Inaumiza sana kwakweli mana kaka tunaye mmoja tu ila nayeye hana muda wwt wa kuangalia mali alizoacha mzee, hani iikitokea ukarabati wa nyyumba ni sisi tunajichanga tunakarabati. Kayumba kidogo kimaisha hataki shida anataka maisha ya juu tayari kaafiki nyumba iuzwe apewe mtaji, imagine nyumba iko katikati ya mji ambapo thamani yake si chini ya mil 300 alikuja mteja wa mil 90, na ma mdogo ndio alimleta. Sasa mil 90 hata ikiuzwa itatusaidia nini? Mama ataishia wapi ni mzee hawezi kufanya biashara yyt alizoea kuishi kwa kula kodi za nyumba kama sio kuttafutiana shida ni nini jamani🙆, kiukweli pamoja na mapungufu ya baba yetu lakini aliona mbali sana akakataa mali yyt isiuzwe. Dah kwakweli inaumiza sana mana mwisho unajulika