Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 52,161
- 126,232
Uko poa?Tunawataka
Uko poa?Tunawataka
Sijamgombeza, nimekwambia ukweli Kuna nafasi ya HR hapa, ilikuwa unataka mtu mwenye uzoefu wa mwaka mmoja.Jamani unagombeza🫢 huko kazini si ndio na vibao juu!
Kuna dogo hapa kamaliza Digrii ya LLB na kapitia School of Law ila Bado hajapewa chetTunawataka
DuhSijamgombeza, nimekwambia ukweli Kuna nafasi ya HR hapa, ilikuwa unataka mtu mwenye uzoefu wa mwaka mmoja.
Masharaha 1.2m
Nimemuuliza jamaa tangu Jumatano, yeye anakuja kunipa majibu Ijumaa jioni. Kweli????
Niko poa chifuUko poa?
Na yeye anamtafutia kijana wake tu mkuu sio kila mtu ana uwezo wa kukaa jf muda wote, tumebarikiwa wachache tu!Sijamgombeza, nimekwambia ukweli Kuna nafasi ya HR hapa, ilikuwa unataka mtu mwenye uzoefu wa mwaka mmoja.
Msharaha 1.2m
Nimemuuliza jamaa tangu Jumatano, yeye anakuja kunipa majibu Ijumaa jioni. Kweli????
Nitafanyaje mkuu na muda wameshafunga, maana maombi yanatukwa online.Duh
Ila bro upo sahihi, ukiwa huna ajira inabidi mtu achangamke mno, asifanye mistakes yoyote ile.
Ila kama kuna namna unaweza kumsaidia bc fanya hvy mkuu
Hujanijibu kule privateAm good
Duh em ingia then ujaribu kurefresh 🙆Sijaona
Nimemkumbuka Vincenzo Jr tuliwahi pitia situation kama yenuephen_ unacheka cheka nn nyau ww 😂
Uwii 🤣 kwani kuna nini tena nimepitwa kitu leo?🫢Nimemkumbuka Vincenzo Jr tuliwahi pitia situation kama yenu
Hakuna ishu kubwa, ila nmescreenshot nmetuma TenaNimefanya hivyo sijaona ujumbe wowote! Vipi kwani?
Hakuna ishu kubwa ya maana kiivyoUwii 🤣 kwani kuna nini tena nimepitwa kitu leo?🫢