia wazo, kuna Kituo cha mafuta pale Buguruni naweza kuweka gari, kuna jamaa fundi pale, gari zake zote hizi za za kisasa tunamtengenezea kwetu.

Kufika, kweli nikamkuta, nikamwambia mimi naingia Buguruni pale nikamwelekeza hakuna parking mtaa ule, akanambia mitaa nuksi kweli ile chukua boda mwanagu, wacha gari yako hapa au nikupe pikipiki utaendesha mwenyewe? Nikamwambia hapana boda tu anatosha.

Nikaenda na boda mpaka karibu ya kufika nikamwambia hapahapa, nimefika. Ngapi mshikaji? Akanambia fundi pale kanambia nisichukue pesa kwako, nikampa buku mbili, nikamwabia basi hii kunywa soda mwanangu. Akanambia hapa Buku tu. Nikamwabia ubani wako huo mwana, usiwe na shaka. Akaondoka zake.

Kufika nyumba moja kabla ya Mzee Ali sikutazama hata kama kuna watu au hakuna, nikaigeuza pete nikaiminya, nikaingilia mlango wa uani kama tulivyoingizwa siku ile noikauta kina mama na kina dada wamekaa hawana habari kabisa, nikaenda moja kwa moja chumba chake cha kutibu watu, kuna watu wa pale pale kwake walikua wamekaa nje mlangoni kama kawaida.

Nikakaa kama dakika tatu nikaona hakuna anaekuja, nikatoka nikatazama tazama uani, wapo watu na shughuli zao kama mwanzo, hakuna hata anaeniona. Nikaingia mlango wa uani wa kuingilia nyumba kubwa, nikasikia Mzee Ali anaongea na mtu zaidi ya mmoja lakini kwenye chumba sio kule ukumbini kwake.

Nikatime mlango nikaona umefungwa, nikiufungua itakua noma.

Nikaenda ukumbini kwake nikakaa peke yangu mara nikasikia mlango umefunguliwa nikasoge wakawa wanatoka ndani, kumbe walikua watu watatu na yeye Mzee Ali, wawili wanaume mmoja mwanamke.

Mzee Ali; Sasa wewe mama na mumeo subirini kule ukumbini tulipokaa kwanza mke wangu lazima akupe nguo za mapambano mupe kama nusu saa mjje. Mimi na huyu bwana tunakwenda, kazi yake huyu ndogo tu. Nikawapita nikaenda chumba chake cha uganga nikawapita wale qa mlangoni, hakuna alieniona wala kustuka kabisa, nikaingia ndani nikakaa nikaiachia pete. Nikamsikia mzee Ali uwani anampa maelekezo mkewe kuhusu yule mwanamke na huku chumbani kwake aletewe ndoo za maji.

Nilikua nimekaa kiti anachokaa yeye, sijui kwanini niliamua hivyo. Cha ajabu nilikua sina uoga wala kuwaza matokeo ya kitendo changu. Mara namsikia mzee Ali mlangoni anamkaribisha mgeni wake karibu bwana karibu.

Akatangulia Mzee Ali kuingia hakuniona au hakutengenmea sielewi, ghafla aageukia mlangoni, karibu, karibu bwana yule mgeni alioingi tu macho yake na yangu, akapiga Salamu alekum, nikaitika Alekum Salam, na mzee Ali ndio anageuka ananiona, nikamuona kama kanitole macho, mdomo kawacha wazi, akapiga kelele kama yowe hivi halafu akaruka juu mara ya kwanza, karuka mara ya pili akapiga samasolti kwa mbele, mpaka nikashangaa, mtu mzima na ana mwili kidogo lakini kapiga samasalti, alipofikia akakaa chini, akatoa macho, akaanza kutazama chumba kizima akawa kama kapigwa ganzi, yule jamaa aliekuja naenkasimama karibu ya ukuta macho na kijasho chembembamba kina mtoka, hajui kinachoendelea.

Mzee Ali; Salaam, salaam salaam. Nimekuja kwa amani, nilikua nategemea utakuja lakini sio kimya kimya. Akamgeukia mgeni wake, kaa chini, huyu mhgeni wangu pia.

Mgeni; Au niwapishe?
Mimi; Kaa chini, hakuna siri inayotoka nje ya chumba hiki.
Mzee Ali; kaa bwana kaa.

Nakajua alikuwa sio yeye kwanza anaepiga samasamasolti, sasa ni yeye anaongea.
Mzee Ali; Bwan Simba, hali yako bwana?
Mimi; Sisi salama, wewe tu?
Mzee Ali; Nyie watotohapoo nje, hebu njooni haraka.

Hosi hodi. Mzee Ali piteni, ile kuingia tu.
Mzee Ali; kwanini anakuja mgeni hamnambii mnamkaribisha humu ndani peke yake?
Mabinti: Hakuna megni aliyekuja Baba.
Mimi; Mzee Ali, hawakuniona hao, hii habari yetu haiwahusu hao, waache wakafanye yao.
Mzee Ali; haya nendeni. Bwana Simba mbina umenistuwa, leo mpaka kaja mwenyewe hapa. Habari kubwa hii. Haya nambie bwana Simba.
Mimi: Mzee Ali unasema ulikua uanjua kua nitakuja, haya nambie wewe.

Mzee Ali; Bwana mgeni tafadhali katungoje pale ukumbini tuna mazungumzo ya faragha kidogo na bwana Simba hapa. Samahani sana.

Nikaona yule mgeni kama kashukuru kutoka nje. Akatoka nje.
Mzzee Ali alikua kasimama.
Mzee Ali; Nikae chini mkuu?
Mimi; kaa tu, usiwe na hofu, wala usiwalumu wanao au yeyote yule hakuna alieniona nikiingia, mimi nilikua na nyinyi toka kule mlipokaa na wale wengine, si umewaambia atakwenda mkeo kumpa yule dada nguo za mampano? Nakueleza hayo ili ujue kua nilikua na nyinyi. Sasa sema ukweli wako, uwe ukweli mtupu.

Mzee Ali; kama kashikwa kigugumizi cha mbali, Sikiliza Simba, mimi niliambiwa utakuja lakini sikujua kama utakuja ghafla hivi, nilijua utakuja Dokta akiwepo hapa ili tuongee na wewe habari ya safari.

Mimi: Ongea yote, Mzee Aliaua nikuulize ujibu maswali?
Mzee SAli; Itakua vozuri maana sijui yepi ya kuongea yepi sio ya kuongea.
Mimi: Hii safari ilikua ya Dokta tu, kwanini sasa iwe na yangu?
Mzee Ali; Nilipata maelekezo kwa huyu Mkuu aliekuja hapa sasa hivi, hakukaa lakini kaondoka haraka, kanambia niyamalize haraka na niseme ukweli mtupu, kama ulivyonambia wewe.
Mimi; Nataka kujua kama nilivyokuuliza, tafadhali kila unavyochelewa unazidi kuwachelewesha wageni zako.

Mzee Ali; Mimi ndio mkubwa wa shughuli inayofanyika nyumbani, ilikua niende na dokta poeke yake, lakini nimeletewa habari kua kuna watu wetu aliokua nao Dokta tunamtazama hali yake, wameshikwa wote na hakuna njia ya kuwawachiwa walioshikwa mpaka tukamuombe msamaha mbele ya wakubwa kojani na wewe tukuombe usaidie ili watu wetu wapoatikane.
Mimi; Wangaoi watu wenu?
Walioshikwa ni site lakini na wanaopokezana nao kumi na mbili nao hawajashikwa wapo nyumbani lakini wamezuliwa kufanya kazi yoyote si kwa Dokta si kwengine. Wakubwa wakajua kwanza ni Vibuki, vibuki sisi tunaviweza, lakini imeonekana hii nguvu kubwa inatokea kwako na haiwezekani kuwakatali, tutasambaratishwa Kojani nzima. Huo ndio ujumbe nilioletewa, kwa hio ilikua ukija nikuombe twende wote Kpojani.
Mimi; Bado hujasema ukweli, wakubw azako wamekwambia uniombe mimi twende kojani?

Mzee Ali; Hapoana Bwana Simba, hilo nasema mimi, wao wamenambia utakuwepo Kojani nikukaribishe kwa salama na amani na wamenambia ukija hapa nikukaribishw kwa salama na amani.
Mimi; Sasa kwanini wewe umetaka nifatane na wewe Kojani?
Mzee Ali; Nimewaz hio ndio itakuwa wepesi maana nimesisitizwa asikose Dokta kwenda, hivi kabla ya hao wageni kuja nilikua naongea Dokta namsisitiza kuja, lakini Sheikh kamwambia asije huku kwangu bila wewe, ndio nikajua mtakuja niwaombe twende sote.

Mzee Ali; Wanataka ukaombe msamaha wa nini kwa Dokgta huko Kojani?
Mzee Ali; Yamenikuta, hayasemeki lakini nabidi niyatapike.
Mimi: kama unavyotapisha kiuongo? Hapa ukisema uongo Dokta haji na unajua ndio utakua mwisho wako wa kukaa Dar?
Mzee Ali: Simba, nisamehe sana, ngoja nikwambi ukweli Mkuu. Mimi natafuta rizki tu, yale mambo ya kuwatapisha watu ni kujongezea kipato tu.

Mimi; Sikukuuliza hayo yote, jibu nililokuuliza, nilikupa fursa ya kuongea mwenyewe ukawa huongei, sasa nakwambia, kama hujajibu swali ninalokuuliza, urafiki wetu unaishia hapa na ujua hato jini yeyote kukusaidia utapeli wako, na wala hakua takaepandisha jini hapa kwako.
Mee Ali; Hilo nimeliona, hata yule mwanamke ilikua apandishe hukohuko tulikokua nae nikaona ajabu leo hajapandisha, ndio nikasema nimuhamishie huku.
Mimi: kama hujajibu swali, hatopandisha na utakua huna ujanja, si unaona hata huyo mkuu wenu kaja kakimbia kuniona mimi hapa?
Mzee Ali; Nisamehe, naanza kukujibu. Mi nilikua nakwenda kumuomba msamaha kwa uongoniliomfanyia. Na nimemrishewa nipiga hesabu ya pesa zote nilizochukua akarudishiwe mbele ya wakuu huko na wewe niliambiwa utakuwepo huko, nikuobe msamaha pia kwa kufanay uongo mbele yako na babako.
Mimi; Kwanini unamtaka Dokta aje hapa?
Mzee Ali; Ili nihakikishe anakuja Kojani, tukawatoe hai wanaonisaidia kazi niwarudishe kwao nipewe wengine.
Mimi; Kwanini hujawarudisha hapa ulipompachika nao?
Mzee Ali; Imeshindikana bwana Simba, mpoakawakubwa wamejaribu kuwarudisha kule imeshindaka, hata hawaonekani kabis, hatujui walipo lakini tunajua nguvu sako ndio zimewazuia.
Mimi; Nani kakwambia hivyo?
Mzee Ali; Huyu aliekuja akaondoka hapa, na yeye anaambiwa na wakubwa ake.
Mimi; Mwambia aje.
Mzee Ali; Huyu bwana akija anapirika nyingi sana, si umeona alivyokuja kwanza?
Mimi; Usiogope, mwambie aje, au nimwambie mimi?

Nikamngoja kama dakika tatu.
mzee Ali; Namwabia lakinihaji kabisa, sio kawaida yake. hua nikimwita tu anakuja, hachukui hata nusu dakika.
Mimi; haya tulia, mimi nimeshamwita anakuja, na hafanyi fujo yoyote leo.

Mzee kama akatingishika kidogo tu.
Mzee Ali Salaam, Salaam Salaam, nimekuja mkuu kama ulivyoniita niko chini ya amri yako.
Mimi; Anakusikia huyu?
Mzee Ali; Ndiyo ananisikia.

Mimi: Haya mwambie kinachoendelea na nini kinatakiwa kifanyike haraka sana, au wewe na yeye unajua kitakachowapata. Ilikua kama sauti ya Jini 2 inanambia niseme nini.

Mzee Ali; Sikiliza kiti, huyu Simba ni mkubwa wa wakubwa zetu sisi na wote wanamuheshimu sana na hawataki hata kuwaza vita na ukoo wake na marafiki zake. Kw ahio Ali, umkatie tiketi ya ndege huyu na Daktari ya kwenda na kurudi Pemba, wiku moja kabla ys shughuli kubwa na siku moja baada ya shughuli kubwa, bila hivyo itakua fedheha kubwa Kojani, sherhr haitofanyika kabisa.

Mpigie yule mteja wako anafanyua kiwanja ya ndeh)ge, anajua namna ya kutaka tiketi na namna atavyowapa hawa. Wewe kama utamlipa yule au humlipi mtajuana nae yule. Hii haina mjadala. Wamesema wnajua wenyewe pakufikia na wanajua wenyewe watfika vipi Kojani, wewe wape tiketi zao tu leo hii, zowe na tarehe ya kwenda na kuondoka, ukikosea shauri lako.

Mzee Ali; Kunalingine Mkuu Simba?
Mimi' Ndio, nataka heshima na adabau kuanzia leo, wewe na wakubwa zako na huyu mjinga wenu mfahamisheni. Akikuita tena uje kama kawaida yako usichelewe. Mengine, sisis gtunajua tuongee vipi na wakubwa zako bila kupitia kwa huyu mwizi mwenzako.
Mzee Ali; Nimekuelewa mkuu, naomba niondoke.
Mimi ; Haya kwaheri.

Hakuna cha samasolti wala nini.

Mzee Ali; Samahani Simba, naomba niagize naji a kunywa.

Mimi; Agiza, harakanataka kuondoka.
Mzee Ali; Nyiiie Mabinti leyteni maji chupa mbili haraka.

Mabingti wakaleta maji Mzed Ali wakanywa na mimi nikafungua nikanywa, kuonesha ustaarabu. Mzee akayagida chupa nzima.

Mzee Ali; Nashukuru yameisha salama, Sasa bwana simba kwanza naanza kukuomba msmaha hapahapa mradi mmeongea na hawa wakuu, mimi nikutimiza tu, sasa hizi napigia simu yule binti afanye tiketi, naoimba nimpe namba yako akitaka majina au maelezo mengine. Wewe mpe maelezo yote, leo huyajui majina ta Dokta? yake nayajua yote mpaka la mamake. Yako bwana Simba ndio sina. Nikamwabia haya andika jina langu kamili, Wee binti njoo uandike haraka, akaja binti mmoja mkubwa mkubwa hivi Haya andik, nikampa tena majina, yule binti akawa anayaandika kwenye simu yake.

Mimi; Haya mimi naondoka akiwa gtayari na tiketi ndio anijulishe, leo hii hii baada ya lisaa limoja asinitafute kabla.

Mzee Ali; Sawa bwana Simba, ahsante sana tutawasiliana.
Mimi; Usiwasiliane na mimi wala Dokta kuanzia leo, wasiliana na yule mwizi mmwenzio, nimeshamwambi aje ukimwita. Huamini?

Mzee Ali; hapana, Bwana Simba nimesema kimazowea tu.

Nikanyayuka huyo nikatoka, nikajua wambea walikua wansikiliza mlangoni, na mkewe kakaa nao. Nikatoa Salaam nikaitikiwa na wote mbio mbio. Nikatoka langi uani, kutoka tu nje nikatazama kushoto nikaona Gari ya Mzee, nikawa sina haja ya kuminya pete nikaifata gari, nikaona yupo ndani na mshikaji.

...
Vionjo vya Arsis - Majini ya Kojani- Pemba 2.

Kuingia tu,

Mzee; Nilitaka kuingia ndani kukufata na wewe unatoka.
Mimi; Mmekuja muda?
Mzee; Hapana, tulipita kwenda kugeuza gari mbele kidogo hapo, tunarudi na wewe unatoka.

Mimi; gari yangu ipo ple kituoni kwa mgteja yule...
Mzee; Basi sisi hatuna haja ya kuingia kule, tutasimama mshikaji shuke akichukue gari aje nayo nyumbani.
Mimi; Poa.

Kufika mshikaji akashuka akaelekea na sisi tukaeleka nyumbani.
Mzee;Npigie simu yule kijana anaweza kumyima gari.
Mimi; Mwache tumuone ujanja wake leo.
Mzee; Yule wanamjuwa mafari yao yote ankuja kuyachukua na kuyarudisha yeye, tatizo kama hajamkuta yule kijana.
Mimi; Wakimyima atapiga simu tutaongea nao. Mwache kidogo akomae.

Mzee; haya nipe habari za huko, maana hizi kazzi za babu yako zinataka moyo kweli kweli. Mimi siziwezi, tena msiniingize tena.

Nikamweleze mwanzo mpaka mwisho.

Mzee; Ndio usharithi hivyo, umekuwa bingwa sasa, unakwenda mpoka Kojani.
Mimi; Waoi hii kazi wamenisukumia tu.
Mzee; Ndio inavyokua hivyo. Simba, niliwaambia nyumbani anakuja mgeni tutakua nae usiku.
Mimi; Umefanya la maana kweli.
Mzee; Kama ni mkwe wetu mpoya nyumbani wamzoee kabisa.
Mimi: Aaah wapi.
Mzee: babu yako huyo ndio aliendsema, nimeongea nae ananambia nasikia leo mkweo wa Kiunguja anakuja kukuktenbelea.
Mimi; Babu utamuweza, kishanambia unakwenda Pemba tafuta wawili.
Mzww; Wawili tena?
Mimi; Mmoja wangu mmoja wake, ninae mumuoa lazima awe na dadake anaoa yeye.
Mzee: babu yako anaweza kweli, majini yashamchanganya kichwa cheke, mwenyewe hua anasema hakuna utani katika ndoa. Yule unafikiri anafanya utani? Yupo serious kweli uoe.
Mimi; Mbina wewe hukuoanmwingine.
Mzee; Mimi naishi maisha ya Kisimba, wewe uliyakimbia. Inabidi uoe.
Mimi: Hilo umesema kweli, sio utani inabidi nioe.

Tukafika nyumbani, ile tunaingiza gari tu hatujakaa dakika tano Mshikaji huyo kaingia na gari.

Mzee: Wamekupa gari?
Mshikaji; Kwani vipi Dingi?
Mzee; Mimi nilifikiri kwa kua kwawachia Simba hawampi mtu mwengine.
Mshikaji; Kwani mimi mtu mwengine, mshikaji yule anaujua ukoo wetu, kwani gari zo kila siku anazileta nani kwao, nani anakuja kuzichukua? Kule gereji wakija wanaomuona nani mtu wa kwanza?
Mzee; Nakuaminia mwanangu hujazubaa kabisa.
Mshikaji; Na nikiiacha mimi gari sehemu akienda Simba huyo hapewi, ataonekana mwizi wa magari tu. We mtu anzaiwasha gari bila funguo bila nini, sasa kama si wmizi wa magari huyu mwanao ni nini?
Mimi; Ujuzi tu, ukionge vizuri nakufundisha.
Mshikaji; hta sitaki kujua, nikujua hio, shetani anaweza kuniingia nikafungua magari ya watu niondoke nayo, nikayabanjue kila kitu nipate tiketi ya kuendea Ulaya.
Mzee: Ulaya tena? Dokta basi tena?
Mshikaji; Yule nikkipata safari ya Ulaya kwanza ananisubiria, huko nakwenda kuoa mdanish, si unajua wale hata wakilala juani hawabadiliki rangi, wanabaki vile vile kama mijusi ya ukutani na nyumaba yenye rangi nyeupe.
Mimi' Kwani wanakua tofauti?

Mshikaji; Wewe watazame mwanangu, mie chumba changu mpaka nikabadili tangi, kilikua na rangi nyeupe, basi mijusi ya chumbani kwangu unaiona mpaka mishipa yao ya damu, akimeza mdudu unamuona mpaka anavyoingia tumbini, sasa jamani eeh Muda umefika, soga baadae.

Huyo akachomoka, na sie tukaingia ndani ile yunaingia kujitayarisha kunaadhiniwa, mie nikaona Magharibi ya msikiti wetu siiwahi, maana yule imamu akimaliza kuadhini tu anakimu. Nikasali chumbani kwangu nikajitupa kitandani wigfe akaja na mwanae mdogo, huyo hamtaki mgtu anamtaka bibi yake tu, leo naona ajabu kakubali chumbai nikamchukua nikaanza kucheza kitandani, anapend nikimfanyia kinyuli.

Nikamuuliza mamake, yule mwengine yuko wapi?

Wofe; kawasikieni na kawaona kawachungukia kutoka jikoni leo anawapikia huko na mama, kapewa chapatizake akande, basi ana unga mwili mzima.

Mimi : na nyie mnamwacha acheze unga jamani?
Wife: Si anakupikia babake ule.
Mimi; Atakula babu yake huko. Maa nasikia sauti ya mshikaji nje huko, kelee. Hoyaaaaaa, mimi nakitoa.

Nikatika chumbani kwenda uani anapiga kahawa, hoyaa mimi sikai nakwenda kusali huko huko palepale jirani ya Barafaa kuna msikiti. Nikamwabia ngoja kidogo muda bdao, ikiadhiniwa unawahi kusali kabisa.
Mshikaji: Dingi anasisitiza hakuna kitu kinaleta mafanikio kama kua mtu kua miadi, on time. Dingi anakwambia bora ufoke mapema usubiri kuliko kuchelewa.

Mshikaji; Wewe ushaona kuna gari ya mteja inachekewa pale, akiona inachelewa siku hio gereji inawaka moto mpka mimi hua namuombea dua huyu Dingi mi presha isimpande. kwa hio mimi hio nimerirhi, wala hanambii, matokeo si nayaona mwanangu?

Mimi; haya nipe michapo na mimi.
Mshikaji; Si kama unanambia nimfundishe samaki kuogelea. Kwanini mimi sikujui wewe? Kuamuoga wa muda kama wewe duniani, hata Dingi kasingiziwa.

Mshikaji; Unasikia mwanangu, mnyonge mnyongeni, Dingi hapa karturuthisha vitu viwili hivyo, sijaviona mahali zaidi ya nyumba hii. Moja miadi, basi mkeo, ndio mwehu kabisa, maza nae ndio utafikiri ana ugonjwa wa wasiwasi. Jingine mwanangu, ukweli. Dingi anasema huo ufunguo wa milango yote, ukweli, hata umeharisha, sema kweli nimeharisha isiseme nimejamba...

... Mwanangu eeh, sinngoji adhana, moyo wa Dokta ushanidunda. Mazaaa eeeh. mie nakwenda kumchukua mgeni baada ya kusali isha tu nakuletea wife toibe hapa hapa.
Mama; Mungu akujaalie mwanangu kaupe yote unayoyatamani, In shaa Allah yawe na heri na wewe.

Mshikaji; Hio dua haizuiliwa na mtu yoyote, dua ya mazazi kwa mwanae hata aje nani haizuii. Mie si unaona dua za za maza, nyumba mikeswi yoiyte nimeshinda, mbegeres. sasa wananiangukia, Sasa mtoto wa halai wa mzee nilioabaki mimipeke yangu, leo mzee kadedi ndio mnajitokeza wanne ati wote sisi watoto wa mzee. Jaji yule kawaambia na gharama zote za kesi walipe mbegeres. kwaherini.

Akaenda zake.

...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom