Nahitaji mwenza

Nahitaji mwenza

venancehamza

Member
Joined
Jun 8, 2025
Posts
33
Reaction score
58
Mambo vipi wakuu, hivi hii changamoto kuna wengine wanapitia kama mimi, iko hivi ...

Kipindi uko na umri mdogo, yaani early &/ mid 20's unakua hujihusishi sana na mapenzi ukitegemea kujitafuta.
Ila mwisho wa siku unafika early 30's kama mimi unakuta kupata mwenza wa sifa zako ni ngumu mno.
Kupata mwenza asie na mtoto anaejielewa ni ngumu mno mnooo.

Ni kama haiwezekani, kila unapogusa ni ana mtoto/watoto tena sometimes watoto wakubwa kabisa asiee wako sekondari.

Kama kuna mwanajf asie na mtoto tunaweza anza safari itakua njema zaidi.
Niko Dar es salaam
Ni muajiriwa.
Nina 30 yrs.

Nahitaji mwenza asie na mtoto.
 
Mambo vipi wakuu, hivi hii changamoto kuna wengine wanapitia kama mimi, iko hivi ...

Kipindi uko na umri mdogo, yaani early &/ mid 20's unakua hujihusishi sana na mapenzi ukitegemea kujitafuta.
Ila mwisho wa siku unafika early 30's kama mimi unakuta kupata mwenza wa sifa zako ni ngumu mno.
Kupata mwenza asie na mtoto anaejielewa ni ngumu mno mnooo.

Ni kama haiwezekani, kila unapogusa ni ana mtoto/watoto tena sometimes watoto wakubwa kabisa asiee wako sekondari.

Kama kuna mwanajf asie na mtoto tunaweza anza safari itakua njema zaidi.
Niko Dar es salaam
Ni muajiriwa.
Nina 30 yrs.

Nahitaji mwenza asie na mtoto.
hapo mtaani umekosa kabisa ambaye hana mtoto mkuu??
 
Mambo vipi wakuu, hivi hii changamoto kuna wengine wanapitia kama mimi, iko hivi ...

Kipindi uko na umri mdogo, yaani early &/ mid 20's unakua hujihusishi sana na mapenzi ukitegemea kujitafuta.
Ila mwisho wa siku unafika early 30's kama mimi unakuta kupata mwenza wa sifa zako ni ngumu mno.
Kupata mwenza asie na mtoto anaejielewa ni ngumu mno mnooo.

Ni kama haiwezekani, kila unapogusa ni ana mtoto/watoto tena sometimes watoto wakubwa kabisa asiee wako sekondari.

Kama kuna mwanajf asie na mtoto tunaweza anza safari itakua njema zaidi.
Niko Dar es salaam
Ni muajiriwa.
Nina 30 yrs.

Nahitaji mwenza asie na mtoto.
Anzia huko huko unakoishi.
 
Mambo vipi wakuu, hivi hii changamoto kuna wengine wanapitia kama mimi, iko hivi ...

Kipindi uko na umri mdogo, yaani early &/ mid 20's unakua hujihusishi sana na mapenzi ukitegemea kujitafuta.
Ila mwisho wa siku unafika early 30's kama mimi unakuta kupata mwenza wa sifa zako ni ngumu mno.
Kupata mwenza asie na mtoto anaejielewa ni ngumu mno mnooo.

Ni kama haiwezekani, kila unapogusa ni ana mtoto/watoto tena sometimes watoto wakubwa kabisa asiee wako sekondari.

Kama kuna mwanajf asie na mtoto tunaweza anza safari itakua njema zaidi.
Niko Dar es salaam
Ni muajiriwa.
Nina 30 yrs.

Nahitaji mwenza asie na mtoto.
Mmh mkuu Yani miaka 30 unataka useme umekosa asiekua na mtoto?kwamba wote 19-25 tayari Wana watoto?emu kua serious kidogo au ndo Ivo hela huna wanakukataa kwa sababu hawaoni wanachopata kwako,njoo uku Tanga utaondoka na basi Zima kikubwa anauhakika wa kupata Milo 3 kwa siku ata kama asbh anakula vipande vyake vya mihogo vitatu.
 
Tembea uone jinsi watu walivyo bize na kazi mpaka wanaishia kutafuta wenza kwenye social media na wanawapata, tatizo lenu ushamba🚮
utanipinga lakini huu ndio ukweli, achana na huko kwenu Duniani.
Mtu kaajiriwa- huko makazini hamna wadada?
Nyumbani- Majirani hamna wadada.
Kijijini kwenu- hamna??
kwani profile hiyo imekaaje au CV ni mbovu kiasi gani.
Mwisho: Ukiona wadada hawana time na wewe ongeza juhudi ya kujitafuta. hao viumbe wanaangalia una nini mkononi.
 
utanipinga lakini huu ndio ukweli, achana na huko kwenu Duniani.
Mtu kaajiriwa- huko makazini hamna wadada?
Nyumbani- Majirani hamna wadada.
Kijijini kwenu- hamna??
kwani profile hiyo imekaaje au CV ni mbovu kiasi gani.
Mwisho: Ukiona wadada hawana time na wewe ongeza juhudi ya kujitafuta. hao viumbe wanaangalia una nini mkononi.
Uonaongea ujinga waambie jf wafute hicho kipengele cha love connect kama una akili sana
 
Back
Top Bottom