My all time JF crush, Happy womens Day

My all time JF crush, Happy womens Day

Status
Not open for further replies.
Yesu wangu!
Asiwe tu ninayemfikiria[emoji40]
Simkubali[emoji19]
Jina lake hapa lina initial sawa na lile jina langu halisi???


Mimi wangu sijui ni jini yule [emoji848] ,hata mimi sielewi yaani[emoji86] matendo yake ya kijeshi sio jeshi,jini siyo jini hadi nikaogopa
Hayo ni matendo ya id tu
Nilitokea kumkubali sana aiseee..sijui hata kwa nini.
Nitaendelea..ngoja nile ugali nipate nguvu.
Mimi tofauti na wewe,nilimkubali ile siyo ya kaka..kaka wananitosha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hahahahahhahahahaahahhaha umenikumbusha zamani kuna mtu nilimla saund akasema tuwe dada na kaka nikamwambian dada ninao wengi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Uwii initial ya jina lako halisi? Mbona sina mwanaume ninayemkubali humu anayeanzia na hiyo initial?

Mimi ni initial nyingine tu! Yaani nakuambia hakuna atakayeweza kuotea hata initial na hata mkimjua wote mtabaki midomo wazi!

Mimi kwa kweli sina makaka! Hivyo mwanaume yeyote nitakayemuambia namkubali humu ajue tu kuwa namkubali kama kaka!

Hebu kwanza na Wewe niambie huyo wako anaanzia na initial gani
g


gerald

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Duh aiseee
Nitachosha ubongo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Yule wangu yeye anabishanaga na watu,
Majukwaa yote yupo ila si sana..
Huwa hatabiriki,kuna muda anakuwa upande wa serikali,kuna muda anaiponda.

Anapendaga kuchanganya kiingereza na kiswahili japo hata akichanganya bado anatoa broken English.
hahahahahahahahha hata akichanganya anatoa broken English


nimecheka

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom