Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 52,112
- 126,071
Eh kumbe nna kazi na nalipwa mshahara na sijui 😭kashapata kazi, anakuja kuwinda totoz hapa 😁
Nchi ngumu sana hii
Eh kumbe nna kazi na nalipwa mshahara na sijui 😭kashapata kazi, anakuja kuwinda totoz hapa 😁
Najali, Ndo mana bado napambanaApate kazi ya wapi? Hajapata na hajali wala nini!😅
Kila la kheri mkuu pelekea na pale nilipokwambia jana kesho tu unaanza kazi muda unaotafuta huku unajishikiza pengine mkuu! Mungu akutangulie sana mbaga!Seran na ShesRise_1 na wengineo naomba mniombee kwa Sir God kati ya hizi tatu, papatikane kheri
Leo ratiba yangu n kusambaza CV hizo sehemu tatu
View attachment 3585093
Kipenzi changu mdogo wangu mzuriiSeran na ShesRise_1 na wengineo naomba mniombee kwa Sir God kati ya hizi tatu, papatikane kheri
Leo ratiba yangu n kusambaza CV hizo sehemu tatu
View attachment 3585093
Hapo pa jana ngoja ngoja kwanza 😎Kila la kheri mkuu pelekea na pale nilipokwambia jana kesho tu unaanza kazi muda unaotafuta huku unajishikiza pengine mkuu! Mungu akutangulie sana mbaga!
Tawire 🤝Kipenzi changu mdogo wangu mzurii
Kila la kheri kwako 🤝
Sio kwamba now Sina kazi, nna kazi Ila Kuna some changamoto ndo mana pia najaribu kuchek na huko pengine ambapo ntaenda leo.Kazi ya kukaa tu tena hauko peke yako na wengine wapo hutaki🤭
Kweli kabisa,Madam Seran kazi za Mara hakuna nimepita Uzi wote kazi nyingi zipo nje ya mkoa huu ningepata kama ya kusimamia Nyumba, mashamba, ingekuwa nzuri sana Mimi ni me darasa la 7
Kazi ya kukaa tu tena hauko peke yako na wengine wapo hutaki🤭
Ila tafadhari sana mzuie ShesRise_1 asiingie kwenye huu uzi, akijua sina mahela wala kazi, nitaachika mazima.Hahaaa kuwa mpole utapata tu!
We jama tafuta pesa mwanaume bila hela ni zuchuIla tafadhari sana mzuie ShesRise_1 asiingie kwenye huu uzi, akijua sina mahela wala kazi, nitaachika mazima.
Two years2 hiyo uhasibu una experience ya muda Gani????
Uwe unajibu mapema. Nimekuuliza Jumatano ujajibu Ijumaa na deadline imeshapitaTwo years