Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

📢 TANGAZO LA KAZI 📢

TIN VIBE PUB
Inatangaza nafasi za kazi kwa wahudumu wa vinywaji.

Idadi ya Nafasi:
Wafanyakazi WAWILI (2)

SIFA ZA MWOMBAJI

1. Awe na umri kati ya miaka 20 hadi 26
2. Awe mwaminifu na mwenye nidhamu
3. Awe nadhifu, mrembo na mwenye mawasiliano mazuri

MALIPO NA MANUFAA

  • Mshahara: TZS 80,000 kwa mwezi
  • Posho ya kujikimu: TZS 2,000 kwa siku
  • Malazi bure (chumba na vifaa vya kulalia vinapatikana)

ENEO LA KAZI
Mbunyuni, ukiwa unaelekea Sala Sala, karibu na Sheria ya Puma

MAWASILIANO
Wasiliana na Meneja kupitia simu:
📞 0629 386 452

Asanteni, Karibuni Kuomba Kazi
 
Mwalimu wa business studies na geography


Mwalimu wa mathematics na computer



Dar es salaam


Namba ya simu
+255 656 890 550
 
Wanahitajika wafanyakazi 8 wahudumu wa bar tarehe ni 30 mwezi huu location ni Keko dollers pub Mawasiliano namba 0622410457
 
Ila ss ameomba sn na usaili sn mpk ananiambia anechoka...
Am in same situation, asichoke! Apambane sana! Nikiwa napata kazi za aina hiyo ntakuwa napost hapa ziko nyingi achangamke asikate tamaa, na pia ajaribu kuomba ata za kawaida sio lazima aanze na za profession yake.. itamkuta mbele kwa mbele huko..
 
Am in same situation, asichoke! Apambane sana! Nikiwa napata kazi za aina hiyo ntakuwa napost hapa ziko nyingi achangamke asikate tamaa, na pia ajaribu kuomba ata za kawaida sio lazima aanze na za profession yake.. itamkuta mbele kwa mbele huko..
Sshv winfa
Ni mtu wa kujichanganya ndo uzuri wake
 
Hebu nipe namm michongo huko huenda nisirudi tena!
Nilikuwa na uzi mkubwa sana wq kaz humu jf. Watu kibao walpataga, mwisho ule uzi niliufunga kwa ujuaji wa jamaa flan flani hum jf. Ila omba kaz zanzibar utanishkuru
 
Habari dokta kuna boss anahitaji kijana jinsia ni kiume aliyekuwa serious kwaajili ya kudai madeni kwa wateja ambao awajalipa mikopo muda mrefu .na kufanikisha wateja hao wanalipa .Kazi ni ya muda mfupi .
Mawasiliano na boss 0750 499476
😂😂😂😂😂 nimecheka hadi machoziiiiii.
Hapa anatakiwa baunsa. Lol
 
Nilikuwa na uzi mkubwa sana wq kaz humu jf. Watu kibao walpataga, mwisho ule uzi niliufunga kwa ujuaji wa jamaa flan flani hum jf. Ila omba kaz zanzibar utanishkuru
Watu wana nongwa sana! Ss ahuko zenj sijajua naomba kazi ipi so far..
 
😂😂😂😂😂 nimecheka hadi machoziiiiii.
Hapa anatakiwa baunsa. Lol
Wale hawachekeshi wanakusaka mtaa kwa mtaa🤣🤣 na hawana ata hiyo miili ni vidogo dogo tu vipo serious hivi sijui ni waha🤓
 
Watu wana nongwa sana! Ss ahuko zenj sijajua naomba kazi ipi so far..
Yoyote omba mz3e muhim kuanza. Safar haiwez kuwa fupi, lakin sio ndefu mana kaz za zanzbar nying ni kujua kiingereza tu
 
Wale hawachekeshi wanakusaka mtaa kwa mtaa🤣🤣 na hawana ata hiyo miili ni vidogo dogo tu vipo serious hivi sijui ni waha🤓
Mahi nimechekaa hadi mbavu zinauma, nyie watu wako serious hivii?? Khaaah
😂😂😂😂😂😂
 
Mahi nimechekaa hadi mbavu zinauma, nyie watu wako serious hivii?? Khaaah
😂😂😂😂😂😂
We hujakutana na vibarua vya humu kumbe😂😂 hali ni tete..
 
Kazi nyingi hapa zinataka experience, hili ndo shida sanaa.
Daaah watu wanakosa fursa kwa kigezo cha experience.
 
Back
Top Bottom