Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,009
- 95,513
Mjukuu wa ngoda sasampa una hoja kidogoHuenda hitaji lako ni kua vizuri kiuchumi ila kwa sababu hujachanga karata vizuri unahis unachohitaji mke!
Mjukuu wa ngoda sasampa una hoja kidogoHuenda hitaji lako ni kua vizuri kiuchumi ila kwa sababu hujachanga karata vizuri unahis unachohitaji mke!
Hapanaaa!! 😂😂😂Chukua fursa mejii
Mzee Ngoda yupo Kimara hajui unamtaja huku.Mjukuu wa ngoda sasampa una hoja kidogo
Mdanganye kuwa huna mtoto, bila shaka Hawez kujua nyapu iliyoshusha engine tano 😂Dahh mkuu huyu mtoto kabisa napeleka wapi mimi, nina watoto watano, wengine wamefika chuo, katakimbia haka😅
Mambo vipi wakuu, hivi hii changamoto kuna wengine wanapitia kama mimi, iko hivi ...
Kipindi uko na umri mdogo, yaani early &/ mid 20's unakua hujihusishi sana na mapenzi ukitegemea kujitafuta.
Ila mwisho wa siku unafika early 30's kama mimi unakuta kupata mwenza wa sifa zako ni ngumu mno.
Kupata mwenza asie na mtoto anaejielewa ni ngumu mno mnooo.
Ni kama haiwezekani, kila unapogusa ni ana mtoto/watoto tena sometimes watoto wakubwa kabisa asiee wako sekondari.
Kama kuna mwanajf asie na mtoto tunaweza anza safari itakua njema zaidi.
Niko Dar es salaam
Ni muajiriwa.
Nina 30 yrs.
Nahitaji mwenza asie na mtoto.
Nimdanganye kwani nimemuomba child support! Yeye anataka uke au anataka kuishi tumboni kwangu🤣 anawaza as if atakuwa anazunguka namimi uchi😅Mdanganye kuwa huna mtoto, bila shaka Hawez kujua nyapu iliyoshusha engine tano 😂
Kumbe kijana anataka uke.Nimdanganye kwani nimemuomba child support! Yeye anataka uke au anataka kuishi tumboni kwangu🤣 anawaza as if atakuwa anazunguka namimi uchi😅
Ngoja iwe reversed, wachukue wenzio kwako 😅Hapanaaa!! 😂😂😂
Si unaona watu wa daslam mna Juana, mpe hi huyo mzee mjuajiMzee Ngoda yupo Kimara hajui unamtaja huku.
Zimefika.Si unaona watu wa daslam mna Juana, mpe hi huyo mzee mjuaji
Unafikiri anataka nini hapoKumbe kijana anataka uke.
Mfanyie wepesi kijanaJichanganye mkuu mbona pisi n nyingi mno
Ndoa/Mahusiano ngono ikiwa ndo kama kernel ni ngumu sana kudumu.Unafikiri anataka nini hapo
Let things flow! Unajioangia mahusiano na ndoa kama vile unatafuta shareholder kwenye kampuni! Watu wanafall in love na waganga ohoo.. labda kama abataka tu wakubaliane wakakae ila sio kwa mapenziNdoa/Mahusiano ngono ikiwa ndo kama kernel ni ngumu sana kudumu.
Hakika nimekosa mkuuhapo mtaani umekosa kabisa ambaye hana mtoto mkuu??
Sio domo zege, maeneo tunayoshinda na ninaokutana nao tunatofautiana mitazamo.Huna wazee uwashirikishe hitaji lako au unaona noma kuonekana domo zege