Changamoto ya dada zetu kuwa ombaomba mtaani

Changamoto ya dada zetu kuwa ombaomba mtaani

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
14,248
Reaction score
40,261
Changamoto ya ombaomba ina historia pana nchini mwetu. Ilishawahi kuwa maarufu sana mjini. Wahenga wenzangu nafikiri mnamkumbuka legend mmoja hivi anaitwa Matonya. Alikua ombaomba maarufu mpaka kufikia hatua ya ombaomba wote kuitwa Matonya. Serikali ilichukua hatua kudhiti hili suala kwa kuwarudisha hawa ombaomba mikoani kwao.

Kwa sasa kuna kundi jipya la ombaomba limeibuka kwa kasi, nalo ni mabinti na wanawake. Wakati zamani tulishazoea kuona ombaomba ni walemavu na watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu, kwa sasa ombaomba ni mabinti wanaoishi na wazazi wao pamoja na wanawake watu wazima wenye nguvu na akili timamu kuweza kufanya shughuli za uzalishaji.

Katika mahusiano hali imekua mbaya kufikia hatua imekua ngumu hata kuanzisha mahusiano ya maana. Utakamsalimia mwanamke na kubadilishana mawasiliano tu. Kuanzia hapo ni kama ume-adopt mtoto yatima. Utavulumushiwa mizinga kama zile ballistic missile za Iran zilizokua zinapiga Israel. Mpaka unaanza kujiuliza huyu mtu hana wazazi au ndugu? Alikua anasihi vipi kama hatujakutana?

Sisi wenyewe tunaweza tukachukulia hali ya kawaida na tukakubali kuishi nayo, lakini hii trend ya wakina dada kuombaomba imeanza kuvuka mipaka ya nchi. Kuna interview ilisambaa siku za hapa karibuni mzungu anawashutumu dada zetu ni ombaomba.

Nilishawahi kukutana na wazungu club ya warm up, mkoani Iringa. katika mazungumzo ya hapa na pale walisema dada zetu ni ombaomba. Nina rafiki yangu wa utotoni ni mtu wa Botswana, alikuja Tanzania kunitembelea mwaka jana akakaa nyumbani kwangu wiki moja. Katika mazungumzo yetu alisema dada zetu ni ombaomba.

Kwa kifupi mwanaume yoyote ambae ni raia wa kigeni ana uzoefu wa interactions na hawa dada zetu. Ukipiga nae story lazima suala la kuombaomba litajwe. Siku sio nyingi tutaanza kujulikana kama "taifa la wanawake ombaomba" , ni aibu

Ombaomba hawa wamefika mbali kwa kufikiri kwamba ni haki yao kupewa. Ni kama kuna fikra zimepandikizwa vichwani mwao kwamba jinsia yao ni nyenzo ya kupewa hela za bure. Mtu hajakufanyia kazi yoyote, hajakusaidia kutafuta, out of nothing anajiona ana haki ya kupata gawio kwenye hela yako kwa sababu tu yeye ni mwanamke. This is very disgusting.

Imefika hatua madogo wa kiume wanaona ni bora kununua kuliko kuanzisha na ku-maintain mahusiano. Hali ilipofikia kwa sasa kuwa boyfriend ni expensive zaidi ya kuwa mzazi.

Somewhere somehow lazima kitu kifanyike. Especially kwa wazazi wa watoto wa kike. Tuzingatie malezi tunayowapa mabinti zetu. Kuombaomba ni fedhea, na hakuna ombaomba anaeheshimika.

Ombaomba hawa bila shaka hata hapa jf wapo. Ukisoma comment zao utawajua tu. Ukweli huwa unauma
 
Kuna mzungu mwingine alisema hivyo hivyo, tena huyu alisema ana uzoefu na nchi nyingi masikini. Hali ndio hii huko kote.

Kwenye nchi masikini kama hizi zetu pesa lazima iabudiwe mkuu. Mtu atakayeweza kujitenga na pesa ni wa kipekee. Tena hawa vijana wadogo wenye matarijio makubwa uvumilivu unawashinda kabisa.

Sasa hivi wastani wa umasikini sio chini ya $1 ni $4, ni wangapi wanaishi juu ya $4 kwa siku? Maji hayapo shingoni yapo puani siku hizi. Jua ni kali mno.
 
Changamoto ya ombaomba ina historia pana nchini mwetu. Ilishawahi kuwa maarufu sana mjini. Wahenga wenzangu nafikiri mnamkumbuka legend mmoja hivi anaitwa Matonya. Alikua ombaomba maarufu mpaka kufikia hatua ya ombaomba wote kuitwa Matonya. Serikali ilichukua hatua kudhiti hili suala kwa kuwarudisha hawa ombaomba mikoani kwao.

Kwa sasa kuna kundi jipya la ombaomba limeibuka kwa kasi, nalo ni mabinti na wanawake. Wakati zamani tulishazoea kuona ombaomba ni walemavu na watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu, kwa sasa ombaomba ni mabinti wanaoishi na wazazi wao pamoja na wanawake watu wazima wenye nguvu na akili timamu kuweza kufanya shughuli za uzalishaji.

Katika mahusiano hali imekua mbaya kufikia hatua imekua ngumu hata kuanzisha mahusiano ya maana. Utakamsalimia mwanamke na kubadilishana mawasiliano tu. Kuanzia hapo ni kama ume-adopt mtoto yatima. Utavulumushiwa mizinga kama zile ballistic missile za Iran zilizokua zinapiga Israel. Mpaka unaanza kujiuliza huyu mtu hana wazazi au ndugu? Alikua anasihi vipi kama hatujakutana?

Sisi wenyewe tunaweza tukachukulia hali ya kawaida na tukakubali kuishi nayo, lakini hii trend ya wakina dada kuombaomba imeanza kuvuka mipaka ya nchi. Kuna interview ilisambaa siku za hapa karibuni mzungu anawashutumu dada zetu ni ombaomba.

Nilishawahi kukutana na wazungu club ya warm up, mkoani Iringa. katika mazungumzo ya hapa na pale walisema dada zetu ni ombaomba. Nina rafiki yangu wa utotoni ni mtu wa Botswana, alikuja Tanzania kunitembelea mwaka jana akakaa nyumbani kwangu wiki moja. Katika mazungumzo yetu alisema dada zetu ni ombaomba.

Kwa kifupi mwanaume yoyote ambae ni raia wa kigeni ana uzoefu wa interactions na hawa dada zetu. Ukipiga nae story lazima suala la kuombaomba litajwe. Siku sio nyingi tutaanza kujulikana kama "taifa la wanawake ombaomba" , ni aibu

Ombaomba hawa wamefika mbali kwa kufikiri kwamba ni haki yao kupewa. Ni kama kuna fikra zimepandikizwa vichwani mwao kwamba jinsia yao ni nyenzo ya kupewa hela za bure. Mtu hajakufanyia kazi yoyote, hajakusaidia kutafuta, out of nothing anajiona ana haki ya kupata gawio kwenye hela yako kwa sababu tu yeye ni mwanamke. This is very disgusting.

Imefika hatua madogo wa kiume wanaona ni bora kununua kuliko kuanzisha na ku-maintain mahusiano. Hali ilipofikia kwa sasa kuwa boyfriend ni expensive zaidi ya kuwa mzazi.

Somewhere somehow lazima kitu kifanyike. Especially kwa wazazi wa watoto wa kike. Tuzingatie malezi tunayowapa mabinti zetu. Kuombaomba ni fedhea, na hakuna ombaomba anaeheshimika.

Ombaomba hawa bila shaka hata hapa jf wapo. Ukisoma comment zao utawajua tu. Ukweli huwa unauma
Mkuu big up🤜,vinzuli kuja na solution,Kuna wajomba zangu walikuwa na tabiya hii sasa baada ya kuwambia falsafa yangu,
1/kuomba siyo haki,hivyo ukinipa usiponipa tawile.
2/Umaskini ni laana, hivyo kupambana ni jambo mtambuka kukabiliana nayo.
Now vinzinga vimepunguwa ,na kuwashilikisha kwenye kazi .
 
Kuna mzungu mwingine alisema hivyo hivyo, tena huyu alisema ana uzoefu na nchi nyingi masikini. Hali ndio hii huko kote.

Kwenye nchi masikini kama hizi zetu pesa lazima iabudiwe mkuu. Mtu atakayeweza kujitenga na pesa ni wa kipekee. Tena hawa vijana wadogo wenye matarijio makubwa uvumilivu unawashinda kabisa.

Sasa hivi wastani wa umasikini sio chini ya $1 ni $4, ni wangapi wanaishi juu ya $4 kwa siku? Maji hayapo shingoni yapo puani siku hizi. Jua ni kali mno.
Mbona madogo wa kiume wanakaza. Mimi nafikiri ni hii kasumba tu ya kuwaamanisha wanawake kwamba wanastahili kupewa hela za bure
 
Umeongea ukweli sana

Wanawake wanasema hawapendi kuolewa na mwanaume asiye na hela.

Na hii imepelekea vijana kupambana sana wakiamini pesa ndio silaha kuu ya kumfanya mwanamke atulie.

Sasa kipindi cha dating mwanaume anajitafuta kwa kujidunduliza na kujibana ili apate saving ambayo itamfikisha kwenye hatua ya utajiri ambayo mwanamke ndio tamanio lake katika ndoa.

Unakuta tena hicho hicho kidogo ambacho unajibana kuwekeza tena mwanamke anakitaka umpatie katika muda uleule anaohitaji.

Hapo unakuwa na option mbili

1. Umpe hiyo saving yako atatue changamoto zake za muda huo ili akuone unajua kujali na ujiondoe kwenye malengo yako ya muda mrefu ambayo yanamuhusu pia yeye.

2. Usimamie msimamo wako wa kutotoa pesa kwa kuangalia future zaidi kwasababu huko mbeleni value yako haitapimwa kwa wema uliofanya leo.

Kwasababu hawezi kuolewa na wewe kwasababu tu umemsaidia leo. Hapana

Hatoolewa na wewe kwasababu umekosa kigezo cha pesa ambacho ni hitaji muhimu la kwanza kwa mwanamke linapokuja swala la kuchagua mume wa kumuoa.
 
Tena unashangaa mpaka wadada waliokuwa na kazi zao nao et wanaomba omba ukijakuangalia ni tabia sasa imeshajengeka
 
Wengi wanaingia na gia ya kuomba nauri.

Wengine huja na style ya "kaka samahani sijala toka asubuhi naomba unisaidie buku nipate chakula".

Hua nawabless tu ila najua wanakua kazini.
 
Changamoto ya ombaomba ina historia pana nchini mwetu. Ilishawahi kuwa maarufu sana mjini. Wahenga wenzangu nafikiri mnamkumbuka legend mmoja hivi anaitwa Matonya. Alikua ombaomba maarufu mpaka kufikia hatua ya ombaomba wote kuitwa Matonya. Serikali ilichukua hatua kudhiti hili suala kwa kuwarudisha hawa ombaomba mikoani kwao.

Kwa sasa kuna kundi jipya la ombaomba limeibuka kwa kasi, nalo ni mabinti na wanawake. Wakati zamani tulishazoea kuona ombaomba ni walemavu na watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu, kwa sasa ombaomba ni mabinti wanaoishi na wazazi wao pamoja na wanawake watu wazima wenye nguvu na akili timamu kuweza kufanya shughuli za uzalishaji.

Katika mahusiano hali imekua mbaya kufikia hatua imekua ngumu hata kuanzisha mahusiano ya maana. Utakamsalimia mwanamke na kubadilishana mawasiliano tu. Kuanzia hapo ni kama ume-adopt mtoto yatima. Utavulumushiwa mizinga kama zile ballistic missile za Iran zilizokua zinapiga Israel. Mpaka unaanza kujiuliza huyu mtu hana wazazi au ndugu? Alikua anasihi vipi kama hatujakutana?

Sisi wenyewe tunaweza tukachukulia hali ya kawaida na tukakubali kuishi nayo, lakini hii trend ya wakina dada kuombaomba imeanza kuvuka mipaka ya nchi. Kuna interview ilisambaa siku za hapa karibuni mzungu anawashutumu dada zetu ni ombaomba.

Nilishawahi kukutana na wazungu club ya warm up, mkoani Iringa. katika mazungumzo ya hapa na pale walisema dada zetu ni ombaomba. Nina rafiki yangu wa utotoni ni mtu wa Botswana, alikuja Tanzania kunitembelea mwaka jana akakaa nyumbani kwangu wiki moja. Katika mazungumzo yetu alisema dada zetu ni ombaomba.

Kwa kifupi mwanaume yoyote ambae ni raia wa kigeni ana uzoefu wa interactions na hawa dada zetu. Ukipiga nae story lazima suala la kuombaomba litajwe. Siku sio nyingi tutaanza kujulikana kama "taifa la wanawake ombaomba" , ni aibu

Ombaomba hawa wamefika mbali kwa kufikiri kwamba ni haki yao kupewa. Ni kama kuna fikra zimepandikizwa vichwani mwao kwamba jinsia yao ni nyenzo ya kupewa hela za bure. Mtu hajakufanyia kazi yoyote, hajakusaidia kutafuta, out of nothing anajiona ana haki ya kupata gawio kwenye hela yako kwa sababu tu yeye ni mwanamke. This is very disgusting.

Imefika hatua madogo wa kiume wanaona ni bora kununua kuliko kuanzisha na ku-maintain mahusiano. Hali ilipofikia kwa sasa kuwa boyfriend ni expensive zaidi ya kuwa mzazi.

Somewhere somehow lazima kitu kifanyike. Especially kwa wazazi wa watoto wa kike. Tuzingatie malezi tunayowapa mabinti zetu. Kuombaomba ni fedhea, na hakuna ombaomba anaeheshimika.

Ombaomba hawa bila shaka hata hapa jf wapo. Ukisoma comment zao utawajua tu. Ukweli huwa unauma


🚨Bila kusahau,,,,,OMBAOMBA WENGI KAMA SIO WOTE, HAWANA BIKRA YA NYUMA!!!

MWANAMKE UKIWA OMBAOMBA UTAPEWA ILA JIANDAE KUDHALILISHWA, MAANA UMESHUSHA BEI KWA KUJUA AU KUTOJUA.
 
ukiangalia kwa mapana unakuja kuona kuwa wanaume mazoba, MASIMP ndiyo yametufikisha hapa.

Wanaume wanaohonga wanawake ili wapendwe ndio wanakuza SOKO LA WANAWAKE OMBAOMBA.

Kuna wanawake kwasababu ya makebo au nyuso zao plus karangi kanaita basi hawa mbuzi hawataki kabisa kujishughulisha wao wanaona kumiliki uzuri plus K wanaona ndio mtaji wa kula hela za WANAUME WAPUMBAVU MASKINI WA AKILI.

AINA YA WANAUME WAPUMBAVU;

1.MADOMO ZEGE(HAWA HUTANGULIZA PESA MBELE)

2.MABISHOO ( HAWA HUTANGULIZA MBELE PESA ILI MRADI TU WAMILIKI PISI KALI WATAMBE MJINI)

3.WANAOPATA PESA KWA NJIA ZISIZO HALALI(HAWA HAWAONI SHIDA KUTUMIA PESA NYINGI KWA MWANAMKE BILA SABABU KWAKUWA HAWANA UHAKIKA NA FUTURE YAO)

4.WALIOKATA TAMAA ILA WANAPESA ( UNAKUTA JITU LISHAJIJUA LIMEWAKA LINA NGOMA) HAWA HAWANA CHA KUPOTEZA WANAPONDA MALI KIFO CHAJA.ATAHONGA PESA YOYOTE ILI AENDELEE KULA PISI KALI.
 
Mimi na allergie na wanawake omba omba.

Yaani, ukiomba omba Huwa natabia za kuto kukupa pesa.

Bora pesa nikupe mwenyewe kwa utashi wangu.

Ukiomba omba Huwa nageukaga like lijamaa la kwenye muvii ya SOLO

NB. UMASKINI NI LAANA
 
Back
Top Bottom