Hapana, naona ambazo zipo updated n za sales Sasa hizi c ndo ile kutafuta masoko, mm h najua sitoiwezaUnataka za kiboss🫢
Hiyo ni ya hapohapo unauza furnitures sio za kutafuta na wateja ni matajiri tu na wanakuja wenyewe sio hohehae maana kuna sofas za kuanzia mil 4 mpaka mil 100Hapana, naona ambazo zipo updated n za sales Sasa hizi c ndo ile kutafuta masoko, mm h najua sitoiweza
Ila c ndo mpaka uwe na elimu ya sales au? Mana c unajua tena mm n TV Production 😭Hiyo ni ya hapohapo unauza furnitures sio za kutafuta na wateja ni matajiri tu na wanakuja wenyewe sio hohehae maana kuna sofas za kuanzia mil 4 mpaka mil 100
Hapo kwenye kusema ndio sasa 😂Hiyo haihitaji elimu wala nini wewe omba tu ukiulizwa una experience sema ndio!
Sawa ngoja nifanye hvyUnanielewa kwani? Hawaulizi maswali jmn wao pia hawajui kitu
Ushawapata???Hello
Nahitaji sales wa kike 5 wenye uzoefu wa kuongea na wateja, wenye mwonekano eneo la kazi ni k/koo katika maduka ya vipodozi, malipo ni 300,000 kwa mwezi,
Tuma picha na jina lako kwa namba 0769516170
2 hiyo uhasibu una experience ya muda Gani????1. Natafuta kazi age 33, me, form four div four ya 27
2. Natafuta kazi age 28, me, bachelor ya uhasibu
Nmekuona, kumbe nawe umejiunga 😎