Netanyahu "Bibi" Jioni hii Kapost kwenye Mtandao wa X

Netanyahu "Bibi" Jioni hii Kapost kwenye Mtandao wa X

Nusu ya wanajeshi wa Israel inasemekana ni mashoga, na wanasumbua mbaya je wangekua ni wanaume kamili ingekuaje?
 
Can be old video either!! Hata mimi nina video nying sijazipost na nikipost watu wanaweza kusema ni leo,kumbe nyingine za miaka mitatu nyuma..Tunataka afanye trending kama zamani za kutupa updates na taarifa za vita pamoja na kuongoza strategies za vita kama siku zote
Vipi umesikia Trump alivyosema? Kwamba kiongozi mkuu mpya wa Iran ameaga dunia...!!!!

Sijui kama ni kweli au ni swagger zake tu. Time will tell.
 
Israeli itadanganya mpaka lini kuwa Netanyau yupo hai? Mambo mangine ni ya kitoto sana. Watu wenye akili kama mimi nangojea nione kama wataweza kuficha hii mimba
 
Israeli itadanganya mpaka lini kuwa Netanyau yupo hai? Mambo mangine ni ya kitoto sana. Watu wenye akili kama mimi nangojea nione kama wataweza kuficha hii mimba
Pole sana kama hawakudanganya ayatollah Khomeini kwanini wadanganye Bibi
 
Israeli itadanganya mpaka lini kuwa Netanyau yupo hai? Mambo mangine ni ya kitoto sana. Watu wenye akili kama mimi nangojea nione kama wataweza kuficha hii mimba
Ungekua na akili ungekua brainwashed 🧠 na Lissu?
 
Mbona kahawa yake haijapungua hata baada ya kuinywa ,hii video sio AI kweli.
Unaijua cappuccino?

Kwamba watu wenye teknolojia kubwa wanaweza tengeneza video ya AI wakafanya hizo silly mistakes za UVCCM😂

Haya mtuambie ni AI au Clone au vyote??
 
Back
Top Bottom